Eti amekumbuka kua zatiti n mke wake ashachelewa sana zatiti n mke wa tasha saah chiko ulimpa zatiti talaka 3 za mpigo kaa kwakutulia ukiona kimeoza mwenzako ywala ivoivo bila kupasha moto tasha alikula bila kupasha moto chiko tulia sasa
Wee chiko nanii amekuambia Saudi Arabia wanakujua😂😂😂 candy yoo utakuja kujuta 🙄🙄.... Chiko why are you running murife don't run si wewe mwanaume mbona uogope panga
Duuh yaan vile mama candy vile analia naumia moyo 😢😢 utasema ni live aky candy ulichukua kipindi kigumu sana duuh 😂NAIWE BS NI MOVIE LKN UWE HAUNA HIO ROHOO
Hiki kipande cha chiko sikipendi kinanikumbusha machungu ya mtalaka wangu hv hv aliniacha mwenyewe Kwa talaka3 ila baadae akakana na kuanza kunisumbua tena alikana km anavyo kana chiko hapo Aisee huwa sipendi hata nikumbukege 😢 huyu anafanya nikumbuke sasa mpaka nahisi kichwa kuuma 😢
Kama Dunia hii watu wapo kama kend na Sania na chiko wapone kupitia hii muv mwisho ni mbaya Kila ukipandacho IPO siku kinarud pokeeni 🎉🎉🎉🎉 busati tunajifunza
Jaman candy 🙆♂️🙆♂️ ulipofika kweli mzazi atakuchukulia vipi wewe mwanamke aso na haya candy daaah umeshinda dada mpaka mzazi wafika kumtukana wala litakufika zito utamani kumuona huyo mama na hautompata daah mungu tujalie tupende mama zetu ya rabbi
Mara ya kwnza nlikua nkimchukia candy thamthilia ikianza....lakin kila kukicha ndio nazidi kumpenda na masimango yake....n vile ana tetesha family yke....Yani Acha tu.....kuzaa CIO kupata wahenga walisema pata pesa ujulikane tabia zako....n kwel😅
Anayekerwa na chiko😂😂gonna like😂
So chiko tu Hadi cendy😅😂
Tena sana
Yaani natamani kumvaa mimi
😅😅😂chiko na candy waowane
🤣🤣🤣🤣🤣🥳tupo vichangozi🥳@@HabibaAmani
Wanao support ndoa ya zatiti na Tasha tujuane jmn❤❤
Siku moja chiko atakiona camtemakuni
❤❤
Mie napenda Sana part yakina Tasha jaman kama ww n mmoja wao bas weka alama apo
Na huyo mkoloni wako Sawa na nimeona mkoloni ni real father wa Tasha na wote wanaingiza poa
Tuko pamoja ukhty zena🎉🎉🎉
Hahaha 🤣🤣🤣 mbn mm najuwa Chiko zatiti halikushinda kisa mchepuko candy kimekuramba dear😅😂😂
Tunaoumia cend anavyomtukana mama yake na tunaoomba candy adhulumiwe na papaa gonga like hapa tujuane
Uyo muace ataona dunia gisi dunia itamugewuka kama tumbo ya usiku😢😢
Yan hatar@@DivineIngabire-lj3sr
Mm naona wanachelewa kumdhurumu jaman embu wafanye haraka Duncan imfundishe iwe funzo kwa wengine
Kwanza nataka apotezwe kabisaaa
Mm nataka wamuue kabisa au awe kichaa kwa raana ya mama 🎉🎉
Ni WA gapi wamefulaia ndoa ya Tasha na zatiti nipeni like zenu
🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wanao amini kwamba candy maisha yake yote itakuwa ya kuangaika tuweke mikono juu🤚🤚🤚🤚
Ak huyu 😢😢😢😢
Kweli kabisa
🙋🙋🙋
🤚🤚
🤚🤚🤚🤚
Chiko kimemulambaaaa jamani wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Eti amekumbuka kua zatiti n mke wake ashachelewa sana zatiti n mke wa tasha saah chiko ulimpa zatiti talaka 3 za mpigo kaa kwakutulia ukiona kimeoza mwenzako ywala ivoivo bila kupasha moto tasha alikula bila kupasha moto chiko tulia sasa
Maholo
Busati tv naomba sana kabla season 3 haijaisha naomba candy limkute kubwa mpaka asahau jina lake Ili funzo litimie🙏🙏🙄🙄
Kabisaa
Ata ikafika season 4 bora tuone akiteseka na mtoto wa mrs mganga tuone jaman😂😂😂
