Ujumbe wa leo umeonesha uhalisia wa mambo ambayo sisi wanaume tunayokumbana nayo tunapokuwa katika majukumu ya kifamilia pamona ujenzi...napenda kushauri kusoma alama za nyakati kwa ndugu zetu muda mwingine mtupe muda kidogo kwa ajili ya kuvuka kikwazo kilichokuwa mbele yetu
Hii CREW mko vizur sana🔥🔥🔥
Baba mkwe changamoto sana
Mkwele we kiboko kuigiza unaweza
Kwani huyu Maringo,,,ndio mshauri wa kikundi🤣🤣🤣 maan kila siku yeye ndio anatoa soln
Bwege kweli huyo jamaa!
Kweli pengo la mzee matata linaonekana hapo baba alitakiwa mzee matata
TUNZO MUNAWAPA
Daah wazazi wengine mtihani tu hata huruma hawana.
Mmetisha Sana,,Bora kang'oa mti wa maembe,,hapo mkwere hela utaiona Sasa, baba mkwe kageuka kajimti kamaembe
Baba mkwe noumaaaaah
Nitakua napokea ndogondogo maana hizi nyekundu ndio zinazoleta maneno
Baba mkwe kwa kupora hatari.
Tanzania mko juu.lakini hii team kiboko
Mafundisho tele.shukran
Dada kabonga vzr sana, kwmb fundi anajibana bana anajenga kwake pia
Nzuri na mafunzo mazito, kazi safi.
Shukran ITV
SIJAZKWA NA WEWE BORA NIENDE MOTONI....😀😃😄😁😁😁😆😆😅😅😅😂😂🤣
wametisha hongera
Ujumbe wa leo umeonesha uhalisia wa mambo ambayo sisi wanaume tunayokumbana nayo tunapokuwa katika majukumu ya kifamilia pamona ujenzi...napenda kushauri kusoma alama za nyakati kwa ndugu zetu muda mwingine mtupe muda kidogo kwa ajili ya kuvuka kikwazo kilichokuwa mbele yetu