Eden choir Moravian Arusha - Amenivusha (official video)
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Amenivusha ni wimbo wa ushuhuda unaoishi Kwa mtu mmoja mmoja na kwaya Kwa ujumla. Kama wanadamu tunapita katika changamoto mbalimbali. Hata hivyo, Mungu mtenda miujiza yupo na anatuvusha Kwa namna isiyo fikirika na tunavuka vizingiti vya ibilisi Kwa neema tu. Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu Kwani ametuvusha katika mambo mengi. Wimbo huu ukafanyike baraka na kwako, Mungu akakuvushe katika Kila gumu unalopitia.
Credits:
Song writter: Michael kakale
Leader: Jordan Godson
Vocal arranger: Godwin Mlambo
Music director: Amos Phillipo
Main keys: Inocent thadeo
Second keys: Frank Kidanha
Aux: Amos Phillipo
Bass guitar: David Bass
Lead guital: James solo
Drums: sheddy Joseph
Audio: Mobby Production
Backline Tumaini shangilieni + maksudi
Video: Rehoboth studio
Lights and stage loy
Decor: Titus Wambali
Production manager: Daniel Mwamwile
#music #gospel #Amenivusha #trending #edenchoir
Tunao upenda huu wimbo gonga like hapa🎉❤❤❤❤
Safi sana partners
sauti za backup respect
Safiiii sanaaà jamn na omba wimb mwingineee tenaaaaa
Soon❤
🎉🎉🎉 Eden choir......
🙏🙏🙏
New season,New experience weeeeweeeeeeeeeee
Niko nacheza uku kama mwehuuuu😍😍😍😍😍😍
Kama nakuona hahhhhhh
😂😂😂😂
Bado niko apa marudio🤗
😂😂😂😂😂
@@burton_hans hakika tunabarikiwa sana kwa utumishi wenu wapendwa wa Mungu
What a song 🎵 🔥🔥
🙏🙏🙏
Nackia kulia yaani... Mungu huyu muacheni aitwe Mungu matendo yake makuu Eden choir keep it up, Mungu hawezi kuwaacha endeleeni kunyenyekea
Amina barikiwa🙏
Very Good project 😍😍. 🔥🔥🔥 Unyama mwingi sana
This song is amazing congratulations Eden choir God bless you guys
I can't wait🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sanaaa hapo ningeongeza saxophone yangu dahh shetan angeanguka, nice work family ❤
Mungu awe nanyi ujumbee mzr❤
Amen🙏🙏🙏
Congratulations Eden Choir, napenda kuwaita fahari ya Moravian jimbo la kaskazini
Amen🙏
Mungu anazidi kutufundisha zaidi na kutupa baraka zaidi kwa nyimbo hii nzuri nami nimo kati ya waliovushwa🎉
Yanii nyimbo za hii kwaya.. zinajigusaga moyo sanaa❤ nawapenda sana Eden kwaya❤
Barikiwa🙏
Na mimi nimo kati ya wanaokushuru Mungu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Haleluy haleluy ww ni Mungu mkuu ujaruhus mabaya yatupatilize ❤❤❤
Uwiiiiiiii.Yesu wewe ni mzuri
Haleluyaaà.nimooo na mimi.sifa utukufu kwa Mungu.Eden Arusha you have done wonders.Hongereni mno
Amina sifa na utukufu kwa Mungu🙏🙏🙏
Mbarikiwe mnoo kwa wimbo mzuri kristo azidi kuwainua
Amen
Mungu awe nanyi jaman
Amen🙏
Kweli ya motooooo❤❤❤
Amen ametuvusha na anatuvusha ❤❤❤❤
🙏🙏🙏
Mzidi kubarikiwa
Amen
Hongereni sana mpo vizuri Mungu azidi kuwabariki
Wimbo ni 🔥🔥
🙏🙏🙏
Kweli we Ni Mungu! Safi sana
🙏🙏🙏
Woowh what a song....pongezi kwa team nzima ya maandalizi hata kutuletea neno zuri sana #NawapendaSanaFamily #MzidiKubarikiwa
Amina🙏
Amina🙏
Kazi nzuri utukufu kwa Bwana
Mungu Awabariki Wana edeni 🙏❤️❤❤❤❤
Amen,kati ya wale wanamshukuru Mungu na Mimi nimo,Mungu ibariki Eden Kwaya
Amina🙏
Kazi nzuri sana ❤️
💃💃🕺
Najisikia mwenye bahati
😂😂😂
WIMBO mzuri sana
Your friend is watching you Jordan nakukubali kaka aiseee ✊✊
Daaaaaah Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Mungu awabariki mno Eden
Waooooooooh sifa na utukufu kwa Bwana
Amina
Oya wee uwimbo nimeukabali
Mnanibariki sana jmn Eden ❤❤❤🎉🎉🎉
Amen🙏
🔥
Kazi njema
Safi sana
Safi
Utadhani tunawasikiliza waimbaji wa South kumbe nihumuhumu kwetu barikiwa sana!!!