@@ASHAMWABAYA hapana kipenziii Ili mama Ake apumzike mpaka kufika season 4 atakufa na pressure 😭😭
Acha kumuombea mabaya candy ni acting tu nyie😢
@@eversweedakemo twajua bt all we need ni funzo kwa watu wenye tabia kama hizi
Wale tunao soma comment huku tuna anglia tujuanee
Kusema kweli mama ni mama,Yani candy anavyo mfanyia mamake candy atajutia baadaye,km unamin gonga like❤❤❤❤
Tunao omba candy azulumiwe mpk abaki na nguo zenye ziko kw mwili 2 na laaan juu tujuane
Weee chiko komaaaa🤗! Saud arabia hatujui km zatiti mke wako.. tunajua Tasha ndo mume halali wa Zatiti🥰💪🏾
😂😂😂😂😂umenichekesha sana
Akomee kidogo haya wasaudi twamfatilia natwamjua Tasha asitukorofe team hamaam
@@hamisuuhamadi1663 kanikera sanaa 😂
@@maskiniHanamshirika haswaaaa vichwa vishajaa hekaheka za waiguru huku
😂😂😂😂😂
Kwa mara ya kwanza nimekuwa wa Tano jamani like zangu japo kumi tu
Ma'am. Candy pore sana uyo simutoto nikidudu mutu naomba like warafiki zangu nawapenda sana❤
Tena bora alivomtoa dunian angekuwa bado yupo tumbon angepata uvimbe wa mvuko wa uzazi
Na mm nimewai wapendwa, bwana yesu apewe sifa atakaesoma comment hii mungu amfungulie milango yote ilofungwa❤❤
Candy unatisha sana. Binafsi nimekubali unavyofikissha ujumbe kwa jamii
Lakini candy amepitiza
Yan candy anajua bhnaaaa 😂😂😂
Yeah anaplay sini zake vizuri na wapo watoto km so mitaani
Nafurahi kuona chiko kimeulamba ninapenda saaana mafundishoyenu zaidi bibizuu mama Tasha na mamake yakendi na mamake zatiti na babake zatiti ❤❤❤❤
Chiko kimemramba yeye ndo kipoji manyoya sasa alafu candy naye anatusi mamake naomba apate funzo kabisa
Tunae subili kumuona kendy anavoteseka tujuane radhi ya mama itamtafuna vibaya mno
Canddy umevuka mipaka hata kama ni movie ila mama ni mama hata kama ni kilema😢😢😢😢😢 imeniuma
Mr chiko unalako Jambo hebu twajie zatiti wetu asikie Raha ya ndoa afirah tutolee Giza love movie 🎉🎉
Jamani Leo nimewahi nipeni hata like kumi tu 😅😅 man sijawahi kupata like
Kwa mara y kwanza nimewai team strong mko wapi nime wamiss ❤❤
Kwenye house girl mtu mdogo kiumri kuliko wote ni mr tasha 🌺 🌺 🌺 🌺
Huyu chiko n candy wapeleke hospital wakapimwe akili😂😂
Chiko unamwambia mr tasha ni kipochi manyoya, unajisahau wewe sura yako ndio yakaa kipochi manyoya😂😂😂
Today you have nailed it🎉🎉🎉🎉❤ keep it up team house 🏠 girl ❤❤❤❤❤.Chiko na bangi zake.....wah!😂😂😂😂
Wao nilitamani sana kuwa wakwanza na ndoleo big sam ap
Kippande Cha kendi sitaki ata kukiona najionea zangu Kijijini kwakina zatiti kwakina kendi kubaya kama warivyo wao wabay😅😅😅
Wewe chiko koma Tanzania atujuwi tunajuwa tasha ndo shemeji yetu 😂😂
😂😂😂😂hata kenya tunamjua shemej ni Tasha
Nko Kenya n sijui kama zatiti n mkeo uyo n Mrs Tasha aka handsome boy😂
YEYOTE HATAKAYESOMA HII COMMENT MUNGU AKULINDE WEW NA UZAO WAKO INSHALA
🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤝🙏🤝🙏
Siyo insshala sema inshaallah umeelewa 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 sawa yusra
🎉🎉🎉🎉🎉🎉busat hii season 3 ni nzur kulik season 1 na 2....plz na season 4rial iwepo mana mchezo bado mbichi
Naomba like yanguuuuuuuu kama 100 hivi
Jameni mimi wa 45 Nîme wayi Léo naombeni like zangu kwa Wale watakaye kuya nyuma yangu,laki chiko uyu bwana ana aya
Candy umezid roho mbaya jamani
Weny3 mnap3nda house gal gonga like s hapa..tunaipenda hadi tukiikosa tunakosa raha..
