Unadhani unajua Kiswahili? Subiri kwanza hadi umsikilize fundi huyu, Joram Nkumbi, utajua hujui!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 247

  • @pabloomakaveli5635
    @pabloomakaveli5635 2 роки тому +17

    Joram anajua sana alishatufundisha kuhusu historia ya hayati mwl Julius nyerere tokea amezaliwa mpk umauti ulivyomkuta tukiwa secondary

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 роки тому +20

    Nimejifunza ya kwamba ulimi ni kibaka mkubwa saana alieshindikana hiyo ni kweli kabisa na nikajifunza ya uwepo ni unatumika kwa muumba jala jalali na kwa binaadam unatumia neno kuwepo kwako asante kwa kujifunza haya hakika kiswahili ni lugha tamu sana

  • @fadhilahassan2455
    @fadhilahassan2455 2 роки тому +12

    Hongera ndugu, unaongea kiswahili kizuri maneno mazuri yana bashasha sana.
    Kwa mbaali unafanana na mwigulu .

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato Рік тому

      Wote ni Wanasingida

    • @rashidissa5794
      @rashidissa5794 Рік тому

      Kwani huyu Jamaa ni mtoto au ndugu wa Mwigulu Nchemba? Mbona nafanana kwa sura na sauti? Pia Msingidani?

  • @janetcharo1543
    @janetcharo1543 2 роки тому +50

    My Kenyan🇰🇪 swahili is broken and not fluent lol.
    Much love to Tanzanian swahili ❤❤

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 2 роки тому +43

    Umeenda zako kuomba KAZI dakika ya mwisho mara paaaa! Unafanyiwa interview na huyu msela.. natoroka mie🏃

  • @hopelicious
    @hopelicious 2 роки тому +8

    Am proud of you brother Joram. Much love.

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 роки тому +3

    Hapo kwenye matumizi mazuri ya ulimi umenikosha sana mtaalamu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄

  • @mirajimtaturu459
    @mirajimtaturu459 2 роки тому +3

    Hongera Sana Comrade Jorum Nkumbi wewe ni hazina ya nchi .

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 2 роки тому

    Kiswahili tunajua lakini huyo anatumia misamiati ile uliyo dadavuliwa ila wengine tunatumia kile kilicho Dada vuliwa kiufupi yeye yupo sawa na sisi tupo sawa pia🙏🙏🙏 brother yupo vizuri great 👍

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius 2 роки тому +6

    My classmate my neighbourhood..Friend indeed.Singida

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 2 роки тому +1

    Huyu mdigo maneno yake yanamaana sana Asante sana ndugu

  • @ninsiimaalfred2643
    @ninsiimaalfred2643 2 роки тому +4

    Mie ni kijulanga mpenzi na shabiki wa lugha akrama ya kiswahili, huyu bwana namsharifu popote pale alipo. Maneno yake matamu yanirovya rovurovu na kunitebweresha tebwere huku nikijiona nyumbani na kuzidi kutabaruku naye kila uchao. Mwenyenzi Jalia ambaye twasujudia kila kunapokucha amjalie saada na sudi katika hii sayari ya tatu 🙏

    • @bintik2311
      @bintik2311 2 роки тому +1

      Ndugu hii amjalie Saada na Sudi watoto? Au Kuna maana nyingine ?hebu nijuze maana kiswahili nimejua kina mengi.

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 2 роки тому +1

      Hahaha! Kijulanga mwenzangu umenena ulumbi Mororo sana! Naam tukuze kiswahili chetu tuache kuongea kiswahili shelabela. Nayeyuka

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 2 роки тому

      @@bintik2311 sudi ni bahati njema, heri, najaribu

    • @titokipkosgei3325
      @titokipkosgei3325 Рік тому +1

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 5 місяців тому

      😂😂😂😂kumbe wengine wapo humu wamejificha

  • @BaselineOnlineTv
    @BaselineOnlineTv 2 роки тому +6

    Sounds Like Nyerere Somehow 🙄One Love Brother #SnS Mpeni Time Huyo Jamaa Hata Mara 1 Kwa Wiki, Hope tutajifunza Mengi #Elimu Haina Mwisho#Swahili To The World 🗺

