Askofu na Shehe katika ukumbi wa mjadala. Mada: Nani baba ya Maryam mamake Yesu?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 239

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 3 роки тому +3

    Kumfundisha mkiristo mpaka aelewe neno la mwenyezi Mungu ni ngumu sana sifahamu wamepewa nini hawa watu kwanini hawataki ukweli ila masheikhe zetu mnafanya kazi kubwa sana mwenyezi Mungu awape maisha marefu inshaallah

  • @hatbadman2235
    @hatbadman2235 3 роки тому +16

    Bishop Allah akuongoze katika Uislamu.

    • @kenyan9739
      @kenyan9739 3 роки тому

      😂😂kenya haiwezi kuwa ya muslims

  • @hamadamabali2895
    @hamadamabali2895 3 роки тому +4

    Bishop Stephen Allah akuongoze katika haki.

  • @muhammedjuma2810
    @muhammedjuma2810 3 роки тому +1

    Yani askof mungu akubariki yani umeanza na kuamasisha amani mungu akupe nuru

  • @shakilamusa2907
    @shakilamusa2907 3 роки тому +1

    Mashallah najivunia kuwa mwislamu na Allah atupe mwisho mwema

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 3 роки тому +4

    ALLAH AKBAR NAJIVUNIA SANA KUWA MUISLAM.NA UNIFISHE NIKIWA MUISLAM.AMIN

  • @abkmavoko
    @abkmavoko 3 роки тому +1

    Allahuma zidna ilman warzukna fahaman....Allah amuongoze amepotea kwa kufahamu

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 роки тому +4

    Masha Allah
    Subhanallah
    AllahuAkbar
    Lailaha Ilallahu Wahdahu Lasharikalah Lahulmulku Wala Hulhamdu Wahuwa Alakulisheiin Qadir wa Anna Mohammadan Rasulullahi Swallallahu Alaiyhi Wasallim Wabarik Alaiyhi.
    Shukran Jazakallahu kheir

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 3 роки тому +7

    Waleikumussalam warahmatullah Wabarakatuh. Ma Sha Allah...Sheikh Yusuf Allah Akupe Umri Mrefu na Elimu yenye Manufaa.

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 3 роки тому +2

    Maashalah Allah awaongoze.mashekhe.wetu hakika miaka michache ijayo tutaona maajabu ya mungu inshaalah kwa walioamini wataingia kwenye din ya Allah

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 3 роки тому +1

    MASHALLAH....KAzi safi mashekhe wetu JAZZAHKALLAH

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 3 роки тому

    Yesu hakuumwa na alizaliwa mmmh maajabu ....wew Askofu unatudanganya bana

  • @khadijadungita-lf6ck
    @khadijadungita-lf6ck Рік тому

    This are the Muslim we want in k Enya ALLAH bless you

  • @raziasultanrazia9121
    @raziasultanrazia9121 2 роки тому

    Mashallh sheiks good job

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 2 роки тому

    Askofu niatari Mungu azidi kuku funulia Askofu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 3 роки тому +1

    Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh shukran walim mumuelewesha askof

  • @barutwanayohussein7776
    @barutwanayohussein7776 3 роки тому

    Masha Allah, masha Allah, masha Allah. Tabaraka LLAH . Hongereni sana Masheikh wetu. Wa jazakakumaa Llahi khayra.

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 3 роки тому +1

    Asalam Alaykum!! HONGERA MASHEKH WETU! MNGENI ajitayarishi kuingia kwa DINI YA HAKI! Hayuko
    Mbali !

  • @dasaleh.c3089
    @dasaleh.c3089 3 роки тому +21

    Wazungu wanakiita kitabu takatifu cha Qur’an: the talking Book! Alhamdullilah i am a muslim

    • @apolloorao4110
      @apolloorao4110 3 роки тому

      Wasungu hawakuanzisha ukristo .... Kabla mzungu kupata ukristo Sisi wafrica tulikua na ukristo kupitia misri , Ethiopia na Sudan

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 3 роки тому +5

    Asalam Alaykum! Tuko TAYARI kumpokea kwa DINI YA HAKI AMIN AMIN, ALLAH awazidishie UJASIRI MASHEKHE WETU Amin Amin

