Mungu iokoe Tanzania. Mnaokaa kimya , Watanzania wenzangu bila kuiuliza Serikali mna ndugu, mtoto, kaka, baba fikirieni anafanyiwa hivi. Mungu kamnuru aje aeleze waziwazi nani walimteka. Walimfanyia nini. Na kapatikana. Inatisha nchi yetu na kuopesha sana. Mungu ifungue mioyo ya Watanzania wote na tuukatae huu unyama.wangapi ndugu zetu wameteswa na kupotezwa kwa namna hii.
Mungu iokoe Tanzania. Mnaokaa kimya , Watanzania wenzangu bila kuiuliza Serikali mna ndugu, mtoto, kaka, baba fikirieni anafanyiwa hivi. Mungu kamnuru aje aeleze waziwazi nani walimteka. Walimfanyia nini. Na kapatikana.
Inatisha nchi yetu na kuopesha sana.
Mungu ifungue mioyo ya Watanzania wote na tuukatae huu unyama.wangapi ndugu zetu wameteswa na kupotezwa kwa namna hii.
Ccm achieni taifa mumeuwa watu wengi ccm ni wanyama
Kwa kweli mungu awalaani hao walimteka
Inauma sana
Serikali imenyamaza kimya Ila yupo Mungu ,Kijana wa watu walimtesa Ila Mungu sio athumani akamuokoa daa Hii nchi ngumu Sana jamani
duh tunaelekea kubaya
Dha!!!!tunako elekea🎉