Davistar upo vizuri bro.Unatupa story zilizoenda shule kiasi kwamba mtu akisikiliza anajifunza jambo. Huenda kuna watu walikuwa na mawazo ya kwenda kwa waganga lakin kutokana na kile wanajifunza kupitia stori zako wanabadili mawazo. I appreciate you brother.salute
Vijana ndio tunaopitia changamoto nyingi za maisha tunashindwa kujua kama ni mitian ya mungu kutupima imani zetu zinakua wapi wengi ukimbilia pande za ushirikina tunasahau kunu Muumba wetu...Hapo unachunguza pesa ya Ushirikina aidumumu na inamasharti kama yote wallai...Allah atuongoze vizazi vyetu mana dunia hii inaenda mwisho
Subhanah Allah, kwa nn waganga wanapenda sana kama mtu anataka hela ya utajiri mpaka umlale mamako yani kwa kweli kama ni yy anaeza fanya mmbo kama hayo
Wachawi Wanaweza Toka Dar. Kwenda Mwanza Kwa Dakika Mbili Au Tatu Kwaivo Usishangae Yeye Kuanguka Mbali Kwetu Sisi Tunaona Mbali Kwa Wanga Awana Umbali Hata Ulaya Wanaenda Na Kuludi Na Kwenda Tena Na Kuludi Wachawi Nisawa Na Ewa Tu Ndo Mana Awana Faida Kwa Mungu Wakifa Awana Vizingiti Zaidi Ya Moto Ndo Mana Wanakua Na Roo Mbaya Zaidi
Davista hivi Hawa wanaosemaga, Leo mi wa kwanza, cjui wa pili, au nimewahi leo, huwa unawapa Zawadi au wanapata nn hasa ili kesho na mm nitege niwahi.....!! 😂😂 Eti utasikia wa kwanza leo....!! Ili iweje ssa
🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️miaka mbili nanusu eti mtoto alale na mamake loo masharti mengine bn ya kuzimu kabisaaaa Utajiri kupitia kafara eti ulale na mxaxi wewe Mungu akusameheee kweli
Yan waganga wabaya sana aiseee bila aibu wanasema mtoto alale na mama ake tena mtoto wa miaka 2 na nusu aiseee ni makufuru laana..bora umewah kanisani na umefunga milango yotee ya kuzimu wewe ni shujaa bro wengi apa tunawasikiliza wamepata mazito lkn mwisho awana ata habari ya kutubu..awajui kama milango ya kuzimu ipo wazi bila damu ya Yesu ni bureee bro Mungu akubariki sana ....
Yaani hizi pesa za waganga shetani anakupa kwa muda mda mfupi tuu ananjia anafanya ukosee yaani mwisho wake shetani ndo anafaidi, mbaya zaidi wale waliotoa sadaka famia zao halafu wanabakia wapweke na umasikini juu. Jamani tujifunze tuu hakuna bure kwa shetani. Mungu pekee ndo njia.
Huu utajiri kwa kishirikina hauna mwisho mzuri wanakupa hela ila mwisho wa siku lazima utakosea masharti tu hakuna aliedumu kwenye huu utajiri maisha yake yote
I have listened to many scripted stories by this man davi n I have come to a conclusion that most of them end like Nigerian movies. Dah wote humalizia kanisani au msikiti badaa ya kufilisika uongo mtupu I say
Ila, kama unafwatilia kwenye hizo stories, unaweza ukaunganisha dots, maana kuna stories zinakutana, kuna matukio ya ajali yanakutana katika stories.. kama yule jamaa aliejiita Lwanda magere, kuna vitu alikuwa anasema na mimi nilikuwa navitafuta ili kupata ushahidi zaidi na kujipa uwakika. maana kuna matukio yanaachaga simulizi kwenye jamii, waweza kufwatilia.
Wewe kijana ni mshenzi ilikuwa ukubali iwe basi utajiri km lazima umfanyie mamaako ushenzi . umelaaniwa wewe . kwani lazima uwe tajiri ? Mungu hakutaka kuwa uwe miongoni mwa matajiri sio km alishindwa kukupa utajiri .
