EXCLUSIVE NA MZEE LIKOMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #comedy #kp #kpnazebuu #lastcard #lifestye #love #likoma

КОМЕНТАРІ • 179

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w 2 місяці тому +13

    Mzee likoma pokea salamu zangu kutoka kenya pongezi sana kwa kazi zako unazozifanya❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MamanEstherEsther
    @MamanEstherEsther Місяць тому +6

    Bigup sana mzee kiloma kwa uchekshaji wako😂😂😂

  • @DM.2200
    @DM.2200 2 місяці тому +16

    Wa kwanza leo et na kukimbilia kote kusoma coment nimeumbuka mimi 😅😅 ila likoma huyu na na likoma mzee mbona kama vitu viwili tofauti 😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 місяці тому

      Siamini pia😊

    • @munamamaj9622
      @munamamaj9622 Місяць тому

      Mwanzoni nilkua nikidhani kua ni mzee kweli hadi pale nilipokuja kuona movie ya wamangush 😂😂😂😂

  • @PaulMalesi
    @PaulMalesi 27 днів тому +2

    Nakukubaligi sana mdg wang likoma

  • @PRESENTER-VINCENT
    @PRESENTER-VINCENT 2 місяці тому +33

    Kp wa Aquino naombeni Kazi ya utangazaji, au uandishi katika acount hii nipo vizuri najiamini na kipaji changu..

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 2 місяці тому +7

    Likoma ni kambila gani❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-ms7ls8ud5p
    @user-ms7ls8ud5p 2 місяці тому +4

    Mm nakumpenda sana nahitaji uwe mume wangu ❤❤❤❤❤❤

  • @MARIEKINSEMBEOFFICIEL
    @MARIEKINSEMBEOFFICIEL 2 місяці тому +6

    Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri

  • @WILSONBIGAMBO-p9v
    @WILSONBIGAMBO-p9v 14 днів тому +1

    hongera mzee wa kamnyweso

  • @Priscadzidzamasha
    @Priscadzidzamasha 2 місяці тому +3

    Oooh hongera sana likoma kwa kipaji nawapenda sana team kp na zebuu ❤️ 🇸🇦

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 2 місяці тому +6

    Likoma pongezi kwakoo Mungu akuongoze kila latua uendayo🙏🏻🙏🏻

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 16 днів тому

    Merry me nyimbo ya konde boy kumbe alikuibia mzee likoma hila ukiwa kwenye ualisia wako sikuelewi ila ukiwa kwenye uzee na ukauzu wako good❤❤❤❤❤

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 2 місяці тому +8

    Daa yupo tofaut kabisa

    • @Innocentfilm
      @Innocentfilm Місяць тому

      Jambo dungu aomba subscribed Yako

  • @JeromeCitoBaguma
    @JeromeCitoBaguma 4 дні тому +1

    Nawezaka kukubali sana mzee likoma wa KP na zebu. Nawafata kuyoka RDC

  • @JohnOsoro-yp9ey
    @JohnOsoro-yp9ey 2 місяці тому +3

    Ooh nakukubali Sana likoma kwa KAZI zako nawafuatilia kutoka nchini Kenya

  • @sperithoNovath
    @sperithoNovath 15 днів тому

    Salam zang kwa kp & na zebuu❤ nawapendasana mimi nawafuatiriaga nikiwa mkoani.Kagera wly kalagwe Kwakwer unyama ni mwingi 🎉
    Mungu awabaliki
    Mzidi kutufraisha
    Ila mzee likoma hakika ukifa huozi nakama ukioza waje wanichune ngozi❤

