Kumekucha: Wabunge wa Democratic wapinga hatua ya Trump na Elon Musk kulivunja shirika la USAID

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 171

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 5 годин тому +20

    Lifungwe tuu maana ndani yake linafadhili ushoga na usagaji kuendelezwa xo trump hataki ndio maana hotuba yake ya kwanza alisisitiza marekani jinsia ni mbili TU mwanaume na mwanamke...tumuombee Mungu jamaa anamawazo sahihi kabisaaaa

    • @ezebiakayingi6576
      @ezebiakayingi6576 4 години тому +1

      hilo ni kweli wanajifanya wanatoa misaada kumbe wana malengo yao ya kishetani. hatujiulizi misaada gani hio isiyo na mwisho!!

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 2 години тому

      Hilo ni shirika la demokratic na wakina Hilary Clinton 🚮

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Годину тому

      ​@@paschalcharles3617Hapo ndio umesema nini sasa? Kina Democrats na Hillary Clinton wana matatizo gani hebu fafanua. Haitoshi kutoa matamko yasiyo na maana

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 5 годин тому +20

    Hilo shirika halina maslahi na USA, hao wote wanaogopa maslahi yao kupotea

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 2 години тому +1

      Ni shirika la demokratic na wakina Hilary Clinton

    • @JosephChrisant
      @JosephChrisant 11 хвилин тому

      Wewe hujui maslahi ya USAID kwa Tanzania?. Au vidonge vya VVU inafikiria vinatolewa na nani?.

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 3 години тому +8

    Wenzetu wabunge ndio wanaandamana kweli kunatofauti ya nch zilizoendelea na zinazoendelea.... Huku kwetu Africa utasikia wanaanchi muwe mstari wa mbele😊😊😊😊😊😊😊

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 2 години тому

      Hawana lolote hao wabunge ni WAPUMBAVU TU wanatetea Kwa sababu USAID ni shirika lao la maboss zao wakina Hilary Clinton 🚮

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Годину тому

      Hata Tanzania hawataki wao tu kwani wakiomba kibali si wanapewa lakin wanawatanguliza Raiya

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 Годину тому

      Wataanzaje nawakati wao wanakula kiulaini na serikali inawapumbaza Ili wawaonee wanyonge .. Tanzania hapo mpaka wabunge wa upinzani nao ni ccm tu kimchongo hakuna siasa hapo nyumban ni upumbavu tu tizama mafano Kwa hao wasanii wenu ... Kila mtu eti ccm mbwa Koko hao

    • @hassanbilali1697
      @hassanbilali1697 Годину тому

      Tafsiri ya kuandamana Ni kudai au kushukiza Jambo zuri litokee au Jambo baya liondolewe kwa ujumla anaeandamana Ni yule mwenye maslahi na suala husika. Ndiyo maana wait wanaandamana na Wala sio wananchi.
      Walipoandamana wananchi kupinga matumizi mabaya ya ufaziri wa kivita na kuunga mkono genocide hao majaa walikalia viti kwa shampen

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 5 годин тому +9

    Bado amjasema. Endelea kutoa kibano kila kona😅😅😅

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx Годину тому +3

    Trump mitano Tena

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 години тому +12

    Dunia imechangamka🎉
    Huku trump, kule kagame,pale m23, kule putin , pale Traole yaani ni motooo

  • @Patrick-w1j
    @Patrick-w1j 5 годин тому +7

    Hawa ni wahalifu kama wengine ..Wachapwe viboko

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 19 хвилин тому

    Na bado mtazidi vurugana zaidi wenyewe

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 3 години тому +5

    Lifungwe tu, Ndio wahamasishaji wa ushoga

  • @louangesid
    @louangesid Годину тому +2

    Trump hacheke na wowotee 😂😂😆🔥

    • @JKQGAME
      @JKQGAME Хвилина тому

      Anaulinda wake moyo

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 години тому +6

    Hao wabunge wapumbavu,wanasambaza ushoga kupitia hiyo misaada wanataka tuendelee kapewa misaada

  • @victorvancharlz
    @victorvancharlz 54 хвилини тому

    Shirika linalooongoza kwa kuharibu vijana wa Afrika na ndo shirika linaloongoza kwa kuwapa nguvu za kipesa mashoga wakubwa

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 4 години тому +7

    Africa atuna mpango na ilo shirika atuna masilahi nae.

