Rais ajaye, Naomba siku moja aje kuwa rais huyu waziri mkuu, namkubali sana na Mungu amlinde sana, maana huyu ndiye mwenye uchungu na fedha zetu, hapa kazi tuu👏👏👏👏👍
Mheshimiwa Waziri mkuu simamia ukweli na kuwatetea wananchi wako tunaanza kuwa na imani na wewe, hata wakikuchukia Sisi watanzania tuliowengi tunakuhitaji katika Taifa hili na tunakuamini.
Ifkie mahali watunz vifaa tiba wawe makamanda JWTZ kidogo wanauchungu na Nchi hivi vinavyofichwa sehem kesho kutwa vinaenda hospital binafsi vibovu vinaletwa hapo
Badilisheni namna ya kuwapata Wakurugenzi na Wakuu wa idara. Tangazeni hizo kazi watu wafanye interview ili mpate watendaji wazuri lakini kwa kuchukua makada wenu mnawapa nafasi haya matatizo katika nchi hayataisha. Kuna watanzania wengi wazuri katika utendaji na usimamizi lakini hawapati fursa kwasababu sio makada wa chama. Badilikeni chukueni hatua.
Huyu alifaa kabisa kuwa Raisi semaCcm mtu kama huyu mjomba Kassim itakuwa ngumu hapo huyo mkurugenzi mweka hazina mkandarasi wana watu huko juu hata akiwatumbua atakuta wamehashiwa mikoa mingine na alishakutana nayo kamtumbua mtu Tabora kamkuta mpanda anaendeleza wizi hiyo ndiyoTz
Degeree hizo..🤣🤣🤣....Bure kabisa , MAVICHWA BOKSI ...!..Vifaa mnashindwa hata kuvifunika NYLON...! Hao watumishi ni JINGA kabisa..Hela ipo lkn wamekaa tu kama MISHIPA , afadhali hata MSHIPA unaenda kushoto na kulia..!..PUMBAAAV sana
Hii nchi ni ya hovyo sana. Hiyo kazi ya usimamizi hata mtu wa darasa la Saba atasimamia.ila Hawa viongozi kuanzia mkurugenzi,mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya hakuna kazi wanazofanya Hawa. Kazi ni kila pesa tu wa miradi.
sasa kama watendaji wenyew hawajielewi kwa hali ya kawaidaa Jpm aliwaitaa vilazaa DED, mtunza hazna, manunuzi wote wapo ofc moja lkn cha ajabuu wanapshana kauli... hao ni sehem ya watendaji wa serikali walowaklshaa wengne wapo wengi kulkoo maelezoo pesa znapigwaa kila kukichaa watz wanalia njaaa gharama za maisha zkoo juuu, maji tatzo , afyaa bado kisiki afu serikali inakuja na kuwatwishaa mzigoo watz kwa kulipaa kodi kumbee pesaa wapo waliozishkliaa kwa manufaaa yao binafc
Yaani waliojabidhiwa dhamana ya kusimamia serikali ni wazembe kupitiliza, matumbo mikubwa laini akili ndoto, kuanza wachunguzwe kama elimu yao inabidi hawa wazembe.
🤣Nnapocheka zaidi ni pale ambapo mkurugenzi wa manunuzi anaposema hajaona dokezo halafu viumbe waliokaa nyuma yake wamejishika mikono kama wanaheshima sanaa kwa waziri mkuu na watanzania kwa ujumla kumbe wanafki wakubwa!
Hayo ndo madhara ya kupitisha wabunge na madiwani bila kupingwa ndo inasababisha mnakulana wenyewe kwa wenyewe bcz hakuna wakumnyooshea mwenzake kidole hivyo sishangai kwa mautumbo hayoo.
Kiukweli ata mimi natamani ata kesho mama aachie kiti majaliwa akae maana ndie mtanzania ninae amini ata tunyooshea wapumbavu kwajili yamaendeleo yawatania
Madhara ya kupewa nafasi Watu wasio na sifa ndiyo haya,nafasi zinakuwa za mchongo,hovyo kabisa na cha ajabu,kuna Mkuu wa Wilaya,Mkuu wa Mkoa,Mwaziri wapo,hovyo kabisa
Rais ajaye,
Naomba siku moja aje kuwa rais huyu waziri mkuu, namkubali sana na Mungu amlinde sana, maana huyu ndiye mwenye uchungu na fedha zetu, hapa kazi tuu👏👏👏👏👍
Kwa mwendo huu kweli tunamuhitaji sana huyu
True
sssirmu tenaaa mhh
Kabisa
Kwa huu mwendo hawez kumpa urais wataogopa atawasumbua ad wao
Majaliwa 🔥🔥🔥 yaani huu ndio uzalendo na uwajibikaji, safi waziri wangu na Mungu akubariki.
