MUKOKO TONOMBE: "NILIUMIA SANA KUONDOKA YANGA" | ASEMA YANGA WANAWEZA KUFIKA FAINALI YA CAFCL.
Вставка
- Опубліковано 14 чер 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Спорт
Msema kweli mpenzi wa Mungu,inshaAllah utapata riziki yk utayojaaliwa M.Tonombe,Tz ni nchi ya amani/upendo/furaha UMELIDHIHIRISHA hilo,kila jema kwenye maisha yk ya Mpira,keep it up.
Safi sana MKOKO KARIBU NYUMBANI , TIMU ZIKO NYINGI BONGO
Tunakupenda sana
Mukoko teacher
mukoko karibu tanzania
Azid kupamba azid hapo kdg tuta muludisha jagwan
hao ndo wachezaji wenye kuheshimu walikotoka sio wengine kutwa mtandaoni kusema yanga vibaya
Huyu mwamba tumrudishe Wananchi
hapana ni mchezaji mzuri ila kwa wananchiiiii Hana nafasi ....
Aliekuja Kuchukua Namba ya Huyu MWAMBA ni YANICK BANGALA na Hayupo tena YANGA
MWAMBA Arudishwe
Aliekuja Kuchukua Namba ya Huyu MWAMBA ni YANICK BANGALA na Hayupo tena YANGA
MWAMBA Arudishwe
Huyu jamaa anafaa kubaki ligi yetu tz
Atabaki huyu mwamba c kashasema mkataba wake na mazembe umeisha hapa kaja kusoma ramani
@@PetroSamwel-vz6hghata mimi nahisi hivyo kwani amesema amekuja pia kuiona familia ya mke wake; kwa maana wakwe zake wapo hapa hapa Dar es Salaam na yawezekana ni watanzania na yeye kaoa binti wa kitanzania. Kwa hiyo kaja ukweni
@@PetroSamwel-vz6hgujue tanzania wakongo wanapapenda sana na mayele angekuja kumsaidia fei ila kaogopa kukutana kitu kizito😂😂
Hawezi Kurudi YANGA Tuna Malengo Makubwa Sio Kwamba Ana Uwezo Mdogo Ila Kwa Hatua Ya YANGA Tunahitaji Watu Wakubwa Zaidi Kama Kina Profesa, Aziz N.k Wenye Vipaji Vikubwa
Nikweli ila usiseme ivyo
😂😂😂
Mh!!! Na Wale Kina MAUYA Wanafanyaje?
Mbona Kila Mwaka wanaongezewa MKATABA
@@user-xe6jw8pt3d mauya na mukoko hawana tofauti sana ... Pale yanga sasa ni ngumu kucheza mkude mwenyew hapati nafasi ...Mauya c mchezaji mbaya ila confidence yke imeshuka Sana ila ni kiungo mzuri tu
Tulipigwa KITU KIZITO
Tulipewa CHICCO USHINDI😢😢
Tukabadilisha kwa huyu MWAMBA
Aucho akipata MAJERAHA Namba 6 Ni MAJANGA
Kweli mwanangu , yaani eti tukatoa mkoko tukapewa chiko , very poor player 😂😂😂😂