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov 2 роки тому +5

    Joram good language clear swahili 🤗🤗🤗

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 роки тому +3

    Mimi nimependa kicheko tuuu 🙌🙌🙌

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha8623 2 роки тому +7

    Waaaaah... kama kweli sijui kiswahili huyu jamaa kanifunza

  • @PendoKiombee-rq2fq
    @PendoKiombee-rq2fq Місяць тому

    Mungu akubariki sana kaka

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 11 місяців тому

    Joram anaongea kwa Utononoti uliotukuka kwelikweli.🎉❤

  • @benhamza5649
    @benhamza5649 2 роки тому +6

    #kingmusic ebu yaweke kwenye nyimbo ili yakae milele, maana nikiwaomba hili #wcb, kesho mwanangu atasoma matusi ao yasio kheri. 🇺🇸

  • @newking6497
    @newking6497 2 роки тому +19

    My classmate at Mwenge Catholic University 👏🏽👏🏽👏🏽😍😍

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 2 роки тому +2

    Joram Mimi ni chifu nipo huku morogoro nimekuelewa sana pia nimependa falsafa zako ni Nzuri sana hakika wewe ni mswahili aswaa hongera sana Mimi ninakuita Dactari Joram mswhili

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 2 роки тому +3

    Huku Joram, kule Oni sigala
    Wasikilizaji itabidi kila mmoja wao awe na kamusi 😂

  • @alexmmbaga441
    @alexmmbaga441 2 роки тому +5

    Huyu barubaru anatusaidia waja chochole kutondoa utondozi wa kuzungumza shelabela

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh 2 роки тому +6

    Like him... he's really fund wa kiswahili

    • @benmbwele
      @benmbwele 2 роки тому

      Huyu ni Mbuji huyu.

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 2 роки тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣si amenichekesha hataree jamanii 🙆

  • @jameskahamba4023
    @jameskahamba4023 2 роки тому +7

    Huyu jamaa ukikaa nae huwezi nuna, anaoneka nimcheshi sana

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo 2 роки тому

    Usongombwingo na ufukufuku, nitamletea mandungumbwaro aseee. Ntamueka chini kirago cha ukuba wa mbeleni.

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 2 роки тому +5

    Kijana wa singida katishaa Sanaa munyampaa huyu

  • @sheilaporomoka8079
    @sheilaporomoka8079 2 роки тому +4

    Tumesali wote jumapili hii TAG AREA D DODOMA. IBADA YA KWANZA

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 Рік тому

    Asante kaka

  • @emmanuelmagova3930
    @emmanuelmagova3930 2 роки тому +3

    😄😄hakika nimejua sijui🙌🏻

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 2 роки тому +1

    African Language its so beautifully

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 2 роки тому

    Talented Joram go great bro

  • @deogratiasshija5897
    @deogratiasshija5897 2 роки тому

    Safi sana ..saafi.

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata2312 2 роки тому

    Hongera sana kaka nimekubali asee

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 2 роки тому +5

    For all of u outsiders who dont understand this guy I wanna say ama swahili speaker and I dont understand a word he is sayin koz his swahilli is of literature

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 роки тому +3

    Mtimbwiriko 🎉🎉🎊👌🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 2 роки тому +4

    Jamaa anafanana na wazulu

  • @edwardedwardbuberwa3701
    @edwardedwardbuberwa3701 2 роки тому +3

    Kijana anajua hakika tulidhan bingwa wa misemo ni Mrisho Mpoto kwa kizazi kipya kumbe wapo vijana barubaru kama huyu wana sifa lukuki za kumwaga ngeli na ngali rahaja na misamiati lukuki hakika twaelekea kuzuri

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili 2 роки тому +3

    Hakika humejawa ,, endendea kubalizi kiswahili kweli hadimu na hadhimu

  • @apostlejoshuakuhanda5524
    @apostlejoshuakuhanda5524 2 роки тому +2

    Nami nitiririke maneno mithili ya maji mtoni, kweli, nimebarikiwa na hazina ya maanani itokayo kinywani mwa ndugu yetu JORAM...