Kuna jaa nilisikiliz stori yak kwenye radio yup mwanza aliishi gambosh miak kumi nistor nzur san no zak nikutumie maan alie kuwa ana muoj alikua ana oji juujuu tu nistor tam san tungeipat hap
0764598589//0628638308 yani siri yagambosh utaijua tren inauotok naigeria inapit gambosh adi misri kwa firain fany chap tupat hii stor aliitoa redio free afrik mwanz jumapil
Mi nahisi wanaoenda kutafuta utajili huwa wanahisi wanaenda kukutana namshalt yakawaida mwisho wasiku wanakutana nachamoto ila nashukuru kwakipindi chako kinatuelimisha
We Nikuma Sema Tu Wengi Wajifunze Kutoka Kwako Ukitaka Utajili Wa Kichawi Uwe Na Roo Ngumu Uwe Unafata Mashaliti Na Uwe Mtiifu Wa Kweli Wa Shetani Ukivua Nguo Nilazima Uoge Kwashetani Akuna Uruma Ndo Mana Unaweza Kuuwa Ndugu Zako Wote Cha Ajabu Ukija Pata Utajili Siku Moja Tu Ukikosea Mashaliti Ndo Usaau Kuludi Utajilini Tena
Davistar hebu uje uweke hizi Story zako kwenye SD kwajili ya watu wengine ju kila mtu angependa kusikia mambo kama haya lakini hawana Smart phone pia pesa yakuweka Mbs kila siku hawaweze sasa ukiweka kwa SD mtu anajinunulia SD yake sijue we unaonaje
@@deelissa2746 aaah Yani funza kabisa unakula.kisa uwe na pesa nikama utazikwa nazo I can't do that duuuu funza tena uwatafune subhana Allah Allah atusamehe atupe mioyo ya kutosheka na kukinai
Kwa Waganga hakuna furaha,Kwa Waganga hakuna mafanikio.Ule utajiri wa Haki ni ule unatoka Kwake Mwenyezi MUNGU.PRAISE NAME OF THE LORD JUSUS CHRIST🙏🙏🙏
Congratulation brother!Umefanya vizuri Sana kurudi Kwa Bwana Mungu! God bless 🙏 you for might name of king Jesus! Haleluya!
Davistar upo vizuri bro.Unatupa story zilizoenda shule kiasi kwamba mtu akisikiliza anajifunza jambo. Huenda kuna watu walikuwa na mawazo ya kwenda kwa waganga lakin kutokana na kile wanajifunza kupitia stori zako wanabadili mawazo. I appreciate you brother.salute
Asante Bwana Yesu ubarikiwe sana mwanangu shetani ni mwovu kazi yake in kuiba kuuwa na kuharibu Mungu akiongozwa usianguke tena ktk dhambi
Subhanah Allah, alafu kijana anakubali tu kwenda mlala mamae Ina lilahi waina ilahi rajiun
Jamani wachawi mtakwenda kujibu nini mbele ya Mungu, kufanya mapenzi na mama yako mzazi kweli,eti kisa uwe tajiri.
Ndio hapo, hilo hawalifikirii ujue mpaka yawakute
Thanks Davistar kwa kazi nzuri unakuta kijana bado mdogo tu lakini ni tajiri mpaka unashanga kumbe sio utajiri halisi
Mwenyez mungu aliamua kumuondoa atoke kwenye dhambi hyo ili Mali za kishetani zifike mwisho
Subhanah Allah, mwana alale na mamae Ina lilahi waina ilahi rajiun yani hawa waganga wataenda jibu nn kesho mbele ya Allah
Vijana ndio tunaopitia changamoto nyingi za maisha tunashindwa kujua kama ni mitian ya mungu kutupima imani zetu zinakua wapi wengi ukimbilia pande za ushirikina tunasahau kunu Muumba wetu...Hapo unachunguza pesa ya Ushirikina aidumumu na inamasharti kama yote wallai...Allah atuongoze vizazi vyetu mana dunia hii inaenda mwisho
Subhanah Allah, kwa nn waganga wanapenda sana kama mtu anataka hela ya utajiri mpaka umlale mamako yani kwa kweli kama ni yy anaeza fanya mmbo kama hayo
Kama umeeza kula funza basi mabuu pia waeza na nife maskini tu roho safi😂😂😂
Nadhani yote.sawa mana yametoka kwamwili wamtu amekufaa tafsir mybe ndotofauti😂😂😂
Mr. Facts mtu makini kabisa.
