Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
RIDHIWANI AFUNGUKA: Ni kuhusu kukamatwa kwa Yusuph Manji
Вставка
- Опубліковано 22 кві 2017
- Kwenye On Air With Millard Ayo Ridhiwani Kikwete ambaye ni Mbunge wa Chalinze amezungumzia swala la Yusuph Manji ambapo alikamatwa kwa ajili ishu ya matumizi ya Dawa za Kulevya,
barikiwa Sanaa mwana wa kikwete daa umemgusia manji roho imeniuma na yanga yetu
Umeongeya point,
mh upo vzur
Bagamoyo tanzania kuzur sana
unabusara sana kaka
Riziwani kaongea point sana. Ndiyo maana watu walimtetea manji pamoja na tuhuma nyingi alizonazo.
MUNGU AKUINUE KAKA
Subscribe kwene UA-cam Channel yangu kupata Fursa mpya za Elimu na Ujasiriamali kila wiki.
Yani lazima ujiamini Sana kama hv hakika hakuna wakukutisha kbs mzee hawamjui tu alipotoka na nchi hii... hahahahahaha uliwachana vzur kbs kbs sasa habari yao imekwisha...walikua wanaongoza nchi kwa misifa tu na kuaibisha watu hadharani..walikua wanaropoka na walijawa na roho za visasi...na hili wasituharibie nchi yetu na maendeleo yake amewawahi mapema sana
Point kubwa sana mkuu
kila la kheri ridhiwani
Uko. Vizuri. Kaka. Mungu. Akuweke
mtoto WA baba yangu kikwete , umenena vema
Sala Daniel isadie basi yanga
Tutafutie mzamin yanga
unaongea point lkn uwongzi huupati ww mwenywe muuza madawa mzri tu
Ridhwani..Ndugu yangu...
Umeongea mambo mazito...yenye akili!
Hakika unastahili Uongozi..
Wewe ni nyayo za kipenzi chetu Jakaya Kikwete!
Wewe ni mzao wa CCM kweli kweli
Mola Akubariki..Akujalie mema...
Aminia
StormingFo HADI huyu ana busara na hekima kama baba yake big up sana
Safi
msomi ni msomi tu, mh, Rizone kaongea point, hili janga nitaratibu tu lisifananishwe na kutawanya machinga kariakoo ,
mi napita njia tu.
kweri wwe umefata yayo ya baba wetu
LIAR