Nimekuwa kama chizii CHIKo kukosa mpenzii😅😅😅😅😅😅 chiko n candy laana zenyu zinawanyanyasa wenyewe hovyoo😅😅😂😂
Hii character aliyopewa candy aivae hata billioni siiwezi mm jamani Mama ni Mungu wa pili msifanye mchezo na Mama😢😢😢inaniumiza moyo
Hamn kipenz anafundish watu kunawengine wanafanya ivo kwel
Wee chiko nanii amekuambia Saudi Arabia wanakujua😂😂😂 candy yoo utakuja kujuta 🙄🙄.... Chiko why are you running murife don't run si wewe mwanaume mbona uogope panga
Duuh yaan vile mama candy vile analia naumia moyo 😢😢 utasema ni live aky candy ulichukua kipindi kigumu sana duuh 😂NAIWE BS NI MOVIE LKN UWE HAUNA HIO ROHOO
Ongeza kwa baba zatiti na makofi👏👏👏👏👏👏👏👏kwako juu Chiko mjinga sana
Wa Kwanza jameni naomba likes
Naomba like tabadhali
Uyu shida anapokwendea atakuwa chizi😮😮😮
Kendi ningekua karibu na wewe nione vile unambebea mamako mdomo wa maneno hivi ningekupinga na matiti hadi pesa yk iyo itoeke😢😢😢😢
😂😂jaman leo nimechelewa ila nimefika .naombeni like zenuu
Hiki kipande cha chiko sikipendi kinanikumbusha machungu ya mtalaka wangu hv hv aliniacha mwenyewe Kwa talaka3 ila baadae akakana na kuanza kunisumbua tena alikana km anavyo kana chiko hapo Aisee huwa sipendi hata nikumbukege 😢 huyu anafanya nikumbuke sasa mpaka nahisi kichwa kuuma 😢
Huwaga sjui wapoj
@@ShaniJuma-sm1sd we acha tu wanakela km nn hawapendi kuona unafuraha baada ya kuachana na yy anataka akuone unateseka ndo furaha yao
Nyoooooo eti tasha kipochi manyoya yaani namchukia chiko na vitendo vyake😏😏😏😏😏
tobaa 😱 chiko pole sana huna chako tena mbeee😂😂😂
Chikooo kimemlambaa 😁😁😁🙌
Jamani cendy amezid Tena na maneno mabovu kwa mama yke
Chiko unajitowa ufahamu kwakweli❤❤😂😂😂utakoma wasemaga kwakirundi umanika agatu wicaye mukukamanura ugahaguruka utashimama utakoma😊😊
Hivi kunawatoto wako kama kendy 😭😭😭
❤❤❤ila Chiko sio mstaarabu kabisa kwanini inakuwa ivyo muache Mr Tàsha na zatiti wameshakuwa mke na mume nenda kwa cendy wako
Wakwanza leo likes kwangu
Candy huusika wako umefanyia kazi ongera siz🎉🎉🎉
Ni mefurahi😂😂😂❤❤❤ sana ndoa ya Zatiti nlikua na isubiri sana na watakia ndoa njema kama kai na zuli
Saudi Arabia inajuwa mambo ulifanyiya zatiti😅😅😅😂😂😂kadama muko🎉
Chikoooo😂😂😂 Acha kujizima dataaa,talla ulimpea,juu yakikaragosi candy na dadako,na tukakwambia kitakuramba haukusikia,ona sasa😂😂😂😂
Cendy litakukuta jambo nakwambia 😢😢😢
Jamn mm nilikua naomba cendy apateee Rana kutokaaa kwa mama yakeeee
We chiko tukome! Uku kenya hatujui kama zatiti ni mkeo...ulimpa talaka, narudia mm kama mkenya tukomeeeeee😂😂
😂😂😂
Zatiti na Tasha waaaah mungu yuko mbele yanu Ata musiogopa chiko,, chiko hatakufa tu sai
Candy wenzako tuko saudia tuna miaka 4 hatujawaona wazazi wetu wewe unaomba mamko afariki je unajua jinsi gani mzazi anathamni hapa duniani candy wewe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nakuonea huruma sana mungu atulindie wazazi wetu na wale ambao wazazi wenu walishatangulia mbele zahaki mungu awajaalie makazi mema Inshaallah 🫂🫂🫂🫂🫂
Ameen
Ak😢😢😢😢hafanyi poa
@@sifamaureen2792 kabsa yaan mm nasikia roho ikiniuma vile napenda mamangu acha tu
😢😢😢
