🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 сер 2022
  • 🔴#Live: MCHUNGAJI HANANJA Afunguka MAZITO, DIAMOND Kuchukua NYOTA ya MARIOO | HOTPOT..
    Karibu kutazama kipindi cha HOTPOT upate umbea wa motomoto, na leo tumepiga stori na mchungaji Hananja ambaye ameeleza kuhusu mambo mengi yanayoendelea Duniani.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 81

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 2 роки тому +8

    baba mchungaji nakusikiliza na kukuelewa kutoka Manchester UK. Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 2 роки тому +3

    MCHUNGAJI POWA NAMKUBALI SANA NA USANII PIA KAHETIMU..NAMFANANISHA NA SHEIKH KIPOOZEO VERY STRAIGHT AND WELL SPOKEN

  • @richardnawety707
    @richardnawety707 Рік тому

    Amen 🙏 barikiwa Mchungaji

  • @nasambulilian380
    @nasambulilian380 Рік тому +1

    Ina pendeza sana ❤❤Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦

  • @anastaziashilole2436
    @anastaziashilole2436 2 роки тому +1

    Amen

  • @levinachuwa7622
    @levinachuwa7622 7 місяців тому

    Mchungaji Hananja unatisha 😆 Mwenyezi Mungu akubariki daima . Umekuwa msaada mkubwa kwa jamii. Àsante kwa mafundisho ya Neno la Mungu na tafakari. Binafsi nakuombea maisha marefu kwa UTUKUFU wa Mungu❤❤

  • @jamil1547
    @jamil1547 2 роки тому +4

    😅😅😅 Asante sana mimi ni muislam lakini nampenda sana huyu mchungaji

    • @kachabisnea8815
      @kachabisnea8815 Рік тому +1

      Usipende ktangaza udini kumbuka hizi dini zote ni za kuletwa

  • @hadija846
    @hadija846 Рік тому +1

    Nakukubari sana baba pamoja sana wakati wote🙏😍

  • @charlesatanaschishsyela2563

    Nashukuru Sana global na mchungaji

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 роки тому +1

    Mchungaji nimekuelewa sana yan mungu kakubari akiri

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 6 місяців тому

    Genius pastor ♥️ 💯

  • @kellycconrard4185
    @kellycconrard4185 2 роки тому

    Nakupenda sana mchungaji hananji

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 2 роки тому

    Ni sawa

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 7 місяців тому

    Amen ❤❤❤

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 2 роки тому +6

    Nilichokigundua hapa huyu mchungaji ana uelewa mkubwa Sana na anajalibu kuwaelewesha hawa watangazaji Ila hawa watangazaji wapo na chuki na diamond na wcb ndio maana mada ya uchawi wa kwa mondi wakati hawana ushahidi wowote wao lengo lao mchungaji awasapoti wapate trend Ila mchungaji kashawaelewa na amewakwepa kwa akili na kuwapa elimu.

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Рік тому

    Safi sana paster,, uchawi ni ujinga tu!!

  • @user-yp6om3lg3g
    @user-yp6om3lg3g 6 місяців тому

    Huyo mzee noma kweli kweli

  • @user-uv5jf6he8r
    @user-uv5jf6he8r 7 місяців тому

    Baba nakupenda saana Kwa taarifa zako

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 2 роки тому

    Huyu mchungaji noma sana

  • @allykashindi3367
    @allykashindi3367 7 місяців тому

    mungu awe pamoja naye amuweke miaka 10000 duniani.

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 6 місяців тому

    ♥️

  • @devievicent2735
    @devievicent2735 2 роки тому +2

    Father unaakili sanaaaaa

  • @nyzerjnl7960
    @nyzerjnl7960 Рік тому

    KUNA WENGNE WAALIMU, MAKUHANI NA WAZEE WA KANISA NAMKUBALI SANA PASTOR HANANJA

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 роки тому

    Nimewamiss jamani nawapenda sana

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Mbona raha, kumsiliza huyu Mchungaji ni raha na kuna point za kuondoka nazo. Mungu abariki kinywa Chako kizidi katika kunena hekima ya Mungu

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 роки тому +1

    Mtangazaji bwana

  • @nicksamkivvy749
    @nicksamkivvy749 Рік тому

    Genius

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 7 місяців тому

    Huyuu mchungaji ana hekima na unyenyekevu wa juu. Biblia anaijua hii ni zawadi kubwa sana

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 2 роки тому

    Mchungaji anasemahuyu 😁😁😁 lakin yoote yanaingia akilini masha Allah

  • @alexkwekatz9176
    @alexkwekatz9176 2 роки тому

    Naomba mrudie hiyo no please

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 6 місяців тому

    Sauti Sauti Omoni Zake Mnazijua

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 роки тому +1

    Kila ck najifunza Walahi huyu mchunguji nimemjua wakati sahihi Allah amuweke

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 7 місяців тому +1

    Sasa nyie waandishi mmekosa weredi. Mchungaji kawakomoa mnamuuliza umbea. Huyo anaakili

  • @mashoo6781
    @mashoo6781 Рік тому +2

    Huyu jamaa anabahati kuwa hapo kituon sauti haiendan kabisa anaongea kama dem

  • @thatkidluffy6390
    @thatkidluffy6390 2 роки тому

    Leo mumewezwa dija baby upo wapi leo

  • @sacg9783
    @sacg9783 2 роки тому +1

    Mchungaji yupo vizuri

  • @ufahamueliyamanga5615
    @ufahamueliyamanga5615 Рік тому

    Mchungaji yuko powa Sweden

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 2 роки тому

    We kijana unauliza maswali ya aina Gani,unaulizaje watu wanapenda kufanya Nini kanisani?kwani wasichana warembo hawapaswi kwenda kanisani?

