Padre Dkt Kamugisha:"Asiyeweza anadharau"/Kisasi muachie Mungu/Ukitukanwa potezea" Dhamiri inalelewa
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Ni mfululizo wa Mafundisho ya kila Juma kutoka kwa Paroko wa Parokia ya Mt Yohana Muzeyi Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha , mafundisho haya hutolewa kila juma katika kanisa kuu la Bukoba Jimbo Katoliki la Bukoba. Karibu ufuatilie sehemu hii ya Mada inayohusu 'NENO LA PILI KWA YESU MSALABANI'' hii ni sehemu ya pili ya mafundisho haya.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Nabarikiwa sana kwa mahubiri yanayoufanya moyo wangu uyawaze yaliyo yakimungu
Mungu akupe umri mrefu father uzidi kuinjilisha
Tumsifu yesu kristor milele amina
Asante kwa tafakari
Baba mafundisho yako yanatia nguvu ninapoingia katika magumu ya kukata tamaa naimarishwa na mafundisho yako
Karibu jimbo la Moshi parokia ya Lowerere
Baba mungu aendee kukubariki sana mafundisho yako yaninigusa sana
Mafunzo yako baba Ni dila ya maisha yangu Mungu akuzidishie nguvu uzidi kunifunza🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amin
Amina nimebarikiwa naneno
Baba mungu akupe maisha marefu ila matusi mengine yanaumiza hasa mtu akutukanie wazazi wako inauma sana hasa ukiangalia hayupo katika ulimwengu huu
Tyk baba,nabarikiwa Sana na mafundisho yako, mungu azidi kukupa maisha marefu na afya njema.dom wa dsm
God bless you father 🙏 lhave learn something
Amina padre
Oooh Mungu akubariki padri ninapata faraja kwa mafundisho yako, Damu ya Yesu ikufunike baba!!
Dominka ya 21
Proscovia Patrick nipo napotezea
Mtumishi tusi linaumiza sijui kams mtu atapotezea na hasa Wanaumia
Kanisa zuri ila watu bado wako mitaani hawataki kusali kama wazungu wa Marekani na canada
Amina
Amina
Amina
Amina