RECAP: DIAMOND amenunua NDEGE yake?? ALIKIBA alishushwa JUKWAANI kisa DIAMOND, level za WIZKID,BURNA
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Diamond next level 🔥🔥🔥🔥🔥
Bien compris Mr Elmando 🇨🇩🔥
Nimeshasemaga ni kosa kubwa sana hapa duniani kukilinganisha kibakuli na Simba la Masimba Dangote 🔥
Simba ni Mnyama mwenye ufalme wake porini
Simba choko😅😅😅😂😂😂
Naona unajichekesha lkn unajua wasi Simba's ndiye mfalme na sio kibakuli 😂😂😂
@@chinemaentertainment1110🫴🫴🫴😤😤
@@stanslausjohn8791jisemeee wewe mfalme kwako na ndugu zako … sisi atumtambui , afu sio lazima mawazo yako au ushabiki wako ulazimishe kwa watu wengine … wewe sema kwa wewe unameona simba ni mfalme wa bongo lakini wengine sisi hatuoni ivo tunaona kiba ndo mfalme wa bongo flava na bado yupo sana
Wa bongo daah eti kibakuli 😂😂😂 from Drc Congo Lubumbashi na wakubali Sana watu wa Tz 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kwanini Ammwambii Ukweli Kiba😂😂😂😂😂
Nmejua wew n chawa
kwely bro,,
Broo uko sahihi sana ,wabongo wabishi tuu lakn Simba ni kiboko yao alikiba underground kwa simba
Sasa huo mwimbo Una uzuri upi if not only performing where mama Samia is?!..sasa rais akitoka kwenye mamlaka si mwimbo kwisha pia.
simba Diamond PLATUNAMZ ❤❤
Diamond plantnum ndio msasani pekee hapa Tanzania anayedhaniwa na serikali
Kiba pesa alisha chukua sio 😂😂😂😂😂mnapiga kelele nyinyi mtaani wenzenu wamesha lipwa
@@iddsimba3849 ona sasa wanaomfagilia mondi adi lugha nyepesi kuandika pia inawapa shida
Broo elmando nakuelewa wabongo wengi najua hawato kuelewa big up sana broo I wish siku nikuone live
Kikubwa ni ratiba ndizo ambazo zimevuruga, ila kiuhalsia awez fika rais uku wengine wanaendelea na vituvyao... Ukwel king ni king
Mondo ndo master minder na ndo anaestaili kuwa namba moja tucfoce akunaga moja mbili
Diamond platinumz is a super star 💫💫
Hapo ni ukweli ❤❤❤❤
Simbaa❤❤❤
Mimi niliona walisema picha ime bebwa wanarudiliya picha siyo kama walitowa alikiba sababu ya diamond iyo uongo kabisa
Ali kiba nyinyi ndio mwamuona mkubwa ila kihalisia Ali kiba niwakawaida sanaa kama hamjui jamaa
Alikiba sio mdogo alikiba ni mkubwa sana, kaanza mziki kitambo kizaz chake kimeshapotea ila still yeye anakomaa na new generation ni jambo kubwa sana sio Kila mtu anaweza maana mpk Leo wakitajwa watu nayeye anatajwa inatakiwa uheshimu sana icho kitu
Wote Sawa hakuna Msanii Mkubwa wote Locals tu
Wewe ni mlevi 😅😅
@@SundayMbatia-hr8qpdully, temba, chege, tid, madee, kwan wao walianza lin mzki😢😢😢😢
Na wewe ni wa juuu sana
Uko good for uchambuzi
Brother we mlelando mbishi
Mkuu onge ukweli 😂😂😂
Uzuri Kiba mmeanza kumuongelea miaka kumi iliyopita mpaka leo mnamuongelea na mchizi anaendeleaa kupaa tuuu ivi amuoni mna matatizooo 😂😂….. kwanini umsimuongelee Mr nice , dudubaya , TID …. Mkapimwe akili , kama angekuwa hana deal msingekuwa mnamuongelea …. Hahaha kawashika pabaya sana na bado atawepelekea moto kwenye game mpka ndugu yenu Dangote awe mzee 😂
Ww mnafiki chawa wa wcb Mimi nkujuwa
Wasini wot wa bongo wanafiki tu
Ww hunaga points kabisa
Nice
Acha tu nkwambie ukwel .....kuhus ndege ni ya kwake kwelli
Simba la masimba ni hatari sana.
