Jamani mbona km mzee wamisumari kunamchezo anachezewa nakile kibegi anatafuta njia yakumchukua kidem jau ataenda jera mzee wa mishumari km upo na mimi gonga like nyingi
TUNAAZA NA MUNGU KWA KUSEMA AHSANTE MWENYEZ MUNGU KWA KUONA SIKU NYINGINE NAOMBA UWE NASI POPOTE TUENDAPO JINA LAKO LITUKUZWE INSHAALLAH 🙏🙏 Niwatakie j.5 tulivu kwenu woteeee mashabiki wenzangu wa CHADO MASTER 🙏🙏
Jamani mbona km mzee wamisumari kunamchezo anachezewa nakile kibegi anatafuta njia yakumchukua kidem jau ataenda jera mzee wa mishumari km upo na mimi gonga like nyingi
Hapn lazim amwambie nimuoe mdogo wako au uilipe
@@LatifahMohammed-r5f kabisa
Kweli kile kibegi kitakua na vitu vibaya mtego
@@RashidOmary-c4g tusubir muendelezo
@@SukhayraRamadhani uskute hela za bandio sem mzee wa misumali alivo ona akawa anawenge san ahat alivo beba kibegi kam siyo muuni vile
Mmmh,nikajua nimewahi jamani kumbe mshafika watu like zang bc🎉🎉
Cheuc na bonge naomba muepo kweny CHEKA TU 😂😂😂😂
Au tuwapeleke kwa pididi😁
😂😂 cheusi na bonge wamenishinda tabia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa kweli😅😅
Nimecheka balaa wanavyochamba😂😂😂
Anayesom coment hii Mungu ambariki amfungulie kil lililogumu Amen❤
amen
Amiina
Aamin yaarab
Aminn
Amiina
Leo mission impossible 51 inaraha yake bwana yani nlikuwa nmenuna lkn vicheko😂😂😂😂 na nderemo zimtandaa kote, big up saana kwa wahusika wote❤❤❤❤❤❤
Anyone who is reading this, May God fulfill your dreams 🙏🙏
Amen
Pole sana mzee wa misumali kwa magumu uliopata
Naombeni na mm laiki leo
Hatimae leo nmewahi dkk ya 3 tuh aomben like zang 😊
Nakushukuru sana eeew Mungu kwa kuniwezesha kuwa wa kwanza toka nianze kuitazama hii movie ,pia wabariki wote wanaofuatilia series hii duniani kote❤
Nqhis mister manyonga ndio baba ake ngwengwe na ndio kaka ake chado🙌
Ndo na me nilitaka kusema ivyoivyo htr
Itakuwa ndoivo tu
wew ina wezekana jamn 😢😅
Na mm nilihisi hivyoohivyooo
Labda kw3l
Chado yupo romantic na penz lake MashaAllah wanaume wote mngekuwa kama chado
MgOnjwa ww
Mami apa niko kama chado
Me nampenda sanaaa najmah anafanya kazi nzuri Sanaa yupo serious
From Kenya 🇰🇪 Aki nyinyi ni vigogo .... Waaaah kaende kaende
Cheusi nakupenda sana😂😂😂😂🙌🙌🙌
Kuwaachanisha chado na kidem jau hiyo ni mission impossible
Chado me ctaki movie iishe mpaka umpe mimba kidemu juu😘😘😘😘😘
Lahaula😂
Heeeeeh Chineke mweeeeee 😂😂😂😂😂
@@AnnahGowele kumekucha!!!🤣🤣🤣🤣
Mission impossible😂😂
Teena
Wakwanza leo jamani naombeni like zangu
Mungu nilinde na huyo anae soma comment