Amen kwa utukufu wa Mungu🙏
Hakika na Mimi nimo
Jordan Mungu akuweke🙌🙌
Amen Amen halleluyah🙏🙏🙏
Hallelujah 🔥🔥
The song, powerful words ❤️💯
🙏🙏🙏
Hongereni Sana mmewezaaaa🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏
Sifa na utukufu kwa Jehova
Tunaomba challenge ya kucheza mwanangu ashinde maana 🎉
😂😂😂 mreodi weka #amenivusha post instagram na tiktok eden choir moravian arusha sisi tutamrepost
Mungu awabariki sana na azid kuwainua🙏🙏🙏🙏
Amina🙏🙏🙏
Amina🙏🙏🙏
Big up
Amen🙏
Mungu awabariki mnaimba vizuri Sana❤
Mungu azidi kuwainua awaweke katika vile viwango hakika mungu amenivusha hata mm jamanii❤❤❤
Amen
And the took off🔥🔥
🙏🙏🙏
Drummer 🥁 respect sanaa kaka 🙌🙌
Saafi 🎉
❤
🙏🙏🙏
This is what we call devine growth🔥🔥🔥
Amen🙏
Bwana Yesu na mimi nimo❤❤❤ Mungu akumbuke sadaka zenu
Amen🙏
Nyimbo nzuri sana mubarikiwe mfululizo mpaka mshangae
Amen🙏🙏
Kazi nzuri sana ,sasa mnakwenda kutambulika katika ulimwengu wa gospel music.❤
Amen🙏
Hongera sana ndugu zangu,Mungu azidi kuwainua
Amina
Nawapenda bure
Hakika ametuvusha na sisi tumo
🙏
Aiseeee❤❤❤❤
❤
🔥🔥
Hii ni hatari na nusu
🙏🙏🙏
Mungu awabariki wanaeden
drummer naona una kitu 😎 utafika mbali kijana 🔥
🙏🙏🙏
Such a Good Song..Godbless You Jordan,Frank and the.Team
🙏🙏
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Na mimi nimo
🙏🙏🙏
Vibe kwa yesu❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏
Nyimbo nzuri sana mungu awabariki sana
Amen
❤
Amina sanaa nazidi kubarikiwa kwli mungu amnivushaa hongerni sanaaa
Amina
Ameeeen
❤❤❤❤❤ Jesus
Nzuri sana keep it up😊
Amen
Hongeren sana
Amina
Hongera sana Eden kwaya
🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤ jehovanis
Goood job❤
🙏🙏🙏
Hakika mmebibariki sana
🙏🙏🙏
Ya motoooooo❤❤
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Blessings
🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Hujaruhusu mabaya yanipatilize
🙏🙏🙏
Hata mimi amevusha kwa kweli mpka sasa miezi 11
Amen🙏
God's love...🙌
🙏🙏
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hivi ii One two everybody.....kwenye nyimbo kiutaratibu imekaaje....😂😂😂
😂😂😂
🔥🔥
🎉🎉🎉
Amen
Hallelujah Jehovah
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