Mchungaji Ubarikiwe. Jua kuwa wakati wakuu wa majambazi walipo mtaka kumsurubisha Yesu, walisema amejiita mwana wa Mungu. Na Chimbi na Mamluki Binti wa kizimkazi wanatangatanga, Watayafanya yote HAKI ITABAKI KUITWA HAKI USIOGOPE.
Amina,umeongea vyema mchungaji unaejitambua.Mungu azidi kukulinda kila hatua ya maisha yako mpaka Tanganyika ikombolewe! Wachungaji wengine msiwe machawa na vibaraka wa shetani ccm! Igeni mfano wa huyu mchungaji Maximillian. Wachungaji wengine nao amkeni mtetee Taifa na haki kwa wananchi ili tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Msipokemea uovu kwa Tamaa zenu za kuhongwa vipande vya fedha mnaacha Taifa linauzwa na rasilimali zinauzwa, mtalaaniwa ninyi na huduma zenu za uchungaji Mungu ataziua!
Mungu wa mbinguni awabariki wote wanachadema wapiganji,hii nchi ni ya usawa wote!!!,si ya Ccm peke yake wala si ya chadema peke yake,ila kwa Sasa kunatabaka sn maana wakiongea Ccm wanaona km wenyewe wk sahihi kufanya lolote,bali wakiongea wa chadema Ccm wanaona hawako sahihi wanachadema kuongea,km wote ni watoto wa baba mmoja hizo tabaka Wana Ccm ni za nini?ni kwa nini tusiijenge nchi yetu na kuwa ni wamoja,na mkaagaria wapi mlikosea Wana Ccm,kuliko hivi ilivyo Sasa tunakoelekea sivyo!!!yasikilizeni mawazo ya wananchi wt myafanyiye kazi msiyapuuze,sisi watanganyika ni wa pole sn lakini tunakoelekea?
Huyu si mtumishi wa mungu bali kanunuliwa tyu hamna chochote mungu akusaidie ufahamu kusudi lake duniani CCM milele Mama mlezi wa wana yuko kazini 2025 mitano tena kwake
Wachochezi wakubwa Sana badala ya umeleza sera za Chadema mkishika Inch mtaboresha nn mnakuwa kama wambea hamnajipya kila siku Kulalamika na ww asikofu Gani unaeneza uzushi ktk hadhra wewe na hiyo unaye mtaja wote wahuni tu
Ushuru kodi hakuna nchi inavyotaka kuendelea isilipe kodi hata Marekani pekee kila mtu analipa kodi hiyo yote ni uzembe tuone kana mboe kama atawagawia pesa kumbuka lisu alisema atatoa mkoa awape mabeneru ili walipe deni la taifa mkumbuke hilo
Pigeni kazi watu wa Mungu, na Mungu atakubariki
Mchungaji Ubarikiwe. Jua kuwa wakati wakuu wa majambazi walipo mtaka kumsurubisha Yesu, walisema amejiita mwana wa Mungu. Na Chimbi na Mamluki Binti wa kizimkazi wanatangatanga, Watayafanya yote HAKI ITABAKI KUITWA HAKI
USIOGOPE.
Amina,umeongea vyema mchungaji unaejitambua.Mungu azidi kukulinda kila hatua ya maisha yako mpaka Tanganyika ikombolewe! Wachungaji wengine msiwe machawa na vibaraka wa shetani ccm! Igeni mfano wa huyu mchungaji Maximillian. Wachungaji wengine nao amkeni mtetee Taifa na haki kwa wananchi ili tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Msipokemea uovu kwa Tamaa zenu za kuhongwa vipande vya fedha mnaacha Taifa linauzwa na rasilimali zinauzwa, mtalaaniwa ninyi na huduma zenu za uchungaji Mungu ataziua!
