Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Jaman Kila mtu na Iman yake " mm binafsi bado sijamkubali kiboko y wachawi lkn alimponya mama angu mdg alipalalaiz kabisa kabisa sio uongo had anajisaidia hapo hapo ila kufikishwa pale kaombewa na kainuja had Leo anafua anafanya Kaz zake vzr tu
Mungu wa mbinguni atapigana na hii vita . Watasema mengi lakini mungu ndio msemaji wa mwisho na hili litapita baba yetu tunakupenda na tunakuombea sana
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Wachungaji wanampiga vita Kiboko ya wachawi wanakosea sana, waige waislam hawawezi kusemana kwenye media kwa sababu ya misingi walioachiwa na mtume Muhammad. Wakristo tuna shida sana.
@@JosefuSwai. Inawezekana Jamii ni Wachawi sana Tz, wachawi nao sio watu Wazuri hata MUNGU wa mbinguni hawataki, Biblia inasema, usimuache Mwanamke mchawi akaishi, na mambo yao ni ya Gizani sio Nuruni, ukrona hivyo Michawi iache uchawi kutwa kuumiza wwnzao tu sio Maendeleo hayo Yaani Wafrica watu weusi Mhhhh,!!! Wakati wenzao weusi hawadhuliani , weusi Mwenzake kanunua kitu kizuri wivu anawaza kumroga 🤮🤮🤮 Inaonekana Amewagusa hao watu wa Giza kwenye Jamiii 🤮🤮🤮🤮 na Mauchawi yao
Wapendwa Watumishi weghine acheni uchochezi wa Kumshambulia Mtumishi mwenzenu kwa Vile tu Mungu amempa Maono ya kusaidia wenye tabu shida na matesoo!! kaeni kwa Amanii tafuteni ushirikiano na yeye na nyie mjazwe nhuvu zaidi na Roho Mtakatifu. Mungu sio wa mapiganoooo yafadhalini acheni Uchawii
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Dominika Hana matatizo ni hila za waovu tu na watu wasiomjua mungu ,Rais watu Hana usiyakubali tunakupenda Sana mama muache dominic atuhudumie Dunia ni ya mungu sio ya mwanadam mama turudishie huduma, kwa nabii wetu dominic,
Mwanadamu Kila mmja ata ongea lake Ila mungu ndio anajua ukweli Kati yetu mi coni Kama nivizuri kumfungia mtu kanisa ,, Kama ni sadaka pia mtu alazimishwi kutoa na kuwa watu mbn hamfuati mtu kwake ye anaomba mungu afanye
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Mkombozi wetu atarudi aendelee na Kaz yake, watu wachache wanafanya hivo ili aaibike lakin mungu atamwinua zaidi, sisi wanadamu hatutaki mwenzetu awe juu tukiona anakuja kasi tunatafuta gogo aanguke apate aibu mungu atamsaidia na tunamwombea
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Huyu alikuwa anaona mbali sana. Huyu kiboko ya wachawi alikuwa anaona mambo makubwa sana. Niliona ile dada anaomba mtoto wake aombewe anaumwa alikuja na mume wake kumbe huyo dada kazaa na kaka yake wa damu. Huyu mtumishi alikuwa anaona deper vibaya sijawahi kuona nabii anaona kama huyu
Huyu mtumishi wa Mungu hana kosa kabisa lakini Mungu aliyeiweka huduma hiyo ndani yake atamupigania. Atatoka. Hiyo vita ndo ile ya wa kina Petro kuwekwa gerezani na Herode ko tuendelee kumuombea
Manabii ni wengi wengi wapo wa ukweli wapo wa uongo wengn wanataka maokoto tyuu kikubwa Amin unachokiamin mchungaj hyuu anacheza singeli mpk kanisan n ktunza Hela Kam maj
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Upo ulazima wa kufanya uchunguzi katika tuhuma hizi. Watu wengi wanakwenda kwenye makanisa ya Kiroho kwa sababu ya kutotatuliwa matatizo yao kwenye makanisa mengine. Na tatizo lingine ni wivu wa huduma na rushwa kwa viongozi.