  • @ZebiusSimbeye
    @ZebiusSimbeye 10 днів тому

    Kaka nilijuwa ww muzee daa umetisha muzee mutota wangu kakopi sauti yako sana

  • @user-vy8es6gi4f
    @user-vy8es6gi4f 2 місяці тому +5

    Wow uko vizuri sana Mzee likoma❤❤❤

  • @RaphaelMutua-iv4qy
    @RaphaelMutua-iv4qy 2 місяці тому +3

    Big up likoma from Kenya mchekeshaji kweli

  • @Mailachebet
    @Mailachebet 2 місяці тому +2

    Waaaah mzee likoma mm nko apa nko Kenya nakupenda jamani

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 2 місяці тому +3

    likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda

  • @user-zo8lz3wm7n
    @user-zo8lz3wm7n 2 місяці тому +4

    Mmmmmmm machalee kumndesaa😂❤❤❤❤❤❤

  • @ELIZABETHAPELES
    @ELIZABETHAPELES 2 місяці тому +4

    Likoma mm nakupenda sana

  • @user-ip6xg6jx3g
    @user-ip6xg6jx3g Місяць тому +1

    Mtangazaji unaonekana kama umempenda mzee likoma. Usione aibu. Muambie tu unampenda.

    • @pesaspy_tv
      @pesaspy_tv Місяць тому

      Afosi mazingira tu 😂😂😂

  • @lornahmulitani2798
    @lornahmulitani2798 2 місяці тому +2

    ❤❤❤❤looking gud mzee likoma

  • @user-ty9vb7gv3o
    @user-ty9vb7gv3o 5 днів тому

    Likoma wee Wala usiimbe we chekesha tu unapendeza sana

  • @LUCYKHALAI
    @LUCYKHALAI 2 місяці тому +1

    Muzee likoma hongera nakupenda sana kakangu wewe hunichekesha sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-dv2wl3gh4n
    @user-dv2wl3gh4n Місяць тому +1

    When he play like old man😂😂😂he look thin but here he look fat ..I love you guys keep it up

  • @IanPaul-j4m
    @IanPaul-j4m 21 день тому

    Unyamaaaa sanaa mwananguu

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg 2 місяці тому +3

    Much love from Kenya 🇰🇪 mzee likoma

  • @Bintnailah
    @Bintnailah 27 днів тому

    Mzee likoma hata kwanza sijaamini kama ni wewe wooow🎉🎉naja niwe mkeo sasa😂😂unichekeshe chumbani❤❤❤

  • @Nyotajada
    @Nyotajada 2 місяці тому +3

    Maaajaabuuu 😳😳

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 2 місяці тому +2

    Nakukubal San likomaa😂😂

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 2 місяці тому +3

    Mashaallah likoma umependeza

  • @user-ps5rr4ij8t
    @user-ps5rr4ij8t Місяць тому +1

    Mbona huyu mtangazaji hatumuelewi mara acheke mara kitu gani unapenda kwenye mwili wako sa ndo nin maswali gan hayo😅😅😅 mwambie tu amekuvutia😅

  • @LizyRiichard
    @LizyRiichard 2 місяці тому +1

    Mzee likoma mbn hujataja lyulu lugela moja hongela Sana ali

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm Місяць тому +1

    Hiyo cm unayoweka mdomon ni maiki ama

  • @user-ty9vb7gv3o
    @user-ty9vb7gv3o 5 днів тому

    Sema napenda kamyweso

  • @emanuelwilliam-r5c
    @emanuelwilliam-r5c Місяць тому

    Big up likoma

  • @FlavianSteven-e9i
    @FlavianSteven-e9i Місяць тому +1

    Kaka likoma na kaka pk naomben na Mimi mniuge kuigiza kak ninakipaj

  • @AbbasiNandonde
    @AbbasiNandonde 2 місяці тому +2

    Atoe kionjo kama kweli mzee likoma

  • @user-yj7wr4ob4i
    @user-yj7wr4ob4i 27 днів тому

    😂😂😂😂😂🎉😂🎉jamani unaokopa maji sana wewe

  • @jonasTumaini-q5l
    @jonasTumaini-q5l 20 днів тому

    mzeee likoma daaa kazi nzuri sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 2 місяці тому +4

    Mzee likoma kumbe ni kijana jamani😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @alka-bKsg
    @alka-bKsg 2 місяці тому +2