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 2 роки тому +4

    Duuh hatari lugha yangu ya taifa mie mkongo

  • @africanproudly4004
    @africanproudly4004 2 роки тому +4

    Kuna muda naonaga tusibishane kiswahili anakijua zaid nani
    Kiswahili ni kigumu 🤣🤣

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 2 роки тому

      Sana tena Sana. Ndo maana ht sekondali unaambiwa sm gumu ni kiswahili, maana kumegawanyika mno.

    • @ramyali6347
      @ramyali6347 2 роки тому

      Kutojua misamiati aliyotumia hakumfanyi mtu hajui kisw. Lugha ni ufasaha siyo ukubwa wa misamiati.

    • @franciskyombo9394
      @franciskyombo9394 2 роки тому

      @@ramyali6347 jamaa anajua ira kaka umeongea point unakuta mfano neno moja la kingereza lina maana zaidi ya mbili ukijua maana moja ukashindwa maana nyingine ndo hujui kingereza.

    • @ramyali6347
      @ramyali6347 2 роки тому

      @@franciskyombo9394 hakumfanyi hajui kiingereza. Maana hata kwenye kiingereza kuna maneno hayatumiwi na watu wakawaida ila waandishi wa vitabu tu kwaajili ya kupamba kazi zao. Na waingereza wenyewe siyo kwamba wanayajua maneno yote. Siyo kweli. Na hayo aliyotumia huyo jamaa mengi hutumika kwenye mashairi na mingine yanamepatiwa maana zake nyingine mfano Shelabela watu wanatumia-- "Ovyo/mambo ya ovyo ama yasiyoleta maana . Ila moja tu hili mtimbwiriko linatumika sana tu visiwani kwenye harusi na rudia kwenye nyimbo ya zuchu Litawachoma ametumia "timbwiritimbwiri mpaka mapamazuko " siyo kama hayajulikani ila hayatumiwi tu.

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 2 роки тому +5

    Hakika hiki nichuma afu kinaonekana kina soma sana vitabu

  • @benmbwele
    @benmbwele 2 роки тому

    Vijulanga wengi wanakasumba za kikoloni....wamejawa na ufukufuku na mangungumbaro ambayo huleta songombiingo katika mijadala.
    Ahsante kwa matumizi mazuri ya gayagaya za waswahili na ukumbusho wa msemo wa "Zani halina hazina ni ukuba wa mbeleni".

  • @emanuelmbondo4598
    @emanuelmbondo4598 2 роки тому +3

    Baada ya kumsikiliza Joram na kiswahili chake! Je tuendelee na mpango wa Kiswahili kutumika kama lugha ya interview alafu mwendesha interview awe Joram?!😂😂😂

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 2 роки тому

    Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +2

    Haahah jamaa ana sauti nzuri sana

  • @victorsailos2580
    @victorsailos2580 2 роки тому

    Umenena ingawa si mneni wa waneni ila umenena, nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu😂😂😂😂

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 2 роки тому +4

    Kiswahili chapwani khaswa hichi ndo mambo zetuu sie watuu watanga, mombasa, hadi zanzibar

    • @asyashariffu7717
      @asyashariffu7717 2 роки тому

      Ukisema Hadi zanzibara..unamaanish Zanzibar ni ya mwisho kw kiswahil kuliko Tanga na Mombasa ...kuwa na adabu na zanzibar ww ipe heshima yake kweny kiswahil Tanzania na Dunia mzima

    • @UMMAHWASATIYYAH
      @UMMAHWASATIYYAH 2 роки тому

      Mambo zetu?! Kiswahili kwisha kufeli mpk hp 😂

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 2 роки тому

    Safi sana..

