Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa
Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992
Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah
This is such a lovely lesson and delivered so well. I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune. Thank you very much for translating and bringing it to our attention. Barikiwa.
Dah, you almost messed me up Apostle, I was wondering what's going on here!! The only faith that held me up, was the fact that I know who my mentor is thus I kept on with curiosity... I never knew what this song was all about, I repent for my thoughts. Indeed, we should not judge the matter after hearing from one side. Blessed art thou Man of God.
Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏
Great gospel song indeed...but only fools will end up judging.We should deeply think on something b4 judging someone..Its good to ask something if we don't understand rather than judging.
Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏
ANGALIZO WAPENDWA Katika siraha zake ni pa1 na watu wenye hekima,wachaji na wenye ushawishi mkubwa ktk kanisa. TARATIBU ATAJIPENYEZA HUKU AKIWATEKA WENGI NA KUWATUPA SHIMONI NA KWA KUWA ALIYENENA WALIMPOKEA VYEMA
Ndugu yangu.... Ufahamu wa kiroho ni hazina kubwa sana sana. HAPA SIYO SWALI LA KUHUKUMU AU KUTOKUHUKUMU... BALI NI ROHO YA DUNIA NA YA TAMAA MBAYA NDIYO MSUKUMO MKUBWA WA HIKI TUNACHOKIONA
Tatizo sio wimbo kupigwa bar ila lugha njo ilikuwa tatizo wa Tanzania 🇹🇿 abajuwi lingala sisi tulikuelewa Pastor apo unasaidiya watu wengi Mungu aku bariki
Following, you have blessed me and l can't regret why following really l have learned many reasons from u man of God more grace to serve God's people AMEN&AMEN
Mahubiri yako ya hii siku ni makubwa mnoooooo...Hakika Mwenyezi Mungu kafanya kazi yake ... Yemba yembaaa....yembera Nzambe....dah nimejifunza hadi kilingala leo
Amen 🙏 🙏 🙏 raha ndani ya Yesu kristo mtumishi wa Mungu barikiwa sana nakwambia nabarikiwa tu sana...na Mwenyezi Mungu aturehemu tusiwe wepesi wa KUHUKUMU am watching from Saudi 🇸🇦 am Phanice Okongo.
Wapendwa ktk Bwana bila kujali dini Wala dhehebu tunaomba musabuscribe kwa wingi ktk channel hii, mpaka kufikia July/mwezi wa saba tuwe family ipatayo laki 500000 na zaidi....
Hakika ww ni mtumishi wa Mungu....... Ubarikiwe Sana! Endelea na kazi ya BWANA mwalimu.
Apostle MTALEMWA, UWEZI KULEMEWA. MOLA AWE NAWE MILELE. AMINA.
Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa
Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992
1994
Wazee wa rhumba wamechangamka sana.Wangepewa divai,ingekuwa sawa zaidi
Huyo ndo Chief Apostle Mtalemwa salute kwako Mtu wa MUNGU
Aisee.. nimekuelewa sana mtumishi wa MUNGU.. kila siku napata kitu kimpya ..
Hakika nimejifunza mi nilikuwa sielewi .ubarikiwe mtumishi unanibarki Sana
Tucheze mpaka keshooooooo safi sana
Kiukweli Mungu akuinue viwango nimefunguka macho na masikio
Nimekuelewa pastor mungu azidi kukupak mafuta yake
Let the Spirit of God guide us all, coz there's a spirit behind everything we say or do...
Ctajudge tena,Asante saana mtumishi
Aaaaa...men Apostle very powerful explanation mayGod bless you
Furahini katika Bwana tena nasema FURAHINI
Ubarikiwe baba sikujua maana ya wimbo huu
Baraka ... Pastor karibu kenya
Hakika kanisani ni sehemu ya kuponya Moyo..tukacheza na kufurahi!!
Mungu akubariki Baba.
Amen barikiwa mpendwa
Mungu nisamehe maana hata Mimi nikuskia hii nyimbo ikitumika Sana lakini sikujua ninyimbo ya Mungu kama nimekujaji Kwa kufikiri nisamehe pia
Hakika nijejifunza kitukikubwa sana katika ibada hii Mungu aturehem.
