Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri
Mbona mtangazaji anauliza maswali yasiyokuwa na msingi yaani vitu vya maana hamuulizi,, mimi nilitegemea atamuuliza - Jina la likoma limetokana na nini lakini hajamuuliza -Ulijuana vipi na queen mpaka mkaanza kufanya nae kazi -Maswali kama hayo mtangazaji sijui ni mgeni na h Nimefurahi sana kuona mtu wa home kabisa ni maarufu mara zote nilijua mastaa wanatokea mjini na sehemu zilizoendelea lakini nimefurahi kuona likoma anatoka wilaya ambayo mimi pia natokea tofauti ni kata tu dah hongera sana wakwetu
Mzee likoma pokea salamu zangu kutoka kenya pongezi sana kwa kazi zako unazozifanya❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Bigup sana mzee kiloma kwa uchekshaji wako😂😂😂
Wa kwanza leo et na kukimbilia kote kusoma coment nimeumbuka mimi 😅😅 ila likoma huyu na na likoma mzee mbona kama vitu viwili tofauti 😂😂
Siamini pia😊
Mwanzoni nilkua nikidhani kua ni mzee kweli hadi pale nilipokuja kuona movie ya wamangush 😂😂😂😂
Nakukubaligi sana mdg wang likoma
Kp wa Aquino naombeni Kazi ya utangazaji, au uandishi katika acount hii nipo vizuri najiamini na kipaji changu..
UA-cam TV
Mcheba
Likoma ni kambila gani❤❤❤🎉🎉🎉
Msukuma
Mm nakumpenda sana nahitaji uwe mume wangu ❤❤❤❤❤❤
mamb0
Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri
hongera mzee wa kamnyweso
Oooh hongera sana likoma kwa kipaji nawapenda sana team kp na zebuu ❤️ 🇸🇦
Likoma pongezi kwakoo Mungu akuongoze kila latua uendayo🙏🏻🙏🏻
Merry me nyimbo ya konde boy kumbe alikuibia mzee likoma hila ukiwa kwenye ualisia wako sikuelewi ila ukiwa kwenye uzee na ukauzu wako good❤❤❤❤❤
Daa yupo tofaut kabisa
Jambo dungu aomba subscribed Yako
Nawezaka kukubali sana mzee likoma wa KP na zebu. Nawafata kuyoka RDC
Ooh nakukubali Sana likoma kwa KAZI zako nawafuatilia kutoka nchini Kenya
Salam zang kwa kp & na zebuu❤ nawapendasana mimi nawafuatiriaga nikiwa mkoani.Kagera wly kalagwe Kwakwer unyama ni mwingi 🎉
Mungu awabaliki
Mzidi kutufraisha
Ila mzee likoma hakika ukifa huozi nakama ukioza waje wanichune ngozi❤
Kaka nilijuwa ww muzee daa umetisha muzee mutota wangu kakopi sauti yako sana
Wow uko vizuri sana Mzee likoma❤❤❤
Daa nakukubali man
Big up likoma from Kenya mchekeshaji kweli
Waaaah mzee likoma mm nko apa nko Kenya nakupenda jamani
likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda
Mmmmmmm machalee kumndesaa😂❤❤❤❤❤❤
Likoma mm nakupenda sana
Mtangazaji unaonekana kama umempenda mzee likoma. Usione aibu. Muambie tu unampenda.
Afosi mazingira tu 😂😂😂
❤❤❤❤looking gud mzee likoma
Likoma wee Wala usiimbe we chekesha tu unapendeza sana
Muzee likoma hongera nakupenda sana kakangu wewe hunichekesha sana❤❤❤❤❤❤❤
When he play like old man😂😂😂he look thin but here he look fat ..I love you guys keep it up
Unyamaaaa sanaa mwananguu
Much love from Kenya 🇰🇪 mzee likoma
Mzee likoma hata kwanza sijaamini kama ni wewe wooow🎉🎉naja niwe mkeo sasa😂😂unichekeshe chumbani❤❤❤
Maaajaabuuu 😳😳
😂😂😂
Nakukubal San likomaa😂😂
Mashaallah likoma umependeza
Mbona huyu mtangazaji hatumuelewi mara acheke mara kitu gani unapenda kwenye mwili wako sa ndo nin maswali gan hayo😅😅😅 mwambie tu amekuvutia😅
Mzee likoma mbn hujataja lyulu lugela moja hongela Sana ali
Hiyo cm unayoweka mdomon ni maiki ama
😅😅😅😅😅
Sema napenda kamyweso
Big up likoma
Kaka likoma na kaka pk naomben na Mimi mniuge kuigiza kak ninakipaj
Atoe kionjo kama kweli mzee likoma
😂😂😂😂😂🎉😂🎉jamani unaokopa maji sana wewe
mzeee likoma daaa kazi nzuri sana
Mzee likoma kumbe ni kijana jamani😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Tena mdogo 😂
Nisapotini n'a mimi bro
Nilijaribu mahusiano nikaachwa kisa pesa 😂😂😂 ila likoma hahahha
Likoma pokea salamu zangu kutoka kenya
Hoger mzee likom kwa vituk vyak😂 17:13
Rikoma mbona mwembamba na kuna muda mnakuwa wote nayy😅
Anapenda na kamuzo 😂😂😂
Sauti ya mzee likoma ela mwili tofauti
😂😂😂 ni yeye mwaya 😂
Sheila mwanangu 😂😂😂😂
Jamaa yupo vzr❤, huyo ni WA kwetu shy.