Askofu uko vizuri, endelea kupiga spana hawana uwezo wa kampeni hawa
Amina baba askofu tuliona kitambo
Watu wa Mungu Msirudi Nyuma Endeleeni Kupiga Spana Mpaka CCM Waelewe Wajue Hawajui na Hawafai"
Nilikuwa sijui,kumbe watu wa kulipigania Taifa wapo tu.Hawa mbwa wa ccm mwaka huu watachamba wima.
Safi sana ...nchi hii ccm iwe mwisho kwanza huyo samia aipend Tanganyika maana ule mkataba wa bandari haufai..kwann zanzibar aipo
Et CCM mh Chama cha maajabu
Mungu wa mbinguni awabariki wote wanachadema wapiganji,hii nchi ni ya usawa wote!!!,si ya Ccm peke yake wala si ya chadema peke yake,ila kwa Sasa kunatabaka sn maana wakiongea Ccm wanaona km wenyewe wk sahihi kufanya lolote,bali wakiongea wa chadema Ccm wanaona hawako sahihi wanachadema kuongea,km wote ni watoto wa baba mmoja hizo tabaka Wana Ccm ni za nini?ni kwa nini tusiijenge nchi yetu na kuwa ni wamoja,na mkaagaria wapi mlikosea Wana Ccm,kuliko hivi ilivyo Sasa tunakoelekea sivyo!!!yasikilizeni mawazo ya wananchi wt myafanyiye kazi msiyapuuze,sisi watanganyika ni wa pole sn lakini tunakoelekea?
Huyu si mtumishi wa mungu bali kanunuliwa tyu hamna chochote mungu akusaidie ufahamu kusudi lake duniani CCM milele Mama mlezi wa wana yuko kazini 2025 mitano tena kwake
Sema pasta wamezoea kudandia ccm
Asikofu imara
Hata hivyo Mh, Asikofu Nchi imekuwa ya ovyo hasa makodi Rukuki lakini bado Hali yatu ndiyo inazidi kuwa mbaya zaidi
Pigieni kazi hawana lolote Hawa CCM
Asante Askofu
BARIKIWA
Huyu mwamba mwenye mkofia ndio muandishi wa habari nini?mbona haandiki kama anachora
Hahaaa, umeona🤣
😂😂😂😂
Ahaahaa! Nimecheka sana
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Pastor 🙏
Ccm .wajibu. .hoja la .sivyo
Matokeo .mttayaona
Acha hiyo 😂😂
Anaongeaga na Mungu
✌️✌️✌️✌️
Duuuh huyu kaongea na lisu akajua mungu
Et asikofu unajua maana ya asikofu vua kwanda anza siasa huna sera ya mtu mwenye akili akakuelewa makolo ndio wanakuelewa
Asante
Sisi tuliisha chochewa na matendo Yao waache woga
Watatuangamiza hawa ni wa baguzi wa dini.hii haikjbaliki kabisa. Hatutaki ibaguzi katika nchi yetu
Eleza sera za chadema si kuongea mambo ya ccm, mkishika dora mtatufanyia nn sisi wananchi
mchungaji waumini kanisani kwako wamegoma kutoa sadaka umekimbilia huko nako wameshaisha
Kuna bwana mmoja hapo kila saa camera inamuonyesha ana diary ana notes vitu sijajua inamaana gani!!!
Hii takataka imetokea wap?
Askofu uzungumze kwa sauti ingine hiyo ni sauti ya udikteta fikiria unayosema kabla ya kusungumza sorry
Yule polisi Hai aliyemwambia Mbowe hashindi mbona hawakumhoji?
Jembe na Nyundo ni silaha wakat anakula wali na hajui kazi ya jembe,anakalia sofa na hajui Kaz ya Nyundo 🤔
We kama unatakasiasa sema tu nabado mpaka usemeeeee
Miaka ya nyuma rais wa Nigeria aliwahi kumteua waziri marehemu
Acha uchoko ww utatolewa Malinda muda c mrefu
Serikali hii imetia aibu sana inateua mtu aliyefaliki 😅
I👨🏿🤝👨🏻👨🏿🤝👨🏻👁️😭📘📘💯
Chama cha😂 maaakofu chadema
Chadema Mmepotea Maaskofu Wamewaharibia Udini Umeonekana Mbona Mashehe Hatuwaoni kwenye Mikutano yenu
Wapo wengi ila wewe kwakuwa una usiccm ndo maana huwaoni
Hebu tujiridhishe neno l MUNGU linasemaje,kuhusu sifa za askofu.Je huyu ana sifa za kuwa Askofu?
