Ruto amtaka Raila kukoma kutumia miradi ya serikali kujisifia
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- Naibu rais William Ruto amemtaka kinara wa ODM Raila Odinga kukoma kutumia miradi ya serikali ya jubilee kujipigia debe. Ruto ambaye yuko kwa ziara ya kampeni katika kaunti ya Meru amesema yeye ndiye anafaa kuchukua sifa za miradi hiyo kwani alihusika katika kuunda serikali ya sasa.
Ruto ako na Akili ya ngiri. Blaming raila for the loans taken by jubilee, yet takes credit of the developments done by the same funds 😂😂😂
Baba used to criticize those loans only to claim successes from the same loans. Make it make sense 😂😂
Ruto has never had any stand, he is a rolling stone.
@@dicksonhagoi2849 what has been Raila stand to begin with? Are you denying alitoshea kwa bashasha ya uhunye 😂😂
Fake account
Ogopa hii shetani, muongo na murogi ni watu wa... 🤣
How can ruto claim something he abandoned, he s speaking on all corners of his mouth;!!
Ruto will can try to become a president but he will never be one.
U Will be surprised to see ruto in state house coz watu ndo wako na votes zao .....so please give us a brake.
Yes Ruto prezo good luck
Never disrupt your enemy when he is making mistakes, the same DP has bn saying, that no work has bn done since the handshake came in, he blames raila for every little thing, he abandoned the president to start early campaigns, from 2018 to date, who deserves the credit, one who has bn campaigning for the last 4yrs ontop of cars, or the one who created the environment for the work to be done? You cant eat your cxake and hv it mr Bwana asifiwe.
Laptop ziko wapi b4 2022 Election
Good good very much
They are using their rivalry as a campaign tool, so embarrassing .
I'm just impressed by that girl who climbed a tree just to get photo of DP
Can u explain bottom up. Huamujielewi.
Explain your name 1st...which tells more about your brains.....JOY NGIMA (ugali)
Obviously matako juu,kichwachiini kabisaa
In the last four years Ruto has been earning the taxpayer money without working for it, that's fraudulent he should be made to account for it.
Wewe Ruto munyewe uriaacha Uhuru Kenyatta na uwezi kuchifunia ire uriacha peke yako. Na si Raila anasema iyo ni President Uhuru Kenyatta anasema peke yake. Wewe usha sera wacha sayote kuruka ruka na maneno.
Ruto analia kila siku
Jealousy man called Ruto he was making on top of the car
Ruto the truth is save your money otherwise naona ukiishiwa by August kura ni siri ya mtu hainunuliwi
Between Ruto and Uhuru who is forcing people to vote for baba ??style up man 🤣🤣
yeye yuko serikali ipi? alihama Jubileee sasa anaifuatafuata nini?
Sir, You cant have your cake and eat it🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️!! Jasho🤔🤔🤔!!?
Raila criticized jubilee loans but want to claim the successful projects. Make it make sense 😂
Awamu ya ruto na uhuru imeisha .Twataka kuona ya Raila na Karua pls
Those projects have been funded by all Kenyans not those voted this outgoing government my friend.
Amuwezi sema yenye mtafanyia wananchi Raila ndie campaign sasa? Ama 4years mmeshindwa cha kudanganya
x..ehh...askofu mtukutu mkatili wa dhehebu la uongo..matusi..na hasira...
..ahadi zake askofu hasara zitatimizwa kikamilifu kwa wizi...unafiki...na ubinafsi...
..gurudumu ni moja la kusukuma uongo.....,x
One thing i know the men dancing they know ata toka pesa lakini siku ya kura mkate miti sugoi
Ruto is mad,,, extremely mad,,,,was he not the same person who said Raila is state's project,,,
Baba is uhunye's state project 😂. Uhunye was once a project and fAiled miserably 😂 baba is following uhunye like a junet ( ngombe) atashangaa in dj shitti voice 😂
Ruto save ua money plz
Rao the 5th 🙏
Mzigo ni wewe na cbc lazima iendelee
Wakenya watafanya vyema ikiwa watamchagua William Ruto kuwa Rais wao.
Uhuru sasa amefanya kazi??
It's 🌧️ 🐈 and 🐕 for Arutodeh
wewe ukiacha mke na aolewe na mwingine. unamfuata nini?
90% of people commenting...from Azimio...
I don't know which jubilee he is talking about because he said jubilee is dead.
Hiyo ni kuwa mnafiki mkubwa
Lower food prices
Ulishindwa na kazi sasa wewe siumeenda UDA
WETA HATA SISI HATUELEWI BOTTOM UP
Which bottom munapotezea wakenya muda
Na hapo ndio tuko.. mlimani tushaamua.
Sisi hapana zimia
Shame on you mudavadi and wetangula,avoid repeating nonesence
Wajinga hao
Laptop🤔🤔🤔ruto wewe n muongo
Aiiiiyaaaaaaa..... shetani mkubwa
Nonsense, they say they are not part of the government but campaign using uhuru's track record..lol. ruto think every kenyan is a fool
Ruto hata mimi naona amechanyikiwa kiasi coz akienda kwengine aongea hivi Kesho vile na yeye mtu mumoja mara 100 billions mara ajira hiyo hiyo 10 Billions,Sasa humuelewi what he want exactly 💯.
Ulienda shule gani
But Ruto said from 2017 he's not been government .
Kabisa cbc iishe na ishidwe kenyans abroad ....I left my kids 2years ago hata huwa sielewi kuhusu haya madarasa yao nmechanganyikiwa I hope that thingcan end tonight
you're an idiot if you think cbc is to be use for politics..
😂🤣😅
UDA🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌👌👌👌
And we will claim for every failure of this government..
Mganga askie apate adabu
Uyu jamaa anamatatizo kwakweli
You and who.
but you abandoned UHURU Nhe was accorded proper environment that enabled rais to complete the job
Bure kabisa
Joshua bandia AKA mwizi wa kemsa abadilishwe diapers ame pupu ELFU SITA 😂
Ruto wants to be associated with success and not failures, is he really serious? In any case he has been loitering all over the country peddling propaganda instead of helping his boss to deliver on their election promises.
Ulishindwa na kazi sasa wewe siumeenda UDA