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 5 годин тому +8

    Haya ndio maandamano sasa wakenya wachaneni na Yale yenu 😂😂

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 5 годин тому +11

    Wavunje kwa kweli😮😮😮..... Sijawah hona hata ajira zao walizotangaza hapa Bongo na shirika lipo.... wanakula wachache tuuuu.....😢😢 Sema Non government Org(NGO) zitakuwa na hali mbaya sana

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 5 годин тому +3

      Huwezi kuziona😁 mpaka michongo ila ni shirika linalotoka mishahara minono Sana ndo maana ajira zake huwez ona waziwazi Kwanza we ni nani mpaka uzione kirahisi, Hilo sio shirika la kichina wazungu Huwa Wanatoa Pesa za Maana

    • @georgekabaka377
      @georgekabaka377 4 години тому +2

      @Mahene-w1l ndio wajiandae sasa😜

    • @vaskosamweli3556
      @vaskosamweli3556 4 години тому +2

      Wafute Kila kitu tuendage tu shamban

    • @muhamedmsomally4175
      @muhamedmsomally4175 3 години тому +1

      Hatun shida na misaada yao

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 2 години тому

      ​@@Mahene-w1lHilo ni shirika la demokratic na wakina Hilary Clinton ndo maana Trump anawakazia

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 години тому +4

    Toka achaguliwe hata miez bado 😂😂😂😂

  • @taraagire6176
    @taraagire6176 4 години тому +5

    Hilhan Omar👏🏼👏🏼👏🏼

  • @ciayobiayo4614
    @ciayobiayo4614 54 хвилини тому

    Hatutaki USaid hii huku Africa,haitusaidii bali huishia mifuko ya wachache.

  • @GraceLucas-t7l
    @GraceLucas-t7l 5 годин тому +3

    Kumekucha kweli tutaona mengi mwaka huu bado uchaguzi wa🇹🇿 yaan mwaka wa matukio

  • @DjMswati
    @DjMswati 5 годин тому +5

    taifa lenye nguvu africa tujitegemee wenyewe

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 5 годин тому +4

    Trump atawashinda hata ikitokea akashindwa kulivunja ila sidhani kama litakuwa na sera kama zamani! Kitumbua kishaingia mchanga!

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 4 години тому +2

    Kimewarambaaaaa,sasa mtakuwa bize kujadili mambo yenu na kutuacha na sisi tupumueee

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 5 годин тому +2

    Kumbe wenyew ni wahanga ila wanafanya sisi ndio tuna shida

  • @Soundprobeats
    @Soundprobeats 3 години тому +1

    Wimen 😂🙌🏻

  • @PihnaJoseph
    @PihnaJoseph 41 хвилина тому

    Tunajua huu mwaka niwamwisho na Elon musk ndio rais

  • @bernomlay2690
    @bernomlay2690 4 години тому +3

    Yan hapo Bado hawajasema

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 3 години тому +2

    Africa ikatae mahusiano na shirika hilo la kishenzi

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 5 годин тому +1

    Nime penda uyo dada wa kwanza alivyo ongea adi rahaa sanaa 🥰🥰

    • @Benny318m
      @Benny318m 5 годин тому +1

      Kwani na wewe unahitaji misaada yao

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 5 годин тому +1

      Huyo dada ni msomalia

    • @LipangalaMinzi-n4l
      @LipangalaMinzi-n4l 4 години тому

      Sema luga inakuchanganya unaona kama anaogea point sana mbona Kuna wachina hua wanaongea vizuri sana na hua husemi wewe mtumwa wa luga

