Mmmh Mansoor uliacha chama cha ccm kwa maslahi yako binafsi,, maana unamiliki ardhi kubwa mno paje na paje kusini ilikuwa ngome ya Cuf,, Ukaona mbali ni kuwa karibu na wana kijiji cha paje
Baba hapa hakuna aliekuja kulinda dunia wangapi waliommiliki na ameondoka na eameacha vyote,. Hayo yasikupe shida ogopa watu wa upande wa pili wakichukua ardhi wanajenga vitu vya ajabu
Nakuelewa Mh: Mansour mtetezi wa wazanzibari. Allah atakulipa kheri Inshallah
❤❤❤❤ tunakupenda sana
Kabisa
Na tena watanganyika wametutawala kwalengo lakutaka kuinyakua zanzinzibar kwajinsi walivyokua wabinafsi
Tatizo umoja bado haujaonekana but inshallah kila hatua dua😊
Kumekucha na kupambazuka. Hakuna la siri litasitirika !!
Mmmh Mansoor uliacha chama cha ccm kwa maslahi yako binafsi,, maana unamiliki ardhi kubwa mno paje na paje kusini ilikuwa ngome ya Cuf,, Ukaona mbali ni kuwa karibu na wana kijiji cha paje
Baba hapa hakuna aliekuja kulinda dunia wangapi waliommiliki na ameondoka na eameacha vyote,. Hayo yasikupe shida ogopa watu wa upande wa pili wakichukua ardhi wanajenga vitu vya ajabu
😂😂😂
Naww ulikua huko huko