    Nisapotini n'a mimi bro

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 2 місяці тому +1

    Nilijaribu mahusiano nikaachwa kisa pesa 😂😂😂 ila likoma hahahha

  • @ElizabethMwikali-xb9zl
    @ElizabethMwikali-xb9zl 2 місяці тому +2

    Likoma pokea salamu zangu kutoka kenya

  • @MauwaIssa
    @MauwaIssa 18 днів тому

    Hoger mzee likom kwa vituk vyak😂 17:13

  • @sniperboy131
    @sniperboy131 2 місяці тому +2

    Rikoma mbona mwembamba na kuna muda mnakuwa wote nayy😅

  • @azizaumutoni7773
    @azizaumutoni7773 2 місяці тому +1

    Anapenda na kamuzo 😂😂😂

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 2 місяці тому +1

    Sauti ya mzee likoma ela mwili tofauti

  • @ZawadiKatana-yh6ep
    @ZawadiKatana-yh6ep 2 місяці тому +1

    Sheila mwanangu 😂😂😂😂

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Місяць тому

    Jamaa yupo vzr❤, huyo ni WA kwetu shy.

  • @SaadaNdekeja
    @SaadaNdekeja Місяць тому

    Kumbe mzee likoma ni handsome hv mashaallah

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 2 місяці тому

    Hongera sana broo Mungu akutangulie kwa kazi nzuri ❤❤❤

  • @Jeyb07.
    @Jeyb07. Місяць тому +1

    Mbona mtangazaji anauliza maswali yasiyokuwa na msingi yaani vitu vya maana hamuulizi,, mimi nilitegemea atamuuliza
    - Jina la likoma limetokana na nini lakini hajamuuliza
    -Ulijuana vipi na queen mpaka mkaanza kufanya nae kazi
    -Maswali kama hayo mtangazaji sijui ni mgeni na h
    Nimefurahi sana kuona mtu wa home kabisa ni maarufu mara zote nilijua mastaa wanatokea mjini na sehemu zilizoendelea lakini nimefurahi kuona likoma anatoka wilaya ambayo mimi pia natokea tofauti ni kata tu dah hongera sana wakwetu

  • @user-jn1cg5is2p
    @user-jn1cg5is2p 2 місяці тому +2

    i thank en support the team fully...the lady is really looks alike with Kp

  • @QeenPrince-lm7ci
    @QeenPrince-lm7ci 3 дні тому

    Kumbe kijana nilijua mxeee😢😢😢😢kabisa nimeamini kuna watu wenye vipaji

  • @wemasangasanga757
    @wemasangasanga757 2 місяці тому +1

    Yaan mimi nilijuaga kweli likoma ni mzee

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 2 місяці тому

      Na Yuapendeza Kuliko Ata Kijana 😂😂😂😂😂

  • @HusnaYusuf-l1i
    @HusnaYusuf-l1i Місяць тому +1

    Jaman nikiangalia kun wa2 2na vpaj jmn 2inuen na ss

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 2 місяці тому

    Kumbe huyu ni kijana tu ...anajuwa kuigiza na anajua tena ❤❤❤

  • @user-gm4mv6bp5l
    @user-gm4mv6bp5l 21 день тому

    Nakukubali sana mkiwa na Diboz manuva digala

  • @SuhaylaAazeem
    @SuhaylaAazeem 2 місяці тому +2

    Mzee likoma nakupenda pokea salamu zangu kutoka Kenya

  • @FajmaHilali
    @FajmaHilali 2 місяці тому +1

    LIKOMA KAMA UNATAKA MKESEMA KUNAMTOTO MZURI WAHESHIMA😂😂😂😂😂

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j 2 місяці тому +1

    Mzee likoma Wewe ukifa uwozi movie ya KP na zebuu inapoza

  • @Johar903
    @Johar903 2 місяці тому

    ❤❤❤❤ umenenepa sana imependekeza sana

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 Місяць тому +1

    Ila uzee ndio unamfaa sana huyu

  • @edwinjhilbajojo2429
    @edwinjhilbajojo2429 Місяць тому

    Asante san kw kutuletea interview ya mzee lipoma,,,tuletee na ya dibozi manicure.

