VIJUE VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA YA NHIF

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 91

  • @MarthaHaule-eh3vw
    @MarthaHaule-eh3vw 26 днів тому +1

    Je muhusika alifariki inakuwaje?

  • @adammsanya4230
    @adammsanya4230 2 роки тому +5

    Habari.
    Nashauri kungekua na kifurushi cha familia inayoishi bila ndoa.

  • @gabrielmosha8928
    @gabrielmosha8928 2 роки тому +1

    ufafanuzi mzuri sana Hongera sana NHIF

  • @Shimdamian
    @Shimdamian Рік тому +3

    Kwenye TV naongea vema lakini ikifika utoaji huduma mnakuwa very complicated hakuna siku mmenikera Kama leo

  • @johnneema4476
    @johnneema4476 5 місяців тому +1

    Wapedwa naomba kujuwa kifurushi cha mama na mtoto Kwa mwaka kinagarimu kiasi gani please

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 7 місяців тому +1

    Kiukweli bima naomba mjitafakari upya bado sijapenda utoaji wenu wa huduma bcz kwanza kujisajili tu ni shidaa sana kila mtu anaongea lake pia malipo kwa hosp za prvt nichangamoto kubwa shirikisheni wadau mbali mbali ili muweze kupata mawazo mazurii.

  • @fatmaalmujhairu1977
    @fatmaalmujhairu1977 Рік тому

    Bei yakifurush chatt moja bei gan

  • @sasharamadhani8452
    @sasharamadhani8452 2 роки тому

    Asante NHIF nataka kujua ya familia shngap

  • @RamadhanSadick-y6l
    @RamadhanSadick-y6l 17 днів тому

    Jmn mtuwekee n namb tujue tunapataj hiz bima

  • @justineaugustino7166
    @justineaugustino7166 11 місяців тому

    mimi ni mstafu nataka bima bira ndoa naomba maelekezo

  • @aminasaid1655
    @aminasaid1655 Рік тому +3

    Namba ya huduma kwa wateja haipatikani

  • @fatmaalmujhairu1977
    @fatmaalmujhairu1977 Рік тому

    Tusaidien ss wazaz tulokua njee tunataka kujui bei zavifurush zawatt

  • @MerryMatata
    @MerryMatata 2 місяці тому

    Je watoto azia miaka 0 . Hadi 17 nisaidie

  • @RizikiAbedi-u4w
    @RizikiAbedi-u4w 9 місяців тому

    Mimi nipo Pemba office yenu Iko wapi?

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 7 місяців тому

    Ishaurini serikali itenge chanzo cha uhakika cha mapato ili kiweze kusaidia hizo gharama zinazo wazidi kwamfano mapato yoote ya mbuga kama ya serengeti yasingeguswa ili yaingie kwenye huu mfuko ili karibia kila m tz apate huduma nzurii.

  • @allmsuya2305
    @allmsuya2305 11 місяців тому

    Vip kuhusu bima ya kikund

  • @hassanjuma1837
    @hassanjuma1837 Рік тому

    Nataka kifurishi mnapatikana wapi nipeni namba

  • @estherkisamo1351
    @estherkisamo1351 11 місяців тому

    Huo uchangiaji ni kila mwezi au kwa mwaka. Na pia mbona hamnaweka sehemu ya mtoto tu!maana kunawatoto wengine hawana wazazi inakuaje

  • @NgiliniMohamedi
    @NgiliniMohamedi 2 місяці тому

    Bima ya mtoto inapatikanaje na bei gani

  • @ashamfinanga727
    @ashamfinanga727 7 місяців тому

    Kwa nini mmeondoa bima ya watoto wachanga miaka 0-5?

  • @bilayamakinda7006
    @bilayamakinda7006 Рік тому

    Mimi nahitaji kujua ikiwa nahitaji bima ya mtu mmoja kuanzia miaka 40 maelekezo

  • @ernestrodgersmalimbwi7328
    @ernestrodgersmalimbwi7328 7 місяців тому +1

    Iko very shallow, mambo mengi hamjaeleza.hizo gharama za vifurushi za 250000 ni kwa mtu mmoja au kwa alio ambatana nao (najali) .gharama ya hivyo vingine hamjaeleza ,mko kama mna tuzugazuga tu, jipangeni mtuelimishe vizuri...

  • @MaengelaDomician
    @MaengelaDomician 6 місяців тому

    Unapokuwa na bima ya afya ukaugua na kulanzwa nakuongezewa damu inabindi uchangie tena damu

  • @venusbby
    @venusbby 2 роки тому

    Nmeona kwenye website mmeandika kwamba mtu anaweza kulipa kwa kudunduliza kupitia benki washirika, hapa malipo yanagawanywa vipi?