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Годину тому

    Hichi chama cha democratic ndio kinaongoza kwa kuhamasisha kueneza ushoga na usagaji. Shirika lifungwe2

  • @BrightShumbusho-i4y
    @BrightShumbusho-i4y 3 години тому +1

    Wabunge wana wivu dhidi ya Musk...pia inaonekana wazi kuwa bado wanachuki na Trump. Sasa awamu hii watapata taabu sana na moto ndo umeanza😂😂😂

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 години тому +1

    Sipati picha wabunge wa chadema waandamane kama ivyo😂😂😂

  • @darlive8563
    @darlive8563 46 хвилин тому

    Mbona kama ni muislam huyu

  • @davidmarik4633
    @davidmarik4633 4 години тому +1

    Combination ya Trump na Elomaxk nimeikubalin ni sawa na Benzema na vini😂😂😂

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 2 хвилини тому

    Kwani Africa hakuna mashoga ???? Hili ni janga la dunia wewe ukiletewa mavi ule na unajua ni mavi kwa nini ulee???
    Kujitegemea muhimu sana ili kuondokana na kuwa tegemeziii
    Pambaneni naa TZ yenu acheni mambo ya nchi zingine

  • @BimHamdi
    @BimHamdi 3 години тому +1

    Huyu elon anaonekana ana kiburi mtu wenyewe wa africa kusini kumbe😮

  • @alexwaspongamachumbe428
    @alexwaspongamachumbe428 Годину тому

    Shirika la USAID ni Shirika la Kishetani, wanaambukiza Ushoga na Usagaji kwahiyo maamuzi ya Trump ni Mazuri na yanatakiea kubarikiwa

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 4 години тому +2

    Hawawawezi Trump na Musk wanashindia bangi mbichi 😂😂 jamaa ashachukua nchi tulizeni tu makomwe.

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond4797 46 хвилин тому +1

    Haulipi tax pekee yako tunalipa pia ila litokeee tuuu mashoga nyie

  • @AmaniKizinga-ew9mk
    @AmaniKizinga-ew9mk 4 години тому +1

    Hili usaid lilisapoti sana ushoga na kufadhili hata kama linasaidia duniani

  • @elias.e.urassa
    @elias.e.urassa Годину тому

    Trump 10

  • @Madangaclassicwear
    @Madangaclassicwear 5 годин тому +11

    Kibongo bongo apo polisi kibao utawaona hapo ndo tunafeli😂😂

    • @IBENGM
      @IBENGM 4 години тому

      Unafikiri wao hawatumii polisi kwenye hizi ishu?? Bado hujaifatilia marekani vizuri

    • @Bilifilmz
      @Bilifilmz 3 години тому

      ​@@IBENGMlakini hawakurupuki

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 години тому

      @@IBENGMlkn bongo watamfanyia hivo Rais?

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro Годину тому +2

    Lifutweee tu mashoga haoo nyambaff😂😂😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 години тому

    Njoo Tanzania sasa, thubutu.

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 4 години тому +1

    Wamarekani wanajwambia capitalism enemy of democracy (upebali ni hadui wa demokrasia). Zingatieni haya maneno. Kumbuka china hakuna ubepali Russia hakuna ubebali

  • @RichWise671
    @RichWise671 2 години тому

    Shirika la unyonyaji Dunuia kupitia upumbavu wanao uunda wao afu iwe Biashara africa😂😂😂

  • @jumasuleiman7171
    @jumasuleiman7171 5 годин тому +2

    Safi tramp hatuki msadaa sisi saiviii

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 3 години тому

    DEMOCRATIC ina wapigaji wengi sana na wanajificha kwny kivuli cha human rights sasa wamepatwa

