Kuwa makini Sana na Maneno Yako ya uongo ,usicomment nonsense kwa mtazamo wa dini, Muabudu Mungu wa mbinguni na kufuata amri zake Mungu acha dini na Sheria za dini
Kinacho leta hoja ni maneno yanayo tumika kuwa hambia wanannchi mwenye magonjwa sugu watafunguliwa,matatizo yako yatakrisha kwa jina la yesu sasa inabidi kusema kwa uwezo wa mungu,
Na wewe acha ujinga kwani hata siku moja umeshawai kusikia Kwamba Mwamposa anasema yeye ndiye anaeponya watu mbona mnapenda sana uzushi nyie watu hiyo tabia itawapeleka pabaya msipo tubu na kuiacha
Ww mwingila ea efatha unamjua ni nani anayetikisa mpaka ss yule ni mtume wa Mungu aliye hai hana makanisa 650tz nzima .na pale Mwenge kitu kinachotoka usipime
Pole sana ndugu kwa msiba,lakini nyinyi wenzetu muna maji ya uzima pia munaweza kumuombea mtu aliekufa mpaka kufufuka,inabidi muoneshe miujiza yenu hapo ya kumuombea huyo kijana aliekufa mpaka kufufuka,au mukishindwa aitwe askofu gwajima maana yeye aliwahi kufanya hiyo kazi.
Mda mwingine kukaa kimya ni hekima,unazan wakati wako ukifika Hata ukiomba vip Mungu akikuhitaj atakuchukua ,miili ni yetu pumzi ni ya Mungu na ndo mwenye kuileta na kuichukua
@HappyMsuha dada yangu sijakataa hayo pia naamini kila mtu ana muda wake wa kufa lakini nyinyi wenzet wahubili wenu wanatangaza kwamba wanaweza kumfufua mtu aliekufa kuwa hai kwa mfano mchungaji gwajima alifanya hicho kitendo cha kumfufua mtu aliekufa na kuwa hai ndani ya kanisa lake,na hiyo clip ipo mitandaoni kama hauna sema nikutumie,kama aliweza kumfufua mtu aliekufa,atashindwaje kwa hiyo kijana? Kwa maana,tutajifunza hapa kuwa wachungaji na maaskofu wenu baadhi yao ni waongo,wanawapanga watu kuwa vilema,vipofu,mabubu,wanamapepo na magonjwa sugu,baada ya muda wanawaleta kanisani kwa ajili ya kuwaponya kwa jina la yesu kumbe ni uwongo mtupu
Mpendwa hata Mtume Paul hakupewa kumtibu mwanae wa kiroho Timotheo aliyekuwa anasumbuliwa na maradhi ya tumbo, hadi anamwambia atumie mvinyo kidogo kwa ajili maradhi ya tumbo na magonjwa ya mara kwa mars yaliyokuwa yanamsumbua mara kwa mara, kumbuka watu waliponywa kwa leso zilizogusa Mtume Paul. Anayetibu ni Mungu siyo Mwamposa mpendwa wangu. Mungu akipanga, mipango yake haipanguliwi. Mungu anamtumia Mwamposa kuponya walioonewa na shetani
Someni maandiko muelewe nyie watu hata Nabii Elisha alikufa kwa ugonjwa wa jipu licha ya kutumiwa na Mungu kutenda miujiza mingi muda ukifika umefika tu acheni mawazo potofu hayo
Kwa Mwamposa watu wapona kweli wala hakuna uongo maana hata mimi ndugu yangu alikuwa nakichaa na ukimwi amepona pale pale Kwa Mwamposa ambaye Mungu anamtumia kuwafungua watu wa imani zote na hiyo ndio injili kwamba watu waponywe na kumuamini Bwana Yesu maana ndiye mtenda miujiza na sio Mwamposa yeye anatumika kama chombo tu
Huyo yupo sawa saaana sana tena ungekuta wakati wa ujana wake ndio alikuwa moto zaidi. Ila alishakiri kuwa ndio anavyoongea na ni muhubiri mzuri sana mwenye kipawa na upako wa kutosha. Alikuwa hata akiombea sadaka tu mapepo yanakimbia
Someni neno.Hata yesu hakuwaponya wote.wakati wako.ukifika,hata ukienda ulaya utaondoka.Acheni mapenzi ya Mungu yatimizwe
Amina. Poleni sana kanisa la Mungu. Mwamposa anaombea, aponyaye ni Mungu mwenyewe.
