GHARIBU MZINGA:YANGWA INABIDI IULIZWE INA JAMBO GANI?DUBE+CHAMA KUNA WATU WATAOGA MABAO MENGI HAKIKA
Вставка
- Опубліковано 5 лип 2024
- #azamtv #azamfc #azampesa #mavalatv #simbasportclub #manaratv #ayomatv #azamtvmaxapp
#SimbaVSBisharaUnited#Simba#Yanga#YangaVSKageraSugar#BerkaneVSSimba#Challenge#TryNotToLaugh#Mayele#YangaVSMtibwa#LiveMatch#AllyMayay#MtibwaVSYanga#BerkaneVSSimba##AllyMayayTembele#YangaTv#SIMBA##KibwanaShomari#Yanga#Simba#Yanga#Simbawalivyoondoka#KikosichaSimba#Tryagain#SimbaApp#Simbakuondoka##UchambuziWaAllyMayay#Bocco#Mayele#yanga
❤mwisho wao umefika wardi na Simba Kila jambo Lina .wanzo na mwisho😊
Huyu jamaa atafika mbali Sana,jemedali,jofreya,shafii dauda na mzee wa jambia wajifunze kwake
Hongera sana kijana unazungumz fact sana sikupingi mpaka japo unaongea fact sana kijana kwa SIMBA,YANGA,AZAM na COAST.
Thimba aikuteleza imepata kilichostaili kuteleza iwe umeshiriki klabu bingwa ukitolewa na kwenda shilikisho ndiyo umetereza broo😂😂
Ila huyu jamaaa anamwaga mpaka unyenye ila kunawachambuzi wengine sasa wapumbavu maana hata lagha ya kingereza hawajui hongera kijana unajua
Azam fc ms8mu ujao kitawaka kweli kweli hatuna cha kupoteza msimu ujaoooooo
Eti nusu fainali caf confederation !! Group stage yenyewe ni ndoto ya alinacha.
Sema huyu jamaaaa anajua kuchambua football then anaongea fact sana ila tunaomba msimu ujao TFF waache kupanga matokeo mpira ndo uzungumzie uwanjan
Cut kidogo tupishe gari
Hila huju jamaaa anaonekana ana madini sana ila watu unaweza kumkuta kama wanamdharau, ila uhakika anawaambia vizuri vilabu vyetu kuelwkea katika tonament za kimataifa hakuna kingine ambacho anachoshauri ila anawasihi kuelekea tournament kubwa za kimataifaaaa😂😂😂😂
1
Ni wewe tu na huku kumbe unatafuta mb