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Годину тому

    Picha limeanza la miaka minne

  • @user-sy6ty8qb3n
    @user-sy6ty8qb3n 4 години тому +1

    Afrika ijitegemee tu ina kila kitu

  • @AnthonyDcosta-f3q
    @AnthonyDcosta-f3q Годину тому

    Huyu atakuwa msagaji

  • @BertramsTyres
    @BertramsTyres 4 години тому

    si mzima

  • @ahmadmahmoud6139
    @ahmadmahmoud6139 4 години тому

    😂😂😂hizo dawa tumieni wenyewe wazungu sisi hatuzihitaji

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 години тому +1

    Ss nimeelewa Kwann Trump anatakiwa kuombewa

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 3 години тому

    Hawa watu Wana TENGENEZA magonjwa halafu wanataka kutumaliza waache ujinga bhas

  • @ukweli255
    @ukweli255 2 години тому

    Kuna wapuuzi wa CCM watakuja kuwakosoa hawa Wabunge wa 🇺🇸...😂😂😂...wakati wao wanaiba kura upinzan😂

  • @w4058
    @w4058 2 години тому

    Na yeye hasidi mkubwa wa kuendelea kuwapiga na kuuwa wenzetu nae mshenzi mmoja hasidi mkubwanafiki anaejidai kuzuwiya vita Ghaza na huku anauwa na majahil wakubwa wa kizayuni wanafiki wakubwa wote

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 5 годин тому +1

    TRUMP Alivyo M bishi Ata Uwoo Mswada Wakiupeleka Bunge la Senator Bado TRUMP Ana Senator wengi kuliko Wale wa upande wa Pili Akiona Anapigiwa kelele Ata zuia Pesa Kwenda kwa Shirka ilo hayaa changeni Nyinyi Mnao Tetea TRUMP Mweu 😂😂😂

  • @nassoroc
    @nassoroc 4 години тому

    Ukiwasikiliza Wabongo wanavyoshabikia hili jambo ndipo utagundua upeo wetu wa kufikiria! Kwanza, mosi wakati wengi mkidhani Waafrika including Tanzania ndio wanufaika wakuu wa USAID ukweli ni kwamba Mnufaika MKUBWA wa USAID ni Afghanistan!
    Kuna mwenye akili timamu asiyefahamu jinsi ambavyo US imeivuruga Afghanistan tangu miaka ya 70; kuanzia Zama za Vita Baridi hadi miaka ya karibuni?! Afghanistan imebomolewa kila mahali!! Sasa ni nani asigharamie UHARIBIFU uliofanywa na Marekani kama sio Wamarekani wenyewe?!
    Mnufaika Namba 2 ni ISRAEL ili aendelee KUUA WAPALESTINA lakini katika kukatiwa misaada Israel hawapo!!

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 3 години тому

    Trump kaliona genge la wahuni la wapiga pesa viongozi wa Marekani watakuwa hawana pesa na viongozi wa Afrika watakosa pesa Dunia imenoga

  • @rugewapili6191
    @rugewapili6191 3 години тому

    Hatuitaki

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 5 годин тому +1

    Afrika hatutaki misaada

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 4 години тому

    😄😄😄😄

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 4 години тому

    Watu hawachewi kubadilika,mulisema trump ni kiongozi bora Leo imekuaje tena? Mmemkataa yule dada,Leo ata mwezi bado dunia inajuta,utafikiria ndio marekani ni rais wa dunia?

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 години тому

    Kazi hipo Mask ana mask kweli

  • @AhabuElifasi
    @AhabuElifasi 5 годин тому

    Baba mwenye kitambi

  • @AsiaAsi-s3u
    @AsiaAsi-s3u 4 години тому

    Natamani waanze fujo nchi hiyo na wao waone

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 3 години тому

    Hawa ndiyo wale wakutetea LGBTQ hawana jipa nimashetani yanayo jificha kwenye uvuli wa haki za binadamu kwa kutetea mapenzi ya jinsia mmoja pia niwakumbushe wa Tz wenzangu hawa jamaa wapo pia Tz kwa mwavuli wa haki za binadamu

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 годин тому +1

    Hiyi misaada inatulemaza akili

  • @Patrick-w1j
    @Patrick-w1j 5 годин тому +3

    Pesa nyingi wanazipeleka kwenye ushoga ..Bora livinjwe waunde shirika jipya litalokua chini ya serikali na litakalokaguliwa

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 5 годин тому +2

      Sahii wapuuzi Hawa Trump yupo sawa unatoa Hela kwa mataifa mengine ili upate Nini?