Duuh! Kweli tusiwe wepesi kuhukumu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Mimi nilikuwa sijui mtumishi, asante sana. Muzinaaa 🔥🔥🔥💃🏻💃🏻💃🏻
Hii nyimbo itabidi
waimbe siku ya
harusi yangu 🔥🧎♀️
Ubarikiwe!!
Wow,
i honestly like the way this Pastor is passing the msg of God to his congregation through music. This is awesome.
Kwa kweli itakuwa vigumu binadamu kama Mimi kuingia katika ufalme wa mbingu
Mwenyezi mungu naomba unisamehe dhambi zangu nilizotenda bila kujua
Amen Amen 🙏
Amen mtumishi Wa mungu
Tatizo ni moja, kumekosekana utofauti kati ya mapigo ya muziki wa kidini na wa kidunia. Lakini mi naamini ni lazima kuwe na tofauti.
Aposto wewe ni kitu kingine mmmmmh!!!!!!!Mungu wa mbinguni akutunze Mwanangu
Ahimidiwe mungu wa mbinguni
Barikiwa Mtumishi
SIKUKUWA NA MTOTO WA KIUME. nILIFANYISA WIMBO HU WA mZEE tABULEY nIKAMUPATA kIJANA MARUFU.!! Mngu a sifiwe sana..
Barikiwa Sana mtumishi ninaiman cku moja utakuja kanisan kwangu
They should call a teacher too,you're amazing
hongera.kaka.posta
Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah
Sina usemi.Mungu tupe macho ya rohon .ngafuu bwa gwituuu
Fumba kinywa ww
Hao wadda wanavaaje hivo mchungaji! Unahubiri vizuri Siku zote lakin kemea sana hao Dada! Yan wapo uchi
Don't judge
I love you so much postle mtalemwa 🥰🥰 mungu akuepuche kwakira kilakitu? Namm pia usinisahau popote uyendapo amen
Hauja hubiri saaana lakn message nimeipata "DON'T JUDGE TOO QUICK"... powerful
Ubarikiwe kwa tafsir nilijua muzina wa litata vinakaribiana na kiha
This is such a lovely lesson and delivered so well.
I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune.
Thank you very much for translating and bringing it to our attention.
Barikiwa.
Dah, you almost messed me up Apostle, I was wondering what's going on here!!
The only faith that held me up, was the fact that I know who my mentor is thus I kept on with curiosity...
I never knew what this song was all about, I repent for my thoughts.
Indeed, we should not judge the matter after hearing from one side.
Blessed art thou Man of God.
Kwa mara ya kwanza kujua tafsiri yake kwa kweli nipenda sana ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Oyaaaa apostle that was my f favourite and many didn't know it was a gospel uko juu mtumishi live long with wisdom
Nimekuelewa mtumishi
Halleluya Halleluya mtumishi wangu 🙌sijutii kuwa humu ecg ⛪
I didn't know it's a song that exalts the name of the Lord Jesus Christ.hallalujah
Tablei huyo kumbe tafsili take iko vizuri
Wooow after kuona tafsiri hata nkaipenda zaidi sikua nishai fuatilia rylics zake....mchungaji mzuri kweli barikiwa umetufungua macho.🙏🙌
Blessed Sana mchungaji!!!! Just known the truth behind musina.Fabulous!!!!
Ubarikiwe mm niliucheza Sana enzi hizi sikujua ni kipi kinaongelewa nimefurahi Apostle
Mmmmmh kweli asante sana
Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏
Great gospel song indeed...but only fools will end up judging.We should deeply think on something b4 judging someone..Its good to ask something if we don't understand rather than judging.
Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏
I didn't know this song ,kumbe una maana nzuri ivi
Gooood
ANGALIZO WAPENDWA
Katika siraha zake ni pa1 na watu wenye hekima,wachaji na wenye ushawishi mkubwa ktk kanisa.
