PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 чер 2023
  • PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...
    CREDIT: VIDEO HII INAKUJIA KWA HISANI YA 'KLNT Online TV'
    Mwanasheria nguli wa Kenya, Profesa Patrick Lumumba amehutubia vijana wa Kitanzania ambapo ameeleza mambo mengi...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 91

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +3

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @georgekitosi1514
    @georgekitosi1514 11 місяців тому +8

    Asante kwa kuienzi lugha safi ya kiswahili inayojitosheleza bila kuchanganya kizungu.

  • @nafutarymajogoro30
    @nafutarymajogoro30 Рік тому +11

    Professor huyu huw namkubali sana kwa speech zake

  • @lulochristv
    @lulochristv 11 місяців тому +6

    I really admire the way he is delivering his messages when he takes the podium,. The way he is organizing all his speeches, I admire and deeply love this man, well knowledgeable in both theological ideologies, social, economics, historical and political things.🙌🏾.
    👏🏾.
    .
    .
    May the Lord keep him for us, Africans.

  • @patrickbatenga2645
    @patrickbatenga2645 Рік тому +12

    Asante Sana Professor, umeongea Kiswahili kizuri Sana kuliko waswahili

  • @chrispuspaul5682
    @chrispuspaul5682 Рік тому +9

    professor is eloquent in both english and swahili. wakenya hua hatumpi heshma anazo stahiki

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 місяців тому

    Professor Lumumba ni Zaidi ya wengine Nakukubali zaidi ya Zaidi wewe ni Bora Bora Bora mno wewe ni Mhimili wa Africa..watakaoshindwa kukuelewa tuwazike hawana Faida hata tukiishi nao hawatafaa kwa lolote...❤❤❤

  • @amosbusingyewarugaba2550
    @amosbusingyewarugaba2550 11 місяців тому +1

    Profesa huyu ananivutia kila mala ninapomsikiliza...Mungu ampe maisha marefu

  • @kheriabdu7763
    @kheriabdu7763 11 місяців тому +5

    We need him to be president of Zanzibar

  • @t.kolwali1807
    @t.kolwali1807 11 місяців тому

    Waaa! PLO umegonga ndipo. Umezungumza Kiwahili safi sana kweli. Sisi wakenya tunakupenda sana.

  • @kilinyonellious
    @kilinyonellious 9 місяців тому

    I really admire how Plo has content in his speech,,, congrats man of wisdom 💪

  • @isayarozeck7512
    @isayarozeck7512 Рік тому +3

    This is Real meaning Of Professor, More Appriciate PLO,

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Рік тому +2

    Mungu akupe umri mrefu Prof.Lumumba.

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 11 місяців тому

    Jambo mtumishi wa Mungu, nashukuru, kuona unaongeya kiswahili safi, maana kila nikikufatiliya, naona kingereza sana, uwe natuchangiya kiswahili kwa hutuba zote popote unapo hutubu, ili wa Africa wengi tuwe na changiya na wengine wana kiswahili. Asante

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati Рік тому +1

    Son of Africa - Proud and love your work PLO-Lumumba.

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840

    Ningependa sana awe anaongea kiswahili katika hotuba zake zote inapendeza sana ataeleweka zaidi

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 11 місяців тому +1

    Hongera sana profesa kwa speech inayoeleweka sana na elimu ya kutosha

  • @magidachimija5599
    @magidachimija5599 Рік тому +2

    Bora bandari tumpe huyu prof❤

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 Рік тому +1

    Atlist professor leo umeongea kiswahili nami nimekuelewa vzri

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge 11 місяців тому

    Proffessor wewe ni kichwa pia kwa Africa...Mungu akutunze.

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df Рік тому

    Mungu ibariki Afrika, pamoja na watu wake, wabarki wazalendo wetu wt waliothubutu kuipigania Afrika yao kwa moyo wa dhati kbs. Wasamehe pia madhambi ya wapumzike kwa amani. Tusamehe waafrika wt na kulifanya bara letu kua lenye nguvu na huru ktk imani na fikra.

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Рік тому +1

    Nice work,you are a real Professor🎉🎉🎉

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 Рік тому +1

    I do admire this professor 👏👏

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 11 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana

  • @jimbipeter4520
    @jimbipeter4520 Рік тому +3

    Ww ni magufuli mtupu🥰

  • @user-hp7vm9mv9x
    @user-hp7vm9mv9x 9 місяців тому

    Professor lumumba is an African hello.