  • @FlavianSteven-e9i
    @FlavianSteven-e9i Місяць тому

    Kaka niambie na Mimi mniuge kuigiza kak ninakipaj 😂😂😂😂

  • @izakiel72
    @izakiel72 2 місяці тому +1

    Pia mimi siamini😂

  • @ZachariaPetro-gn8qc
    @ZachariaPetro-gn8qc 2 місяці тому

    Huyo mtangazaji hamna kitu hajui kuuliza maswali yenye point

  • @JustinaAmosi
    @JustinaAmosi 8 днів тому

    UA-cam TV
    I love you so much❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k Місяць тому

    Mwambie likoma nampenda sana

  • @BahatiHumwa-iy4in
    @BahatiHumwa-iy4in Місяць тому

    Kumbe ni mwenetu wa ushetu

  • @LaurentPhilipo-n4s
    @LaurentPhilipo-n4s 20 днів тому

    Namimi naweza kuigiza naombeni kz

  • @elishathecomedy1221
    @elishathecomedy1221 Місяць тому +1

    Naomba nani inta nyuyuuh

  • @azizaumutoni7773
    @azizaumutoni7773 Місяць тому

    Mimi apa tuzae nae ❤😂😂

  • @DannyKnorr
    @DannyKnorr Місяць тому

    Kikweli ongera sana likoma kumbe wewe nikijana😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @DennisKorir-kl3up
    @DennisKorir-kl3up 2 місяці тому +1

    Maajabu 😅😅😅

  • @user-cf4pc5dz8t
    @user-cf4pc5dz8t Місяць тому

    Namba likoma

  • @christianapyuza2570
    @christianapyuza2570 Місяць тому

    Roll model wa likoma org. Hi kwake apewe maua yake🌹🌹

  • @user-fs8ho9ks4x
    @user-fs8ho9ks4x 2 місяці тому

    Eeeeh mze likoma kijana munzuri sana

  • @JafariNyabenda-g2o
    @JafariNyabenda-g2o Місяць тому

    Mzee likoma kumbe si Mzee. Halafu na sauti yake alibadili na kujifanya kuwa Mzee.ila nampenda Mzee likoma. "Jafari master Chengheng Bujumbura"

    • @munamamaj9622
      @munamamaj9622 Місяць тому

      Mwanzoni nilikishani ni mzee kweli hadi pale nilipokuja kuona wamangush

  • @lucyrif-np8ik
    @lucyrif-np8ik 2 місяці тому

    likoma tunakupenda sana kutoka kenya

  • @felisterbudodi5367
    @felisterbudodi5367 2 місяці тому +1

    Kumbe mkaka mzuri hiv

  • @user-lx3zg4db1y
    @user-lx3zg4db1y 2 місяці тому

    Nakupa mauwa mengi 🎉🎉🎉sana

  • @NeemaKigu
    @NeemaKigu Місяць тому

    Mwambie likoma naomba kazi yag ndani nitashukusana ombi langu ukilikubali

  • @frankyunia1809
    @frankyunia1809 2 місяці тому

    Wewe Dada nakupenda sanaa namba tuwasiliane ❤

  • @RauAyub
    @RauAyub Місяць тому

    Kumbe mzee kijana😂😂😂😂😂

  • @NuraAbrahman
    @NuraAbrahman Місяць тому +1

    Dah kumbe lipoma bado mbichi kabisq

  • @BennyKhane-c7c
    @BennyKhane-c7c 24 дні тому

    Huyu mwandishi mbna kama dada ake kp wana fanana

  • @yudamasuke408
    @yudamasuke408 28 днів тому

    Oyaaaaaa 😢

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2g 2 місяці тому

    Mzee likoma bado kijanakumbe🎉🎉

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 2 місяці тому

    Likoma me mchagaa nakusali sana❤

  • @bboytv5861
    @bboytv5861 Місяць тому

    Oya kula huyooo mbona anakuulizia sana

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 2 місяці тому

    mimi hapa nakupenda bwana Ally

  • @priscahchege2114
    @priscahchege2114 Місяць тому

    In love with him 😅

  • @user-dn3sn2fk9v
    @user-dn3sn2fk9v Місяць тому

    Guys me sitaki kuamini Mzee likoma ni kijana 😁😁😁😁😁 aaaah aise unajua kuigiza na unajua Tena

  • @HassanBambaza
    @HassanBambaza 2 місяці тому

    Sasa mbona ukiwa unaigiza mzee likoma huo mwili hauonekani sema nakukubali sana maaaaajabu

  • @IsmailMadrelya
    @IsmailMadrelya Місяць тому

    Mtangazaji jifunze kuhoji vitu vya maana