Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Hongeran Kwa camera mnayo tumia Kwa sasa 👌🏾📸 kaz zenu zinaonekana vizuri.
Huyu malengo ni level zingine why asifanye movie za serious
Kazi nzuri mizengwe inafundisha
Ukiwa na shida utajua marafiki zako wa kwel MANENO umeyasikia hayo mzee balaa sana UMESIKIA MANENO HAYO ameuliza
Mizengwe mpo safi sana mnaelimisha Jamii
🤣 🤣 🤣 Wambie Wambie mikucha kama mtoto wa sanamu mzee sumaku mineno hiyo
Mmetisha nawapenda sana
Kazi iendelee kash kash
Camera good sound good hamchanganyi sauti na muziki Safi sana watu wajifunze siyo una changanya sauti hatusikii maneno
Nimeipenda sana kazi yenu hii ndiyo sanaaa ya kufundisha jamii.
Huwa napenda mkwele anavyolia 😂😂😂😂😂Fungua macho ona mbele
Mko Vizuri sana,kazi zenu nzuri sana na zina mafunzo.
Somo zuri sanaa.
Nina miaka 9 nawafatilia mko vizur sana
comedy bora eastafrica 🇹🇿🔥
Haishindi vioja mahakamani
🤣 🤣 Eti pili pili huwezi kufata mlandizi
Mumeo labda achongwe kwa seremala 😂😂😂
That walk though 😆😆😆😆😆😆
🤣 🤣 Paka Hali kashata
Hahaha sisi wa Congo hatutembeye hivo Maringo anavo tembeya munatuonea🇨🇩
Maringo saba bhana
🤣 Mkwere hapo ngerengere au maringo acha umbea
Hahahahaha sumaku ana maneno ya kuchekesha
Nzur san
Hukumu ya hivo haitakaa itokee hapa duniani ujengewe nyumba mikocheni
Safina kalowa mtoto WA kihehe
Hahahahhahhah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daa jamani wanawake wengine sio wakuoa aisee ndiomana sioi
😘😘😘😘
Mkwele umekosea jambo 1 usingemuacha sababu ulivokua Na shida ulikaa ukweni usisahau fadhila pamoja Na mitihani yote
🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Njoo vile
Mbona nimesuscribe ,lakini sipati notification, inakuwaje.
Umebonyeza alama ya kengele
@@mrfix6596 ndio na inaonesha kuwa imekubali. mimi ni mpenzi sana wa comedy yenu, nilisikitika sana kwa kuondokewa na mzee matata ,poleni sana.
Hahaha
😂😂😂😂😂😏
🤣🤣🤣
Mnarudia kazi hiyohiyo,Mara mbil hamna kazi nyingne?
Tumerudia kazi ipi mara mbili Kipera? hatujawahi kurudia tupo makini na kazi zetu. ahsante kwa kutuunga mkono.
Hongeran Kwa camera mnayo tumia Kwa sasa 👌🏾📸 kaz zenu zinaonekana vizuri.
Huyu malengo ni level zingine why asifanye movie za serious
Kazi nzuri mizengwe inafundisha
Ukiwa na shida utajua marafiki zako wa kwel MANENO umeyasikia hayo mzee balaa sana UMESIKIA MANENO HAYO ameuliza
Mizengwe mpo safi sana mnaelimisha Jamii
🤣 🤣 🤣 Wambie Wambie mikucha kama mtoto wa sanamu mzee sumaku mineno hiyo
Mmetisha nawapenda sana
Kazi iendelee kash kash
Camera good sound good hamchanganyi sauti na muziki Safi sana watu wajifunze siyo una changanya sauti hatusikii maneno
Nimeipenda sana kazi yenu hii ndiyo sanaaa ya kufundisha jamii.
Huwa napenda mkwele anavyolia 😂😂😂😂😂Fungua macho ona mbele
Mko Vizuri sana,kazi zenu nzuri sana na zina mafunzo.
Somo zuri sanaa.
Nina miaka 9 nawafatilia mko vizur sana
comedy bora
eastafrica 🇹🇿🔥
Haishindi vioja mahakamani
🤣 🤣 Eti pili pili huwezi kufata mlandizi
Mumeo labda achongwe kwa seremala 😂😂😂
That walk though 😆😆😆😆😆😆
🤣 🤣 Paka Hali kashata
Hahaha sisi wa Congo hatutembeye hivo Maringo anavo tembeya munatuonea🇨🇩
Maringo saba bhana
🤣 Mkwere hapo ngerengere au maringo acha umbea
Hahahahaha sumaku ana maneno ya kuchekesha
Nzur san
Hukumu ya hivo haitakaa itokee hapa duniani ujengewe nyumba mikocheni
Safina kalowa mtoto WA kihehe
Hahahahhahhah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daa jamani wanawake wengine sio wakuoa aisee ndiomana sioi
😘😘😘😘
Mkwele umekosea jambo 1 usingemuacha sababu ulivokua Na shida ulikaa ukweni usisahau fadhila pamoja Na mitihani yote
🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Njoo vile
Mbona nimesuscribe ,lakini sipati notification, inakuwaje.
Umebonyeza alama ya kengele
@@mrfix6596 ndio na inaonesha kuwa imekubali. mimi ni mpenzi sana wa comedy yenu, nilisikitika sana kwa kuondokewa na mzee matata ,poleni sana.
Hahaha
😂😂😂😂😂😏
🤣🤣🤣
Mnarudia kazi hiyohiyo,Mara mbil hamna kazi nyingne?
Tumerudia kazi ipi mara mbili Kipera? hatujawahi kurudia tupo makini na kazi zetu. ahsante kwa kutuunga mkono.
Nina miaka 9 nawafatilia mko vizur sana