  • @Given-Norman
    @Given-Norman Рік тому

    Kwa habari ya nyimbo sikubaliani nae, huwezi kuchanganya nyimbo za dunia na nyimbo ya Injili

  • @elizabethnyirato9856
    @elizabethnyirato9856 Рік тому

    Huwezi kuwafahamu Hawa mpaka uwe deep kwenye baadhi ya mambo anatekeleza mission

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому

    Mtangazaji kiswahili chako cha kichaga

  • @KipsoiwetBillionaire
    @KipsoiwetBillionaire 7 місяців тому

    Huyo kaka mtangazaji, anaongea kama mkenya sana. Jamani turudishieni mkenya wetu😂😂😂.

  • @elishaenock968
    @elishaenock968 2 роки тому +1

    Mchungaji nabalikiwa sana nikiskia maubili yako

  • @sospitajacksonmariserkamo2471

    una tutia moyo sana swari kwako ukiandamwa na viongozi kwajiri ya nafazi zako

  • @patyflaviank5199
    @patyflaviank5199 2 місяці тому

    Jamani tuna omba tena mafundisho yake huyu mchungaji.

  • @PidfourYoungTz
    @PidfourYoungTz 2 роки тому +2

    Kiiila siku diamond wasafi diamond wasafi hakunaga swaga tz

    • @denissylvester542
      @denissylvester542 2 роки тому

      Kwenye maombi nimemkubari Sana mchungaji

    • @denissylvester542
      @denissylvester542 2 роки тому

      Ila huyu mchungaji kichwa sana maana anavyotaja mistari ya Bibria utafikiri anasoma

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 Рік тому

      @@denissylvester542
      💯 % uliwai kusafiri, basi moja na, watu wa maombi yaliwai kukuvurugia safari, yani sio bure na mimi pia maomba, kwa jina LA, YESU FAYER yesu moto FAYER yesu choma hao 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 2 роки тому +1

    Huyu jamaa simuelewi ana sauti ndogo na mashauzi.

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 2 роки тому

    MCHUNGAJI WEWE NI NOMA

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 Рік тому

    Uyu mtangazaji wa kiume ana gene za kike.........normal gentleman hayupo ivo

  • @kellycconrard4185
    @kellycconrard4185 2 роки тому

    Watangazaj mmezidiwa na mchungaji

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 2 роки тому +2

    Huyu mkaka mbona analembesha sauti ki mama

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 роки тому

    Duhhh. Nikweli. Pasto. Sisi. Wote. Ni. Raia. Wa. Nchii. Mbilii

  • @solangedhesi7813
    @solangedhesi7813 Рік тому

    Nataka zile mafuta ya nyele nitazipata kivip

  • @sacg9783
    @sacg9783 2 роки тому

    Ww mdada jamanii,hamonaize hajatembea na Paula mbona ww upo ivyo

  • @karistojoseph4440
    @karistojoseph4440 Рік тому

    Nimemkubali mchungaji hananja nitamtafuta

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 2 роки тому +2

    Yesu ana rudi kwa kweli. Wokovu amuna kabisa kwa inchi iyi ya Tanzania. Wako kimwili sana. Daniel 12:1-4

  • @seifhassan7652
    @seifhassan7652 Рік тому

    namkubali sana huyu mtu mzima anaejibu maswali

  • @hashimmlawizi7339
    @hashimmlawizi7339 Рік тому

    Uyo mwimbaji anaitwa jen misso

  • @devievicent2735
    @devievicent2735 2 роки тому

    Mchungaji ungekuwa mganga was kienyeji wewe watu wasingekauka mana unajua kutabana atari

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Рік тому

    Diamond kasha zima

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 2 роки тому

    Uyo mymtangazan sjampenda

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 Рік тому

      Wapi wengi pale studio wake kwa, waume na, unasema huyo unamaanisha ni mtu mmoja, Nani Kati yao na, kwasababu gani?, Kakukosea nini?, Punguza chuki itakutesa sana, maana hata kukujua hakujui, wewe ndo unamuangalia utateseka sana, nakupa ushauri wangu wa bureeeee, badilisha, CHANEL

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 роки тому

    Mchungaji tishaaa hahaha 😆 😂

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 7 місяців тому

    Nyie watangazi acheni hizo. Sasa diomond na hawasanii mnataka mchungaji awajibgu Nini mmebuginsana

  • @user-go6qe1xu1v
    @user-go6qe1xu1v 8 місяців тому