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 роки тому

      Asalam alleykum. Mimi namuombea kama Leo huyu pamoja na Gerishon Odare

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni Рік тому

    Assallam Allaikum warahmatuAllahi wabarakatuhu ama kweli Allah humuongoza amtakae

  • @kaisalawrence6748
    @kaisalawrence6748 3 роки тому

    Mwenyezi mungu, akiamua kukutumia ataangalia kilichokuwa kabla ya wewe kua, Bali atakuangalia wewe, mfano alipo mtumia nyangumi kumbeba Yona, hakuangalia history ya yangumi huyo, Bali malengo yake yatimie, angeli ichunguza history ya samaki huyo, sijui kama angemtumia

  • @cosmasmawala7400
    @cosmasmawala7400 3 роки тому

    Ustahadh umeeleweka saf sana

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 3 роки тому +1

    Masha Allah masheikhe wetu Allah awahifadh Bishop Allah atamuongoza tu Inshaallah

  • @yusufbakari3130
    @yusufbakari3130 3 роки тому

    Mungu awajaze kila la kheri kwa kazi munayo ifanya

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 роки тому

    Mashaallah mashaallah masheikh wetu mungu awajalie heri nyingi

  • @Rams660
    @Rams660 3 роки тому

    Allah awazidishie mashekhe INSHAANLLAH

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 3 роки тому +3

    Ustadh Ramadhani Allah akujalie nataka San

  • @abuuhhashim
    @abuuhhashim Рік тому

    Assalaam alaykum warahmat Allah wabarakaath. Huyu. Allah amuongoze. Nimzito

  • @abdur-rahmanmuhammad8531
    @abdur-rahmanmuhammad8531 3 роки тому +2

    Wa-alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh
    Alhamdulillah
    Bishop amekumbali kuwa ajui babake Maryam , namuomba Allah amuogoze asilimu

  • @nurki001
    @nurki001 2 роки тому +1

    Bishop wallahi umechanganyikiwa kabisa

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf8283 3 роки тому +4

    Haki pastor pole sana juu hata uelewi unalozungumza...mimi nitauliza swali moja Mary na jesus ni majina yakizungu je mungu aliwaita Mary na jesus kwa jina gani? No mbona kwa bibilia waitwe Mary or jesus....Quran ni Allah mwenyewe amesimulia na beautiful yeye ndie mjuzi so imran na amran sioni tofauti....me naona pastor ameishiwa ni asilimu tu juu sasa maswali anauliza hayamake Sence samahani kaa nimeongea makosa.

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 роки тому

    Masheikh,Allah awape subra,yahitaji moyo sana hao kujadili nao

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 роки тому

    Mwenyekiti ungemwachia sheikh Yusuf.

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 2 роки тому

    Amen 🙏

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 роки тому

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @salehrasta9165
    @salehrasta9165 3 роки тому +1

    I am proud 2be muslim Al hamdullillah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 роки тому +18

    Kweli dini yetu ya kiislam hitabaki kua juu!

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 роки тому

      YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwengu wote na ni BWANA na mwokozi Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa tubu kabla haujachelewa Mpokee YESU KRISTO

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@marianachriss2444 yesu apokelewe kutokea wapi wewe kafiri?
      Stuka mapema

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 роки тому

      @@milomohamed7201 Kuna siku inakuja utashuhudia wale makafiri wanaingia mbinguni na wale wasio makafiri wanaingia jehanamu tubu kabla haujachelewa, Mungu adhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho atakacho kivuna

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому +1

      @@marianachriss2444 sidhani kama kuna mkristobambae ataingia peponi labda mbadilike kuanzia sasa.
      Ukristo ni ukafiri mkubwa

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 3 роки тому

    Mashaallah eee Mollah nashukuru kuzaliwa ktk uislam

  • @mwanamlishoalimohamed1179
    @mwanamlishoalimohamed1179 3 роки тому +2

    Wlkm slm..mash Allah shekh ramadhani na shekh Yusuf

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 роки тому

    Walkm salmu.nafurahu kuzaliwa musalmu.

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 роки тому +1

    Bin Kaguo, huyu mzee sio mbaya japo yuwathefuta contradictions kwa Al-Dhiqri, lakini ni Kwa kuwa yuwasimama kidete katika Imani yake kwa kuwa ndio aliyojengwa nayo. Pia Ni Kishipa(mshindani) Sana japo hajui alitetealo silo, na Bi'idhniy-llah siku Atakuja kuwa Muislam atakuwa Mshindani Zaidi, na ndivyo atakavyo kuwa Kiungo muhimu kupambana na wengine INSHAA ALLAH.