Tunakupenda Sana Mheshimiwa Kassim Majaliwa, waziri Mkuu....piga kazi
Safi sana ndg wazir mkuu keep it up
Ndio maana Kwa Hali hii naunga mkono kubinafsisha bandari maana watanzania tumezidi wizi!!!!!
Hizi nyakati tumezimisi sana zinaitwa papo kwa papo
R.I.P. JPM
😭😭😭daa magu kweli hatutamsahau
Magufuli angeota kumchagua huyu kuwa Makamu wa Rais, leo hii tungekuwa na Rais boooora kabisa. Majaliwa anachapa kazi huo ndio ukweli
Watu Wanapiga ela tu!tunabamwa Sisi wajasiriamali ela wanakula tu watu kiulaini Sisi tunabamwa makodi kila kukicha😢
Kwakweli inauma sana.
Safi sana ndg waziri mkuu keep it up
Mollah akupe afya njema Baba majaliwa 🇹🇿🇦🇪
Unatukumbusha enzi za magu safi sana
Sukuma ndani wote hao mkuu
huyu ndio waziri mkuu wa JPM tulie mzoea sijui alikuwa wapi sasa inayonyesha karudi asante mungu
GOOD kazi ni ufuatiliaje sio meza na mafaili tu ofisini
Mheshimiwa Waziri mkuu simamia ukweli na kuwatetea wananchi wako tunaanza kuwa na imani na wewe, hata wakikuchukia Sisi watanzania tuliowengi tunakuhitaji katika Taifa hili na tunakuamini.
Ifkie mahali watunz vifaa tiba wawe makamanda JWTZ kidogo wanauchungu na Nchi hivi vinavyofichwa sehem kesho kutwa vinaenda hospital binafsi vibovu vinaletwa hapo
Jamaniiii eeeeeeeee, Waziri mkuu umenipa Raha sana Mzalendo wa kweli, Over mkuu wa Mkoa msitaafu wa Tabora MWANRI.
AHSANTE MH WAZIRI MKUU KASSIM MAJAALIWA(BIG UP
Me nakwelewa mzee kwanz ww una hofu ya mungu
Mungu akuride majariwa
Watu wanaupiga mwingi nikimuona waziri mkuu namkumbuka baba Magufuli😢
Badilisheni namna ya kuwapata Wakurugenzi na Wakuu wa idara. Tangazeni hizo kazi watu wafanye interview ili mpate watendaji wazuri lakini kwa kuchukua makada wenu mnawapa nafasi haya matatizo katika nchi hayataisha. Kuna watanzania wengi wazuri katika utendaji na usimamizi lakini hawapati fursa kwasababu sio makada wa chama. Badilikeni chukueni hatua.
Na wewe kawe Kada ili upate hiyo nafasi
Fukuza kazi wote kwanini mnawabembeleza au mpaka mpinduliwe
Naam
Safi sana muheshimiwa
Mungu akubariki waziri mkuu. Yaani uwe rais itapendeza sana
Sana Kwa kweri.
Kuna siku atakuwa mkubwa zaidi ya hapo anafanya kazi vizuri
Hawezi watu wamesha muona wapigaiji wengi ndani ya Chama lake hawawezi kumpa
Mjomba me nakukubali sana yani siku ukigombea urais kura yangu lazima nikupe Inshaallah maana unapiga kazi
Yan waziri mkuu naomba Mungu siku aje kuwa naye Raisi
We ngoja mungu pekee atalipa ameeen😢
Watanzania hyu mwamba wenu anafaa kuwa Rais haya kazi kwenu sijasema mwaka gani lakin anafaa saana Maguu the 2nd
Kwani kuwanyonga kabisa haiwezekani ili kupunguza watu wasiofaa.
😂😂😂😂😂😂
@@nailaomar4810😂😂😂😂
@@josephatjordan2150 au wewe unaonaje ndugu
Ingekuwa vzr zaid
Awa sifazao ni kulima matikiti sio uongozi
Mama hafai katika usimamizi anaonyesha ana kaa office ni tu😊
Tupeni kazi hizo.Wako wastaafu wenywe weledi na uzoefu ambao wanaweza kuwasaidia kama mtawahitaji.
Weka ndani wnakula hela za wanyonge
Tatzo ajira muhimu Kama hizi mnawapa watu kichama
Kuna kazi, pesa zinajenga majumba yao. Wanashindwa kusema pesa hakuna hapo zimeliwa zote.
Na bado wilaya jilan hapo Kuna uhuni mwingi sana
Kwanza mkurugenzi anamuita mh naibu waziri mkuu😂😂
Watukumbusha mbli mzee
Huyu alifaa kabisa kuwa Raisi semaCcm mtu kama huyu mjomba Kassim itakuwa ngumu hapo huyo mkurugenzi mweka hazina mkandarasi wana watu huko juu hata akiwatumbua atakuta wamehashiwa mikoa mingine na alishakutana nayo kamtumbua mtu Tabora kamkuta mpanda anaendeleza wizi hiyo ndiyoTz
Wezi mpaka wanaishiwa uongo wa kujibu duhhhhh hatari wameiba mpaka basi hahahaaaaaa
Dah! Nchi hii,,,!!!!