Kazi nzuri kaka...
Utajiri na heshima ni kwa Mungu baba wa Bwana wetu yesu,
Subhanah Allah, yani unamfanyia hivo mamako awe mrahisi kwako
Dunia imeisha😥
@@ayshamahariq6665 dunia bado hajaisha ni watu waisha
@@ayshamahariq6665 majanga kila kukicha tu
@@farhathamdansalum9725 mungu atunusuru wajawake🤗
@@ayshamahariq6665 Ameen
Pamoja sana Davistar 🤝
Ina lilahi waina ilahi rajiun, miaka 4 Subhanah Allah yani unamuingia mamako mzazi
Babuuu kama upo mwanzaa mtafute mchungaji pamangwanaa ana story nzuri Sanaa aliku jambazi uchawi ndio usiulize sasa iv ni mchungajii
Anapatikana wapi na je unaweza nisaidia kupata namba yake
Huyo jamaa nilishamsikia kitambo amepitia makubwaaa
Ameen hongera Sana..😁🔥👏👏👏
Usilete ujanja ujanja siku nyingine, daa mitihani bora nife masikini
Utajiri wa kishetani siku zote ni mitihani mitupu, ni bora tu vijana mpambane sababu maisha hayana janja janja wala shortcuts, Mungu akusimamie.
Duu pesa ya ivyositaki unakula funza kabisa hajatapika kweli🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Wachawi Wanaweza Toka Dar. Kwenda Mwanza Kwa Dakika Mbili Au Tatu Kwaivo Usishangae Yeye Kuanguka Mbali Kwetu Sisi Tunaona Mbali Kwa Wanga Awana Umbali Hata Ulaya Wanaenda Na Kuludi Na Kwenda Tena Na Kuludi Wachawi Nisawa Na Ewa Tu Ndo Mana Awana Faida Kwa Mungu Wakifa Awana Vizingiti Zaidi Ya Moto Ndo Mana Wanakua Na Roo Mbaya Zaidi
Kwel yan hawa wanajua tyr wanaenda motoni, ndo maaan wanakuw na roho mbaya hahahahahaaa
Kofi limekuchanya mpaka ukajikuta unaramba kamasi duuuu nimecheka leo
Leo wa 10
Wakwanzaa
Wa kwanza kuifuma
Hongera
good job ❤️❤️🇨🇩
Kofi hd kamasi duuu htari sana labda alipigwa na goliati
Hii ya kulala na mama ndio mondy pia humfanyia mamake wallahi Hadi haezi oa mamake amemganda kma mkewe Jamani kumbe wanatiana
Davista hivi Hawa wanaosemaga, Leo mi wa kwanza, cjui wa pili, au nimewahi leo, huwa unawapa Zawadi au wanapata nn hasa ili kesho na mm nitege niwahi.....!! 😂😂 Eti utasikia wa kwanza leo....!! Ili iweje ssa
Hutupa credit 💃😂
🤣🤣
🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️miaka mbili nanusu eti mtoto alale na mamake loo masharti mengine bn ya kuzimu kabisaaaa
Utajiri kupitia kafara eti ulale na mxaxi wewe Mungu akusameheee kweli
Huyu kijana mjinga sana, toka mwanzo hukumjuwa Allah mpaka mikosi ilipokutokea je ingelikuwa mamako hakuaga je
Kwaiyo jamaa aliingiliwa kinyume na maumbile na yeye alimwingilia mama yake,daah waganga wabaya sana
Yan waganga wabaya sana aiseee bila aibu wanasema mtoto alale na mama ake tena mtoto wa miaka 2 na nusu aiseee ni makufuru laana..bora umewah kanisani na umefunga milango yotee ya kuzimu wewe ni shujaa bro wengi apa tunawasikiliza wamepata mazito lkn mwisho awana ata habari ya kutubu..awajui kama milango ya kuzimu ipo wazi bila damu ya Yesu ni bureee bro Mungu akubariki sana ....
