Utayapenda mafundisho mazito ya Askofu Mkuu Ruwaichi/Misa ya Upadrisho Mashemasi 09 - Dar es Salaam
Вставка
- Опубліковано 5 лип 2024
- Radio Maria Tanzania
S.L.P 34573,
Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
Barua pepe: info.tan@radiomaria.org
Wavuti: www.radiomaria.co.tz
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: Radio Maria Tanzania
Facebook Link: / radiomaria.tanzania
Instagram: Radio Maria Tanzania
Instagram Link: / radiomariatanzania
Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako. - Розваги
Nilikuwepo Msimbazi Centre Kwenye Adhimisho la Daraja Takatifu la Upadrisho Kwa Hawa Mapadre. Mmoja wapo wa Shirika la Mt Joseph Benedict Cottolengo Padre Bernardo Msuya Nilisoma nae Minaki High School. Hongereni sana Mapadre wetu. Mungu awalinde na siku zote katika utume wenu!
Hakika, wewe ni zawadi ya Mungu kwa taifa letu. Mungu akupe afya njema na baraka zake katika kutimiza wajibu wa ukuhani aliokupa.
Asante baba askofu, nakoshwa na mafundisho yako tangu ukiwa Dodoma. Nimekupenda, unafanya kazi ya utume kwa mstari mnyofu.
Asante Mungu kwa kutupatia Mapadre tisa.
Mungu awatie nguvu na awatangulie ktk safari ya wito wa Mungu wa kuwatumikia waamini wake
Asante Mungu wangu.
Mungu awasimamie
Anafundisha vizuri sana