TARATIBU ATAJIPENYEZA HUKU AKIWATEKA WENGI NA KUWATUPA SHIMONI NA KWA KUWA ALIYENENA WALIMPOKEA VYEMA
Ndugu yangu.... Ufahamu wa kiroho ni hazina kubwa sana sana. HAPA SIYO SWALI LA KUHUKUMU AU KUTOKUHUKUMU... BALI NI ROHO YA DUNIA NA YA TAMAA MBAYA NDIYO MSUKUMO MKUBWA WA HIKI TUNACHOKIONA
@@luthermajoji7300 Mungu atuepushe tusitumbukie na tumsihi Mungu sana juu ya vita ya kiroho
Tatizo sio wimbo kupigwa bar ila lugha njo ilikuwa tatizo wa Tanzania 🇹🇿 abajuwi lingala sisi tulikuelewa Pastor apo unasaidiya watu wengi Mungu aku bariki
Ukosawa Mchungaji asante kwa kunihelewesha Mungu awabariki
Whaaat! Inashangaza sana, kwani huwa ni Gospel! Sikuwai juwa ila huwa naipenda.
Ahahahaaa pastor umetisha baba nitakuja skumoja
1st day to listen to you and you have really teacher me alot
Nice apostle
Daaaah Mungu akubariki sana Nipeipenda sana hii
Nimekumbuka mbali sana,tulicheza disco waliita siku ya bakulutu,bolingo time,vijana wa zamani hapo umewashika
Hakika nmebarikiwa kupitia huu wimbo baada ya kujua tafsiri yake
i had to subscribe to this channel asap
Heshima sana
Sawa kabisa
Kucheza mpaka kushika vitambi kweli huko ndio lugha yangu tunasema kuvina
Mimi naelewa leo dah!! Mungu akubariki sana nimependa
Correct
Mungu akujaalie afy njemaaaa Tena miaka bukuuuu🙏🙏
Injili ende mbele
Très bien
Soyez béni monsieur le pasteur.
Dah! Naipendaga huu wimbo tangu utoton lakin maana take sijuiag,kumbe ndo hivi! Be blessed
Mungu umulehemu aliyetunga wimbo huu pepe kare nikiwa
M
Whaaaat!!all those years i never knew this is a gospel song, but again why wasnt played most in discos than in church
Ameni
I also danced the song instantly. Thank you apostle Mtalemwa. God forgive us for wrong judgement.
Amen😍😍
Uke na tundum nimekupend bur
Gd bless
Asante mtumishi nimejifunza kitu Kwa kweli
Waaaa wonderful pastor this is full wisdom be blessed alot we love you from kenya
Leo pasta umenifurahisha sana
Very true we should not be quick to judge before having enough investgations
Upuuzi mtupu
Following, you have blessed me and l can't regret why following really l have learned many reasons from u man of God more grace to serve God's people AMEN&AMEN
Daaaa sikujua maana yake, ubarikiwe mtumishi.
Nothing can stop the word of God, even after the demise of Tabule his song is ministering bigtime...
Ohh God help me ... may i never be quick to judge
Mahubiri yako ya hii siku ni makubwa mnoooooo...Hakika Mwenyezi Mungu kafanya kazi yake ... Yemba yembaaa....yembera Nzambe....dah nimejifunza hadi kilingala leo
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu. Kweli Mugu aturehemu kwa mengi.
Safi sana Baba Mchungaji ubarikiwe sana.
Amen 🙏 🙏 🙏 raha ndani ya Yesu kristo mtumishi wa Mungu barikiwa sana nakwambia nabarikiwa tu sana...na Mwenyezi Mungu aturehemu tusiwe wepesi wa KUHUKUMU am watching from Saudi 🇸🇦 am Phanice Okongo.
Wapendwa ktk Bwana bila kujali dini Wala dhehebu tunaomba musabuscribe kwa wingi ktk channel hii, mpaka kufikia July/mwezi wa saba tuwe family ipatayo laki 500000 na zaidi....
Iliimba kwaumakini sana
Excellent pastor. You have won a Visa to come and preach for me right at my home. barikiwa Paste.
Kiufupi to ubarikiwe MTUMISH wa Mungu 😁👍🎶
Sijawahi kujuta toka niijue madhabahu hii
Mziki bila jasho aposawa wapi apostle wapi mtatalemwa kulekukuleeeee shika kawaya hallelujah
Yaani sikujua kama huu mziki kweli unazungumzia Mungu. Asanteni sana nimejifunza jipyaaaa