Wanaume wenye huruka kama ya chiko mjifunze sana hapa ridhikeni na mlivonavyo tamaa ni mbaya mtakufa😂😂😂na nyinyi mnaoomba like sijui wa kwanza au wa mwisho mna shida gan ninyi mfyuuuu
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies BUSATI TV, nina Imani mpo salam,anae furahi jinsi Chiko ame ayibika kijijini, anipe like zangu, n, anae furahia jinsi mimba ya Kamkonde imekata kutoka hadi amzalie Ngonde anipe like zangu maan wamezidi ushirikina, Chiko toa Rushwa ila hutofanikiwa,ndug zangu nawatakieni Heri nyingi na Baraka n, Afya njema.
Chiko kishamramba anakalibia kua chiz maan mateso alopitia zatiti nayaona ni madg kuliko anayoyapata chiko kwa ss endeleeni kutupa raha wanabusat tv🎉🎉🎉
Mwenyekiti tamaa haifai unajisahau kwa ajili ya hongo pole yako baba mzee mkoloni huezi mdhibiti Mana ana msimami thabiti hongera mzee mkoloni hapo hapo
Candy jamani sometimes nakuchukia sometimes tena nakupenda mama ❤❤❤❤ yaani usha mpea kijajo jina ety kirikuu😂😂😂😂😂😂hapo sasa umenichangamsha na vile sania alikua anajifanya kua yy ndiye mama mshauri kimemramba na mganga wake 😂😂😂😂
Jaman kujiamini muhim wala kwa olilosema Mr Tasha usihofu mama n mkubali hta kuangusha,chiko garareee wewe ,n hii part y mjinga mwenzang sijapenda mwenzenu nilikua hta na hisi usingizi
Tatizo zatiti upore umezidi hii kitu angekutana na candi mbona Chiko angefrai asingesubiri wazazi wamfukuze Chiko angefukuzwa na mkewe,zatt anaongea kiupore xna ndio maana Chiko linajitanuwa tuu hapo ukweni
Baba Zatiti umenimaliza mm wallai umeshika mwenye kiti.hdi akaona km Dunia yke inapasuka 😃😃😃🤦Alf chiko amesema ety yy n babake Tasha au nimesikia Nini mm😮
Chiko kweli akili zimesafiri 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 sasa ndo unazidi kuliamsha kweli unapandisha tasha kufanya kitu chenye hakutaka afikie huko wacha tuone kama utawezana
sema kwa upande wa hao wapumbavu bora ingeonekana jasmin mwenyewe ingeonekana ndo kafa baada ya kutekwa na kilamba ameamua kuoa kwanamke mwingine ila huyu hawezi vaa viatu vya jasmin hata robo
Hta kama Niko upande wa chiko 😂😂😂 jamani nimeshindwa kumtetea kimeumana poor Tasha😂,,sasa hii miogo mpumbafu mwenzetu anasema ndio Gani hiyo otherwise nawashukuru kwa kazi nzuri ❤
Sania ukijifungua kitoto cha ajabu kirukuu ndo jna alolipenda BFF wko uniambie nije kulea pia mm nko na matatizo hope kirukuu atanisaidia matatizo yangu😂😂😂😂
Bonyeza link kujiunga Whatsapp Group 👇👇
chat.whatsapp.com/FO70mhi1wWF9xNBRUPBDT8
Jmn naomba namba ya Kai me najua kuigiza
🎉🎉
Nenda kwenye group utamkuta @@MarthaAlly-y7s
Chiko mpango wako utafeli kama tuko pamoja gonga like apa❤❤
Like
Kashaanza kua chiz
Muace acizii jamani 😂😂😂 uyo atakuja kurukaruka barabarani ako uci😂😂😂
Kamuweza kabisa
Sikubaliani😂😂
Jmn jmn nataman zatit awe na mimba ya Mr Tasha wanaotaman hvy gonga like ❤❤❤❤
sema huyo dogo kamuweza chiko kama umemkubal huyo dogo aliemfanya chiko aludi mwanzo ili asalimie kwanza gonga like
Nmependa sana ahahaha
Nimempendraa atariiii
Yaan amenitendea haki kweli
😂😂😂naye kamuweza kweli😊
Yaani nimeinjoi mpaka bx
Kwa hii harakati ya chiko ningependa xatiti awe ako na mimba,,,,,, maombi yangu tu🙏🙏🙏🙏
Hapo sawa
Kabisaa
Mpumbavu mwezangu bado haja uwezea jasmin origino kama umeliiona hilo gonga like
Bado
Mpunzisheni Dada wawa2
,👍🇧🇮🇧🇮
Yani mpumbavu mwenzio alienda wapi?sisi tunamtaka Jasmine original
Ni kweli hajapatia bado
Ila chiko kama mchawi jamn kama unakelwa na tabia za chiko 😅 gonga like tujuane
Me mpk simpend wallah
Simpendi mbwa huyu 😂😂
@@sevelinahinnocent6803 anakera sana
Tunaoomba cend adhulumiwe nyumba haraka gonga like h@pa tujuane 😂😂😂😂
Nyumba gani na kashauzaa😂😂😂😂😂😂😂
Mungu azidi kumbariki kila mtazamaji wa House Girl.