Kwakweli Tanzania nchi Huru Kila mtu anaimani Yake na anatakiwa aende kokote akasali pale anapohitaji. Watumishi wa Mungu mpendane vita hadi makanisani haipendezi
Pelekeni watoto shule wakasome huo wote ni ukosefu wa elimu, walipokua wanaelekea waambiwe wabaki kanisani wachomwe moto waambiwe wakauone ufalme wa mbingu,serikali naipongeza sana ,uganda kibwetere kenya kuna waamini waliambiwa wasile mpaka serikali ikawaokoa dakika za mwisho na watu kibao walishakufa...
Suala fedha hakuna anaelazimishwa wanatoa kwa hiari. Shida wachawi na siasa . Tanzania tuna shida. Wageni Kuta nje wanatuongezea kipato hamuoni hata hilo??
Hii nchi haina mamlaka kikatiba kuzuiya kuaabudu / 1 haya ni mambo ya kiroho huyo haja bagua dini ya mtu yeye alikuwa ana tumia bibilia uchawi umetajwa katika maandiko sadaka zimetajwa kwenye maandiko kuumuwa mchawi sio yeye dominiki bali ni maandiko wewe unae muhukumu huna ushahidi wala kigezo cha kiroho isipokuwa ni chuki za kidini kuihusisha serikali kwa hizo sababu ,za wivu tajeni kosa la huyu jamaa /
Tusiwaone kama wajinga swala la Imani aiseee tuliache pia ukijakupat shida utakujakuwaona Hawa wapo sahihi msiwabeze Hawa shida ndio zimewaleta hapo😢😢😢😢😢
Kwani alikupora hiyo laki tano? Halafu ulitoa laki tano ya nini ? Wakati kiboko anaombea Bure ndio maana mliambiwa muwe na imani yakutosha,akiwa madhabahuni,lakini ninyi mna ng'ang'ania kumwona oficn,sasa ulitaka aiache hela au? Acha maneno mengi kwani kwa mganga mnapeleka ngapi?
Uchaguzi unakaribia. Wagombea huongozana na Waganga wao WA matunguli ili akihutubia watu wampende YY na wamchague. Sasa Pasta Dominic Kiboko WA wachawi ataathiri Uganda wao kipindi hiki budi wamtimue Kwa visingizio. Vipi Yule aliyetabiri mambo 5 yatakauotokea TZ mwaka huu huyo mtume kakamatwa,? Wahusika wa kumfungia watapata kali watajuta!
Hivi nyie watumishi wa mungu mnafurai Dominick kufungiwa nyie kweli hamna mungu kama mpo ivyo nini maana ya upendo ,je kipindi cha yesu manabii na mitume walikuwa wengi tu sioni ajabu mimi na bado manabii wataongezeka Sana tu ili andiko litimie lazim
Kwa kweli mtu na kwao sisi wacongo tumeona huo ni ubaguzi muko na haki kabisa Watanzania hata kumuuwa mutafanya hivo achukuwe akili mapema, anashambuliwa sana na mapastor wengi hata Hananja analiongelea wazi kwa wageni warudi inchi yaho
Imeniuma sana kiboko ya wachawi kufungiwa 😭😭 wangemuonya tu, jipe moyo mtumishi hii ni vita tu,itaisha
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Jipe moyo baba.kazi Yako ni njema mungu atakupigania utashinda.na kanisa litaendelea
Jaman Kila mtu na Iman yake " mm binafsi bado sijamkubali kiboko y wachawi lkn alimponya mama angu mdg alipalalaiz kabisa kabisa sio uongo had anajisaidia hapo hapo ila kufikishwa pale kaombewa na kainuja had Leo anafua anafanya Kaz zake vzr tu
Mungu utendee miujiz bab kwa mtumishe wangu afunguliwe
Mungu wa mbinguni atapigana na hii vita . Watasema mengi lakini mungu ndio msemaji wa mwisho na hili litapita baba yetu tunakupenda na tunakuombea sana
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Wachungaji wanampiga vita Kiboko ya wachawi wanakosea sana, waige waislam hawawezi kusemana kwenye media kwa sababu ya misingi walioachiwa na mtume Muhammad. Wakristo tuna shida sana.