  • @jemjaywembo
    @jemjaywembo 2 роки тому +1

    Hiyo ni Shang ya tz kwetu Kenya 🇰🇪 sisi husema nakulombotove

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 2 роки тому +7

    Anaakili sana huyu jamaa! naweza mpataje

  • @noberthugho2555
    @noberthugho2555 2 роки тому +2

    "Fikra mkururo"😂

  • @hadijagere
    @hadijagere 2 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣eti mtimbwiriko

  • @mwlhumphreysamwel9930
    @mwlhumphreysamwel9930 2 роки тому +2

    Kweli huyu ndugu amejaliwa kuongea vema lakin nimebarikiwa sana sana na kicheko chake

    • @mwlhumphreysamwel9930
      @mwlhumphreysamwel9930 2 роки тому

      Amini kuwa umebarikiwa sana kwa hekima na busara za maneno you are good my bro

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 2 роки тому

    Kongole ndugu 👏🏿

  • @lewakhamis3538
    @lewakhamis3538 2 роки тому +2

    Anaongea kama watu wa Mombasa Wallahi...

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 2 роки тому +2

    Kama nyerere fulani ivi, anakuja halafu anakataa

  • @juliuswacira9708
    @juliuswacira9708 11 місяців тому

    Unachangamsha sana kwa ulumbi wako!

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 роки тому

    Special craft

  • @uwezotv
    @uwezotv 2 роки тому +1

    Uko sawa tatizo ni haya mangungumbalo

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 роки тому

    Daah huu ugumu wa maisha mwaka huu tutaona mengi kila mtu anajaribu kutoka , bibi tozo njoo huku uone watoto zako wanajaribu kutoka

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 2 роки тому +1

    Huyu jamaa fundi sana wa kiswahili jamaa hakosei hata neno moja la kiswahili tofauti na ndugu zangu wengine hukosea kwenye matamshi na hata kwenye matamshi tumezoea kuona kiswahili chetu kikiharibiwa na hata wanaojifanya waandishi wa habari
    Joram Nkumbi ni fundi huchoki kumsikiliza 👍🏼

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Місяць тому

    Joram alitamka neno sheherekea ambalo halipo kwenye kiswahili,
    Neno lililowepo ni sherehekea ambalo linatokana na mzizi wa neno "sherehe"
    Kama vile lilivo neno furahia linavotokana na neno "furaha"

  • @zamdaomanizamdaomani3172
    @zamdaomanizamdaomani3172 2 роки тому

    Hongeraa mnyampa Nkumbi

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato Рік тому

    Nilikuwa nafikiri najua kiswahili lakini baada ya kumsikiliza Joramu Nkumbi nikagundua kuwa kiswahili changu ni hovyo kabisa. Siku hizi namfuatilia sana ili kuongeza misamiati, misemo na Nahau za kiswahili

  • @paschalaxwesso6844
    @paschalaxwesso6844 2 роки тому

    Hapa me kiswahili sijui

  • @NuruNswebe
    @NuruNswebe 10 днів тому

    Nemenena mimi nimenena ingawa mimi simuneni wawaneni

  • @comics3437
    @comics3437 2 роки тому +1

    Daah😀 huyu mwamba ni tajiri wa misamiati🤣

  • @nadula7390
    @nadula7390 2 роки тому +1

    SGD to the world

  • @adinani1574
    @adinani1574 2 роки тому +2

    Hamna kitu apo mwambieni huyo jamaa aje zanzibar

    • @hanirashuwesu4239
      @hanirashuwesu4239 2 роки тому

      😂😂😂we waweza ,mtu akifanya jambo zuri akaonekana mpongeze choyo yatokea wap

    • @priska4310
      @priska4310 2 роки тому

      Wa Tanganyika neno kudra, Sikudhamiria, hidaya, siha njema wao pia wanaona maneno mapya😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +2

    Mashallah, kiswahili FASAHA

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 2 роки тому

    Much love swahili lg

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 2 роки тому

    Aaaah hyu mwamba anakijua kiswahili haswa sijawahi kuona kiswahili kitamu km hiki