Ameen
Yaan busati hamjawahi kutuangusha kabisa saana ni saanane kwelii kwakweli mpewe maua yenuu tunaokubali wanabusati like hapa❤❤
jaman mr tash kamuweza chiko 😂😂mwenye anaamini mipango y chiko haitafanikiwa gongen like
Dada unajitahidi kuwa jasmine OG hongera sanaa kwa kazi mpumbavu wa kilamba🎉🎉
Kiukweli 😂😂😂😂😂😂😂😂nacheka chiko ameyatimba mbio sana kumbe yuaogopa acha nione candy na laana yake iliyo mpaka jaman naomba like zenu 🙆♂️🙆♂️😅😅
Duh kilamba napenda sana uigizaj wako
Mungu akutunze jmn
Kama unasubiri kendi aone moto niekee like tu 😂😂😂🤭Yani mie nasubiri tu majuto ya kendi mama yangu 🤦😂
Jaman weka makopa kopa❤❤❤❤❤ kwa tasha na zatiti
Alafu mwenye kiti atakuja umbuka vibaya xna mbele ya watu....chiko ataongea kuhusu pesa zke alivyo muhonga.....Aibu kubwa😅
Wanaume wenye huruka kama ya chiko mjifunze sana hapa ridhikeni na mlivonavyo tamaa ni mbaya mtakufa😂😂😂na nyinyi mnaoomba like sijui wa kwanza au wa mwisho mna shida gan ninyi mfyuuuu
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies BUSATI TV, nina Imani mpo salam,anae furahi jinsi Chiko ame ayibika kijijini, anipe like zangu, n, anae furahia jinsi mimba ya Kamkonde imekata kutoka hadi amzalie Ngonde anipe like zangu maan wamezidi ushirikina, Chiko toa Rushwa ila hutofanikiwa,ndug zangu nawatakieni Heri nyingi na Baraka n, Afya njema.
Sania leo kafurugwa kafurugika😂😂😂😂😂😂😂😂na vile alikuwa kiherehere na mambo ya wtu wee tuletee kitoto cha ngonde mamulaka😂
Kashapewa na jina mama kiriku😂😂😂😂😂
Kuna Siku moja chiko atakiona camtemakuni kisha Candy nae bakiz upweke jmn unaamini ilo gonga apa like
Cendy uko na vituko ety mama kirigu😅😅😅😅
Chiko,kula jeuri yko mpuuzi wa maisha wwe...
Natamani ningekuwa ndani ya hii tamthilia ya house girl,ungenyooka tu ...