Mungu akikusudia uondoke utaondoka bila kujali umri.
Hakika na wakati wa Bwana ukifika umefika
Poleni ndugu mwamposa siwakumkumbatia mtoa kafara
Mungu akurehemu maana neema aliyonayo Mwamposa inapita akili na fahamu za kibinadamu .Unadhani Devil ana nguvu kuliko Mungu! Polee
Kuwa makini Sana na Maneno Yako ya uongo ,usicomment nonsense kwa mtazamo wa dini, Muabudu Mungu wa mbinguni na kufuata amri zake Mungu acha dini na Sheria za dini
Ujui usemalo Mungu akusamehe
Nakukubali sana pastor dastan maboya
Hata nabii Erisha katika biblia alikufa kwa ugonjwa muwe waelewa someni neno mapenzi ya MUNGU ni Amina!
Kinacho leta hoja ni maneno yanayo tumika kuwa hambia wanannchi mwenye magonjwa sugu watafunguliwa,matatizo yako yatakrisha kwa jina la yesu sasa inabidi kusema kwa uwezo wa mungu,
Kuna watusio wazuri muacheni maneno jamani mungu hapendi mungu huwezi mupangiya
Poleni sana
Hiyo Amina!
Huyu mzee sio Jembe lamajembe Dastani Maboya Maboya nyie watoto 2000 hamfaham huyo alikua moto usipime haijawahi kutoka Mwamposa chamtoto
Bado wa3 wanatakiwa kutokewa nadhani nilishasema. Mimi naelewa mchezo mzima .
Mungu aifariji familia yake
Sasa mbona mwanposa hakumponya huyo msaidizi wake
Ndugu acha kebehi
Na wewe acha ujinga kwani hata siku moja umeshawai kusikia Kwamba Mwamposa anasema yeye ndiye anaeponya watu mbona mnapenda sana uzushi nyie watu hiyo tabia itawapeleka pabaya msipo tubu na kuiacha
😅
Polenta kwa msiba, mchanga, sokoto,mafuta na maji wapi sasa
Mungu alitoa na ametwaa jina la bwana lihidimiwe Alelujha Alelujha Alelujha 🙏🏽 🙏🏻
Poreni sana jamani
Poleni sana tunauliza atazikwa wap tujumike wote
Anazikwa segerea kwenye kanisa lake Ila kuanzia sanne kutaluwa na ibada yakumuaga kawe na msafara utaanzia kawe kwenda tabata segerea
maji maji mala mafuta nyie ndugu zangu yesu anarudi tuache utani
Pumzika kwa amani
Mbona hukumpa dawa yako apone wewe ni muongo sana
Anaezungumza huyo anaitwa DASTAN MABOYA alitikisasana ENZI zao nakina kakobe Mwingila wa Efatha
Ww mwingila ea efatha unamjua ni nani anayetikisa mpaka ss yule ni mtume wa Mungu aliye hai hana makanisa 650tz nzima .na pale Mwenge kitu kinachotoka usipime
Pole sana ndugu kwa msiba,lakini nyinyi wenzetu muna maji ya uzima pia munaweza kumuombea mtu aliekufa mpaka kufufuka,inabidi muoneshe miujiza yenu hapo ya kumuombea huyo kijana aliekufa mpaka kufufuka,au mukishindwa aitwe askofu gwajima maana yeye aliwahi kufanya hiyo kazi.
