jamani maisha magumu kila mtu voo hata huyo pesa anakuwa na maisha magumu kiupande mwengine ndio km hivyo unamkuta mtu tajiri lakini ana masharti au pengine mgonjwa .
Jameni suala langu kwani ukisema mulikuwa munashida kwani shida sisi binadamu tuko nazo jameni kitu sielewi kunawatu wakipata shida tu wanakimbilia kwa waganga siyo hivyo tumuombeni mungu namungu ndiyi wapeke Atatusaidia hakuna zaidi ya mungu
Sasa angalia mali huna wala huna tena nguvu za kiume,utajuta maishani mwako,utakuwa fukara,mbona ulivyo kuwa na mali hukumwona Davistar mata?mwiba wa kujichoma huwambiwi pole,you deserved that Bro
Sema dv ujipange habar za file limefutika. Kwa bahati mbaya zinatuumiza mbona external zipo za kumwaga tu ,siuhifadhi humo,hiki kipindi chako kama madawa ya kulevya na watu tushaelewa tena
mimi.akili zangu zinanipa km ningekuwa peke yangu wala nisingehangaika kujituma ila najituma kwa sababu ya watoto wangu waweze kuishi vizuri. sasa wewe unakubali ukose kizazi .na mke utajiri huo ukupeleke wapi na mwisho wa siku unaambiwa umekosea masharti kila kitu kinapotea utakuwa hali gani ktk dunia hii ? kuna utajiri km mtoto?
Mmh kweli uyu jamaa alijitoa mwanga yani kujiweka hanisi mmmh mi siwezi yani mi dudu langu lisipo simama asubui au nikimwona tu mwanamke aliye nivutia lisipo simama dudu na vulugwa yani napendaga mbaka kwa Docta sasa uyu kaji fanyia ukatili huu duh misiwezi wakati mi nikiwa na pesa nita wagonga mademu wote wa mtahani kwetu na mtaa wajirani ..
Wa kwanza Leo gonga like hapa kwa we ni mfatiliaji wa simulizi ixi
Big respect Davistar Mata umeenda deep sana unatufungua mambo mengi ktk upande wa pili
Wa kwanza 254🇰🇪🇰🇪
Asante davista kwa kutuburdisha na kutuelimisha
Pamoja
Subhanah Allah, jamaa karogwa hadi jamaa wake wanamuogopa
Bro davistar hapo mulipo Kuna upepo mwingi hatusikii vizuri
Mimi chenye najua maisha mazuri upatikama Kwa yesu sio Kwa mganga
Oyaa Davis, punguza sauti ya radio inaboesha.🇯🇲🇯🇲
Mr Mata zamaaani tumemwambia asitutilie hii music inaumiza maskio na hatuskii vzr saa nyengine na inabowa lkn......hatuskilizi🤪
Sasa hizo pesa ni za nini? Bila mke bila watoto. Pole kaka Njoo kwa Yesu
YESU ndio kila kitu shetani hana nafasi
jamani maisha magumu kila mtu voo hata huyo pesa anakuwa na maisha magumu kiupande mwengine ndio km hivyo unamkuta mtu tajiri lakini ana masharti au pengine mgonjwa .
Asente Sana broo
Waganga Mungu anawaona yan waganga nyinyi mnashirikiana na shetani kualibu ulimwengu binadamu tumkatae shetani ni mbaya sana
Sahihi
Perfect story divester mata nakufatilia sana bro kipindi chako hongera sana bro
Thanks Davi Welcome back and Long time
mganda kutoka Saudia, pamoja Sana Mr facts mtu wangu makini
Siku hizi nachelewa ajabu, si mradi nimewatch, 🙈
Jameni suala langu kwani ukisema mulikuwa munashida kwani shida sisi binadamu tuko nazo jameni kitu sielewi kunawatu wakipata shida tu wanakimbilia kwa waganga siyo hivyo tumuombeni mungu namungu ndiyi wapeke Atatusaidia hakuna zaidi ya mungu
Wakwanza like hapa twende sawa 😃
Pamoja mr Facts 🇸🇪🇸🇪
Ganda la ndizi alikuachi salama
Haha ndio nini tena
@@hadijamagufuli2661 mtelezo
Huyo alirogwaaa kweli loo viungo vilibadilishwaaa jamani uchawi hatari
Sasa angalia mali huna wala huna tena nguvu za kiume,utajuta maishani mwako,utakuwa fukara,mbona ulivyo kuwa na mali hukumwona Davistar mata?mwiba wa kujichoma huwambiwi pole,you deserved that Bro
Hiyo shamba nikama haina rutubaa ndomana eka inatoa hixo gunia kidogo ungejiongezaa hata mbolea watu hutumia hiyo akili
Mr fax ushapiga kura 😂naomba Aman nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tupo pamoja
N mepga😥 tusubr 🤗
Wah kweli kuna mambo ya ajabu
Hawa wachawi waliamini fisi ndousafiri wao loo kazi IPO nawachawi
Wenzao wanapanda maprado wao wanapanda fisi
Jmn tumrudie mungu
From kenya
wakenya kweli. kudoea ma bongo music tena sasa tuko huku kwa maajabu maajabu
Big up dav 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Nice, you need a better microphone. Get a lapel.
Napenda mwanya na Smile ya Davistar
Kim anakusalimia
@@ramadhanishabani2743 Kim Yupi?