Sasa ww unasema waislam hawaseman ushawah ona padri anamsema padri mwenzake? Kuwa mkristo sio dhehebu Moja hayo na madhehebu tofaut tofaut
Makani kama haya yafungiwe watu wakafanye kazi siyo kutegemea miujiza miujiza feki hata kwa waganga mambo kama haya yapo
Kwa hiyo mtu akiwa mwakilishi wa shetani ajaye kama malaika wa nuru aachwe aangamize siyo hakuna kanisa la wachawi bali tuna kanisa la kumtangaza Yesu
@@JosefuSwai. Inawezekana Jamii ni Wachawi sana Tz, wachawi nao sio watu Wazuri hata MUNGU wa mbinguni hawataki, Biblia inasema, usimuache Mwanamke mchawi akaishi, na mambo yao ni ya Gizani sio Nuruni, ukrona hivyo Michawi iache uchawi kutwa kuumiza wwnzao tu sio Maendeleo hayo Yaani Wafrica watu weusi Mhhhh,!!! Wakati wenzao weusi hawadhuliani , weusi Mwenzake kanunua kitu kizuri wivu anawaza kumroga 🤮🤮🤮 Inaonekana Amewagusa hao watu wa Giza kwenye Jamiii 🤮🤮🤮🤮 na Mauchawi yao
Ndyo. Hii ni vita ya wachungaj Hakuna kngne.
Wapendwa Watumishi weghine acheni uchochezi wa Kumshambulia Mtumishi mwenzenu kwa Vile tu Mungu amempa Maono ya kusaidia wenye tabu shida na matesoo!! kaeni kwa Amanii tafuteni ushirikiano na yeye na nyie mjazwe nhuvu zaidi na Roho Mtakatifu. Mungu sio wa mapiganoooo yafadhalini acheni Uchawii
Mungu sio Wa vita sio wa Fitina na sio wa Chuki wala Sio wa Fitina na Wivu. Hapana Mungu Wetu ni waamani kwa sisi wote
Pastor Dominick Mungu yupo kaza utashinda na wataona nguvu ya Mungu ndani yako
Mungu yupi
Shetani naye yupo
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Kiboko ya wachawi Hana shida na mtu, ni vita ya sadaka tu.
Ee Mungu tunaomba uendelee kuwadhalilisha wachawi.kwa kumrudisha mchungaji wetuuu
Naipongeza selikali yangu kwa umakini wake Asante sana
Waumin wamuombe mungu. ata petro alifungwa kanisan malaika wakamtoa.nashaangaa kuna wa Kristo wanampiga Vita.
Dominika Hana matatizo ni hila za waovu tu na watu wasiomjua mungu ,Rais watu Hana usiyakubali tunakupenda Sana mama muache dominic atuhudumie Dunia ni ya mungu sio ya mwanadam mama turudishie huduma, kwa nabii wetu dominic,
Mwenyezi MUNGU ndy jibu lako mama na sio kiboko ya wachawi tujihathari sana na haya tuyaonayo
Kama Unajijua Wewe ni Mtumishi wa MUNGU wambinguni Acha kupiga vita Mtumishi mwenu Vita hiyo si Yake vita ni Ya Bwana Yesu
Mama wanaosema mitumishe wa mungu nitapeli niwachawi ndio maana wanasema nitapeli wameharebiwa uchawi waho
Hio ni vita anavyofanyiwa mtumishi kwasababu watu hawataki kuona mazao na matunda mema na ndio maaana wanakupinga mawe lakin mungu ndiye anajuwa.
