Stori za Wahehe Kula Mbwa na Kujinyonga, Mwenyekiti wa Wazee Iringa Asimulia Ukweli Wote
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Stori za Wahehe Kula Mbwa na Kujinyonga, Mwenyekiti wa Wazee Iringa Asimulia Ukweli Wote
BONYEZA LINK 👉 play.google.co... kudownload application ya Habari Kwanza sasa uwe wakwanza kupata habari, matukio na taarifa zote muhimu.
Daaaaah, nimefrahi sana kusikiliza kipindi hiki,pia tunaomba aendelee kutusimulia mambo mengi yanayohusu mila na desturi zetu
Sana aendelee
Inawezekana Tunauchina ndani yetu.
Home sweet home
Wee hatulimbwa bwana sisi maharage tunaita madogi
Twilumba mvaa veetu
Raha sana ukuva
Raha sana ukuvawona avazee
Kwa iringa mbwa kweli kaliwa
Mvaha tukudumulile kima kimwinga,baba alisema
Ugali na doogi
Yaani ugali na maharage.
Wewe si Mhehe
@@soloartist_ivanvespalusind1609 acha uleja
Pongezi kwako mzee wa Wahehe.
Naomba tutenge siku moja kila mwaka lengo likiwa ni:-
(1)Kuwakumbuka mashujaa wetu wa kihehe waliopambana vikali na wavamizi wetu.
(2)Kukumbushana mila na desturi za kihehe na kuhimiza utekelezaji madhubuti wa mila hizo ili zisipotee.
Kweli
mamaad nzur jamaan tusiwe wakuambiwa tu kila kitu da ingiya ndani kalibun wot ususan vijan????
Hata makonde huambiwa kula watu
Mhh