xana broo 😂😂🎉🎉
Mwenyekit na chiko kimewaramba but chiko kimekuramba zaid coz pesa tumekula na mke atukupi
Ayende kwenye alitoka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aiiiiiiiiii chiko Kila pahali haaaa unakera munooooo
Wanao furai mimba ya Sania n wagapi
Candy kasem ma kirikuu😅😅
Mama kirikuu 😂😂
😂😂😂😂mimi ni moja wao❤❤❤🎉
Leo kwa mara ya kwanza naombeni like
😂😂ila sitaki dhambi na huyu mpumbavu mwenzangu
Chiko kishamramba anakalibia kua chiz maan mateso alopitia zatiti nayaona ni madg kuliko anayoyapata chiko kwa ss endeleeni kutupa raha wanabusat tv🎉🎉🎉
Chiko una leta aibu na weye nadada hamu zai ni fujo tu wenye wana kubali like basi
Mzee mkoloni ana msimamo dhabiti kwa zariti wapi like zake🎉🎉🎉
Wakwanza tokea nianze kufuatilia house girl sijapata lkis hata moja🎉🎉🎉🎉
😢😅😅😅
Mwenyekiti tamaa haifai unajisahau kwa ajili ya hongo pole yako baba mzee mkoloni huezi mdhibiti Mana ana msimami thabiti hongera mzee mkoloni hapo hapo
Chiko ata ufanyeje hauna kizazi na uwezi pata mtoto ata kwa tabia zako mungu awezi kupea kizazi wewe
Mwehu uyu😏
Wakwanza kutoka kenya like zangu apa
Kwa hii nalo ni moto fire kwa siku zote nimeenjoy😂😂😂 don't forget me just like my comments❤❤❤ much love for this team ❤❤❤
Kendy. Unenongesha hatar movie 🎉🎉🎉
Candy jamani sometimes nakuchukia sometimes tena nakupenda mama ❤❤❤❤ yaani usha mpea kijajo jina ety kirikuu😂😂😂😂😂😂hapo sasa umenichangamsha na vile sania alikua anajifanya kua yy ndiye mama mshauri kimemramba na mganga wake 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 Sania hicho kisiran adi kwa BFF wako nahs una mtoto wakiume na JINA makubwa candy kashatoa ataitwa kirikuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Yani nimecheka ila candy Kwa sania huwa hachukii😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hahahaha chikoooo umepatikana dogo umetishaaa
Jaman kujiamini muhim wala kwa olilosema Mr Tasha usihofu mama n mkubali hta kuangusha,chiko garareee wewe ,n hii part y mjinga mwenzang sijapenda mwenzenu nilikua hta na hisi usingizi
Boss candy Pamoja na mama kijachooo 🎉🎉🎉 Maua yenu maana mnakoelekea mtalia sanaa😅😅😅😅😅
Uyo jasmin wa mchongo mm cijamuelew kabisa anae ungana na mm weka like apa
Ata mimi sijamuelewa😂😂😂
@@hadijamohd6028 uwakika Yan dah yule wakwanza alijua kuitumia nafas yake🌷🌷
Babake na zatiti mkali kama babangu ❤❤❤❤❤😂 ila mwenyekiti na chiko wameyatimba ila chiko zaid maana pesa tumechukua na mke tunaye 😅😂
😂😂😂😂😂chiko ashaanza kuchangnyikiwa
Waah kutawaka hapa next episode m naona chiko mzensi ataenda kwa mama Tasha na vile alijukua self na mama Tasha uuuii
Tatizo zatiti upore umezidi hii kitu angekutana na candi mbona Chiko angefrai asingesubiri wazazi wamfukuze Chiko angefukuzwa na mkewe,zatt anaongea kiupore xna ndio maana Chiko linajitanuwa tuu hapo ukweni
Tunaoamini kuwa chiko ni comedian tujuane hapa 🤣🤣🤣🤣😁😁
Huyu kaka comedy nyingi msiwe mnampa vipande virefu
Meno Ya Kuoza Mbele Uyo Jasimini Kma Mmi Kucheka Au Kusimaili Pia Ni Shida😂😂😂😂😂😂
Baba Zatiti umenimaliza mm wallai umeshika mwenye kiti.hdi akaona km Dunia yke inapasuka 😃😃😃🤦Alf chiko amesema ety yy n babake Tasha au nimesikia Nini mm😮
Chiko aca kikulambe kabisa kumifukuza zatiti virikua laisi kumupata tena ngumu na usahau kabisa 😂😂
Nimekuwa wa 4 leo wow like plz😢
Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wapi likes kutoka kenya❤.
