JE USAJILI WATOTO KWENYE BIMA YA AFYA UMEONDOLEWA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 7

  • @EdwardSamwel-c7l
    @EdwardSamwel-c7l 7 місяців тому +2

    Huyo mama ni muongo anajibu kisiasa, wataingiaje wakati hakuna barua ya mwongozo wowote shule zamisingi huko vijijini. Ukienda shuleni mwl anakwambia hatuna taarifa hizo hii ikoje. Aache siasia

  • @AndrewMwenisongole-c9s
    @AndrewMwenisongole-c9s Рік тому +2

    Mimi ninawatoto wa 3 ivyo viturushi mlivyoweka vya familia garama ipojuuu Sana 720,000 Kwa mwaka Mimi kipatochangu nidogo akiwezi kumudu kulipa iyoela, maoniyangu mrudishie tuu iyoelfu 50400 kwakila mtoto hapo wengi tutaweza kulipia

  • @NasraMasoud-o2z
    @NasraMasoud-o2z 9 місяців тому +1

    Wengine hawasomi private wanasoma st kayumba inakuwaje jaman mbona mnatuumiza

  • @paschalliving657
    @paschalliving657 8 місяців тому +1

    Rudishen utaratibu wa zaman Wazaz wengine vipato vdg

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Рік тому +1

    Kuna Shule Azitoi huduma hizo kwa Wanafunzi, na Unakuta huyo Mtoto hana Wazazi afanyeje Ili Apate Bima ya Afya

  • @sophiakilindo1189
    @sophiakilindo1189 11 місяців тому +1

    Kama uyo mtoto ana mzazi angalieni jamani nyinyi wenzetu mnauwakika wa matibabu amuwezi kujali kabisa afya ya watoto. Akumbukwe baba wa watanzania

  • @AndrewMwenisongole-c9s
    @AndrewMwenisongole-c9s Рік тому +1

    Kama mtoto anamzazi halafu shule anayosoma aijajiunga na mfumo wa nhif hapo inakuaje, jamani rudisheni tuuu huoutaratibu wa zamani