Hujafa Hujaumbika - Night Star

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 24

  • @athumaniathumani3082
    @athumaniathumani3082 2 роки тому +1

    Asa , Amini kama ujaupata Umahuti ujaumbika, , ukiwa una akili timamu, ucmcheke mtu kisa. Ana kitu,. Muziki fundisho Kwa Kila mja wamwenyezi mungu

  • @mohamedmakwega4594
    @mohamedmakwega4594 4 роки тому +7

    Tunaokumbuka enzi zetu,Gongs like tuwe pamoja.

    • @mudymaliki3835
      @mudymaliki3835 4 роки тому

      mohamed makwega Mudi Mpaka apo nimekusoma ila Ivi Uyu aidali kesi nabosi wake mkamashapu wapo AI? Maana kipindi icho nilikua naitwa kauzu sasa jinalangu lakuzaliwa limeludi naitwa Matola

  • @hadijaissa9286
    @hadijaissa9286 4 роки тому +5

    Sitasahau siku nipo kwenye gar naenda kumuona baba amelazwa muhimbili kila nikisikia hii machozi yananitoka

  • @mzeemudy8905
    @mzeemudy8905 5 років тому +6

    Kaka hapa leo umeniweza

  • @mohammedputta5821
    @mohammedputta5821 8 місяців тому +2

    My cousin Haidari Kesi ndio alikuwa incharge wa Night Star kwao Ilala mtaa wa Morogoro na Songea.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  8 місяців тому

      Kaka, naomba namba yako... Yangu ni 0713538427

  • @allyshabani5662
    @allyshabani5662 4 роки тому +3

    Mudy mwanaharakati,unatuwekea vitu vya kukumbuka mbali sana hasa kwenye hizi ngoma za mchiliku,Naomba unitafutie kile kikundi kilichokua kinaitwa dawa ya nyota nakumbuka kama kilikuwa kinamilikiwa na ccm walikuwa wanapida mchiliku wanatumia na magitaa.

  • @FatumaMbegu-qx3ow
    @FatumaMbegu-qx3ow 10 місяців тому +1

    Uyu aflan yupo wapi jamaniiii waenga washaelewa

  • @mzeemudy8905
    @mzeemudy8905 5 років тому +5

    Leo ntakesha nasikiliza hizi ngoma

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  5 років тому +1

      Hahahahaha pole babu!

    • @mzeemudy8905
      @mzeemudy8905 5 років тому

      Muddyb Mwanaharakati kaka hebu zitupie nyimbo zote za night star

  • @ambegu4395
    @ambegu4395 4 роки тому

    Mmenikumbusha mbali sana eziizo ibendi ipo mwananyamala nauyo Mumbai alflani na wakumbukawajomba zangu 😭😭😭

  • @abdallahmtambanze4354
    @abdallahmtambanze4354 5 років тому +1

    Kaka utuwekee na topaz

  • @latifahsalum3479
    @latifahsalum3479 5 років тому +1

    Nice

  • @nassorolikoko9191
    @nassorolikoko9191 5 років тому

    Muddy nakupongeza kwa nyimbo za kizazi chetu na hasa hizi za mabingwa mchiriku😃😃😃

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  5 років тому +1

      Karibu tena, kaka!

    • @nassorolikoko9191
      @nassorolikoko9191 5 років тому

      @@TamuzaKale kwani umeleta mali mpya?

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  5 років тому +1

      @@nassorolikoko9191 Bado kaka. Nilizidiwa na kazi kidogfo...