wanaum mngekuw n uamnif kam w chado ingkuw raha sana❤❤
Tupo mbn
Tafta muhun utaenjoy kupendwa
Sasa wanaume wanakuaje waaminifu ikiwa mnaotongwa hamkatai😂😂,kataeni tuone kama hatutokuwa waaminifu
Team strong mpo wapi naombeni like zangu ❤❤❤🎉😂😂
Habib Taal 😂
Izo apoo
Dumuvi imechangamka na ipo pw
Mumeshakomet kila kila kitu leo ,,mm nasema kaka ake najma nampenda sana mpaka homa
Mim nimeumia misumali jmn leo😢
Mmejikuta wote mmekua wa kwanza Ila chado mungu anakuona unavyotufanya tunakupenda bure yaaaan baba ngwe ngwe
❤yaani épisode ya leo imenifurahisha kwa kwl❤❤❤❤❤❤😅😅😮😂
😂😂😂😂😂😂 cheusii na bonge tuko na nyieeee adi chado Awatoe loho😂😂😂😂
Nakubali sana master movie chado😂😊😊😂😊😂😊😂😊🎉😊🎉😊🎉😊😢😊😊😢😊🎉😊😊😊😊
Ila Leo kumechangamka hukuuu😂😂
Mpaka taarabu jamaniiii
Langu jichoooo mieeeee Ila bonge😂😂😂
Hadi raha na tako linatingishwa😂😂😂
@@RukiaManga-z1t ni balaaa
Wahh nmependa sana, chado usiaribu penzi lako limetoka mbali sana kaba Ivo Ivo
Mwambien Bonge anaonyeshaje Jicho hajui kama kuna Pidid et anakatika kabsaaaa looh😂😂
Team_Chado-Master❤❤❤🎉🎉
Kitengooo❤❤one more kichwa njichoo❤
Sema Huyo jambaziii la 2 handsomee
Leo wakwanza from Mozambique nnaomna like zang
Jaman leo nipen like kila siku amnipi
Wapi kelele kwa team chado master❤❤🎉🎉
wanaomkubali CHADO NA KIDEMU JAU like hapaa❤❤
Uwiiiiiiiiii cheusi na mwenzake bonge hahahhaahahahhahahahah
Tangu mwanzo mpaka saiv nipo na nyie sambamba😂😂❤❤❤
Wa kwanz leo❤❤
Eeee chado utamsomea kisomo akauke kama mti😂😂😂😂chado jamani we kweli kiboko ❤❤❤❤nakupenda bure tu
Tena mwambie asa asitake kukuharibia penz lako kwa kidemu jau wetu tunapenda sana mapenz yenu yazidi kushamir❤❤❤
Bonge na cheus tii wanajua kutufurahisha na taarabu wanazijua😂😂😂😂
Leo nimehawahii❤❤all the way from Zambia
Waooooo leo nam nimewai😂😂weeuweeeee💃💃💃💃💃
Mpenzi wangu awe kama chado jamani awe na hofu ya kunipoteza😂😂
😂😂😂😂😅
Jamani kidem jau anapenda vibaya lla mahaba yao yanapendeza sana
Weeeeeew😂nimekimbiiia nusu nijikwaae mje mlike
Wakwanza tena from Rwanda we love you guys
Love you more
Mapema sana nimewah leo🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 et sehem ya kubonyeza ye ametoboa nmeipenda io
TUNAAZA NA MUNGU KWA KUSEMA AHSANTE MWENYEZ MUNGU KWA KUONA SIKU NYINGINE NAOMBA UWE NASI POPOTE TUENDAPO JINA LAKO LITUKUZWE INSHAALLAH 🙏🙏
Niwatakie j.5 tulivu kwenu woteeee mashabiki wenzangu wa CHADO MASTER 🙏🙏
Amen 🙏🙌
Amen
Ameen inshallah
Amen 🙏🙏
Kitengo umefeli kwakwel mwanamke hapigwi ivo sija wahi kuku eleza hivi ila unajua kaz yako good job.