263,chiko wewe 8:48 na ndevu 2:42 zako za kusungulia sufulia.una kela.😅😅😅😮😮😮😮.ndiyo maana umenyooswa na mtoto mdogo😮😮😮😮😮😮😮
Fundi saa alipoteza nati kiramba😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Chiko umepatika kwel kwel
30nimekua naomba like za oman Qatar saudia tz ❤❤
Kusema ukweli mpumbafu amejaribu hongera 😂😂😂 dada jikaze bwana kilamba tulia tu atashika laini
sania kashaanza kuwehuka sasa 😂😂😂😂
Hongera sana Ndugu zangu pongezi kwenu wakuuu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Watu hamlali jamani Aya naombeni ata like moja
Chiko utakipata mzee mkoloni uwezi kumshinda unapeana ongo ya ujinga tasha chukua bibi yako asikutishe ati akue baba ako c uamusi ni mamako😊
Uyo sania hanavyobinua midomo na hiro wigi jamani khaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Ila baba zatiti na hicho kizee mumejua kunichekesha kimeumana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 alaf kakitikisa kwa mkono mmoja
@@ummycheedy2809 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kabisa kametikishwa mpaka kakatii kakasema kamepewa hongo🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani Leo nimechelewa nipeni pole hata like Moja tu
😂😂😂 mwenye kiti tuhalawe hano konda watubige oshe namwenye kiti😅😅kumbe kodumba kubigigwa😂😂
Mpumbavu mwenzangu meno yaisha mbele kwa kula sukari 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Candy aty *Mungu wangu*😂🤣😂🤣😂🤣😂🎉🎉🎉🎉
Jasmine mpya meno jamn😂😂usishke shke mdomo sas tufaid meno🤸
Chiko kweli akili zimesafiri 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 sasa ndo unazidi kuliamsha kweli unapandisha tasha kufanya kitu chenye hakutaka afikie huko wacha tuone kama utawezana
Mwenye kito good nikupeke mau yako mmmwa❤
Chiko anataka azaoe maji yamwangika kwapesa 😅😅😅. Kiramba vp kamavile umetupinga changa ramacho mfumbavu mwezio wamwzo kwabla yakutekwa nasasa nitofauti 😂😂😂😂😂 imekaji
sema kwa upande wa hao wapumbavu bora ingeonekana jasmin mwenyewe ingeonekana ndo kafa baada ya kutekwa na kilamba ameamua kuoa kwanamke mwingine ila huyu hawezi vaa viatu vya jasmin hata robo
Chiko ishafulia huko kwenda mwana kwenda na pesa ushapigwa na mwenyekiti 😂😂😂
Huyu mkaza ng'onde anifurahisha kweli😂😂😂
Chiko usiniharibie siku ntakutukana kulanina msenge mmoja wee
Hta kama Niko upande wa chiko 😂😂😂 jamani nimeshindwa kumtetea kimeumana poor Tasha😂,,sasa hii miogo mpumbafu mwenzetu anasema ndio Gani hiyo otherwise nawashukuru kwa kazi nzuri ❤
Baba zatiti umenifurahisha kwaulicho kifanya 🎉🎉🎉🎉
Chiko anakera
Chikoo 😂😂😂😂nenda ukale uliko peleka mboga 😂😂
Wao naomba mungu mipango ya chiko yote isifanikiwe hata punje
Acha shobo chiko kwanza ko maa muache zatiti wetu❤❤
Zatiti fans like please
Chiko Hela ishaliwa Rudi 2 nyumbn
Sania ukijifungua kitoto cha ajabu kirukuu ndo jna alolipenda BFF wko uniambie nije kulea pia mm nko na matatizo hope kirukuu atanisaidia matatizo yangu😂😂😂😂
Kendi nakwambiaje mbavu zangu utazilipa 😂eti mama kiliku😆😆😆
😂😂😂😂😂😂
Baba zatiti jaman amuoneeebhuruma Mzee Wawatu 😭😭😭😭
Kwaniniii anakulaa hongooo hakunaa kitu kama hiyoo😂😂😂😂😂😂😂naa gongweee kugongwaaa
Wanaoamini zatiti hatokubar na babayke tujuane hapa na Zatiti naamin anamimba ya Tasha tujuane hapa Sasa 🎉🎉🎉🎉❤
Mzee kalonga tuhakawe 😂😂😂 nenden pumbav Babu kwer
Kendy umepigaje hapo, mama kirikuuu 😅😅😅😅🎉🎉nimekupenda leo ❤❤❤
Jamani huyu Jasmin mpya hafai hata kidogo hajui muondoen anaboa
Sasa unakaje kaigize wewe bas binti wa watu anajitahidi kufit lakini hamridhiki haya kaigize wewe
Zatiti hongera sana Tasha ni mume sahihi na mwenye hekima ❤❤❤ Hongera sana Chiko huna chako hapo
Dogo yupo sawa sana namkubali sana ila huyu mke wakilamba wamchongo au vip
Chiko msenge sana
Jamani Chiko ajua kuigiza hongera Sana kazi safi😂
Weeeeseeee Kai n Zuu Kuna Nini tane😮
Wapi likes za mimba ya zatiti ❤❤❤
Jamani chiko kimemlamba kitu bado candy nae
😂😂😂😂😂😂😂😂 yani candy nimupumbafu kweli, eti maman Kirikou😂😂😂😂😂😂, ushashindikana candy
Huyu binding mbona huyubint siye kabisa katika hiifilamu mbona mnatuboesha au tuna tatizo
Jamani kauli ya Chiko kwa Tasha cijaielewa mwenye atanielewesha jamani? "Utajisikiaje siku nakuwa baba wako?" Ina maanisha Nini?
Anataka kutembea na mamake Tasha
Uwiiiii🙆♀️🙆♀️@@CarolineBosibori-r7r