Namna hiyoo sio mtu unakuja na pingu unakamata tuu fika kizalendo Toa elimu wasaidie kupata Sukari ikipatikana ndio urudi Sasa kumkamata Mtu Safii Mtakaa
Nategemea huko nje sukari ipo tele imeandimika kwetu tu Sasa hawa viongozi wetu mbona wanatufanyia sarakata tu baada ya kuhangaik namn ya kutuletea sukar kweli meli huchelew kufik ila ndege ya mizigo si tunayo na ipige hiyo dili
Sukari, Umeme, kwa nchi zingine ingepigwa bongo moja la maandamano au viongozi kuondolewa madarakani
Namna hiyoo sio mtu unakuja na pingu unakamata tuu fika kizalendo Toa elimu wasaidie kupata Sukari ikipatikana ndio urudi Sasa kumkamata Mtu Safii Mtakaa
Mtaka we ni kiongozi,japo mfumo nchi unakutupa, pongezi sana kwako kwa kulisimamia pengine viongozi si kosa kujifunza kwako,mnatupa sana taharuki.
Wa kwanza nipeni likes zangu
Kodi kibao alafu mna taka wafanya biashala wasibaki na faida
Nategemea huko nje sukari ipo tele imeandimika kwetu tu Sasa hawa viongozi wetu mbona wanatufanyia sarakata tu baada ya kuhangaik namn ya kutuletea sukar kweli meli huchelew kufik ila ndege ya mizigo si tunayo na ipige hiyo dili
Mhh
Sukar kilo 7000 Duuh😢
Endeleen kumpongeza mama yenu huyo anayeupiga mwingi kenge nyie 😏
Nchi ina serikali jina ingekuwa nchi zingine zilizo serious Samia angelazimishwa kuondoka madarakani au jeshi wangechukua nchi
NJOMBE BILA EF 6 HUPATI SUKARI