Thatha chado thatha nakupenda 😂😂🙌🙌
Hahahaha kumbe kiteng sheikh Leo kaja nakichina mwisho jaman me ndo I like
Ila cheusiii umetisha sana mbea asiekuwa na kumbukumbu
😂😂😂 yaan cheusi na bknge hamkomi tuu
Kaz zuri sana chado na kukubali
maneno uliompa video kwin angesikia najima angeringa dunia nzima asingewahi kupokea hata salamu kwa mwanaume yeyote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jmni cheusi mmbea jmni mmmmh ten mmbea wa kujizima data. Kitengo kwl umtaki Jojo jmni😂😂
😂😂😂😂😂😂cheusi kiboko
Nampenda sana chado jamani mapenzi ya mjini siyo powa kabisa
Watu sijui mnalala humu mbn Kila nikijaribu kuwahi nashindwa
😂😂😂
😮😂😢wanawah kinoma😊😮😂
Aiseee nampenda chado kwa misemo yake jaman Ila wahuni🎉🎉
Wakwaza nipeni like zangu
😂😂😂yani cheusi
Chado nakukubali balaa man umenifundishaa vi2 Ving san
Assalamualaikum..mtu anajua jina la wimbo uliochezwa wa mwisho anambie please ❤much love from Kenya 😘
Maskini jojo nakuonea huruma..kama unataka kaka basi fuata masharti sawa mama...
yanii chado jamn Yuko pouwaa sanaaaaa jamn
o
Hahahahaa mwanamke hulka and langu jicho😂😂😂😂
Jmny
Kina cheusi na bonge hamjaacha tu umbeya wenu tu😢mtakufa nyinyiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wamwisho jamani😅😢 nipeni like zangu
Jamani move inafundisha mengi sana ❤❤❤❤❤❤❤
Jojo: aaaaah kakaaaa............
Chado: nyokoooo............
😂😂😂😂😂😂😂 nakubali Sana kaz yko broh
Chado mpuuzi kweli mmenifanya niwafuatilie salute kwenu good job 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani Mimi ndo sijawai pata like ata moja
Leo kunavi2 adim kwnye episode hii,,, ni tam mwanzo mwisho 🫶🫶🫶🫶
I love chadoo kwa huo mbaooo kwa video queen 😀😀😀
Cheusi kwa umbea wake akasahau ile siku ya kupigwa kichwa alikua na kichwa njich😅😅🤣🤣🤣umbea uwe na kumbukumbu😂😂
Mzee wa misumar leo katiwa yeye misumar😂😂😂
Hahah cheusi tititi bhana 😂 mzee umbea anaujua😅😅 aungane na lokole
❤mjomba dady nakukubaliii ile kinomah
Cheusi tiii njoo Zanzibar uolewe😂
😂😂😂 cheusi na bonge jaman 😂😂😂 nawapenda bure
Wimbo wabongo nimeupenda
kwasababu ulilalia kifua ndomana umechelewa nawapenda sana❤
😂😂😂😂😂😂
Cheusi ukiwam.mbea uwe na kumbukumbu😂😂😂😂
Kwani cheusi na binge wanajisahaulisha walivyofanya na kitendo....
Walimea sugu😂😂😂
Namwonea huruma mzee wamisumari jamanii,kapewa mtego mbaya sana
Jaman mzee wa misumari wanataka mfanya nin au manyonga kafanya yake tayal ili amshtumu kaka wa watu 😢
Alaf inawezekan et😢
❤❤ anajitahidi sana kitengo japo kuwa kacheresha kutoa
Waaaooo ongeza dk zifike ata 30 kaka chado
Wajinaaa Najmaaa näkukubälíiiiiiii ilee Mbayaaa❤❤❤🎉🎉🎉❤❤😂
Wakwanza leo😂😂
Mamb ni mawili kupika au kulala sema nawapenda sana chado na kidem jau😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Chado mstaa nimeshukulu sana ukiwa uhai lakini kunawenye wanagu chongea kwa najuma chunga cheusi na bonge
😂😂😂
Chado mastar kitengo we ni tatzo brother kidem jau umemrogia upupu muda wote unawasha 🎉🎉🎉
Oya umetisha sana
Chado mim nakupenda umetusikiliz wateja wako umeongez muda🎉🎉🎉🎉
Nilijua tu manyongaa atamchora misumari ila chenye naona babake na ngwengwe huenda akawa manyonga wanao niunga mkono likes zangu
I'm wwiting for next episode ❤❤❤
Duh! Naomba like zenu leo jamani🥺
Cheusi umeua kwa hiyo nyimbo yenu.mwanamke hulka