Hii ni B737 Max-9 ya Ethiopia ilikuwa B737 Max-8 tofauti ni kwamba ya kwetu ni more fuel efficient, long range na inachukua abiria wengi zaidi, ni ya kwanza kwa Afrika.
Pia baada ya kupigwa STOP duniani kote, imefaniywa mabadiliko mengi ya uhandisi kwa mfano ktk mfumo wa kielektroniki n.k. Bila shaka ukifanya kutafuta taarifa hizi online utaona.
Hongereni
Asante
🎉
Huwezi kuitaja ATCL bila kumkumbuka Magufuli.
Hiyo ndio ndege kama ya ETHOPIAN AILRLINE iliyo uwa watu.
Hii ni B737 Max-9 ya Ethiopia ilikuwa B737 Max-8 tofauti ni kwamba ya kwetu ni more fuel efficient, long range na inachukua abiria wengi zaidi, ni ya kwanza kwa Afrika.
Pia baada ya kupigwa STOP duniani kote, imefaniywa mabadiliko mengi ya uhandisi kwa mfano ktk mfumo wa kielektroniki n.k.
Bila shaka ukifanya kutafuta taarifa hizi online utaona.