Aiseeee, mama kafariki ss hapo sharti lengine litakuwa lipi hapo
Pamoja sana
Yaani hizi pesa za waganga shetani anakupa kwa muda mda mfupi tuu ananjia anafanya ukosee yaani mwisho wake shetani ndo anafaidi, mbaya zaidi wale waliotoa sadaka famia zao halafu wanabakia wapweke na umasikini juu. Jamani tujifunze tuu hakuna bure kwa shetani. Mungu pekee ndo njia.
Nipe links ya numbers 2 please
hahahaha....alilamba kamasi...thatwas funny
Huu utajiri kwa kishirikina hauna mwisho mzuri wanakupa hela ila mwisho wa siku lazima utakosea masharti tu hakuna aliedumu kwenye huu utajiri maisha yake yote
Utajiri wamasharti mwisho wake mbaya jamani vijana kuweni na subra mwataka utajiri wamkato
Pesaaa???
I have listened to many scripted stories by this man davi n I have come to a conclusion that most of them end like Nigerian movies. Dah wote humalizia kanisani au msikiti badaa ya kufilisika uongo mtupu I say
Ila, kama unafwatilia kwenye hizo stories, unaweza ukaunganisha dots, maana kuna stories zinakutana, kuna matukio ya ajali yanakutana katika stories.. kama yule jamaa aliejiita Lwanda magere, kuna vitu alikuwa anasema na mimi nilikuwa navitafuta ili kupata ushahidi zaidi na kujipa uwakika. maana kuna matukio yanaachaga simulizi kwenye jamii, waweza kufwatilia.
Amina
Oralenga han`oo ukurwaa bhenee, mola atuepuxhe cku za mwisho cjui tutajibu nn
Kwaupande Wang shart kubwa kwangu ni laku UA au. Kuingiliwa m bas mengne yakawaida
Basi nenda yapo ya kupata donda ndugu halipowi kila likitoa usaha na utajiri wako unaongezeka
Kwani wanajuaje km hapa ni singada au wilaya flani usiku km huo wakt sio wachawi😂au wanaambiwa na waganga
Hapo kwenye kofi nimecheka mpka machozi yamenitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lizika na kile MUNGU anachokubariki kaka
Kijana namuhurumia sana atajibu nn kwa mungu
Hapo cha cha
Wewe kijana ni mshenzi ilikuwa ukubali iwe basi utajiri km lazima umfanyie mamaako ushenzi . umelaaniwa wewe . kwani lazima uwe tajiri ? Mungu hakutaka kuwa uwe miongoni mwa matajiri sio km alishindwa kukupa utajiri .
Hahaha walimwengu na malimwengu yao aisee dah.
Tunaendelea to gether
Kijana hajui kujieleza huyu anamaliza bundle
Icho kitendo cha mtu kulala na mama yke mzazi hicho nikikifkiria nahisi ubongo kama unataka kuachia icho kitendo hakielezeki daaaaaaaaah..... 😔😔😔😔
Kuna jaa nilisikiliz stori yak kwenye radio yup mwanza aliishi gambosh miak kumi nistor nzur san no zak nikutumie maan alie kuwa ana muoj alikua ana oji juujuu tu nistor tam san tungeipat hap
Nipe
Oya mpe izo namba zake bac
0764598589//0628638308 yani siri yagambosh utaijua tren inauotok naigeria inapit gambosh adi misri kwa firain fany chap tupat hii stor aliitoa redio free afrik mwanz jumapil
Kumbe ndo huyu nilishaongea ila akaleta ujuaji!
