INAUMIZA! MABAUNSA 20+ WABOMOA NYUMBA KESI IKIWA MAHAKAMANI - MAMA AMWAGA MACHOZI AKIELEZEA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • INAUMIZA! MABAUNSA 20+ WABOMOA NYUMBA KESI IKIWA MAHAKAMANI - MAMA AMWAGA MACHOZI AKIELEZEA...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 189

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 дні тому +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @Shekhahamed-v2f
    @Shekhahamed-v2f 4 дні тому +6

    Polee dada. Ushauri wangu achana nyumba wakuzulum. / Wageukie watanzania. Wakusaidie naamini kwa umoja watanzania wanaweza. Kukupatia kiwanja na ukajengewa. Utaishi maisha mazuri ukasahauyotee

    • @Zanzibar0001
      @Zanzibar0001 День тому

      Mpumbavu mmoja akubali kudhulumiwa alafu awe omba omba shenzi

    • @Shekhahamed-v2f
      @Shekhahamed-v2f 20 годин тому

      @Zanzibar0001 sawa

  • @lilianfrancis6605
    @lilianfrancis6605 5 днів тому +21

    Pole Mwanamke Mwenzangu Mwenyezi MUNGU Akufanyie Wepesi,Utashimda tu kwa uwezo wa MUNGU

  • @MiriamAbdala-q8f
    @MiriamAbdala-q8f 4 дні тому +7

    Hawa ndio wenyekiti waliopitashwa na wananchi bila kupigwa🤔

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 5 днів тому +16

    Wajumbe watu wabaya wanajua Kila kitu .rushwa tu

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 3 дні тому +2

      kabisa,Mtu wa kwanza kutumika ni mjumbe Mungu anawaona kwa jicho lake lisilolala😔😔😔

    • @bakariomari24omar21
      @bakariomari24omar21 3 дні тому

      @hadijaismail3619 tatizo njaa

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 4 дні тому +5

    Naumia sana naumia mno hii nchi ni kama kuna laana amani amani ndo hii viongozi daily,wanaona haya matukio dhulma tu,mola utusaidie tusidhulumiwe

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 дні тому +5

    Serikali za mitaa ndio hao hao nani😂 aliyewachaguwa?

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 4 дні тому +9

    Serikali hiyo ya Mtaa inaonyesha imehusika na hujuma hiyo. Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa ameshindwa kumlinda raia yake.

  • @KhadijamussaMachapat
    @KhadijamussaMachapat 4 дні тому +3

    Yaani siku izi chako kinakumaliza😢

  • @MariamAaaa-s4b
    @MariamAaaa-s4b 4 дні тому +1

    Pole Sana Dada angu Allah akupe subra na wapangaji wako wote

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 4 дні тому +5

    Yaani uyo mwenyekti ingekua nyumba yangu iyo ningeanza na yy alafu aliyo nunua

  • @JudithAdonis
    @JudithAdonis 15 годин тому

    Mmh M'kiti 🙌🙌🙌

  • @jeremiahmbena4644
    @jeremiahmbena4644 4 дні тому +7

    Jerry silaa,ndie mkombozi wa Masikini hakuna mwingine

  • @MamaHanisa-i8z
    @MamaHanisa-i8z 5 днів тому +8

    Maskini ukiwa hauna kitu jamani me nikikumbuka umauti nachukia dunia nyumba yangu niliacha mamangu kile aliongea Alhamdulilllah ya Allah mpe mume wangu nguvu ya kuniangalia me mke wake lakini we hii dunia ya sasa bala usiamini mtu yoyote 😢😢😢😢

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 2 дні тому +2

    hamna rais kwenye nchi ndio maana majizi yanaumiza watu na kumdhulum watu mchana kweupe kama walivosema nchi haina sheria wallah magu angekuepo wangeijenga hiyo nyumba hao walivunja na walio watuma mwenyezi Mungu 2025 ndio hiyo yatoe mafisad yote tanzania umueke rais anae jali wananchi tunakuomba mwenyezi Mungu tupokelee day zetu in sha allah na ijumaa hi 🤲🤲toka kashika nchi huyu mama watu wanadhulumiwa sana na hakuna msaada kwa sababu wanao dhulumiwa hawana pesa za rushwa tunakuomba Mungu wetu mtukufu safisha mafisad yanayotawala sasahivi tanzania na nchi zingine wanadhulumu wananchi wao in sha allah