Mungu akusaidie kiboko ya wachawi tunakuhitaji hata wengine
Mungu aliye tenda miujiza yote hapo kanisani (CAC) ,ninaamini kiboko ya wachawi atarudi tu.MUNGU wetu halali wala hasinzii
Mwanadamu Kila mmja ata ongea lake Ila mungu ndio anajua ukweli Kati yetu mi coni Kama nivizuri kumfungia mtu kanisa ,, Kama ni sadaka pia mtu alazimishwi kutoa na kuwa watu mbn hamfuati mtu kwake ye anaomba mungu afanye
Mungu pigania ili swala mtumish wetu arudi
Makanisa ya pentecoste pamoja na TAG kuombea mtu hat mwenye mafua hawawez Kila kanisa hata watu mia hawafikish wivu tu machaw wakubwa
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Mkombozi wetu atarudi aendelee na Kaz yake, watu wachache wanafanya hivo ili aaibike lakin mungu atamwinua zaidi, sisi wanadamu hatutaki mwenzetu awe juu tukiona anakuja kasi tunatafuta gogo aanguke apate aibu mungu atamsaidia na tunamwombea
Hivi ninyi watanzania Mnaamini wachawi ila kuamin Mungu kupitia watumishi wakehawezi kifanya mambo makubwa
Wataseme mengi laminitis mungu nimsemaji wa watu waake
Shida watanzania wengi ni wachawi ndio maana wanampiga vita Kiboko ya wachawi. Alafu uhuru wa kuabudu uko wapi Tanzania??
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Huyu alikuwa anaona mbali sana. Huyu kiboko ya wachawi alikuwa anaona mambo makubwa sana.
Niliona ile dada anaomba mtoto wake aombewe anaumwa alikuja na mume wake kumbe huyo dada kazaa na kaka yake wa damu.
Huyu mtumishi alikuwa anaona deper vibaya sijawahi kuona nabii anaona kama huyu
Huyu mtumishi wa Mungu hana kosa kabisa lakini Mungu aliyeiweka huduma hiyo ndani yake atamupigania. Atatoka. Hiyo vita ndo ile ya wa kina Petro kuwekwa gerezani na Herode ko tuendelee kumuombea
Mungu hapiganiu matapeli wanaotumia jina lake bali huwatapika!
Akina Petro walikuwa wanhubiri injili sasa hizo lak 5 za nini
Kwaza wakongo niwatu bie awana mambo mengi wanapenda sana kujishusha
Kiboko wetu tunakupenda sana
wachawi wenyew wamefurahhh
Mama tuna wagonjwa mdungu zetu Wana umuwa hatuna pesa ukienda kwa mtumishe tunapona tuomba mturundesheni huduma
Manabii ni wengi wengi wapo wa ukweli wapo wa uongo wengn wanataka maokoto tyuu kikubwa Amin unachokiamin mchungaj hyuu anacheza singeli mpk kanisan n ktunza Hela Kam maj
Tatizo wivu wa baadhi ya watumishi wa Mungu
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Duuu imenia sana.
Kwaimani tutashinda baba, tunakuombea shujaa wetu mtetezi wa wanyonge utashinda.
Upo ulazima wa kufanya uchunguzi katika tuhuma hizi. Watu wengi wanakwenda kwenye makanisa ya Kiroho kwa sababu ya kutotatuliwa matatizo yao kwenye makanisa mengine. Na tatizo lingine ni wivu wa huduma na rushwa kwa viongozi.
Pleseee mama raising yetu tufungulie huduma mama ni
Mungu anasikia maombi jamani acheni Mungu aitwe Mungu
Tanzania ni wachawi ndio sababu M ungu. Aliachilia mtumishi wake kwa namba ya tofauti wanasema ni anadhalilisha eh wachawi wafe
Ee mungu tukuomba utendee mijizi
Arudi Congo akawapotoshe huko
Hii ni vita tu naomba serikari itusaidie sisi wananchi .wenye shida.
