Darassa Ft. Winnie - Nishike Mkono (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 24 лис 2015
- Song: Nishike Mkono | Artist: Darassa Ft. Winnie
Darassa Other Video Songs:
Hasara Roho: bit.ly/Hasara_Roho
Muziki: goo.gl/IEJSG9
Too Much: goo.gl/zyynXL
Kama Utanipenda: goo.gl/MOhOYx
Heya Haye: goo.gl/kywYLi
Sikati Tamaa: goo.gl/478PZ9
Tunaishi: goo.gl/xgfsPB
Sio Mbaya: goo.gl/BK82mg
SUBSCRIBE Mziiki For Best African Music | bit.ly/MziikiTube
Like us on Facebook: / mziiki
Follow us on Twitter: / mziiki
Circle us on G+: plus.google.com/+Mziikiapp
Instagram: / mziiki
Stream music free at our official Website: www.mziiki.com
Visit MziikiTube channel for unlimited entertainment: / mziikitube
Watch #Darassa latest music video "Hasara Raho" ► bit.ly/2pVSRFo
Darassa @Umepotea kaka wapi nyimbo zingine??
Kwel mi nakuunga mguu
😋😋😋😍😍😍
Nilikujua ju ya my late bro hii ngoma kila siku hunipa nguvu ya kila siku kuna kitu ina Miss nigependa kukua kwa show yako ata kama nimoja uki kuja kenya just ku keep my bro dream
Huu wimbo back in time uli ni inspire kukaza kutoka unknown to known. Big up bro
Niko hapa hadi leo 2024 na still bado hii massage ya huu wimbo ni very strong
'Babaake na athumani alikufa mvuvi wa pweza, wana utajiri wa imani maskini wa kifedha'
Damn, ndo mwanzo naiskiza bonge hili la hiti 2024! Moto sana Darassa 🔥 🔥 🔥
#Bado 2024 tuko nayo gonga like kama tupo pamoja tz🇹🇿🇹🇿💔💔💔
Anyone in 2024, I miss those days
Nikiangalia hii ngoma nakumbuka mbali wangapi 2023😢😢😢 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2023 kama upo nayo unaisikiliza gonga like hapa
Mwili kama una vidonda,ukinigusa tu naumia,😢 kichwani mizigo wa dhambi gunia kw magunia, dunia sinia pakua unachoweza..love from kenya 🇰🇪
Nimekuja hapa baada parachichi FM ya dullah the king kunikumbusha way back🔥🔥🙌
2024! ! Anyone?
Here we go
2023 and forever listening. Big up darasa
Ngoma zako Zina zidi kutupa speed ya ku hustle . Aminia Darasa .🔥no bady see me cry
Kama kuna nyimbo zako hua napenda kuziskiliza hiii hua naipenda snaaaa
Unajikuta uko peke yako Giza kubwa kwenye Mtaa, huoni ndugu wala jamaa uliokua nao Jana Bar 😞
Mwili umechoka, naforce tu kuendelea 😩
Dunia sinia, pakua unachoweza 😩
Life likuchape halafu unasikiliza hii ngoma,machozi kutoka ni uhakika😢
Bro!! Rudi huku bana🙏 huu ndio mziki wako.hii nyimbo ilikua inanitoa machoz kila nilipokua naisikiliza. Hili song litaishi milele n ngoma pekee nayoikubari katika songs zako zote .
Hello people !! Here again 2021 we show love to our dude Darasa respect & much love❤
Sometimes tunaishi nje ya Malengo tuliyojiwekea. Ninatamani kuwa Mtoto kibaya haiwezi kuwa, Usitamani viatu vyangu ukikivaa hutembei ✊
Hii verse kali sana
@@TheAlesry mnoooo 💞✊
bado naiangalia sana hii video kuanzia mistar,beat,chorus..na video vyote vipo lite.,,.usipotoka maisha yanakutokea....CMG forever..
Ngoma sichoki kuiskiliza👏👏👏
unaweza kukuta unayemuamini ndiye anayekuwekea sumu...hawana alama binadamu anayekuja kukuhukumu
Baada ya Miaka 5 Mbele, Wini anampa Featuring Darassa kwenye ngoma inayoitwa 'I DO'... What a Legend..! Marvelous..! 🔥🔥
Legends never die🔥🔥🔥
2022 Darassa kwenye hii ngoma uliwaza nini bro umetisha 💪💪👍
Hi ngoma naielewa sanaaaa
Ngoma kaliii ,nasikilizia Leo siku nzma
Huyu winnie nampenda sana , sai na ADO ndio ananiumiza roho, yani darassa alimfanya nikamjua...sai majirani wananiambia wanakumbuka nikimsifia akipiga hii ngoma.. i wish imfikie
Ado na Sai ndiyo kina nani hao Mkuu?