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 3 роки тому +4

    Asalam alaikum masha Allah sheikh Yusuf kwa hekma ulionayo

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 роки тому

    Mashekhe mnafanya kazi vizuri

  • @abkmavoko
    @abkmavoko 3 роки тому

    Huyo ajaamini mungu yuko mmoja anamshirika na mtu yoyote..

  • @SsAa-by2ty
    @SsAa-by2ty 3 роки тому +1

    Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 роки тому

    Sasa Bishop unaamini mungu ama unaamini wazungu wakristo mnapoteza poleni

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 роки тому

    Mchungaji bravo..hivohivoo tafuta mistake mwisho utauona ukweli na utaslimu kwa uwezo wa Allah

  • @rachelevarist70
    @rachelevarist70 3 роки тому

    Kuria nakukubali sana

  • @jafarisaidi9528
    @jafarisaidi9528 3 роки тому

    Nimefaidika sana Allah awape nuru

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 3 роки тому

    Naomba mumuite Apostle Gwajima from Tazania,ajibu hio mada ya Leo.

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  3 роки тому

      Tukimpata pia tutamuita

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@StraightPathDawah gwajima ni bure kabisa mfufua watu lkn kashindwa kumfufua dikteta magufuli

  • @aminaabu4482
    @aminaabu4482 3 роки тому +4

    MashaAllah sherkh Yusuf kwa majibu yako mazuri

    • @wiliamramadhan6274
      @wiliamramadhan6274 3 роки тому

      Nyie bishaneni tu maana nyakati zamwisho

    • @nooor1120
      @nooor1120 3 роки тому

      @@wiliamramadhan6274 nyakati za mwisho zifanyie kazi uwe na hakika unaabudu nini kaka yangu

    • @augustinoedson1068
      @augustinoedson1068 3 роки тому

      Na mbinguni ni muhimu kupambania ,usitende dhambi. bila kuokoka na kumrudia Yesu kristo utatupwa motoni siku ile

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 роки тому

      @@augustinoedson1068 kuokoka ni tusubiri hadi mwisho. Sio Leo duniani .....Kuna tofauti ya kuokoka na kuongoka!!!!! JIFUNZE KISWAHILI

  • @abdallahtsuma5610
    @abdallahtsuma5610 3 роки тому

    Dooooh hapa kazi ipo wallahi

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 3 роки тому

    Masha allah hapo walim nindugu

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 роки тому +2

    Bishop vazi ulilovaa ni la shetani

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 3 роки тому

    Masha Allah

  • @seiphyahya5353
    @seiphyahya5353 Рік тому

    Asalaam aleikum warahmatullahi taala wabarakatuh. Hiyo BIBLIA inayotumika kwenye mdaharo wenu ni ile ya zamani kabla ya kuchakachuriwa ? Shukran.

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 2 роки тому

    Shk Ramadhan na Shk Yussuf.Huyu Askofu yuko kariiibu kuingia katika Dini yetu.Muelewesheni taratibu

  • @leroilwaularoyalnetwork653
    @leroilwaularoyalnetwork653 3 роки тому

    Bishop asante sana. Uislamu ni uongo.
    Islam is fake réligion.

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 роки тому

    Bishop jamani yani aleweki allah amuongoze

  • @kayochiyogolo2353
    @kayochiyogolo2353 3 роки тому

    Allah amnusuru askofu aje kwenye din ya haki

  • @shushu8105
    @shushu8105 3 роки тому +1

    Kitabu cha qouran hakina shaka yoyote

  • @mwanapilikaiama4013
    @mwanapilikaiama4013 3 роки тому

    I am pround to become a muslim

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 6 місяців тому

    Asalamu aleykum. Wakiristo waha jui chachote. Kama. Wazungu. Wage Sema maryamu. Pia. Mtoto wa mungu wange kubali pia kuwa sababu hawana. Background or history from beginning .