Tunakutegemea Nabii wetu
Huyo ni muujiza kutoka kwa Mungu mwenyewe Hata Yesu aliambiwa hivyo hivo, hiyo laki tano walimpa nani awawekee akamyang'ang'anya
Jamani wazir hana shida ila wattu
Kwakweli Tanzania nchi Huru Kila mtu anaimani Yake na anatakiwa aende kokote akasali pale anapohitaji. Watumishi wa Mungu mpendane vita hadi makanisani haipendezi
Nyie kumanina zenu"mnatapeliwa pesa zenu"halafu nyoko nyoko nyoko"
Najua Kila Lilo na mwanzo Lina mwisho na bado mtashangaa mengi Yesu yupo kazini
Pelekeni watoto shule wakasome huo wote ni ukosefu wa elimu, walipokua wanaelekea waambiwe wabaki kanisani wachomwe moto waambiwe wakauone ufalme wa mbingu,serikali naipongeza sana ,uganda kibwetere kenya kuna waamini waliambiwa wasile mpaka serikali ikawaokoa dakika za mwisho na watu kibao walishakufa...
Kiukweli mungu atusaidie atupe na macho ya rohon pia
Jamani mbona wazir anasema hajui kama kanisa limefungwa
Pia kunamtu kalipia kufungiwa
Viongoze wa serekali msewasekileze watu niwaongo watu hapendwani tunaomba mturundsheni huduma Rais saima
Izo ni hila tu na mwisho wake mbaya mtajuta na hila zenu, Kama ilivyo mwisho wa hila ni mbayaa
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Suala fedha hakuna anaelazimishwa wanatoa kwa hiari. Shida wachawi na siasa . Tanzania tuna shida. Wageni Kuta nje wanatuongezea kipato hamuoni hata hilo??
Kweli kabisaa
Anaficha huyu mama Kuna mambo mabaya hapo wanatoza pesa Ili umuone na Bado humuoni na pesa wanachikua
Vita niyabwana,atakupigania hatakuacha,ila mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,
Yani wamemuoneya mtumishi 😭
Ufahamu wa hawa watu umefungwa,Mungu awafungue
Sasa naona viongozi wetu wameanza kuwa makini mimi naipongrza serikali kwa maamuzi hayo sahihi.tena mmechelewa sana.
Makubwa hata wewe unaroho mbaya hivo
hawa wanaomtaka wawekwe ndani wote
Kibwetele kawawiwa mapema asante mungu wautawala
Niwiivu tumama tufungulie huduma mama
Tunaangamia Kwa kukosa malifa sio kosalenu Bali ufahamu tuu inaitaji msada WA MUNGU Bila MUNGU kutupa macho tumekwisha
Mbona kwa waganga wakienyeji watu watoa Hadi magari nahawaponi ni Hira tu hizo wamuachie
Watanzani Yehova wasamehe sana wamezoea maombi ya Kulea uovu na uchawi hasa mwacheni kiboko ya uchawi atusaidie atufungue
Napia kwakua sio mtazania ndio shida
Hii nchi haina mamlaka kikatiba kuzuiya kuaabudu / 1 haya ni mambo ya kiroho huyo haja bagua dini ya mtu yeye alikuwa ana tumia bibilia uchawi umetajwa katika maandiko sadaka zimetajwa kwenye maandiko kuumuwa mchawi sio yeye dominiki bali ni maandiko wewe unae muhukumu huna ushahidi wala kigezo cha kiroho isipokuwa ni chuki za kidini kuihusisha serikali kwa hizo sababu ,za wivu tajeni kosa la huyu jamaa /
Ana shida mwacheni watu Wana tesenka acheni Kama ujalongwa kaa kimya
Washikeni na wengine wengi
Wanaoona anashida ni wale wwanaozurumu watu na ndio maana wameona wataumbuliwa
Wachawi saa hizi wanapiga sherehe😂
Tusiwaone kama wajinga swala la Imani aiseee tuliache pia ukijakupat shida utakujakuwaona Hawa wapo sahihi msiwabeze Hawa shida ndio zimewaleta hapo😢😢😢😢😢
Huyo kiboko siyo mtumishi wa
Mungu alilnitoxa laki tano mm nilitoka Moshi nikawa Sina skanifukuza nikajruxa siku hiyo hiyo kurudi Moshi
Kwani alikupora hiyo laki tano? Halafu ulitoa laki tano ya nini ? Wakati kiboko anaombea Bure ndio maana mliambiwa muwe na imani yakutosha,akiwa madhabahuni,lakini ninyi mna ng'ang'ania kumwona oficn,sasa ulitaka aiache hela au? Acha maneno mengi kwani kwa mganga mnapeleka ngapi?