Kumbe mzee likoma ni handsome hv mashaallah
Hongera sana broo Mungu akutangulie kwa kazi nzuri ❤❤❤
Mbona mtangazaji anauliza maswali yasiyokuwa na msingi yaani vitu vya maana hamuulizi,, mimi nilitegemea atamuuliza
- Jina la likoma limetokana na nini lakini hajamuuliza
-Ulijuana vipi na queen mpaka mkaanza kufanya nae kazi
-Maswali kama hayo mtangazaji sijui ni mgeni na h
Nimefurahi sana kuona mtu wa home kabisa ni maarufu mara zote nilijua mastaa wanatokea mjini na sehemu zilizoendelea lakini nimefurahi kuona likoma anatoka wilaya ambayo mimi pia natokea tofauti ni kata tu dah hongera sana wakwetu
i thank en support the team fully...the lady is really looks alike with Kp
True that bro😅
Kumbe kijana nilijua mxeee😢😢😢😢kabisa nimeamini kuna watu wenye vipaji
Yaan mimi nilijuaga kweli likoma ni mzee
Na Yuapendeza Kuliko Ata Kijana 😂😂😂😂😂
Jaman nikiangalia kun wa2 2na vpaj jmn 2inuen na ss
Kumbe huyu ni kijana tu ...anajuwa kuigiza na anajua tena ❤❤❤
Nakukubali sana mkiwa na Diboz manuva digala
Mzee likoma nakupenda pokea salamu zangu kutoka Kenya
LIKOMA KAMA UNATAKA MKESEMA KUNAMTOTO MZURI WAHESHIMA😂😂😂😂😂
Mzee likoma Wewe ukifa uwozi movie ya KP na zebuu inapoza
❤❤❤❤ umenenepa sana imependekeza sana
Ila uzee ndio unamfaa sana huyu
Asante san kw kutuletea interview ya mzee lipoma,,,tuletee na ya dibozi manicure.
Kaka niambie na Mimi mniuge kuigiza kak ninakipaj 😂😂😂😂
Pia mimi siamini😂
Huyo mtangazaji hamna kitu hajui kuuliza maswali yenye point
UA-cam TV
I love you so much❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mcheba
Mwambie likoma nampenda sana
Kumbe ni mwenetu wa ushetu
Namimi naweza kuigiza naombeni kz
Naomba nani inta nyuyuuh
Mimi apa tuzae nae ❤😂😂
Kikweli ongera sana likoma kumbe wewe nikijana😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Maajabu 😅😅😅
Namba likoma
Roll model wa likoma org. Hi kwake apewe maua yake🌹🌹
Eeeeh mze likoma kijana munzuri sana
Mzee likoma kumbe si Mzee. Halafu na sauti yake alibadili na kujifanya kuwa Mzee.ila nampenda Mzee likoma. "Jafari master Chengheng Bujumbura"
Mwanzoni nilikishani ni mzee kweli hadi pale nilipokuja kuona wamangush
likoma tunakupenda sana kutoka kenya
Kumbe mkaka mzuri hiv
Nakupa mauwa mengi 🎉🎉🎉sana
Mwambie likoma naomba kazi yag ndani nitashukusana ombi langu ukilikubali
Wewe Dada nakupenda sanaa namba tuwasiliane ❤
Kumbe mzee kijana😂😂😂😂😂
Dah kumbe lipoma bado mbichi kabisq
Huyu mwandishi mbna kama dada ake kp wana fanana
Oyaaaaaa 😢
Mzee likoma bado kijanakumbe🎉🎉
Likoma me mchagaa nakusali sana❤
Oya kula huyooo mbona anakuulizia sana
mimi hapa nakupenda bwana Ally
In love with him 😅
Guys me sitaki kuamini Mzee likoma ni kijana 😁😁😁😁😁 aaaah aise unajua kuigiza na unajua Tena
Sasa mbona ukiwa unaigiza mzee likoma huo mwili hauonekani sema nakukubali sana maaaaajabu
Mtangazaji jifunze kuhoji vitu vya maana