Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Acheni kuongea kama hamumujuwi mungu au haujuwi kifo unawezaji kusema angemuombea afufuke heshimuni kazi ya mungu kila bini Adam atakufa tu RIP 😢😢😢😢😢😢😢😢 watching from Capetown South Africa
Jamani Mungu huturehemu maana utukufu wako tumekunyanganya tumewapa wanadamu badala ya kukutukuza wewe tunajua sisi
Poleni sana wafiwa mungu awaited nguvu
Mungu ampumzishe kwa amani Mungu kampenda zaidi yetu
Pumzika kwa Amani mtumishi,na niwape pole nyingi kwa wafiwa waote na Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu mtakachopitia.
Mafuta ya upako lafk yako alazwe mhl pema peponi amen🙏🙏
Apumzike kwa Amani mtumishi wa MUNGU!
Mungu Ampumzishe Kwa Amani Mtumishi wa Bwana.
Yani mtu kafariki harafu munasherekea kama harusi jamani mungu atusaidie
Nyie mnaosema angemfufua mungu awarehem hamjui msemalo😭😭😭
Pumzika kwa amani mtumishi
Anabebwaje Kama mfalme wakati hapo alipo nikama gogo tu
MUNGU akusamehe
Du Ila anaishi uswaz
Mwisho wa mwaka huu watu wanatoa sadaka wasafi ilikua ni dida
Brother,ndoumetuachahivyo,tutaonanatena😭😭😥😢😰
Polen Kwa msiba ila mjifunze kupitia msiba waa ndugu yenu kifo ni fumbo
Kifo hakina huruma pumzika kwa Amani
Huyo msaidizi Tu 🙄
Amfufue sasa kwa mafuta ya piddy na maji yaupako
Duh
Angemuembea Afufuke kwa ji na bwana.
Acha kufuru wew kila mtu lazma afe kuwa mwelewa
Ww haujui kifo
Akili yako ndogo sana
Pollen san wapendwa
Sadaka zetu hizo mnajuana ingekua mumini wa kawaida masinge Fanya hivyo wakati mnasema watu wote sawa
Edited
Ulilazimishwa kutoa sadaka
Kamtoa kafala
Ulikuwepo
Kumfufua kashindwa
miujiza ya kumfufua vip mi naona hajafa kweli katolewa msukule na yeye labda
Muogipe Mungu kaka kila mtu atakufa iyo siku yake iliifika kila nafsi itaonja mauti acha ujinga
@@JoyceMourice we mnywa mafuta ya alizeti
Hata mimi nahisi ni kafara
Aliwah kukwambia ye anafufua wafu😏
Wewe uliweza hata kumfufua mende??
Hele za wajinga hizoo!
Pole sna
Cjui umerekodi vp mse*ge wewe
Yaani hii dunia yatawaridia
Acheni kuongea kama hamumujuwi mungu au haujuwi kifo unawezaji kusema angemuombea afufuke heshimuni kazi ya mungu kila bini Adam atakufa tu RIP 😢😢😢😢😢😢😢😢 watching from Capetown South Africa
Jamani Mungu huturehemu maana utukufu wako tumekunyanganya tumewapa wanadamu badala ya kukutukuza wewe tunajua sisi
Poleni sana wafiwa mungu awaited nguvu
Mungu ampumzishe kwa amani Mungu kampenda zaidi yetu
Pumzika kwa Amani mtumishi,na niwape pole nyingi kwa wafiwa waote na Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu mtakachopitia.
Mafuta ya upako lafk yako alazwe mhl pema peponi amen🙏🙏
Apumzike kwa Amani mtumishi wa MUNGU!
Mungu Ampumzishe Kwa Amani Mtumishi wa Bwana.
Yani mtu kafariki harafu munasherekea kama harusi jamani mungu atusaidie
Nyie mnaosema angemfufua mungu awarehem hamjui msemalo😭😭😭
Pumzika kwa amani mtumishi
Anabebwaje Kama mfalme wakati hapo alipo nikama gogo tu
MUNGU akusamehe
Du Ila anaishi uswaz
Mwisho wa mwaka huu watu wanatoa sadaka wasafi ilikua ni dida
Brother,ndoumetuachahivyo,tutaonanatena😭😭😥😢😰
Polen Kwa msiba ila mjifunze kupitia msiba waa ndugu yenu kifo ni fumbo
Kifo hakina huruma pumzika kwa Amani
Huyo msaidizi Tu 🙄
Amfufue sasa kwa mafuta ya piddy na maji yaupako
Duh
Angemuembea Afufuke kwa ji na bwana.
Acha kufuru wew kila mtu lazma afe kuwa mwelewa
Ww haujui kifo
Akili yako ndogo sana
Pollen san wapendwa
Sadaka zetu hizo mnajuana ingekua mumini wa kawaida masinge Fanya hivyo wakati mnasema watu wote sawa
Edited
Ulilazimishwa kutoa sadaka
Kamtoa kafala
Ulikuwepo
Kumfufua kashindwa
miujiza ya kumfufua vip mi naona hajafa kweli katolewa msukule na yeye labda
Muogipe Mungu kaka kila mtu atakufa iyo siku yake iliifika kila nafsi itaonja mauti acha ujinga
@@JoyceMourice we mnywa mafuta ya alizeti
Hata mimi nahisi ni kafara
Aliwah kukwambia ye anafufua wafu😏
Wewe uliweza hata kumfufua mende??
Hele za wajinga hizoo!
Pole sna
Cjui umerekodi vp mse*ge wewe
Nyie mnaosema angemfufua mungu awarehem hamjui msemalo😭😭😭
Yaani hii dunia yatawaridia