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 3 дні тому +2

    Huyu Mama analia kwa uchungu Hadi naogopa 💔 binadamu si waoga uwiiiii

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 3 дні тому +1

      Haya yalimkuta mama yangu ctaki hata kusikia ñaumiaga mnoo nikiona hivi😭😭😭😭 nguvu ya pesa ilitumika kuanzia ngazi ya chini mahakamani mpaka juu! Ninachoamini haki yako ukiikosa hapa duniani utaikuta kesho kwa Mungu ,

  • @WardaSaid-m3c
    @WardaSaid-m3c 5 днів тому +6

    Subhanallah jamani tumuogopeni Allah

  • @azariamarembo3653
    @azariamarembo3653 4 дні тому +5

    Janja janja wamezimaje simu wote . Hapo kuna kitu

  • @AgathaMaliyatabu
    @AgathaMaliyatabu 4 дні тому +2

    Dada usilie sana mshitakie mungu huyo mwenye pesa kama pua imeangalia juu basi ameshinda kama imeangalia chini mungu atakujibu

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 4 дні тому +5

    Hiyo siku ya mwisho ndio itajulikana mbele ya mungu kua kiongozi anatakiwa aweje na watu wakidhulumiwa aliakua viongozi mpo alafu hakuna kauli za kumtetea ane dhulumiwa hongereri viongozi dunia niyenu fanyeni mnavyo weza ila sisi tunangoja malipo siku yamwisho kutoka kwenu na mungu anayaona yote mnayo tufanyia

    • @funliving-so9vz
      @funliving-so9vz 4 дні тому

      Kwa iyo tusubilie hadi siku ya mwisho?

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 2 дні тому

      @@funliving-so9vz ndio maana yake mama yangu yamemkuta hayo keshatangulia mbele ya haki,Mungu atamlipia huko,pesa za kuhonga apate haki yake hakua nazo😔😔😔

  • @joharikasuwi6973
    @joharikasuwi6973 2 дні тому +1

    Mie kwa mtazamo wangu huyo kiongozi wa mtaa anajua kabisa. Ye mwenyewe muhuni tu na hilo licheni lake

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 4 дні тому +3

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajuun......pole sana Dada yetu.....hizi mali hizi.....ukiwa nayo shida na ukikosa pia shida!!!! Ni afadhali kuwa nayo au kukosa???

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 4 дні тому +1

    Mkti hafai kabisa ,silaha arudi hii Hali ingekoma

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 дні тому +2

    Wamebeba vitu vyako tena uwende police kutoa maelezo uwiiiii hozo hasiraa kwanini vitu visiwekwe apo nje kila mtu achague chake kwa usitarabu 😭

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 5 днів тому +2

    Pole mama maskini

  • @prettyheart45
    @prettyheart45 3 дні тому

    kma una hatiiii original mama oneshaaaaa

  • @MakameMufadhil-n8d
    @MakameMufadhil-n8d 4 дні тому +1

    Yani Mimi naumiyaaa sana ninapoona uonevu

  • @SuhailaMahamoud
    @SuhailaMahamoud День тому

    Poleni

  • @MiriamAbdala-q8f
    @MiriamAbdala-q8f 4 дні тому +6

    Mama Samia mitano Tena ccm hoyeee😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @maryamhannif897
    @maryamhannif897 5 днів тому +1

    Pole da halima

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 4 дні тому +2

    Hii ndotanzania yaccm 😂I 😂😂😂 inchi hainashelia mbeleyapesa

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano1185 3 дні тому

    Mtihani

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 дні тому +1

    Ila unaumiza jmn kwann binadamu mnakuwa hivi kwanini binadamu mnakosa utu,hivi vitawafukisha wapi dhulma hiii jmn.Hivi ndio mwenye pesa apate masikini akose,.Magufuli fufuka jmn.Kwani Kodi zinatolewa nawenye hla tu jmn.Mama Samia uko wapi kuona hya yawananchi wako.Mpka wanaadhirika jmn.