Napataga mawazo chanya kutoka kwa darasa kwer kioo cha jamii
Darasa na Winnie walitulia sana kutengeneza hili goma 🔥💥🏆🤟🏽
DARASA unaweza komaa
Nan mwingne anaangalia hii video mpka leo
Muziki imenifanya nianze kuzitafuta ngoma zote za darassa
paul swai Mimi mna naipnda sna
Fadhila Ramadhan Hahaha acha nipige chabo
Fatma Jambia naomba nitafute wat sap. +968 9719 3263
nishike mkono usiniache habibty
Maji yakifika shingoni ndo tunakumbukaga dua😢
2020? Anyone!
Here we are
And what about 2022,April 7th
Am here ✌✌💪💪💪
Here i am 2022
2022 anyone
Nilijua utatusua siku moja.big love class
Milele unahit na utahit.
Ngoma Kali noma Sana ila jamaa hujawahi kuniangusha kwenye ma song
Hii nyimbo nikiisikiliza huwa siichoki na inanifanya nataka kulia.............. Drasa unajua
2023 still here!!!
Darassa this was 🔥🔥🔥
Dah darasa huku ndio kwako nice song
wimbo huu utainuka hivi karibuni.....'muziki' itaziinua zote hizi my brother
khaswaaaaaaa
its a blessing
here still 29/8/2021 darassa the best
ikiwa siku mbaya ndo masaa hayasogei
Hazina iliyojificha sasa imefichuka!
Umetoka mbali sna darasa mpka kwenye "muziki" kwl kila kinawezekana ni jambo la kumuomba mungu
Hii nyimbo itaishi milele
This song remind much about 2012...used to be anthem back then.
2022 still the same feeling Dope hit..
Winnie yuko wapi?
Where is this Dude... We miss his Music a lot..
this song right here got me out of depression
Wimbo wangu pendwa wakati wote🎉🎉
What a legend.......viva Darasa
Nani anatazama hii video mpka leo ❤️❤️❤️
kaza babu game umeiweza hii
Nipo kwenye naangalia kati ya goma zangu pendwa za hip-hop
Mwili umechoka naforce tu kuendelea, Mpaka naogopa wapi naenda kutokea. Hata nikiokoka nani ataniletea, nisipotoka Maisha yananitokea 😒
Wimbo mzuri sana jamani. Sio kama zile za kina diamond hazieleweki ila Nyimbo hii ni real life ambayo wengi tupo nayo 😍💞🤩
Kwel Mi nakunga mguu
Daah huu wimbo sijawahi acha kuupenda
Umeipiga mwaka gani bro darasa mkali....🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2013
2012 hii Ngoma ndo ilitoka
december 2020 bado naiskiliza gonga like kama unaikubali kam mim.👍
Umeniwahi kidogo
2022 still the taste is dope👌
Damn! Dude killed it!
Thanks for this peace of art...Inanipa nguvu ya kutokukata tamaa..Asante
Nomaaaa
we jamaa cjaona kama ww bongo
still my favourite till today.
Duh hii nyimbo ni so powerful Wallah.
Nakumbuka mbaliiiiiiiiiiiiiii
mungu nishike mkono nobody is on myside congrats Darasa nyimbo tamu hiyo
02.06.2020 who watch it
Like 👊🏾
Upo gud san class ur real artist! D knob
Wanaomdiss darassa hawamjui vizur ata wakiandka jina hawawek double s...king of all times
Hili goma lanikumbusha nikiwa form six pale tanga tech....lilikuwa linatumika wakati wa kusolve physics ya Mr masiku
Watu wasingida gonga like
darass tengeza nyimbi inhine with winnie
Dah...nmekumbuka nikiwa katavi mpanda Sina kazi.... no body see me cry
Bonge Ngoma siku zote
Shike mkono eeh mora wangu 🙏🙏 darasa big up sana mchizi wangu pamoja 2022
Good music stay forever.
Bonge moja ya chros na wimbo matata sana, I am your forever fan
Fiti bro
Mimi hapa
nakukubali 👏👏
My best song forever,this song give me strength ,hope
Nyimbo pendwa all time kwangu
Ngoma kali
hizi nyimbo nakumbuka nipo makambako mwaka 2011 sielewi na mwanangu beka dah
Way back ❤❤❤❤ time is flying now it's 2024 🎉
leo march 2021 nmeichek tena hii ngoma kari san respect sana kaka darasa
Hii ngoma Nishike Mkono na Sikati Tamaa ndio ngoma zangu bora kwa Darasa
Uko kama mimi mzee Real Recognise Real
Lifts up my spirit whenever I'm feeling low
nakukubal bro
Hold my hand ooh my Lord
Namkubal sana darasa
2024 still love this song ❤️
Nishike mkono.🎉🎉
Nakupenda sana darasa
30th August 2020, still watching this goodsong
This music lives on
Swahili to the world...
#NishikeMkono...
ThumbUp7thJune2019.....
2024 na bado ngoma ni firee