Chiko ni hatari anaujasili wa hali ya juuu anajiamn ndevu zake zmeendana na anachokiigiza hatari sana nakubali kaz nzuri
Jaman sijawah omba like mie so mnipatie TU Leo mie mpendwa wenu! Nawapenda nyote mnaofatilia hii move na tujuane sote🎉🎉🎉🎉❤
Napenda sana part ya Mr Tasha na zatiti wakiwa kijijini ❤❤
Aliyemuona chiko akikimbia panga la mzee mkoloni gonga like hapa 🤣🤣🤣
Amndulilaya amndulilaya Yani ata cjui niseme nn aki Kwa family ya zatiti ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
💯🌺🌹🍁🌸🌻🍁 honger vipezi mlioshiliki pia pole chiko
Yaani candy wewe uko na kiti chako kuzimu direct but siwezi kuhukumu sna maana hii ni movie much love from 🇰🇪 😂😂😂😂😂
Chiko ulisha mpa mke talaka pliz move on
😂😂😂😂😂 nani kaona mbio za chiko 😂😂😂
Wenye wanasubiri kuona mtoto wa mganga na kumuona kend akiteseka gonga like apa😂😂😂😂
Chiko anataka viboko 😂
😂😂😂😂😂jiko kanichekesha Leo kumbe warabu wa Saudi na Dubai wanajua zatiti n make wake😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Chiko ameshanganyikiwa jamani😂
Kachanganyikiwa au utahira na kujitowa ufahamu aende zake huko bana 😏😏😏😏
Ktu kitsamu kisha pambe ,, wakwanza leo na Chiko kimemkuta
😂😂😂😂 weeeh chiko sisi kenya tunatambua zatiti ni mke wa tasha hatukutambui wewe😂😂
Huo itakua ni uharisia wa wake Candi anatabia mbaya huwez kumwambia Mama ako kauli kama hizi
Wa kwanza mm
Mm wa pili😊
Kama Dunia hii watu wapo kama kend na Sania na chiko wapone kupitia hii muv mwisho ni mbaya Kila ukipandacho IPO siku kinarud pokeeni 🎉🎉🎉🎉 busati tunajifunza
@@VinnyLee-e6o na rahma
Chiko una chako tena kimekulamba leo
😂😂😂😂chiko umeniacha hoii hao mashetani yako looo yani nimecheka yote😂😂😂😂😂😂😂😂mr tasha hongera bwana....candy rudi nyuma huyo ni mama ...weee candy huigopi weee❤❤❤❤❤❤❤❤busat tv hoyee jamani hii episode imenifurahisha sanaaaaa loooo
Lewo wakwanza nipeni
Tenaaaaa wa kwanza mie
Ss wa kenya hatujui kama zatiti ni mkeo
Candk unaroho mbaya sana
Chiko nakuchukia ndevu kama nyavu za pwani😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Alafu warda nakupenda sana ❤❤❤❤❤
Jaman candy 🙆♂️🙆♂️ ulipofika kweli mzazi atakuchukulia vipi wewe mwanamke aso na haya candy daaah umeshinda dada mpaka mzazi wafika kumtukana wala litakufika zito utamani kumuona huyo mama na hautompata daah mungu tujalie tupende mama zetu ya rabbi
Nafrahi kuina chiko kapigwa n kitu kizito zatit nakupenda sana
Chiko umepewa haki yako,mkeo ni Candy,huna chako Tena apo kwisha habari yako🙌🙌
Mara ya kwnza nlikua nkimchukia candy thamthilia ikianza....lakin kila kukicha ndio nazidi kumpenda na masimango yake....n vile ana tetesha family yke....Yani Acha tu.....kuzaa CIO kupata wahenga walisema pata pesa ujulikane tabia zako....n kwel😅
M ck hz namkubali sana ni bonge la actor huyu 😂😂😂😂😂
Wanaokumbali baba Zatiti gonga likes 💪💪🤣🤣😂😂😂😂
Tunahitaji kumuona Chiko akikimbizwa na ba mkwe camera man mbona unaficha raha😂
Wadeeeeeee😂wa kwanza leo
Candy uwiii kama Kuna mtoto yuko ivi aache Mara moja 😢 chiko imekula kwako tuache na ndoa yetu ❤ Baba ake zatiti kufuza na panga huyo mbwa😂😂😂😂
Chiko amechizika naona amejizima data😂😂😂😂