Askofu chapa kazi wanaosema viongozi wa dini wasijihusishe na siasa mbona wakienda kupiga kula kula zao huwazikatai?
Ww niasikofu wachadema au wakanisa fanyeni kazi moja nasio mbili unamtumikia nani
Anamtumikia Dada yako!
Gwajima anafanya nini ccm?
Hawawezi jibu Hawa kenge wanajichanganya wenyewe! Huwa wanatawaza kabla hawanya Hawa!@@SeverinMagwaya
Kapike chakuka achana na hizi kazi si za vijana achia wanaume... hvi ndio mnakula kodi zetu kuleta wajinga kujibu ujinga kisa hela
@@yokoi3970 sasa ww sibora mjinga unasera gani ya mtu mwenye akili akuelewe wambie makolo wenzako
Ww ni askofu mjinga na mchawi huna lolote na rais Samia atashinda na utabaki domo wazi mavi ww
Mchungaji unaongea n mungu 😂
Mzima lkn ww
Kumbuka unaongea n wenye akili
Please tunakupenda ila tengua kauli hio
Ndio anaongea nae hata ww unaweza kuongea na Mungu wako. Acha ujinga
Wachochezi wakubwa Sana badala ya umeleza sera za Chadema mkishika Inch mtaboresha nn mnakuwa kama wambea hamnajipya kila siku Kulalamika na ww asikofu Gani unaeneza uzushi ktk hadhra wewe na hiyo unaye mtaja wote wahuni tu
CHAMA CHA MAASKOFU MTAFELI TU
Na ww ni chama cha nn mjinga ww
@@yokoi3970 CHAMA CHA WAPIGA DEBE TANZANIA MTAISHIA KUZURURA MTAANI TU
Unadanganya na unachochea ujinga uone uaskofu wako ni dini gani
Leo kula hela zetu karibuni itaisha. Mjinga ww who are you yy ni askofu
Umeshindwa kanisa utaweza siasa
Acha kutuletea uchawa tuuziwe bandari yetu halafu tu chekecheke
Wewe ndie marehem uliyeteuliwa nn😂😂😂
Anaweza kote kote
Huyu mwenye kofia nyeusi ndo mkuda wa chama
Huna sera
Ushuru kodi hakuna nchi inavyotaka kuendelea isilipe kodi hata Marekani pekee kila mtu analipa kodi hiyo yote ni uzembe tuone kana mboe kama atawagawia pesa kumbuka lisu alisema atatoa mkoa awape mabeneru ili walipe deni la taifa mkumbuke hilo
O ziro
Nyie mtaongea mtaishia hayo tuko kimyaa tunasubiri wakumgusa mama tu na udini wenu tafuta waumini upatesadaka au kalime
TUNAJUWA HAMTAKI KIONGOZI MUISLAMU HAMTAFANIKIWA HII NCHI UDINI SIO YA WAKRISTO PEKEYAO MKUMBUKE WAISIL NDIO WALIANZA KUDAI UHURU
O ziro
Wewe askofu tangaza sera utawafanyia nini Watanzania. Acha uchochezi ww kwani wakisema maisha magumu ww ndo utawagawia pesa? Umeongea wp na Mungu wewe. Acha kejeli
CCM mnatabu
MWENDAWAZMU TU WEWE....YAANI WEWE MHUNI UONGEE NA MUNGU? ALAFU USITUHUSISHE SISI WAISLAM NA UPUUZI WENU NA CHAMA CHA KIHUNI
Askofu gani wewe mjinga nawatu wajinga mnamsikilizi .