Hivyo vifaa vitaibiwa vyote hao wete ni wezi
Mzee wetu alipoa sana sijajua shida ilikuwa nini lakini anatakiwa awe hivi akipoa tunajisikia wanyonge kiasi kwamba tunamkumbuka BABA 😮😮.
Kweli kabisa akifanya hivi tunapata faraja tunaona kweli baba Magufuli aliacha mtu.
Hpo kwenye "WACHUNGUZWE" ndio huwa kuna haribu kula kitu,maana huwa inaishia juu kwa Juu,just some childish STUNTS
Mkurugenzi wa jiji la arusha kafungwa miaka 20 hakuna mambo ya kuishia juu juu
Mh hapa changalamacho hata mm nisie kuwa na elimu nimeshaona kuna wizi fedha hakuna zimeshaliwa
Yaani zahanati inajengwa mwaka mzima 😅😅😅😅
Aisee Kigoma bado ni Shamba la bibi.🤦🤦🤦🤦🤦
Degeree hizo..🤣🤣🤣....Bure kabisa , MAVICHWA BOKSI ...!..Vifaa mnashindwa hata kuvifunika NYLON...!
Hao watumishi ni JINGA kabisa..Hela ipo lkn wamekaa tu kama MISHIPA , afadhali hata MSHIPA unaenda kushoto na kulia..!..PUMBAAAV sana
Hii Tanzania haiendelei kwa sababu watu sio wafanyaj kazi ni ujambaz tu
Hii nchi ni ya hovyo sana. Hiyo kazi ya usimamizi hata mtu wa darasa la Saba atasimamia.ila Hawa viongozi kuanzia mkurugenzi,mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya hakuna kazi wanazofanya Hawa. Kazi ni kila pesa tu wa miradi.
sasa kama watendaji wenyew hawajielewi kwa hali ya kawaidaa Jpm aliwaitaa vilazaa DED, mtunza hazna, manunuzi wote wapo ofc moja lkn cha ajabuu wanapshana kauli... hao ni sehem ya watendaji wa serikali walowaklshaa wengne wapo wengi kulkoo maelezoo pesa znapigwaa kila kukichaa watz wanalia njaaa gharama za maisha zkoo juuu, maji tatzo , afyaa bado kisiki afu serikali inakuja na kuwatwishaa mzigoo watz kwa kulipaa kodi kumbee pesaa wapo waliozishkliaa kwa manufaaa yao binafc
Asante waziri wetu mkuu. Tumekuona. Asante baba. Pambana na uzembe wote. Tusaidie baba. Msaidie sana mama rais wetu ktk ufuatiliaji wa karibu kama huo
Waziri mkuu safi! Ila jitahdi ufanye mazoezi upunguze ktambi! Make tunakutegemea 2025! ( Mchaka mchaka)
😅😅😅 Sawa kabisa ni rais ajaye huyu
Hawa ni hatari sana.
hatari kuliko kuuza bandari.
Pesa zinaliwa tu
Dah watumishi wa serikali hamutuonei huruma walipa kodi. Sura zenu tu zinaonesha ni wezi na waongo kama watoto wadogo tu. Mnajikanyaga kanyaga tu.
mzee hao awakuelewi unaongea nini ukiwaona kama watu vile apo wanatamani ata ufe waendelee kuiba.. ni watu hatari sana hao.
Asant asant sana mh
Kwa kubananisha huku mpaka waseme😂
Watakuwa hawajawagana sawa. Ndio maana wanapishana maelezo
Jembe wangu majaliwa nakuombea uwe juu zaidi ya hapo ila tatizo uko chini ya mamlaka ungekuwa juu ningechinja mbuzi
😅😅😅😅 hata Mimi ningechinja ngamia
Mbona pesa zilishapingwa???
Fukuza hao Majambazi,hawa ndiyo wanafanya tumchukie Rais samia
sheria ya kwanza ya mwizi wa serikalini ni unyenyekevu na kufunga mikono na kuwa msikivu kinafiki. ukimpa kisogo umeisha anahamisha zote wala aibi.
Kasim majaaliwa. Simamia haki. Siku ukitangulia mbele za haki MUNGU atakuuliza. Mamlaka ni majukumu mazito. Simamia haki mkuu.🇰🇪
Na bado wilayan jilan hapo Kuna uhuni mwingi sana
Wewe ndio kiongozi mkuu wa nchi hii huyo mwingine yupo tu na biashara zake za nchi
Baba hao ndio wanaoturudisha nyuma mzee wanajali matumbo yao tuu
Mii nikajua hapo hapo unawafuta kazi walafi wakubwa hao kila mtu anaongea lake havieleweki.
