Mrindoko kuyarudisha maji alikuwa sahihi huenda Kuna jambo wazungu waliliandaa kupitia maji.ukiwa kiongozi mweusi mbele ya wazungu lazima wakutengeneze kwenye Mfumo wao.inaonekana walimchagua wamundeshe wanavyotaka wanaona haendi kama wanavyotaka.ulisikiliza maelezo ya tulia utaelewa.kwa nn wanamkasirisha.
@@fahadfaraj6474ndugu yangu Hawa jamaa washakuteka kiakili Kila post yao wewe umo na kucomment kama kawaida Sasa ushauri wangu kwako Hawa jamaa wasikilize tu sio lazima uweke comment yako
254kenya tunawaget loud and clear ❤❤❤
Kuna mambo mengi sana yalikuwa yanaumiza kichwani mwangu ila nyie mmeshajazia kila kitu nilichokuwa kinanisumbua, You are doing great things. 👍
Nimecheka Sana,kweli bro tushikamane tunaweza cc watanzania na Africa kiujumla.
Nimekubali iyo psychological analysis and morphological
Tuko pamoja sana nyie walimwengu wenzangu Naendelea kuwafatria🎉
❤ Bigup san wazee
Hahaha😂😂 mwendo wa kushikilia bomba
Hahaha kweli shikilia bana😂😂
Wasaaa!!!! mzuuri 🎉🎉🎉🎉
Nimecheeeka! eti mwanamke mfupi hata kuachana nae nikazi ama nikweli
Hawa jamaa wanasaikolojia wazuri sana
Hizi bangi kumpa tulia nchi
Vibaka wapo wengi.
Mrindoko kuyarudisha maji alikuwa sahihi huenda Kuna jambo wazungu waliliandaa kupitia maji.ukiwa kiongozi mweusi mbele ya wazungu lazima wakutengeneze kwenye Mfumo wao.inaonekana walimchagua wamundeshe wanavyotaka wanaona haendi kama wanavyotaka.ulisikiliza maelezo ya tulia utaelewa.kwa nn wanamkasirisha.
Kazi Safi
Jamaa tangu nimjue alkuwa ni mtu wa vile aisee
Vichwa vya bahari ama habari😂
Mumeongea mpaka nimejihisi kuzimia
Lete part 2
Safi sana kaka
Wapili kwenye comments mimi nawaita Wazee wa Fact
Mimi mrefu jamani
✍️✍️
Wachokonozi mchokonoe habari za aliens
Safi sana
Wachokonoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
❤❤❤❤❤❤
Hiyo ya wafupi 99% real happening, hawaachi hata uoe mke wa 10
Fact naomba nimpongeze Ila ndalichako Naye mnamuonaje
Ndalichako sura ngumu roho nyepesi
@@fahadfaraj6474ndugu yangu Hawa jamaa washakuteka kiakili Kila post yao wewe umo na kucomment kama kawaida Sasa ushauri wangu kwako Hawa jamaa wasikilize tu sio lazima uweke comment yako
NAPITQ
Iv nyie hamnaga kazi et mda wote ni kuchokonoa chokonoa tu
😅 itakuwa wewe pia ni mfupi 😅😅
Kama unavyo sema wandishi wa habari wa Tanzania wajinga hawajasoma Tulia Ackson wapi alipo tukana wazungu wa.eambiwa ukweli
Umesikilza ule mjadaĺa au na ww unsubiiri kusimuliwa???
@njeleinnovation Tulia Ackson anaigia Swissland kwe mkutano wa mabunge au Bunge la Dunia tunafatilia huku Swiss sio wewe upo bongo