  • @saidmwatenguri4951
    @saidmwatenguri4951 3 роки тому +2

    Nimeona pastor hajielewi coz tayari kama kuna majina yalitengenezwa yeye atajuwaje majina.na ndio maana ALLAH akaleta qur'an ili ifafanue yaliyo haribiwa katika vitabu vya ALLAH vya zamani huko

    • @Sandra39823
      @Sandra39823 3 роки тому +3

      Lakini nimependa utulivu wake, huyu mchugaji atakuja kuwa muislamu, ukiona mtu asiyekuwa muislamu akifwatilia uislamu, ni raisi sana kusilimu, nilikuwa kama yeye kuchunguza uislamu sana, mwishowe niliona ukweli na nikasilimu, nimependa sana tabia yake, sio kama wengine visokorokwinyo, i love my religion Islam.

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 3 роки тому +4

    Ila bishop.ata km umevaa mavazi ya imani yako ila kiukweli mavazi yako yanatisha.minguo.miekundu na meusi na limsalaba juu

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 3 роки тому +2

    ukigugo inasema Nabii Mussa (pamoja na watu wa wakati wake Amram,Arun na dada yao Miriam) walikuwepo miaka 1500 kabla ya Mariam mama yake jesus kwa hiyo Amram hawezi kuwa baba wa Mariam, Imran alikuwepo wakati wa Mariam kama baba kwa hiyo Amram siyo Imran na majina kufanana ni jambo lipo

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 3 роки тому

    Mwenyekiti usiangalie huyo Mzee namna hio unamtishia hahaaa hajua anachoongea .

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 3 роки тому

    Huyu Mzee anatafuta haki asilimu...

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 роки тому +2

    We bishop bibilia si kitabu cha kuamini amini quran ili upate kwenda peponi

  • @ramsoadam2256
    @ramsoadam2256 3 роки тому

    Hii mada tamu Sana sema tu tatizo pastor wetu ndo hajitambui

  • @nenoninuruyauzimatv.6257
    @nenoninuruyauzimatv.6257 Рік тому

    Mwenye kiti alimunea Mgeni wao. Kwakuwa one in two

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 3 роки тому

    Mwisho wa siku mtakuwa na kiasila cha kikugumizi maana mtaanza kupaniki kila mtu awe na imani yake kama makabila yalivyo

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Рік тому

    Hawa imran ni wawili Imran wa maryam na Imran wa Mussa ❤😂

  • @rizikiyahya9565
    @rizikiyahya9565 3 роки тому +3

    Naona bishop hajaelewa kua kuna imrani wawili na sio mmoja .imrani baba wa mariam na imrani baba wa musa na haruni hapo Ndio hajaelewa

    • @saidiissa4673
      @saidiissa4673 3 роки тому

      Kweli kuna baba wa musa na kuna baba wa mariamu. Watu wawili tofauti na wa zama tofauti

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 3 роки тому

    Wew huyu Mzee anazumgumzia miryam ama Maryam

  • @dennismasega4562
    @dennismasega4562 2 роки тому

    Mwenyekiti peana mic haraka kwa muislam mwezako na usiiaribu kuuliza swali ila tu warekebishe ukimalizia mjadala

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 роки тому +1

    Bishop unatatalika km bis iliokosa mafuta

  • @kakasteve7117
    @kakasteve7117 3 роки тому

    Bishop yuko sahihi sana. Kawamaana ameonesha kwamba Biblia ni kuu kuliko quran.

  • @omaar5693
    @omaar5693 3 роки тому

    18:04 😂😂😂 safi sana

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 роки тому

    bishop mkaidi hlf mbabaifu akioneshwa haki hataki tunamuombea dua kwa Allah ampe wepesi akiiona hali aifuate.

  • @omaar5693
    @omaar5693 3 роки тому +5

    Bishop anajiingiza kwenye 18
    Akiona majina kila mtu na lake,, kwanini harun babake imran na maryam babake imran,,,,
    Ila anajitahid

  • @abdinasirmohamed2238
    @abdinasirmohamed2238 3 роки тому +2

    The bible has lost in translations from the get go. Sana sana kwa majina.
    Hilo ndo linawachaganya wakiristo wengi sikuhizi.

    • @apolloorao4110
      @apolloorao4110 3 роки тому

      Read the Bible ... How comes Koran knows the Bible? You are confusing the father of Mary mother Christ with Moses father.