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 2 дні тому

    lazma waseme nchi haina sheria maana maviongozi yote yanawaza stareh tu hayajali machafu yanayoendelea miaka 4 hi mwenyezi Mungu awalaani kwanzia viongozi wa awam hi na majambazi yao wanayoyachekea yanaumiza raiya wema in sha allah yarab 🤲🤲

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd 4 дні тому

    Yaaan hii nchi inatia hasira khaaa uongoz unafany nn mamb km haya😢😢😢munga imalize ty hii dunia uonevuu umekua haki roho inaniuma saana saan kuona mtu ananyang'anywa haki yake nataman mungu aisambaratishe tu hii dunia ukija gaza ukija kongo ukija tz yan tafran tyuu khaa😢😢

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 4 дні тому

    Walah nikimiliki myumba lazima nimiliki mguu wa kuku

  • @SalmaOmary-b8v
    @SalmaOmary-b8v 4 дні тому +2

    Mama samia kumtoa salha wana nchi tunapata tabu sana🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭

  • @Alphonce223
    @Alphonce223 4 дні тому

    Ccm oyeee..mitano tena

  • @prettyheart45
    @prettyheart45 3 дні тому +1

    ila uyo kaka doctor 🤣🤣🤣au muhayaaaaaaaaaaa jmn kasemaaa professional zake daaaah

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 2 дні тому

      😂😂

    • @rahmahabibu1432
      @rahmahabibu1432 2 дні тому

      😂😂😂

    • @JudithAdonis
      @JudithAdonis 16 годин тому

      😂😂😂😂
      Na mm sijamuelewa aisee

    • @JudithAdonis
      @JudithAdonis 16 годин тому

      Yaan yeye anasema alipotoka nje akaona kuna fujo and then akaenda nje kaacha even laptop ambayo iko kitandan 🙆‍♀️

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 5 днів тому +1

    Taku kururu mpo wapi jamani masikini wana teseka, Mama Samia upo wapi mwanamke mwenzio ana lia, Ehee Allah ebu pokea kilio cha mama huyu

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari4592 4 дні тому

    Mama samia uko wapi Mama watu wana kuitaji mama

  • @KhabeyaSelemani-t1c
    @KhabeyaSelemani-t1c 4 дні тому

    Inamana mama samia Alioni hili Tatizo Aki Ifanyike 😢

  • @joharikasuwi6973
    @joharikasuwi6973 2 дні тому

    Mama sisi kwetu tanga huwa tunawaambia wasubiri jua lizame

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 5 днів тому +1

    Hivi kweli nchi haina sheria mbele ya pesa , ila serikali za mitaa ccm wanapokea rushwa kwa kunyanya wananchi

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 дні тому

    Subuhanallah😭😭😭

  • @muuibrahim1805
    @muuibrahim1805 День тому

    Huyu mjumbe mmemuelewa kweli?!

  • @Space-f9y
    @Space-f9y 4 дні тому

    Afisa mtendaji ndio huwa anaenda ofisini mara mbili kwa wiki

  • @hawaally2308
    @hawaally2308 4 дні тому +2

    Hata kama kuna sababu ya kuvunja, kweli hii ni haki kwa wapangaji? Mali za urithi hazifai kabisa kutumia zilivyo ni kuuza tu ni kuuza tuu.

  • @MiriamAbdala-q8f
    @MiriamAbdala-q8f 4 дні тому +1

    Nchi inaongozwa na wahuni, CCM hoyeee 5 tena Samia Hasan suluhuu😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @IbrahimuRamadhani-m5h
    @IbrahimuRamadhani-m5h 4 дні тому

    Haki yamungu mungu mungu anawaona

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 10 годин тому

    Uyo mwenyekiti kumamake piga mapanga hadi afe

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 4 дні тому

    Mjumbe shikamoo

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 4 дні тому

    Pole sana mama 😢

  • @RahemaJumany
    @RahemaJumany 3 дні тому

    Mom hati original ndy kila kitu mom kama hiyo huna hapo pole tena Jikatae tu

  • @Lusajoabel-j1b
    @Lusajoabel-j1b 4 дні тому

    Viongozii wote wapo Dodoma ila hii nchi ngumu sanaaa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 4 дні тому

    😢😢😢Kawalog. Wot😢😢

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 дні тому +3

    Ccm hoyeeeee wenyeviti wa mtaaa oyeeeee.

