Kaka pole lakini miaka mitano hatakqm unajipanga basi umezidi ,,ila pia mitno yasingekuwa mingi lakini Mshukuru M/mungu pengine msingefika mbali kwe maisha : Lamwisho ukiingia kwe mahusiano usisubirisha sana miezi weka ndani mengine mtajitafutia kwa pamoja # kwaheri.
Hilo swali rahisi utaenda harusini jibu nitaenda ama siendi mm kwaza hadi mdaa hu ex wangu sijuagi nb zake nasikiagaa tuu salamu kwa mjomba eti anajutia wakati mm sina mdaa na yy hata jina nilisau
Wewe ni muhuni usimuongopee huyo mtangazji na wewe si muhuni haya huyo mtangazaji bado hajaolewa haya tupa mistali yako hapo umuowe tena mtaendana tena huyo ni Simba mwezako tupa mistali hapo kwanza huyo Mzuwanda mtoto mzuri na kubwa anayo roho mzuri. Tupa mistari wewe wacha blabla zako
Nashukuru mungu kwani hakujua ni washsri au kheri huenda mungu kakuepusha .muombe kilichokuwa na kheri na ww atakupa kwa huruma yake
Pole kaka kwa Yale unapitia mungu akutie nguvu wakati huu mugumu. Qr in Jesus name
Pole sana nilisikia buza nikakumbuka nyumbani kwetu buza jamani nimekumc buza kwetu
Pole kaka unaongea kwa hisia kali ila Inaweza kuwa siyo mke Mungu aliyekuandaria angekuwa wako hasingewasikiliza wazazi wala mtu yoyote yule
Duh anasisitiza anampenda bas kisichorizik
Kaka pole lakini miaka mitano hatakqm unajipanga basi umezidi ,,ila pia mitno yasingekuwa mingi lakini
Mshukuru M/mungu pengine msingefika mbali kwe maisha :
Lamwisho ukiingia kwe mahusiano usisubirisha sana miezi weka ndani mengine mtajitafutia kwa pamoja # kwaheri.
Sunajuwa bwana
Mungu atampa MKE mzuri azidi na atampa Uzima atapona Ameen
Kwa uwezo wake Allaah Utapata tu mwingine wala usijilaumu mungu amekunusuru na jambo ndugu yangu
Pole sana kaka
Si unajua bwana
Wish her all the best I have been in the same situation 🙏 move on
Siunajua bwana😂😂
Jamani huyo mtangazaji ni mwanaume au mwanamke???🤔🙆♀️🙆♀️
Msichana
Mwanamke huyo sema sauti yake tu
@@backtohappiness4664 Msiba huu Allah atusitiri na vizazi vyetu yarrab
Luluteeeee😀daah kitambo sana mshkaji wangu.ila pole sana
Ohooo, pole huyo Mdada alipenda pesa zako ulipoumia akaona hufài mpe miaka tu atakukumbuka tu
Pole masikini munqu tenda miujiza arudi kwako
Siyo liziki yako Mungu kakuepusha na kitu Sema ujuitu ilamtubie kwa zinaa mliyoifanya
Bass kaka usihamanike kwa hilo mm nipo huku kiroho safi kwetu zanzibar
Mungu kakuepusha mengi chukulia kawaida
Kiukweli unaitaji kuliwazwa.kuhusu uyo mchumbaako kavumilia sana.uchumba miaka yote iyo binafsi nisingeweza kudumu kwenye udhinifu kiivyo.
Duh pole ase mkubwa siunajua bwana kama umechoka kusikia siunajua bwana gonga like twende
viswahili vya kijiwen
Mziwanda nakupenda sana jaman
Si unajua bwana 😂
Da pole hata Mimi iyo ilinipata
Pole sana Mungu atakupa alowako
Nioe mie kaka😔😔😔
Huwa nawashangaa wanawake wenzangu uchumba aina gani wa miaka mitano hiyo hali sitairuhusu tubadilikeni
Asiyekupenda achana naye,na anayekupenda pendana naye.bora amekukimbia mapemaaaa,mwache aende zake
Mimi yamenikuta last week jumapili ya tarehe11 nimeona rafiki yake kapost sahii niko nawakati mgumu sanaa
Huyu dada hakua na mapenzi ya kweli alivyoona ww una uma akaona akuepuke
si unajua bana
Sahivi kaka huna mke bass njoo uniowe mm huku oman nipo sina mume niko na kazi tu na sahivi corona tena
Hadija uko wapi mm nipo Boshar Oman nipe namba zako
@@fatmamsiliwa8485 nitakuandikiya baadae
Ukiandika namba hum hamna shida kila mtu atakutafuta
Yan acha tu colona inatunyima raha sana afadhali wioko tz.
