MLIMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 23

  • @salminlyimo7850
    @salminlyimo7850 Рік тому +2

    Mlima wenye vilima vyake Tanzania 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Рік тому

    Huyu ndiye chejoo huyu ndiye fundi machejo ooo machejooo

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f Рік тому

    Hii njia ni finyu sana. Kwani wahusika hawaoni au

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Рік тому

    Chejoo ooooooo Asante chejoooo tuna enjoy chejoooo video zako ni noma brother

  • @dishonmagereza1114
    @dishonmagereza1114 Рік тому

    Sana machejo kazi nzuuri 🔥🔥

  • @emmanuelblazy1289
    @emmanuelblazy1289 Рік тому

    Video zenye dakika nyingi ndio nzuri kwa sisi wanazi tunaopenda kufuatilia matukio ya mabasi tz.. KAZI nzuri machejo, tuwekee nyingi kwa nyingi wanazi tuburudike👍👍

  • @OleSindima-wt4dy
    @OleSindima-wt4dy Рік тому

    Mwendo kali sana

  • @godfreyjohn5878
    @godfreyjohn5878 Рік тому

    DTR la kuparamia milima🙌🙌

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Рік тому

    Kitonga kweli ni barabara hatari

  • @raymondjonathan173
    @raymondjonathan173 Рік тому +1

    Napakumbuka kitonga tulipotumbukia na bus la binkleb Hadi bondeni Ila tulinusurika

  • @byadieuwizbaby-yb8db
    @byadieuwizbaby-yb8db Рік тому

    Njia iyi duhhh

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Рік тому +1

    Hiyo baraba tunaomba iwe na njia tatu yakupanda mbili tena ziwe pana na kushika iwe moja pana. Selikali kama inaerewaga somo hiyo hapo ni hatari sana mimi ni dreva wa miaka 26 sasa napita kwenye njia hiyo nihovyo kuliko maereza hasa wa gari ya manual kupandish mbaya zaid police wanaakili za ajabu inaonesha hawana fan za udreva wanakupiga fain ukiovateki mliman ivi hawa wanaakili kweli. Mlimani gali ukichenji gia gar inafer kupanda. So ukiwa sipid angarau 30 /40 inabidi unitaidi upande hivo gar isije kufeei kupanda ikiludi nyuma tu munakufa rais wa tz tunakuomba tupanulie huyo njia iwe njia 2 kupand kushuka njia 1 pana au njia 2 tena

  • @daviscissokho9471
    @daviscissokho9471 Рік тому

    238 DTR sauti ya braza Michael ikiskika

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Рік тому

    Asante Sana chejoooo

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 Рік тому

    🔥🔥🔥

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 Рік тому

    Barabara hii kwa nini isipanuliwe na kufanya njia nne?

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Рік тому

    Ni ubunifu mzuri hata ambao wanausikua tu mlima kitonka wanafaidi kupitia ibunifu wako.siku nyingine tupeleke hadi mwisho wa njia tuione tz kupitia chenell yako.ukiendeleza ubunifu huu kuna siku utavunja rekodi ya kuwa na watazamaji wengi

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi Рік тому

    ❤❤❤

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 Рік тому

    Hapo mlikuwa mnapanda au kushuka

  • @AlamanoMsola
    @AlamanoMsola Рік тому

    Inapanda hiyo