    • @halimamsafiri288
      @halimamsafiri288 День тому

      Sisi wajumbe na wenyekiti oyeee wala Rushwa oyeee wenyekiti ccm oyeee wajumbe oyeee wezi wakubwa oyeee pumbavu zenu

  • @RashidSonara
    @RashidSonara 4 дні тому +1

    Muulize kamanda muriro kama ipo sawa kisheria

  • @denisJoel-v7i
    @denisJoel-v7i 4 дні тому

    Aise,jamn mbn watu wana roho mbaya ivii !!

  • @salama1113
    @salama1113 4 дні тому +3

    Majaji mnasikia kwakuwa wanayaona yanayo endelea hadi watu wanasema nchi haina sheria😢😢😢😢😢 sasa watu wakichukuwa hatuwa mkononi mcwalaumu mana hakuna haki mbele ya pesa😢😢😢😢

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 4 дні тому

    Dah! Huyo mwenye pesa zake kama wanavyojisifu kwa kipato alichomjaalia Allah(S.W.T) anawatoa wenzie ndani pasipo kujali mali zao wala uhai wao, huyo ni fir jahannam moja kwa moja. Kwani angewapa muda hadi kesi imalizike wangepungukiwa kitu gani labda! Acheni mabavu sote tutakufa na kila kitu kitabakia. Allah atujaalie tuyatende mema siku zote na tuwe wenye huruma na upendo kwa binadam na wanyama pia.

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft День тому

    Nyumba hadi inauzwa mama ulikuepo wapi !!??

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 4 дні тому +1

    Ninashaka na huyo mjumbe na mwenye kiti wanabomoa nyumba bila kibali 😡😡😡😡😡

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 5 днів тому

    Mtihani kweli

  • @KhadijamussaMachapat
    @KhadijamussaMachapat 4 дні тому +3

    Unaingia Galama ya kujenga wenye kujua kujenga wanakunja kiubabe na kuvunja hivyo ndo maana Watu wanapanga siyo kwamba hawawezi kujenga lakini Ukatili kama huu Bora kutumia pesa yako mana siku izi wanaoishi kwa Amani ni Makatili💪🤔

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 днів тому +3

    Wenye fedha wote nchi hii ndio wenye kununua nyumba za Kurithiwa kidhulma yaani hayo yapo nchi nzima. Na kesi zikienda Mahakamani kesi zinapigwa danadana.Hata kufoji Hati ni jinai lakini pia likienda Polisi nao ni danadana tupu .Nchi ngumu hii haki kwa mnyonge ni shida tupu

  • @salwasalum6758
    @salwasalum6758 4 дні тому +1

    Very painfull this unfair gvnt😢😢

  • @theodorythobius3965
    @theodorythobius3965 4 дні тому

    Haya mambo sasa hivi yamezidi sana,wenye viti na mabalozi ni changamoto.

  • @mwanakombojumaakhalid
    @mwanakombojumaakhalid 4 дні тому

    Huwo ni mtihani mkubwa sana poleni sana

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala 2 дні тому

    Maswali mengine bwana hayafai kama una ya kuuliza kama kimya

  • @RahemaJumany
    @RahemaJumany 3 дні тому

    Yote tisa pole mom Allah akutie nguvu ila hapo kwa mjumbe sjamuelewa maelezo yake kama mjumbe utasemaje hujui toa maelezo yaeleweke cm unapiga hazipokelewi tinga office hawana serikaki si zipo watingie ofisini sio kila kitu hujui na unatabasam bhana uongozi mnapewaga na nani kwanza kama kazi hamuiwezi

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 4 дні тому

    Nchi aina haki hii walai😢😢

  • @AminaKomba-h8j
    @AminaKomba-h8j 5 днів тому

    Dah 😢😢😢

  • @OmanOman-fr5hl
    @OmanOman-fr5hl 4 дні тому

    He kesi ssa imitoka kwenye mikono ya majaji imipandishwa kwa mungu ndo mkubwa wa mjaji

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 4 дні тому

    Mambo haya inakuwaje jamanii mtihani mkubwa

  • @JahidaRashid
    @JahidaRashid 4 дні тому

    Duuu poreni sana 😢😢😢

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 дні тому

    Nchi haifuati sheria watu wanafanya wanavyotaka, Serikzli ooi wapi?