😁😁😁😁😁😁
In Sha Allah na yeye atapata mwengine. Atakaempenda zaidi. Na atamsahau huyo mwanzo.
Acha kulalamika achananaye huyo mwanamke alikuwa golikipa so huyo angekupa shida mtu tegemezi hafai maishani. Msela mjinga sio mjanja
Mm nilipia hiyo changa moto ila siwezi kujiua kisa nimekataliwa uongo sikazi.kwaza nitanenepaa tuu
😄😄😄Jmn ata mm sasaiv na nenep tu maisha murua
Jaman hata mm nanenepa kwanza Niko zangu omani kikazi aka sina mda na mapenzi
😅😅😅😅😅😅😑😅😑😑🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦mm Niko huku kwarahaa zangu sitaki fujo na mapezi wacha niangalie moja
Huyu Dada maswali yake dah
Uko sawa daa
Nimekumisi kiukweli
Pole
Buza kwa mparange?
Mahusiano ya miaka 5 so kwr hata mm naolewa tu sehemu nyinginr
umeonaee unasubiri mpaka unakoma
Ndio sawa na je huyo atakaye kuoa unaamini atakuwa na upendo kama wauyo wa ndani ya miaka mitano
@@Mpakauseme kuwa na mahusiano ya miaka mingi haiwezi kufanya ndoa ikadum kwa mfano yule alitobolewa macho mahusiano miaka kumi ndoa miezi 11
@@heyumi2340 upo vzr unafatilia😂😂
@@rehemasalim4590 🤣🤣🤣tunacheki watu wanababaika na k
Hilo swali rahisi utaenda harusini jibu nitaenda ama siendi mm kwaza hadi mdaa hu ex wangu sijuagi nb zake nasikiagaa tuu salamu kwa mjomba eti anajutia wakati mm sina mdaa na yy hata jina nilisau
😂😂😂😂😂
Usikie Kwa Mwenzako
Kumbe tupo wengi2😭
Polani
Poleni
Mziwanda ubarikiwe sana
Pole kwa mitiani
Nakuaminia mziwanda kaz mzr
Anajichanganya kweli eti akae namtu mwingine huku akikuangalia.hiyo asikudanganyee ..yy ameaonaa wewe anaumwaa ameona.heri hakuepuke mapema
Pole sana
Mwandishi jifunze kuuliza maswali
Yaani ana maswali ya Kijinga
Pole kk
Mziwanda ivi ww ni mwanamke au mwanamme kama ni mwanamke basi naomba sku moja nikuone kama mwanamke ebu
Mmmh huyu jogoo yupo
Mhhhh napita tu
Nauliza tu huyu Mziwanda ni mwa
Mwanamke au mwanaume?
Ni mtoto au mkubwa?
Nimeshindwa kujua
Mwanamke huyo
@@zayanaalmarjibi4254 ni mwanamke rika lake ni mdada
Ukiachwa achika.samaki ni weka.Anza kuvua kaka.
Haha ukiachwa achika
Maskin pole
Unaeka mtu moyoni wakati ameolewa??hapo hujasema
Miaka 5 ulikua unataka kugundua mini kwenye ayo mausiano
Pengine tabia za bwana hazikumfa yule dada
Pengine unajishuku tu, mfate tu
Wee mdada unaongea sanaa . Leta issue wacha kupiga mdomuu namna hiyoo
Aa jaman!
Usijali nimitiani haikua riziki yako bat ata uko endako atakukumbuka
Salamghaikum vip habari zenu
Waleikum Msalaam Waramatulwahih Wabarakatuh Alhamdulillah hali yako
Haikuwa rixiki yako
Bwege hakuna jengine
😁ila wewe
msela mjinga
Uyu mwandishi ajui kuoji
Alafu. Kama jike dume.
How come you interview somebody
with stupid question 😝😝
😃😃😂
At mimi cjafaham kama wakike au wa kiume🤣🤣🤣🤣 naona mauzauza tu.
Si nimwanamke kama Tom boy🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona anahoj vizur tu jmn achen chuki afu uyo ni mwanamke
Wewe ni muhuni usimuongopee huyo mtangazji na wewe si muhuni haya huyo mtangazaji bado hajaolewa haya tupa mistali yako hapo umuowe tena mtaendana tena huyo ni Simba mwezako tupa mistali hapo kwanza huyo Mzuwanda mtoto mzuri na kubwa anayo roho mzuri. Tupa mistari wewe wacha blabla zako
Pole sana kwa miaka 5 uchumba gani huo
Si unajua bwana
Nimekumisi kiukweli
Pole
Pole