  • @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks
    @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks 11 місяців тому

    Asante mwalimu nakutakiya maisha malefu

  • @efraimumwakibibi4303
    @efraimumwakibibi4303 11 місяців тому

    MUNGU akubariki limumba, MUNGU ibariki Tanzania

  • @bimulokagera622
    @bimulokagera622 Рік тому +3

    PLO huyu anatakiwa kupewa uraia wa Tanzania na tumjengee sanamu la kumbukumbu

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 11 місяців тому

    Mungu akubariki

  • @user-hf9lo2es3z
    @user-hf9lo2es3z 11 місяців тому

    Da kipawa Cha pekee ,barikiwa

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 Рік тому +2

    asanteni sana

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 11 місяців тому

    Nakupenda xan mkuu mambo yko ni mwanga

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 11 місяців тому

    PH. LUMUMBA 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Рік тому +2

    Ni kweli waasisi wa mwanzo wa nchi za Afrika walikuwa ni vijana wenye uazalendo, uaminifu na nidhamu

  • @lembrismoringelaizerlaizer8741
    @lembrismoringelaizerlaizer8741 11 місяців тому +1

    Be more blessed

  • @chivatsitsory3399
    @chivatsitsory3399 11 місяців тому

    Long live our African leader

  • @user-gq9tz5nw3v
    @user-gq9tz5nw3v 10 місяців тому

    Thank you for your intellectual

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 11 місяців тому

    Kiswahili saaaaaaafi sana ameongea prof utadhani ni mTZ duhh

  • @BASILHOTAY-dp1ss
    @BASILHOTAY-dp1ss 11 місяців тому +1

    Good speech

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira9350 11 місяців тому

    Huyu ni Prof kweli

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Рік тому +1

    Kuna kijana yupo hapo ameshiriki kuuza bandari ameingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi na sasa ni waziri.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 11 місяців тому

    Ishi miaka mingi mtu Wa Mungu.

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Рік тому +2

    Mungu mkuuu

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 11 місяців тому

    Tatizo viongo wa kiafrica hasa hawa wa Sasa wapo kimasrahi Yao na vizazi vyao tu,, ndo maana tunatoka kwenda ng'ambo ✋

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 Рік тому +2

    Yuko wapi natamani nikutane naye..anipe elimu kidogo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому +1

    Huyu ni professor wa ukweli😊

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 11 місяців тому

    Wewe mzee MUNGU akubaliki uwe na Maisha marefu

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira9350 11 місяців тому

    namkubali saan hyu Prof,nataman apew nafas kuelimisha vijana zaid kwan ni mtu makini saan na anaongea kiswahil sanifu zaid.ana madin saan ktk bongo yake

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Рік тому

  • @7675kio
    @7675kio 10 місяців тому

    Hotuba nzuri sana kwa kuisikiliza lakini ina mapungufu mengi kwenye utekelezaji. Kwa mfano, nani wa kulaumiwa kwa vijana wetu kukimbilia ulaya? Nani asiyependa maisha rahisi? Wanaolaumu vijana wameshindwa kutengeneza mazingira rafiki ambayo yatawawezesha vijana kujipatia mkate wao wa kila siku. Wengi wanawaambia vijana wajiajiri mbona wao hawajiajiri. Bahati nzuri nina uzoefu wa kuajiriwa na kjiajiri. Kujiajiri hasa kwenye kilimo sio rahisi kama wengo wanavyosema. Hata hivyo, mapungufu hayo hayaifanyi hutuba hiyo kuwa moja ya hotuba bora sana kutoka kwa mtu bora sana Afrika.

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840

    Mbona imeishia nusu bana dah GLOBAL TV vp tena

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Рік тому

    Lumumba ongelea mkataba wa bandari wa tanzania na dubai.

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Рік тому +2

    Kuna vijana wenye akili za wizi humo ndani naona hawamwelewi😆😆

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 7 місяців тому

    Natafuta videos zake za kiswahili.