  • @jeremialauden
    @jeremialauden 4 години тому

    WANAMICHEZO TUMEONA KOMBE LA DUNIA WHITE HOUSE

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassor 3 години тому

    Wamarekani nchi wameiyuza kwa wafanya biashara

  • @AsheriChonya
    @AsheriChonya 2 години тому

    Kwaheri mashoga nendeni mkaleee wajukuu

  • @LincolnLudovick
    @LincolnLudovick 4 години тому

    Trump asingekua rais tu nilijua tu hivi vote vitatokea

  • @popiya2368
    @popiya2368 5 годин тому

    Ndo ulaya ukisikia unafikiri watakubali kuburuzwa

  • @AsiaAsi-s3u
    @AsiaAsi-s3u 4 години тому

    Trump anaamua kama nchi ipo mfukoni mwake

  • @mdimistudio6041
    @mdimistudio6041 5 годин тому +1

    Binadamu kusaidiana banaah huyu trump nilikuwa namkubali kumbe chenga kinyama anajiona mgawa rizki kweliiii😂

    • @GeorgeElias-p5o
      @GeorgeElias-p5o 5 годин тому

      Kuna wachache wananufaika na hayo mashirika.. Trump kashtuka na pia hayana faida na wamarekani😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 5 годин тому +1

      Hiyo misaada si ndio inayofanya mlazimishwe kuwa mashoga? The aid comes with strings attached

    • @joycejackson2320
      @joycejackson2320 37 секунд тому

      Pambana kivyenu
      Mnaweza TZ KUNA Mashoga kabla hata ya kupata uhuru
      Mombasa huko ndio usiseme hatarii tupu

  • @OmaryMwigula
    @OmaryMwigula 4 години тому

    Bongo mshapigwa mabomu na kusambalatishwa

  • @Patrick-w1j
    @Patrick-w1j 4 години тому

    Africa ufisadi umezidi ..Kujenga tu tundu moja choo milioni 100 sio kwamba hatuna pesa

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 5 годин тому +1

    Mwaka wa dola kubwa duniani kudondoka😂😂😂😂😂

    • @InnocentZamkulu
      @InnocentZamkulu 4 години тому

      Acha ndoto zako. Dollar kuanguka ili shilling iendewapi?

    • @adiaygo8546
      @adiaygo8546 4 години тому

      @InnocentZamkulu pumbu soma

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 години тому

      @@InnocentZamkulu😂

    • @InnocentZamkulu
      @InnocentZamkulu 3 години тому

      @@adiaygo8546 Acha ujinga.

  • @OmegaJustine
    @OmegaJustine 4 години тому

    Kumepambazukaaaa

  • @ShedrackRamadhani
    @ShedrackRamadhani 4 години тому

    Na bad nyie mahogany had 4 iishe

  • @MonicaMacha-q7y
    @MonicaMacha-q7y 5 годин тому

    M

  • @JustinJoseph-k2t
    @JustinJoseph-k2t 4 години тому

    Trump na mask ni vibaka

  • @PascalSabonga
    @PascalSabonga 4 години тому

    WATANYOOKA TU

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 4 години тому +1

    Nusu ya waliopo hapo wakipimwa rinda utakuta limetatuka 😂😂😂 mnatetea matumbo yenu tu wahovyo nyiev