@@shammybeybe1825 wa kinyerezi
@@ramadhanishabani2743 simfahamu
@@shammybeybe1825 sawa
Pamoja saan mtu wetu makini from🇨🇦🇨🇦
Please tupunguzie mziki hatusikii kitu
Wchaaaaaaaaaaaa weeeeeeeeeee🤣🤣
Mziki unakera davistar punguza please
Mkali sana jamaa
Pole kijana
Mbonaa ckuu izii uhelewekii umalizii interview
Zote nitaweka ila kuna tatizo la kuzimwa internet Tz Tz kwahiyo zote nishaziweka bado kuwa published tu
Kaka Matheo Thomas unaweza ukanisaidiza number zako nikukute inbox nikuulize kitu ?
Kk Davi, hii background sound uwe hauieki manake ipo na sauti kuliko maongezi🇰🇪
Dunia ina Mambo jamani
Pole kwa yote kijana, umejiuwa kisa unataka pesa za haraka hazipo aiseee piga kazi ndoo upate utajiri
Kama kawa🇰🇪
Nimewahi Leo davi
✌pamoko D.M.
Dev Vp hupigaji wa kula Umepita salama
Mmbo hayo ni kufanya subra kuliko kwenda kwa waganga ama kutafuta vitu kiuchawi🇰🇪
Sema dv ujipange habar za file limefutika. Kwa bahati mbaya zinatuumiza mbona external zipo za kumwaga tu ,siuhifadhi humo,hiki kipindi chako kama madawa ya kulevya na watu tushaelewa tena
Mr fact on fire
Daaah hiyoo kali
Kudinda muhimu ww
😀😀😀😀😀😀
@@eshalibaba1195 kudinda ndo kila kitu
@@allykibabe8182 😀😀😀yeye akutakaa...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@pilimusa7770 au vp pili lazima udinde upate heshima..
Jamaa tuwacheni tamaa,uko na mwili mkubwa lakini wapenda pesa za bure badala ya kufanya kazi,mukishindwa ndio mwamwona Davistar mata
I hope you've made a good decision in the ballot👊👊
Tundu
@@douglasorina9314 pombe
Pombe
maswali mengiii mpka stor hainogiii
Goodluck story zetu hizi 😆😆😆
Kweli alikomaa kwa hiyo shida mpaka akamuona mzee
Duu pole yake kuuwa kituambacho ndio starehe kumbwa kuliko zote🤔🤔🤔
Ha haaa
😂😂😂
Za usiku jamani mm jana nahangaika kusubiri hichi kipindi sikukiona nadhani na juzi pua kwani kilikua hamna au vp
Nzuri alhamdulilah
Leo nimewai WA Kwanzaa
Hongera Amanda
Jongoo apandi mtungi daaaa majanga
Yani
bora ya huku kuliko uchaguzi wa aibu duniani
Dhuuuu, gunia 3 miezi7 tena unapata 90,000
Dhuuu, ukaja panda fisi
Niliwamiss... Pamojaa tenaa
❤❤❤
@@DavistarMataMediaDM 🙏🥰
Yani kirahisi tuu utajiri unaupata kupitia mwili mwako pesa nyingi tuu lkn unaitumia tuu nahuku mashini imelala ulikosa kujiongeza nakujua mwanaume mashine😂😂🤣🤣aisee Chuma yadoshi ikilala wanawake utabaki kuwaita mashemeji tuu
Kabisaa
Af huyu sijui msambaa au mzigua maana hii lafudhi hii yenyewe.
mimi.akili zangu zinanipa km ningekuwa peke yangu wala nisingehangaika kujituma ila najituma kwa sababu ya watoto wangu waweze kuishi vizuri. sasa wewe unakubali ukose kizazi .na mke utajiri huo ukupeleke wapi na mwisho wa siku unaambiwa umekosea masharti kila kitu kinapotea utakuwa hali gani ktk dunia hii ? kuna utajiri km mtoto?
Mmh kweli uyu jamaa alijitoa mwanga yani kujiweka hanisi mmmh mi siwezi yani mi dudu langu lisipo simama asubui au nikimwona tu mwanamke aliye nivutia lisipo simama dudu na vulugwa yani napendaga mbaka kwa Docta sasa uyu kaji fanyia ukatili huu duh misiwezi wakati mi nikiwa na pesa nita wagonga mademu wote wa mtahani kwetu na mtaa wajirani ..
Kichefuchefu pointless
Lamba limao ....
Duhhhhh! ! Majanga duniani
htr
Lakini mmeshapiga kura Devi Na dungu yako wajongoo haipaswi🤣🤣🤣
Mimi nishapiga kura ndugu yangu
sio poa kabisa
Ss utajir huo unaraha gan bila penzi bila family,,,af kumbe nusu ya nchi nahis utajir n wa kichaw hahaha maana hizi store daily
😂😂
Eti nini macho mugongoni au nimesikiaje
Hio mik wape hawo wakamate
Mmmmh jmn
🤔🤔🤔🤔
Nimewai
Davis vipi mbona ulikuwa kmya sanaaaa
Ndugu yangu kuzimwa internet ndio tatizo
@@DavistarMataMediaDM pamoja sana bro
Pole davistar na asante kwa mafunzo unayotupa pamoja .kaka
😂😂😂😂eti lifsi
Tupo makini sana watu wako
SAWASAWA DAVISTA NAKUELEWA MAN
J.BOYS.F.C 1999
Jicho kwenye makende. Pua kifuani. 👹
Heri niwe maskini
Kabisaa
Kabsa
jangombeboys1999
duh inna lilah wainna ilah lajiun Allah akusamehe na rudi kwa mungu wako atakusamee dah nimesikitika sana jmn kama vile ndugu yangu imenigusa sana
🇰🇪🍹
33
Kwel zuzu huyu . yaaan unatoa utam wako ambao unakamilisha ubinadam wako kisa utajir
😂😂😂😂😂
Her niwe maxkin