Mda mwingine kukaa kimya ni hekima,unazan wakati wako ukifika Hata ukiomba vip Mungu akikuhitaj atakuchukua ,miili ni yetu pumzi ni ya Mungu na ndo mwenye kuileta na kuichukua
@HappyMsuha dada yangu sijakataa hayo pia naamini kila mtu ana muda wake wa kufa lakini nyinyi wenzet wahubili wenu wanatangaza kwamba wanaweza kumfufua mtu aliekufa kuwa hai kwa mfano mchungaji gwajima alifanya hicho kitendo cha kumfufua mtu aliekufa na kuwa hai ndani ya kanisa lake,na hiyo clip ipo mitandaoni kama hauna sema nikutumie,kama aliweza kumfufua mtu aliekufa,atashindwaje kwa hiyo kijana?
Kwa maana,tutajifunza hapa kuwa wachungaji na maaskofu wenu baadhi yao ni waongo,wanawapanga watu kuwa vilema,vipofu,mabubu,wanamapepo na magonjwa sugu,baada ya muda wanawaleta kanisani kwa ajili ya kuwaponya kwa jina la yesu kumbe ni uwongo mtupu
100%
Jamani mbona baba Mwamposa hakuponya kansa ya mtoto wa msaidizi wake.Amkeni nyie mnaofuatilia huduma za mitume na manabii. Na amfufue Sasa!
Mpendwa hata Mtume Paul hakupewa kumtibu mwanae wa kiroho Timotheo aliyekuwa anasumbuliwa na maradhi ya tumbo, hadi anamwambia atumie mvinyo kidogo kwa ajili maradhi ya tumbo na magonjwa ya mara kwa mars yaliyokuwa yanamsumbua mara kwa mara, kumbuka watu waliponywa kwa leso zilizogusa Mtume Paul. Anayetibu ni Mungu siyo Mwamposa mpendwa wangu. Mungu akipanga, mipango yake haipanguliwi. Mungu anamtumia Mwamposa kuponya walioonewa na shetani
Kuna muda Mungu akikuita hata iwe vipi mapenzi yake ni lazima yatimie, sote tumeumbiwa kifo hata iweje, ikiwa Mungu amekuita utaenda tu..
Someni maandiko muelewe nyie watu hata Nabii Elisha alikufa kwa ugonjwa wa jipu licha ya kutumiwa na Mungu kutenda miujiza mingi muda ukifika umefika tu acheni mawazo potofu hayo
Kwa Mwamposa watu wapona kweli wala hakuna uongo maana hata mimi ndugu yangu alikuwa nakichaa na ukimwi amepona pale pale Kwa Mwamposa ambaye Mungu anamtumia kuwafungua watu wa imani zote na hiyo ndio injili kwamba watu waponywe na kumuamini Bwana Yesu maana ndiye mtenda miujiza na sio Mwamposa yeye anatumika kama chombo tu
Huyu mzee yuko salama jamani?
Ongea yake ni kama amepasha kidogo 😂
inaonekana wewe ndio hauko sawa, kwa hiyo unafikiri na mwengine hayuko sawa, watu wako na msiba na ww unaongea isivyopaswa jiangalie
@@ThelifeofJesusMinistryTLJ Pole sana kwa msiba
Huyo mzee Yuko sawa Sana sema wengi hamfaham huyo anaitwa Dastani Maboya ukitaka kumfaham mtafute kwenye mitandao ujionee moto wake usipime
Huyo yupo sawa saaana sana tena ungekuta wakati wa ujana wake ndio alikuwa moto zaidi.
Ila alishakiri kuwa ndio anavyoongea na ni muhubiri mzuri sana mwenye kipawa na upako wa kutosha.
Alikuwa hata akiombea sadaka tu mapepo yanakimbia
Kwa usiemfahamu unaweza sema hvyo lakin Yuko vizuri Sasa sijui ulitaka aongeeje mwenzetu ebu tuambie aungurume au?
Sasa tunaamini, kama Mwamposa ni msanii, na sio mtumishi.
Hiyo Amina!
Hiyo Amina!