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      Hapa unapewa kipindi cha mwaka mmoja na unaweza kulipa kwa kipindi cha miezi mitatu mitatu.

  • @IrinNimrodi
    @IrinNimrodi Рік тому

    Je mtu mwenye bima akishindwa kuilipa iyo gerama inakuaje

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Рік тому +1

    Pia ukikata bima ya mtoto pekee kadi inapatikana baada ya mda gani mana inahitajika kwaajiri ya shuleni mtoto anakaa bwenini hivyo anapaswa kuwa na bima ya afya, so je ikikatwa kadi inapatikana ndani ya mda gani ama mnatoa kitu gani cha kuonyesha itapatikana ndani ya siku kadhaa

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      Inapatikana ndani ya siku 90, utapata ujumbe kwenye simu yako ya mkononi

  • @venusmakbel4679
    @venusmakbel4679 Рік тому

    Leo nimeenda kupima damu naambiwa vipimo vingine havipo ktk bima

  • @djmsafii9424
    @djmsafii9424 3 місяці тому

    Mna patikana wap naitaji bima

  • @leylamark4483
    @leylamark4483 2 роки тому

    Jaman naulzia nikishakata bima huwa naweza kutumia baada ya muda gan???

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      Ukishakata bima unaweza anza kutumia baada ya mwezi mmoja,

  • @swaumujafary1345
    @swaumujafary1345 2 роки тому

    Naomba vingezo vya bima ya afya

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      Unatakiwa kuwa na namba ya kitambulisho cha Taifa NIDA

  • @zainabumohamedi9015
    @zainabumohamedi9015 Рік тому

    Naomba kufahamu kama nikijiunga, bima yangu inaanza kufanya kazi kwa muda gani?

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      Vifurushi inaanza kufanya kazi baada ya siku 30 toka umefanya malipo, na kwa Toto Afya kadi inafanya kazi baada ya siku 90 toka siku uliyofanya malipo

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 2 роки тому

    Mnapatikana wapi

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      tuna ofisi kwenye Mikoa yote Tanzania bara na zanzibar, piga namba 199 kwa msaada zaidi

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 2 роки тому

    Mueke na namba

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      piga namba ya 199 kituo cha huduma kwa wateja, namba hii ni bure

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Рік тому

    Je kwa wilaya ya ubungo ofisi zenu zinapatikana wapi

  • @NamatovuLumama
    @NamatovuLumama 5 місяців тому

    Samahani kifurushi cha timiz afya.beigani

  • @irenehusein1316
    @irenehusein1316 Рік тому +1

    Shida yangu kulipia bima ya mwanangu muda umefika nafanyaje

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      Unaweza fika kwenye Ofisi zilizo karibu nawe au ukapiga *152*00# na kufuata malekezo ya namna ya kulipia

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      Utapata control namba utakayoilipia ili upate uhakika wa matibabu

  • @marylusinde6717
    @marylusinde6717 2 роки тому +1

    Vp bima ya miaka kumi ni bei gani??

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      karibu, unaamanisha bima ya mtu mwenye umri wa miaka kumi au kipindi cha miaka kumi, naomba ufafanue

    • @marylusinde6717
      @marylusinde6717 2 роки тому

      @@nhifonlinetv5525 na maanisha kipindi cha miaka kumi inakuwaje gharama zake kwa mtu mmoja

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      @@marylusinde6717huwa inalipiwa kwa mwaka , yaani kila mwaka unahuisha uanachama wako, lakini pia unaweza kupiga namba ya kituo cha huduma kwa wateja 199 bure kwa maelezo zaidi.

  • @stevinmgendo2800
    @stevinmgendo2800 Рік тому

    Vifulushi vya Voda nitavipateje

  • @Shimdamian
    @Shimdamian Рік тому

    mnakera mko very complicated

  • @stellahbenard2475
    @stellahbenard2475 2 роки тому

    Je ukikata bima tayar inatumika Kwa miaka mingap

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      kila mwaka unalipia kulingana na kiwango cha kifurushi ulichochagua

  • @salhaatwaha7452
    @salhaatwaha7452 2 роки тому

    Hbr naomba maelekezo ya kifushi cha laki2

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 2 роки тому

    Naomba kuuliza bima kubwa ambayo naweza kuingia Agakani,TMJ, bila ya rufaa nikifuurush gn na Cha bei gn?