@@DavistarMataMediaDM tuletee na sisi davi jmn
😄😂😂😂🤣🤣🤣 kibao mpaka unaramba kamasi zako dhuuu
Yaani huyu jamaa mshenzi kweli tamaa imemuandama . huu utajiri wakulazimosha hakuna mtu hata 1 nilomsikia akabakia kuwa mambo yake kuwa mazuri
Nimeshazitum hiz no zajam yup mwanz
Yaani unaambiwa tu ufanye maovu
🤣🤣🤣Dogo apeleka ujanja kwa uchawi
Davistar ubarikiwe shetani hajawahi mwacha mtu salama kamwe msaada uko KWA MUNGU PEKEEE TU
Yani waganga na wachawi watafanya yote ila la kushangaza hawaezi fanya wakaingia kwa bank kuchukuwa hela
Daaa
Mtihan mkubwa
Mi nahisi wanaoenda kutafuta utajili huwa wanahisi wanaenda kukutana namshalt yakawaida mwisho wasiku wanakutana nachamoto ila nashukuru kwakipindi chako kinatuelimisha
Hebu tupo story za Gamoshi mkali
Dunia simama nishuke. NGAI fafa.
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo
Duuu!
I think God i was not born in Tanzania haki afathali utajiri ukae utalalaje na mamako?
Ila jana sikueza wai aiseee, story inaendelea
Hatari mtihani mkubwa
Yeah
Leo 23
Story ya huyu kma anatunga mambo yake hayana ushirikiano na wala hajui kujielezea
Vijana tufanye kazi tuache kupenda vya bure vya bure vinaponza
We Nikuma Sema Tu Wengi Wajifunze Kutoka Kwako Ukitaka Utajili Wa Kichawi Uwe Na Roo Ngumu Uwe Unafata Mashaliti Na Uwe Mtiifu Wa Kweli Wa Shetani Ukivua Nguo Nilazima Uoge Kwashetani Akuna Uruma Ndo Mana Unaweza Kuuwa Ndugu Zako Wote Cha Ajabu Ukija Pata Utajili Siku Moja Tu Ukikosea Mashaliti Ndo Usaau Kuludi Utajilini Tena
Inaonekana ww mwenyew una utajiri wa kichawi kwa maneno yako na ww katowe stori yako au ndio unasubiri mpka ufilisike
Tupo pamoja
Dahh dahh balaa dahh kijana huyu muongo muongo dahh
nimecerewa kidogo kuifuma
kijana alikua mu ovu sana.
Ujanja haufai
Yan mm napend stor kam hiz sem naon umepunguz spid ya kutoa stor sik hiz unatukeraaaaaaaa una jua
😂😂😂😂
@@deelissa2746 mbn wachek sasa
@@jumanneswalehe1118 nilijua nakeleka mwenyew kumbe tupo weng
@@deelissa2746 tupooooooo
Jamaa huyu muongo,anatafuta maneno.Yani anaunga unga.
Umeambiwa kula funxa ukakiukaa mashart ukapigwaa Kofi haya fumba macho ukafunga naukafungua mbona wewe gubu hivi naunataka utajiri
Davistar hebu uje uweke hizi Story zako kwenye SD kwajili ya watu wengine ju kila mtu angependa kusikia mambo kama haya lakini hawana Smart phone pia pesa yakuweka Mbs kila siku hawaweze sasa ukiweka kwa SD mtu anajinunulia SD yake sijue we unaonaje
Ni wazo zuri
Bora alivyotubu
Ganda sikuzote ukiteleza lazima likutoe meno
😭😭😭🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️
Yani ule funza kisa uwe tajiri jamani
Dada imekuuz iyo ya funza😂
@@deelissa2746 aaah Yani funza kabisa unakula.kisa uwe na pesa nikama utazikwa nazo I can't do that duuuu funza tena uwatafune subhana Allah Allah atusamehe atupe mioyo ya kutosheka na kukinai
Jee kulala na mama
@@rahmasuweyd827 Amina,Yan Hawa waganga Hawa mpk mtu unawez kuwaogopa sasa😅
🙆🙆🙆🙆🙆🙆
wakwanza
Kamla mama yake kwa mparange kwa miaka 4 hatari kweli
🙆🏼♀️🤔🤔🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️😭😭
Mmmmmh,🤭🤭
Doha tunafuatilia
Hao waganga wanga wanajuwa kama wao wanakwenda motoni kwa hiyo hawataki wakachomwe peke yao na ndio mana huwatafuta watu kama nyie ili mkachomwe nyote
Dud
Tupo makini sana watu wako