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 4 дні тому +1

    Hiyo ndio Tanzania yetu tuliyoichagua mabadiliko ni lazima laasiivyo tutazulumiana kama wakubwa wafanyavyo

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 5 днів тому +2

    Wenye mamlaka msikilizeni mwanamke huyu analia kwa kukosa msaada hata wa kisheria haki ipo wapi inaumiza sana

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 дні тому +1

    Kwann ww kama mwenyekiti hukusogea kwenye tukio. Huna ulizi wote.

  • @sakinamremi
    @sakinamremi 4 дні тому

    Angekuwa magufuli yupo sheria ingekuwepo lakini kwa sasa hakuna sheria wala amani ya nchi 😢😢😢sasa mtu anasema nchi haina sheria kama una hela si anajiamini huzuni sana

  • @saidsam3053
    @saidsam3053 4 дні тому

    mwenyekiti anajizonga tu anazunguka t haeleweki na mjumbe nae haeleweki mjumbe baharia

  • @ConsolataMassawe-j6c
    @ConsolataMassawe-j6c 2 дні тому

    Tunaomba wananchi watanzania .pamoja na raisi wetu wa tanzania angalie haki ya huyu mama alie bomolewa nyumba ipatikane jamani.huu ni uonevu kabisa

  • @Hdhdj-t7j
    @Hdhdj-t7j 4 дні тому

    Tatizo mnachagua wachawi kuwafanya wenyekiti wajumbe ndomaana yanatokea.

  • @MeryJonh
    @MeryJonh 5 днів тому

    Nchi yangu Tanzania. Wanyonge hatuna haki

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar 4 дні тому

    Tunapoelekea watu watakuja kuchinjana jamani. Hii ni hatari sasa

  • @barakaharrison8677
    @barakaharrison8677 4 дні тому

    Huyo doctor uchwara mbona muongo 😅😅😅😅😅😅

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 4 дні тому

      Itakua na ww ni mmoja wa wabomoaji mbwa ww

  • @MariamAaaa-s4b
    @MariamAaaa-s4b 4 дні тому

    😢😢😢😢😢😢

  • @TheodoraAnatory
    @TheodoraAnatory 2 дні тому

    Hiyo yote ni RUSHWA, aliyesema Rushwa ni adui wa haki, tunajionea wenyewe. Jamani tupege vita RUSHWA.

  • @Mohammed-v3i1u
    @Mohammed-v3i1u 3 дні тому

    Tumwogope Allah jaman hii zurma ya alzi sinzuri itakuja tokea watu puwani

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 5 днів тому +2

    Kipindi cha mzee baba JPM haya mambo yalipungua,lakini sasa hivi yako kwenye Kasi mpya na ari mpya duuuh nchi ngumu sana hii🇹🇿😳🤔

  • @Hdhdj-t7j
    @Hdhdj-t7j 4 дні тому

    Apo mjumbe buree na anajua yote keshapewa pesa.

  • @sistustesha4553
    @sistustesha4553 4 дні тому

    Hawa wajumbe wasiojua ata utaratibu ni matatizo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 4 дні тому

    Serekali ya Mama hoyee

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh3939 9 годин тому

    JAMANI UKO TUNAPOKWE NI PABAYA NCHIHI MAMA KAUPIGA SANA

  • @Zainab-k3l6b
    @Zainab-k3l6b 3 дні тому

    Huyumimi sijamuelewa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 дні тому

    Kwenye Uchaguzi Ccm wanafanya wanavyotaka, na mtaani watu wanafanya wanavyotaka hawafuati sheria wala KATIBA ya nchi.

  • @RutiMasaryk
    @RutiMasaryk 4 дні тому

    Rest in peace 😢 Magufuli. So sad to see this 😢 ungekuwa wepo

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 4 дні тому

    Aya mambo kwa magufuli yalikuwa ayapo wanaogopa saivi imekuaje

  • @gililwise
    @gililwise 4 дні тому

    Wana kibali cha mahakama na ocd?