  • @stephenkamau8051
    @stephenkamau8051 11 місяців тому +1

    Suprised he knows kiswahili🙆🏾‍♂

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 7 місяців тому

    Natafuta videos za Kuza za kiswahili

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 11 місяців тому

    😭😭😭😭😭😭daaaaaah

  • @jamesjahasa4726
    @jamesjahasa4726 Рік тому +1

    Hawa ndio ma professor waafrika walio Bora baba anaongea kiswahili huyu hachanganyi lugha ya kikoloni

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 Рік тому

    NaOmba kupata link ya hii ibada full

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 Рік тому

    Bado sisi utumwa unatung'ng'ania kwa mfano ukiangalia kama mama zetu wanakimbizana na kununua nywele ili tu wafanane na wazungu

  • @jahsuncamara-kb2ec
    @jahsuncamara-kb2ec 11 місяців тому

    Remember mooroko mole shhh secret squirrel 🐿️🐿️🐿️🐿️🐿️

  • @chombasimon
    @chombasimon 11 місяців тому

    Waobinafsisha bandari wanaelewa speech hii kweli?

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 Рік тому

    Phd

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Рік тому +1

    Anajitahd kuongea lugha mbili kww ufasaha kiswahili na English

  • @dicksonmmasy55
    @dicksonmmasy55 Рік тому +2

    Kuna watu tunatamana hata huyu professor aishi.mpaka siku Afrika imwelewe

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge 11 місяців тому

    Huyu ni mwafrica halisi

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 11 місяців тому

    kumbe unajua kiswahili barbara

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 11 місяців тому

    Huyu proffesor kiswahili ni hatari kiingereza ndio udiseme kabisaa

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Рік тому

    Mwalimu angeuchanachana kwa hoja mkataba wa dhalimu wa DPW 😢..

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому +2

    Ulaya hakuna maisha kwa mwafrika😅

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Рік тому

    Maprofesa wetu wanafanya utafiti wa watu wenye nguvu na kiume na kusaini mikataba ambayo hata mwanchi wa kawaida hawezi kusaini

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 Рік тому

    Huyu mzee anachokisema anajifungua upande huu na wakati huohuo anafunika upande wa pili,,tu anasema kuhusu cc vijana tumepunguza uzalendo,,noo,c kweli,,yeye aongee na siasa za Afrika na viongozi wetu na kasumba zao za ubinafc ndiO zinatufny vijana tuwe hivi,,vyama tawala vinaona wao ndio watawala milele ,,,Ihanda ni mfano hai, Rwanda pia,,mbona hazungumziagi hizi tawala zakiafrica?

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 11 місяців тому

    Uyu mtu ameongea kitu ambacho mwenye kusikiza inagonga kwa moyo

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 Рік тому

    Fuuuu

  • @African511
    @African511 Рік тому +1

    Huyu Prof nchini kwao wanamchukulia poa poa sana,lakini nje na nchi yake ni lulu kabisa sisi tunamuona.

  • @wilfredsamson6128
    @wilfredsamson6128 Рік тому +1

    Atakufa hana alichotusaidia zaid yakulipwa kwenye haya makongamano

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Рік тому +4

      Unataka akusaidie nini kukupa kazi au kukurahishia maisha yako?Yeye anakupa muongozo,na kukufungua akili.Mengine utafanya mwenyewe coz hata mabadiliko huanza na wewe mwenyewe.

    • @BASILHOTAY-dp1ss
      @BASILHOTAY-dp1ss 11 місяців тому

      Kwani Shida Iko wapi, ww unalipwa wap

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga 11 місяців тому

      @😀😀😀😀😀😀😀

    • @ufanisi901
      @ufanisi901 11 місяців тому

      Wilfred wewe ni shenzi sana. Akili yako iko wapi? Ubongo wako ni ubongolala!

  • @pastorwilsonchiusa2910
    @pastorwilsonchiusa2910 Рік тому +1

    MUNGU akubariki sana Professor hakika nimebarikiwa sana na mafundisho yako, Uko vizuri hata katika kufundisha Neno la MUNGU.
    Hakika wewe ni mwana Afrika mzarendo kweli kweli, na Kiswahili chako kimeokoka. Wewe ni zawadi ya Wana Afrika.

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga 11 місяців тому +1

      Yaaan kawapiga nainjili? Saaafi

    • @abrahamesibanze7394
      @abrahamesibanze7394 11 місяців тому

      Plo kiswahili unakielewa barabara si mjaluo wakawaida