    • @abdinasirmohamed2238
      @abdinasirmohamed2238 3 роки тому

      @@apolloorao4110 there is no where in the entire Quran that it has mentioned anything called bible.
      Quran talks about injiil/injeel which is the name of the original book revealed on Jesus not this fabricated and manipulated book from its name to its verses.
      And this is something that every knowledgeable Christian knows.
      All Christian scholars from the past to the present will agree on this. Only deluded conmen will believe otherwise

    • @apolloorao4110
      @apolloorao4110 3 роки тому

      Show me the original injil if you have .

    • @abdinasirmohamed2238
      @abdinasirmohamed2238 3 роки тому

      @@apolloorao4110 as far as we know, the original book revealed to Jesus is non-existent today.
      The oldest fabricated bible book as of today is called; Codex Sinaiticus/Sinai bible which is handwritten scripts in Greek that dates back 4 centuries after jesus! While the original book of jesus was actually in aramaic and not Greek.
      That alone plus the name bible which means a collection of books tells you clearly that this is a diverted and fabricated book authored by the likes of Paul who never met jesus in their life. A self proclaimed prophets who were devils on earth.
      Neither bible nor christianity ever existed during jesus.

  • @antonykhamati6387
    @antonykhamati6387 Рік тому +2

    Huyu askofu masomo yake ni ya kununua makaratasi, haelewi vitu simple. Kusema tu hijaandikwa na atulie ni ngumu kwake!

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 роки тому

    Kwann aelewi kua ao watu wawili tofaut

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 3 роки тому +4

    Haya we padri unamini kama kitabu chenu kimeandikwa na watu na kwa nini wametowa majina wakandika wanoyataka wenyewe tutajie majina ambayo yalofutwa

    • @shindeznur7290
      @shindeznur7290 3 роки тому

      Mashaa Allah sheikh wetu Allah awahafidhi

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 3 роки тому +1

    Mzee anakwepa kwepa Tu sasa kama bibilia hakuna mahali imepinga kama Maryamu ni mwana wa Imran sasa utasema Quran inadanganya....wew bishop unatupoteza alafu unapoteza wakristo wenzio

  • @halimawasafi3511
    @halimawasafi3511 3 роки тому +1

    Ni wa bishi wakristo kitu kinaeleweka naanabisha kubali t ushike udhu uswali wacha kubisha bwana shop mmmm limekuganda 😪😪😆😆😆

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 роки тому

    🤣🤣😅😅hapo kwa sauti sasa tafati

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 3 роки тому +2

    Ha.ha.haaaaa Bibilia Shkamoo NA nusu

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 3 роки тому +1

    Huyu mzee anarpoka tu.Hajuilolote.

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 роки тому +1

    Bishop usikwepe kwepe hapo kwa majina zaidi 3500 yaliotengenezwa😃😃😃.sisi sio hatujui babake merry ila haikuandikwa kwa biblia.huyu ndio kiongozi wa wakristo hamjui babu yake mungu wao

  • @abdiqafarkula6453
    @abdiqafarkula6453 3 роки тому

    Paster us under confused

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 3 роки тому

    🤔Wenye chuki dhidi ya mwanaadamu kwasababu ya imani bado hawajamfahamu M-Mungu.

  • @muragurisammy3730
    @muragurisammy3730 3 роки тому

    Ni askofu wa nani, Ni bibilia gani hiyo anasoma, atawapotosha waislamu nawachristo wengine

  • @Sal.0
    @Sal.0 3 роки тому +2

    The best and 'an immediate money spinning' business to start today with ZERO upfront capital, is a CHURCH!
    And Steven has hit the JACKPOT by starting a 'church', which will rake in millions almost immediately!
    As we all know, Kikuyus worship money, therefore is ZERO chance that 'Askofu Steven' will abondon christianity and the money spinner he calls a 'kanisa'!

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 2 роки тому

    Shee Maneno mengi uli kwepa kujibu swali Maneno mengi

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 3 роки тому

    Ati Siri ya mama aijuaye??????wew kwaiyo wataka kusema Maryamu anasiri anajua babake Yesu.....

  • @omaar5693
    @omaar5693 3 роки тому +1

    40:21 toba

  • @adammakame2154
    @adammakame2154 3 роки тому +1

    Duu kumbe yupo msktn Hakika washirkna ninajis wasiikaribie msktniiiiiiiiiiiiiiiiiiii