  • @AmaniKizinga-ew9mk
    @AmaniKizinga-ew9mk 4 години тому

    Ushoga umeguswa Sasa wanahaha

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 5 годин тому

    Hawa ndo wanawapenda waafrika KULIKO trump anavuopenda waafrika wajitegemee

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 3 години тому

    KUMEANZA KUCHANGAMKA

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage 3 години тому

    Trump abari zake kama 😂😂kazaliwa kenya vulugu kila siku

    • @mariamkimtai693
      @mariamkimtai693 3 години тому

      😂😂😂😂😂😂 tukome sisi wa kenya 😅

    • @FatumaMwage
      @FatumaMwage 20 хвилин тому

      @mariamkimtai693 mukamchukue babayenu huko watu hawan haman

  • @MauBecca
    @MauBecca 5 годин тому

    Kumekucha

  • @hopemwalemwale2100
    @hopemwalemwale2100 4 години тому

    wote muna comment ushoga tu muna jua imesaidia kiasi gan hio shilika la USAID huku afrika duka lipi anauza ARVS kama sio hilo shilika linalotowa misada dawa sikipotea mahosipitarini munaanza kuitupia lawama sirikali

    • @JomoKilawe
      @JomoKilawe 3 години тому

      Limewaletea Vilainish..🚶🚶🚶

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 години тому

    Wajinga

  • @MwanaHussein-s2n
    @MwanaHussein-s2n 5 годин тому

    Yaani trump anajiona km mungu mtu 😢

    • @PascalTimba
      @PascalTimba 5 годин тому +1

      Unataka afanyeje pesa ya zinapotezwa kipuzi

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 5 годин тому +1

      Wewe kila taifa litumie pesa zake , Trump kata kabisa misaada yote Afrika alaaa!
      Afrika imekuwa kama kinda la njiwa miaka yote, Afrika imezoea pesa za bure ndiyo maana tumekuwa wajinga sana , hata viwanda havijengwi Afrika, Trump kata kabisa misaada yote Afrika kataa.

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 4 години тому

      @zebedayokatamaduni9676 tatizo sio kukata misaada jinsi anavyochukua sheria mkononi... Sasa kama ndo hivyo hiyo congress ifungwe bas maana nini faida yake jambo lolote linatakiwa lipitie congress wapige kura....

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 5 годин тому +2

    Yni Uyoo Dada Angekuwa Yupo Tanzanian Kisha Anaongea Ivyo Kabla Ajamaliza Utasikia Ajulikani Halipo😂😂😂 Uku Kina Mwijaku na Steve Nyerere Ungewasikia Unamuitaje Rais Ni Dictator Unasemaje Kuwa Rais Anafanya Maamuzi Ya Kidicteta Wewe Umetumwa na Mabeberu 😂😂😂 Ssa Sijui Uyoo Dada Anaemuambia Trump ivyo Nae Katumwa Na Baba levo😂😂😂

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 5 годин тому +2

    Ndo walikuwa wanapigia pesa huko 😂😂

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 5 годин тому

    Stay humble democrats 😂😂

  • @HasanKisome
    @HasanKisome 4 години тому +1

    Mapema Tu Trump Kimeanza Kuonyesha Rangi Yake Halisi ya UDictator Uchwara Pumbaav sana Wanao Lisapoti hili Jamaa

    • @BimHamdi
      @BimHamdi 3 години тому +1

      Mimi mwenyewe nashangaa tunampenda wakati hapendi watu weusi hata kidogo

  • @sammy-b6281
    @sammy-b6281 4 години тому

    Uyu Elon nimtu hatari sana kwa huu ulimwengu inabidi apunguziwe ukali ili awe na bilionea wakawaida maana lengo
    Lake nikuwa mtu wakutawala

  • @mdl6463
    @mdl6463 54 хвилини тому

    Trump anajua mengi

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 5 годин тому

    Hao ndo wanasambaza ushonga Africa na hizo hela zao

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 години тому

      Trump mungu akulinde kwa kuzuia ushoga hao wote wanao piga kelele ndo wabasapot ushoga