Maamuzi ya mahakama ya jumuiya ya (EA)yaliofikiwa kutokana na msukumo wa mapingamizi ya wakili wa serikali yamefanya KUMPIGA CHURA TEKE hadi kufika (UN) Hongera Adi na wenzio 39 pamoja na Wazanzibar wote wanaotaka kuona haki inasimama na InshaAllah haki tutaipata sio mbali tena🙏🏽🤝💪🏽
HATUITAJI MUUNGANO NA WATANGANYIKA UKWELI HUU NA HAWAJUWI NNI MAANA YA MUUGANO WAZANZIBARI INSHAALLAH TUNAAKILI NA NDIO TLIOWAPIGA TOCHI WAO WAANKE LAKINI BADO UNYANI ULE ULE WANAO NA APEDONYA NARADHI YAO 🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱
Tunataka mamlaka kamili zanzibar tunataka Mashekhe wetu ipo siku tutapata uhuru wetu mkoloni mtanganyika ataondoka zanzibar ilikuepo huru kabla kungana na mungano wa mktaba tena kwa maneno sio kwa mandishi hakuna mandishi hakuna uhalali zaidi ccm kupeana wao uhalali
Mahakama ni sawa na wale wale minyangau hawezi kabisa kuamua Muungano uvunjike kwa sababu wana maslahi nao hakuna nyaraka hata moja musitudanganye sisi sio watoto wadogo
Wao "Sisi Wazanzibari " hatujapewa mamlaka ya Kuhoji uhalali wa Nchi huru 😂😂 , so Ninyinyi pekee WATANGANYIKA NDO WENYE MAMLAKA YAKUUHOJI isbabu tu Muendelee kutudhulumu na Kutuua. Yaani hawa watu wana roho mbaya hata Nguruwe wanaafadhali 😂. HII NCHI ( ZANZIBAR ) LAZIMA MTAITAAPIKA . Wizi
Kila jambo lina mwanzo na mwisho litaisha tu hili In Shaa Allah Na Wazanzibar tutakua huru na nchi yetu #ALLAHANATOSHA
Mungu atusaidie Wazanzibari wote 🙏🙏
Sijui Kwanini Tanganyika inain'gan'gania Zanzibar , iacheni ipumue wazanzibari hawataki muungano washachoka ,
Maamuzi ya mahakama ya jumuiya ya (EA)yaliofikiwa kutokana na msukumo wa mapingamizi ya wakili wa serikali yamefanya KUMPIGA CHURA TEKE hadi kufika (UN) Hongera Adi na wenzio 39 pamoja na Wazanzibar wote wanaotaka kuona haki inasimama na InshaAllah haki tutaipata sio mbali tena🙏🏽🤝💪🏽
HATUITAJI MUUNGANO NA WATANGANYIKA UKWELI HUU NA HAWAJUWI NNI MAANA YA MUUGANO WAZANZIBARI INSHAALLAH TUNAAKILI NA NDIO TLIOWAPIGA TOCHI WAO WAANKE LAKINI BADO UNYANI ULE ULE WANAO NA APEDONYA NARADHI YAO 🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱🇹🇿👹😇🇮🇱
Tunataka mamlaka kamili zanzibar tunataka Mashekhe wetu ipo siku tutapata uhuru wetu mkoloni mtanganyika ataondoka zanzibar ilikuepo huru kabla kungana na mungano wa mktaba tena kwa maneno sio kwa mandishi hakuna mandishi hakuna uhalali zaidi ccm kupeana wao uhalali
Ila wakoshapata uhuru wao bado wataanza kujikanyaga wao kwa wao kutakuwa na mgawanyiko tena
Hawa siwakutusaidia jamnii sisi wananchi tuikomboee nchi yetu sisi wenyewe kwa lolote lilee
Mahakama ni sawa na wale wale minyangau hawezi kabisa kuamua Muungano uvunjike kwa sababu wana maslahi nao hakuna nyaraka hata moja musitudanganye sisi sio watoto wadogo
BORA UVUNJIKE MUUNGANO MAANA HAUNA FAIDA KWA PANDE ZOTE TUNAONGEZA GHARAMA ZA UENDESHAJI WA SERIKALI
Wao "Sisi Wazanzibari " hatujapewa mamlaka ya Kuhoji uhalali wa Nchi huru 😂😂 , so Ninyinyi pekee WATANGANYIKA NDO WENYE MAMLAKA YAKUUHOJI isbabu tu Muendelee kutudhulumu na Kutuua. Yaani hawa watu wana roho mbaya hata Nguruwe wanaafadhali 😂. HII NCHI ( ZANZIBAR ) LAZIMA MTAITAAPIKA . Wizi
Hapo chacha
WAONGO HAWA WAPUMBAVU WA BARAZA LA AFRICA WAPO UPANDE WA TANGAYIKA TU UPUMBAVU NA UWONGO WAO 🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇😇🇹🇿🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇👹😇🇹🇿😇🇹🇿
Tena hatutak haswaa
Muungano Kila mmoja
Awe na lake
Ipo siku usipo ipata haki kwaamani.bc utaitafuta kwashari.na wazanzibar tutaitafuta kwashari..kwaza tumeshaaza kuzoea kuliwa nawatanganyika.
Miss coast usjali hamutolala njaa na wala hautovunjika lakini mfano ikatokezea kuvunjika bc hamutolala njaa lakini chamoto mtakiona tu
Na uvunjwe tuone tulale njaa aaagh🤬
Hawa jamaa 😡😡😡