Alikiba niwakaida sana sema tu watu wanampamba hawataki kumwambia ukweri
Wewe nimekwabiya punguza maneno kaka asha
Huwa unaongea fact kweli
Chawa yupo kazini
Kwanja iyo wimbo wa DIAMOND kachukuwa wimbo wa rayvanni ame fanya ujanja kubadili melody tu? Diamond haja fanya kipia wala kizuri
Mwambien ukwel kiba maji namafuta yakitengana ndo kinachoonekna😂😂😂😂
Huyu jamaa nimemskiza sana interview zake nikama chawa wa Diamond Alafu usisahau mwisho wa yote futi ni Sita chini kila mtu ataonja udongo inauwezekano mkubwa diamond ni mkubwa ila tutajuaje kaa anatumia nguvu za giza manaa toka nianze kunskia yy hashuki wala kupimzika yuko juu Tu 😂😂😂😂😂
😅😅😅
Uchawaaa tuuu😃🤔🤔😃
Sawa unafanya nini uku
Simba ndio baba yaoo 🔥🔥
Nilikuwa nakusikiliza vizuri tu mwishoni umekuja kuharibu kumbe ni chawa yani saivi kila mtu hafati fact lazima aweke na uchawa ili kazi iende dah😂😂😂
SERIKALI IMESHINDWA KUTOA EQUAL TREATMENT KWA WASANII NA HAWAKU M RESPECT KING . SASA KAMA VIPIII TUTAMPIGIA KURA LISU COZ WAMEZINGUA
Umechelewa
Point
Hajanunua private jet!
Mimi ni msanii lakını ukimuiga mondi lisaa limoja ushafilisika
Watanzania wanapenda kuzusha mambo na kukuza mambo
Sas Simba amewazd mpk kuingiz mapato serkaln kwnn wasishushwe
Ndugu mwandishi, jamaa anataka toka kimataifa kisha awe na ndege asitangaze....si anashusha brand yake...
Tuwekee episode ya saba mpk ya mwisho 😢😢😢😢😊
Yaaani iii nyimbooo diamond kawapiga tatu bila 3-0 alikiba na harmonize kachukua nafasi ya johhn kombaaaa nyimbo za CCm
Kila msanii kspewa heshima yake
CCM ITAPIGIWA KURA NA TEAM MONDII TEAM KIBA HATUIPIGIII KURA COZ WAME M DISRESPECT KING KIBA
Kanye ngazi uko ulale 🫴🫴🫴🫴😤😤😤😤
Kama hiyo ndo Private Jet thwn amejishusha chini sana.Hiyo sio Jet. Ni kipepeo 😂😂😂 . Vile vipepeo vinavyotua kwenye Airstrips na sio Airport.Angalau sasa amerudi nyumbani kwa kuimba wimbo wa original Bongo fleva.
Ya kwako iko wapi broo itumike kama mfano
Kwani ww una hata kunguru jet 😂😂😂, roho zingine jamani huwa zinasubiri tu moto kwa husda zisizo na misingi
Wewe unayo au msanii wako anayo
Nakuchek marambili kisha nakijibu kwenu mnanini
Ukute wewe hata baiskel hauna eroooo
Kaka vitu vingine usiwe unakurupuka kuongea. Hivi unafikiri kumiliki ndege ni swala la mchezo.
Diamond platform yake tu ndo inambeba ila kuimba hajuiiii.. king ndo msanii pekee anayeijua sanaa yake..
Anakaa chin na kuandika nyimbo na sio kuropoka kama diamond
Simbaa the best
Wewe sasa umeanza kuvuta bangi diamond anunue ndege akose kuambia watu we thubutu
Na kama iko? Wewe Kula makande huko
Iko wpi 😅
Weye ni team Mond punguza jasba
Acha uchawa
Tatizo lako ni uchawa wako kwa tunavyo mjua diamond anunue ndege asipost
Tanzania tubadilke,, Ali kiba kimzk Yuko chin sana,, Bora mngesema harmonize kiba cyo mbunifu
Hahahaha tatizo ujui mziki … kwanza ubunifu unaujua wewe … ila sawa kwasababu ni mawazo yako sio mbaya …. Ila statement haina ukweli hata kwa asilimia moja na iyo ni kubwa mno
ACHA UMAMAA WA KUMPAKA MAFUTA.
CHAWA kapata pakusemea
Diamond amekua mkubwa had matako yamenenepa😂
Nacheka sn😂😂
Ila uyu jamaa bila story ya diamond Ana story nyngne ya kutuadisia
Mond ni balaa
Diamond ni msanni mkubwa kuliko alikiba ndo anafanya vikubwa
UNAONGEA KM UNAHARA
Kaka kila cku unaambiwa fuatilia habari vzur Fanya research kwanza ilikua wakat wa kutoka ndio akaambiwa diamond mtoe raisi wakat huo alikiba yupo stagini
Mbona comment yako imejifunga kabsa 😂😂😂😂
Anakodisha hana hela ya kununua
unauhakika? Diamond uwezo wa kununua private jet anao
Hivi huyu jamaa anafirwaga?
HII RECAP ilikua inazungumzia nini????
Kaka wew unamchukia Alikiba kiukweli nigekuwa mim ni Alikiba nigewatuwa wanasheria wangu wakupige marufuku kunizungumzia kwakuwa hunajema wew
Alikiba amebakisha uligend 2 ila hawezi kucompete na Diamond
Very true. Huyu ndiye bado anamuita msanii lakini Sisi tunamuona mkongwe
Zuchu
Acha kufananisha upuzi kwan wewe unaonakuwa mondi na huyo kiba wakosawa kweri au umekosa rakuongea usifananishe simba diamond na takataka hizo 🎉🎉
By the way huwa unalipwa pesa ngapi na wasafi wewe ngombe
Kumbe wewe mshamba kabisa,ni wimbo gani huo