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 Місяць тому

    😂😂 duuuuu kiswahili kigumuuu jaman tutafsirieee hapo mangungumbaloooo

  • @mwanatumuali2238
    @mwanatumuali2238 2 роки тому +1

    Bila hata kuchanganya ndimi

  • @queenlizzyplatnumz4942
    @queenlizzyplatnumz4942 2 роки тому +2

    Jmn jmn joram alikujag shule an lzm kwanz ucheke uyu jmaa Ni balaa😂😂😂🙌🙌🙌

  • @nathokakingamuz2540
    @nathokakingamuz2540 2 роки тому +1

    Huyu jama ana nyozo nyoza 😂😂

  • @elizabethjohn7177
    @elizabethjohn7177 2 роки тому +2

    Umetufuza lkn kikubwa nime cheka sana 🤣🤣🤣🤣

  • @AmonJuma-u4h
    @AmonJuma-u4h 15 днів тому

    Nawezaje kupata ktabu cha ulumbi na walumbi nipo mwanza

  • @hydroreese8294
    @hydroreese8294 2 роки тому +3

    Updated version ya mpoto hii apa 🙌🏿🤨

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 5 місяців тому

    Unaweza ukafikiri anaongea lugha ya nchi frani kumbe ni lugha ya taifa la Tanzania

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 2 роки тому +3

    Kiswahili cha kawaida sana kikubwa jamaa anatohoa kwenye kiarabu arafu anachanganya na tungo za mashahili

    • @ramyali6347
      @ramyali6347 2 роки тому +2

      Kama uandishi wako ndiyo huu basi hicho alichozungumza siyo kisw cha kawaida kwako, na maneno ya kiarabu yapo zamani hayo hakuna alilotohoa hata moja.

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 роки тому +2

      Kama umesoma lugha au fasihi kila lugha huwaga inakopa maneno toka lugha nyingine mfano kiingereza chenyewe kimekopa maneno Mengi tu toka kwenye kijerumani, kifaransa na kigiriki, pia hata kiarabu nacho kimekopa maneno toka lugha nyingine mfano lugha ya kiebrania, kiajemi na lugha nyingine za mashariki mwa kati. Kwahyo ni kawaida lugha yoyote kuwa na maneno ya lugha nyingine kutokana na mafungamano mbali mbali kama biashara na kijamii kwa jumla, Mfano uhusiano wa miaka na miaka baina ya oman, Iran na pwani ya afrika mashariki umeathiri Kiswahili kuwa na asilimia 32 ya maneno ya kiarabu na kiajemi kidogo kwa kuwa hawakuwa wengi sana.

    • @jumamofu9573
      @jumamofu9573 2 роки тому

      Wivu

  • @DARAJANI_TV
    @DARAJANI_TV 2 роки тому

    😂😂😂 furaha furifuri

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 5 місяців тому

    Huyu jamaa ni balaa

  • @WentExtinct
    @WentExtinct 2 роки тому +3

    Poet speakin

  • @Ngundafey
    @Ngundafey 2 роки тому

    Jamaa mwamba kabisa......

  • @emmalyanga3726
    @emmalyanga3726 2 роки тому

    Hehehe nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu hehehe

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 2 роки тому +1

    Dah!! fundi huyu

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 роки тому +1

    Uyo m2 anasauti tamu sana yakutangza 🥰🥰

  • @wajanjaforever4822
    @wajanjaforever4822 2 роки тому

    Aache sifa, atakua anajielewa mwenyewe. ..akikupigia sim hupokei, unajua tu nini kinafwata..

  • @SiscaB9
    @SiscaB9 2 роки тому

    ..raha kumskiliza

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri 2 роки тому +1

    Yuko vizuri 😂😂

  • @blackjack3356
    @blackjack3356 2 роки тому

    Kweli anajua

  • @ahmadgrujic9297
    @ahmadgrujic9297 2 роки тому +1

    Mbona kama anaongea kiswahili cha Zanzibar

  • @deus8629
    @deus8629 2 роки тому +7

    This guy is Mathematician by professional but accidentally amejikuta ni mswahili fasaha 👌🏾

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI 2 роки тому +1

    Bingwa wa lugha

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 2 роки тому +1

    Atajiuwa huyu jamaaa kiswahili safi chatia raha harafu kuna kicheko ndani yake!! samahani wana nzengo nawezaje mpata huyu jamaaa

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 2 роки тому +4

    Huyu jamaa nifundi wallah nataman angali kuwa mimi ndo yeye yan