Shida ni uchache wa ELIMU vijana someni acheni ujanja ujanja, nani amekwambia alikuwa mshangazi? Hii ni propaganda kama ikiwa hauwezi kujua ni propaganda basi ni SHIDA sana😂😂😂😂
Wewe ndio haujui historia unazungumzia kitu ambacho ni propaganda! Hakuna dalili sahihi ambayo inaonyesha Mama Khadijah (a.s) alikuwa na miaka 40 kwahiyo soma kijana acha ujanja ujanja ambao hauna maana 😅
@@wachokonozi_ akikujibu niite nipo pale chini ya mwembe watu kama hao wamekaririshwa tu maneno na masheikh wao hakuna wanachokijua kuhusu dini ndio maana wanabisha bila hoja za msingi
Na wew Hebu acha ubishi Kwa kipumbavu,, wenzako waislam wanasema ukweli,mtume Kwa bibi Khadija ni kama kijana na mama.unachobisha ni nn hapo.tena mtume alioa kitoto Tena Cha miaka 9, soma history ujue,acha ubishii
Leo Mrindoko asuti haitoki vizuri yane pole bana
Ubaya wenu mnashambulia Sana Mambo ya dini Nakumkataa Mungu....jitahadharini sana ...Hamjui mulitendalo
I like your fact talk broo
👌
Nilicho kigundua hapa hawa wajamaa wanampenda tena mapenzi makubwa mtume Muhammad rehema za mwenyezi Mungu na amani ziwe juu yake
Shida ni uchache wa ELIMU vijana someni acheni ujanja ujanja, nani amekwambia alikuwa mshangazi? Hii ni propaganda kama ikiwa hauwezi kujua ni propaganda basi ni SHIDA sana😂😂😂😂
Nipeni mauwa yangu nimekuwa wa kwanza
🤦♂️Humu Usenge Hatutaki,
Mimi nawaita Wazee wa Facts sio wachokonozi
Facts zipi? Hapo asilimia kubwa wanajadili kitu ambacho ni propaganda
@@NassirShayo hauna unachokijua tofauti na uchawa usinipangie Cha ku comment kenge wewe
Mambo ya Kihistoria kama haya ndio yanafanya nijue upeo mdogo wa uelewa wenu kuhusu DINI n.k✍️
@@NassirShayo wewe mwenye upeo mkubwa mbona upo mafichoni huko umekatazwa
tunaomba na ww mwenye upeo mkubwa anza kupost
Wafactknows
Wachokonoz ❤❤❤
Wanawake lonely wanaishije loneliness... Kwaiyo Mashangazi inaweza KUWA topic mpaka bungeni 🫢🤔WACHOKONOZI NDOO SISI 🌍🌍🌍🌍🌍
kwa yeyote anaeweza kunisaidia namba za Professor Joseph Mrindoko anisaidie please🙏
Ila mishangazi😂😂😂
Umenena mchokonozi
sema nn wanangu... nataka mchongo wa mbao
Mashangazi ndo yanatuweka mjini
Kijana km.ww unamchango mdg. Sana katika nchi hii 😂😂😂😂
Wewe ndio haujui historia unazungumzia kitu ambacho ni propaganda! Hakuna dalili sahihi ambayo inaonyesha Mama Khadijah (a.s) alikuwa na miaka 40 kwahiyo soma kijana acha ujanja ujanja ambao hauna maana 😅
Historia yako uliosoma tuambie alikuwa na umri gani?
🎉
@@wachokonozi_ akikujibu niite nipo pale chini ya mwembe watu kama hao wamekaririshwa tu maneno na masheikh wao hakuna wanachokijua kuhusu dini ndio maana wanabisha bila hoja za msingi
@@OmariChanjamasheikh ubwabwa😂
Na wew Hebu acha ubishi Kwa kipumbavu,, wenzako waislam wanasema ukweli,mtume Kwa bibi Khadija ni kama kijana na mama.unachobisha ni nn hapo.tena mtume alioa kitoto Tena Cha miaka 9, soma history ujue,acha ubishii