Hao wote wanaojichanganya wako chini ya Mkurugenzi, Mkurugenzi ni mteule wa Rais. Hapo angekuwepo JPM Mkurugenzi angekuwa hana kazi sahiz
@@nitumesokoni3164 true jpm alikua hana maelezo mengi akijua wote wapgaji
waziri mkuu nenda arusha jiji mkurugenzi na timu zake wanafanya hayo hayo ya kigoma
tena wale wamezidi
Mkuu hamna hela hapo wameshapiga kitambo...hela wamekula ...Toka 2021 hela iwe tu kwenye account bila kutolewa ..haiwezekani
Sasa hii itasaidia nini na wakati nchi haina raisi kelele tu za bure
Namuomba mungu cku moja huyu majaaliwa awe raisi wa tz
Nchi hii itafikia mahali mpaka bakora ndo watu waende
Wanapedelea vitambi vyao tuu hao , hakili hakuna kabisa utawekaje vitu kama hivyo nyumba haijaishaa??? Waongoo tuu wote hao waziri mkuu majaliwa
Yaani waliojabidhiwa dhamana ya kusimamia serikali ni wazembe kupitiliza, matumbo mikubwa laini akili ndoto, kuanza wachunguzwe kama elimu yao inabidi hawa wazembe.
Jamani viongozi wengine hata aibu hawana nihatali mpaka wawe wanahukumiwa hapo hapo miaka 5 na kufatiliwa ana nini
🤣Nnapocheka zaidi ni pale ambapo mkurugenzi wa manunuzi anaposema hajaona dokezo halafu viumbe waliokaa nyuma yake wamejishika mikono kama wanaheshima sanaa kwa waziri mkuu na watanzania kwa ujumla kumbe wanafki wakubwa!
Ha ha ha Waziri Mkuu huyu hopeless!
Ukitoka home uko kwenye V8 umekalia kodi zetu miradi haiendi unasubiri kustaafu ule mafao huo ni upuuzi piga bomu hapo.
Wezi hao wanaibipu selikari wanapiga mahesabu yao kwanza waibe kiasigani sukuma ndani hao
Nalia mimi naona uchungu mimi tunalipa kodi kwanguv wat wazichezda koda zetu
Hapo kwenye kuchunguza ndo huwa wanachekecha mamb yanaishia hapo hapo
Jembe iloo
Ivi unaweza kupewa nafasi ya pale juu angalau miaka 5 tu
Hii ndio afrca bhana
zimeshaliwaaa😅😂
Mpaka kasema mh mkuu wa wilaya duuuuu
Hapo mheshimiwa hujaenda kijiji cha samwa wamepunga pesa
Hayo ndo madhara ya kupitisha wabunge na madiwani bila kupingwa ndo inasababisha mnakulana wenyewe kwa wenyewe bcz hakuna wakumnyooshea mwenzake kidole hivyo sishangai kwa mautumbo hayoo.
UKIRUDISHA MIKE USIONDOKE WAPO WENGI MKUU
Pesa walishakopesha
Yanii watuhawa washugulikiwe hivi utawala wa wazungu sie hatuwezi sifurahii ila ndio tulivyo aibu tupu
Kiukweli ata mimi natamani ata kesho mama aachie kiti majaliwa akae maana ndie mtanzania ninae amini ata tunyooshea wapumbavu kwajili yamaendeleo yawatania
Hakuna hayoni magizitu
Hivi sijawahi kufahamu ,Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa mkoa wanafanya kazi gani ? Mbona ni kama hawaitajiki sasa kama ni hali kama hii.
Uje ukague Barabara ya kutokea busweru kwenda shibura mbona wanasua sua na mbunge wa ilemela Mabula yupo tunataka kujua wanainchi cause hiko slow mno
Mkurugenz ,, mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa xote n teuz za Rais ,majaliwa hana mamlaka ya kuwatengua ,,hapo sa hz angekuepo Rais kngeumana
Madhara ya kupewa nafasi Watu wasio na sifa ndiyo haya,nafasi zinakuwa za mchongo,hovyo kabisa na cha ajabu,kuna Mkuu wa Wilaya,Mkuu wa Mkoa,Mwaziri wapo,hovyo kabisa
Tatizo hawa wote wanateuliwa na mtu mmoja ndugu yangu. Mkuu wa Wilaya au Mkoa hana sauti kwa Mkurugenzi maana wote wanashtaki kwa mtu mmoja
Majaliwa uwe unatembea na difenda.
Mimi nawaamini wate ambao wapo juu yaan rais na wasaidiz wake wote
Huyu mwamba anafaa