Mama tunakuomba ingilia kati hili.
Mung amsmamie kibok wetu zid ya usda za ao wachungaji wenzie walaanow san tna peng kubwa san eeh mung yufanyie wepes alud
Kwa mara ya kwanza naipongeza sana serikali, kwa staili hii matapeli wanakoma
Mumfungurie mbona zumaridi huwa mnafunguria.ndo ana vituko kama vyote
inabid mfate kongo ataenda kufungua kongo
Kwanini asijisajiri kama mganga wa Kienyeji, hakuna ukristo kama huo 😂😂😂😂😂.
Kaa chini mwombe mungu atakujibu so hakuna nabii duniani
Mama Mkombozi ni Yesu tu mbona unakufuru. Sa si msali tu mwondoke kwani asipokuwepo hamwezi kusali? Watokee wawamwagie maji ya pilipili!
Wachungaj wana wivu sana uyo kibok anaongea ukwer ao wanao mfanyia vigis niwachaw wanaogop kuumbuliw
Hivyo kabisa
Wanaomutetea wamerogwa siyo mtu mzuri huyo
Watazania tujitahidi kumtafuta mungu wakweli hatakama unashida kubwa kiasigan
Tajiri mshenzi mwizi na muhalifu
Jiombeeni wenyewe yatapokelewa msimtegemee Mwanadamu mwenzetu
𝓖𝓪𝓵𝓲𝓷𝓪 𝓶𝔂 𝓪𝓷𝓪𝔂𝓮 𝓶𝓽𝓮𝓰𝓮𝓶𝓮𝓪 𝓶𝓪𝓭𝓪𝓶 𝓶𝓽𝓾𝓶𝓲𝓼𝓱𝓲 𝔀𝓪 𝓶𝓾𝓷𝓰𝓾 𝓷𝓲 𝓱𝓲 𝓫𝓪𝓲𝓷𝓪 𝔀𝓪 𝓪𝓫𝓪𝓭𝓪𝓷 𝓷𝓪 𝓶𝓾𝓷𝓰𝓾 𝔂𝓪𝓷𝓲 nidaraja
Mkombozi wenu ni MUNGU au ni huyo nabiii wenu acheni mambo yenu kazi kufata miujiza tu someni neno acheni uvivu wa kutokusoma neno
Afya ya akili
Masikini kama nyiee mtajuaje wakati Watu wanao ulizwa NI wenye magarii Huna gari huulizwii 🤣🤦🤦🤦🤦 someni NENO nyiee acheni kudanganywaa
Uchaguzi unakaribia. Wagombea huongozana na Waganga wao WA matunguli ili akihutubia watu wampende YY na wamchague. Sasa Pasta Dominic Kiboko WA wachawi ataathiri Uganda wao kipindi hiki budi wamtimue Kwa visingizio. Vipi Yule aliyetabiri mambo 5 yatakauotokea TZ mwaka huu huyo mtume kakamatwa,? Wahusika wa kumfungia watapata kali watajuta!
Waacheni wakeshage hapo
Wanatak pesa.serekar.iyoo
Hivi nyie watumishi wa mungu mnafurai Dominick kufungiwa nyie kweli hamna mungu kama mpo ivyo nini maana ya upendo ,je kipindi cha yesu manabii na mitume walikuwa wengi tu sioni ajabu mimi na bado manabii wataongezeka Sana tu ili andiko litimie lazim
Kwa kweli mtu na kwao sisi wacongo tumeona huo ni ubaguzi muko na haki kabisa Watanzania hata kumuuwa mutafanya hivo achukuwe akili mapema, anashambuliwa sana na mapastor wengi hata Hananja analiongelea wazi kwa wageni warudi inchi yaho
MUNGU amtetee mtumishi wake