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      huduma za Bima ya Afya/ vifurushi vya bima zinaanzia ngazi ya chini kwenda juu, mfano unaanzia kituo cha afya au hospitali ya wilaya na kadhalika.

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 2 роки тому

      @@nhifonlinetv5525 mm naitaji kubwa niipi

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      @@zuwenasalim2794 hapa unachagua kifurushi kati ya najali afya, wekeza afya au timiza afya, lakini pia unaangalia na upo katika umri gani kwa sababu virushi vimegawanywa kwa umri kuanzia miaka 18 -35, miaka 36-59 na miaka 60 nakuendelea.

    • @Until835
      @Until835 4 місяці тому

      ​@@zuwenasalim2794pia utaangalia kama ni wewe na mtoto au mweza . Utachagua humo

    • @Hedaya-rl4xb
      @Hedaya-rl4xb 2 дні тому

      Natamani namie nijue garama yake kama nitaweza nikipate ili nikamuone doc wa meno

  • @yusufsalumu9505
    @yusufsalumu9505 Рік тому

    Tunataka mawasilionoo ilii tujuwe tunajiungaje tunahitaji

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 2 роки тому

    Dada ang anataka bima ya afya

  • @kelyne861
    @kelyne861 Рік тому

    ?????????

  • @emmanuelyoramu7804
    @emmanuelyoramu7804 2 роки тому

    Na kama huna kitambulisho cha nida inakuwajee

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      Unaweza kufika katika ofisi za mwenyekiti wa mtaa kujaza taarifa zako, na kupata utaratibu wa kupatiwa kitambulisho au namba ya NIDA baada ya kusajiliwa.

    • @agnesschao5699
      @agnesschao5699 2 роки тому

      Mambo ya rufaa ndo yananichoshaaaa

  • @ramsdenjames9782
    @ramsdenjames9782 2 роки тому

    Kama mzazi anataka kumlipia bima mtoto wa miaka 7 peke yake utaratibu upoje

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому +3

      gharama yake ni 50,400 kwa mwaka,
      passport size 1
      kitambulisho cha kuzaliwa
      kadi itakua tayari kwa matumizi baada ya siku 90
      NIDA ya mzazi

    • @MatildaFrank-bp5oq
      @MatildaFrank-bp5oq 2 місяці тому

      Kumlipia bima mtoto wa miaka 13 ni sh ngapi?.

  • @marylusinde6717
    @marylusinde6717 2 роки тому

    Bima ya mmoja mtu mzima ya miaka kumi inakuwaje na gharama zake???

  • @leylamark4483
    @leylamark4483 2 роки тому +1

    Jaman naulzia tu ukikata bima hyo ya NHIF inakaa muda gan kutumika

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      bima hii inatumika kwa muda wa mwaka mmoja, na mwanachama anahuisha uanachama wake kila mwaka

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 Рік тому

      @@nhifonlinetv5525 Kwa mwaka kuhuwisha ni sh.ngapi?

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      Kuhuisha inategemea na aina ya kifurushi ulichochagua kujiunga nacho

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 Рік тому

      @@nhifonlinetv5525 Sory.Unaweza nipa hata mfano.Ili kuinuliwa ndani ya Moyo wangu.Tafadhali.

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      @@saimonijonas1471 gharama za kujiunga kwa mwaka ni kuanzia 192,000 kwa mwaka

  • @assilaibra4563
    @assilaibra4563 2 роки тому +1

    Nahitaji Bima Ya Mtu Mmoja Wa Miaka 60

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  2 роки тому

      piga 199 kwa maelezo zaidi au fika katika ofisi za Mfuko za mkoa uliopo.

  • @florayohana4620
    @florayohana4620 Рік тому

    Mimi ni kuanzia miaka 36 adi 59 naomba kujua Bei yangu nmjasiliamali mdogo

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      Unachagua kifurushi kati ya Najali 240,000 kwa mtu mmoja, Wekeza Afya 444,000 na Timiza afya 612,000 kwa mwaka.

    • @IrinNimrodi
      @IrinNimrodi Рік тому

      Je mtu akiwa na bima tyr na akashindwa kulipa iyo garama mnamfanyaje

  • @GoldenMxang-je4rn
    @GoldenMxang-je4rn Рік тому

    Mnapatikana wapi mtu akitka kujiunga

    • @nhifonlinetv5525
      @nhifonlinetv5525  Рік тому

      tunapatikana kwenye Mikoa yote Tanzania Bara naZanzibar, au piga simu ya bure 199 kwa msaada zaidi. karibu