- 2 036
- 9 610 425
Breez Online Tv
Tanzania
Приєднався 28 вер 2017
Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting Religious news, information, social events, our registration number is
In addition Breeze Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the Catholic Church or UA-cam.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari za kanisa, taarifa, na matukio ya kijamii, namba yetu ya usajili ni
Aidha Breeze Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote/Watu yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi, Kanisa katoliki na youtube yenyewe.
Contacts
Email: izackbreez11@gmail.com
phone: +255756494796
WhatsApp: +255756494796
In addition Breeze Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the Catholic Church or UA-cam.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari za kanisa, taarifa, na matukio ya kijamii, namba yetu ya usajili ni
Aidha Breeze Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote/Watu yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi, Kanisa katoliki na youtube yenyewe.
Contacts
Email: izackbreez11@gmail.com
phone: +255756494796
WhatsApp: +255756494796
Dkt GRACE MSELLE (PhD) wa NDC Afariki Dunia/Mume wake ashindwa kujizuia/Aeleza sababu za KIFO chake.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti wa shirika la Taifa la maendeleo NDC Dkt Gracy Aloyce Mselle (PhD) Amefariki Dunia katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili, Mume wake asimulia kilichochukua Uhai wake.
#daressalaam #breezonlinetv #love #kanisakatoliki #baloziwaamani
#daressalaam #breezonlinetv #love #kanisakatoliki #baloziwaamani
Переглядів: 2 491
Відео
Ujumbe wa Raisi SAMIA kwa Ask Lagwen wa MBULU/SIMBACHAWENE Amuwakilisha/ Afikisha ujumbe mzito/
Переглядів 4,5 тис.14 днів тому
AMEYASEMA HAYO KWENYE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YUBILEI YA MIAKA 25 YA UPADRE ASKOFU LAGWEN WA JIMBO KATOLIKI MBULU. Video Original source:TEC #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki #baloziwaamani
WAZIRI MWIGULU Mbele ya Maaskofu Katoliki TEC/Atoa ahadi NZITO/Awasilisha zawadi yake kwa Ask Lagwen
Переглядів 6 тис.14 днів тому
AMEYASEMA HAYO KWENYE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YUBILEI YA MIAKA 25 YA UPADRE ASKOFU LAGWEN WA JIMBO KATOLIKI MBULU. Video Original source:TEC #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki #baloziwaamani
RAISI wa Baraza la Maaskofu TEC Atoa KAULI Mgogoro wa WAMASAI Ngorongoro/Awakemea Polisi kupiga watu
Переглядів 20 тис.14 днів тому
AMEYASEMA HAYO KWENYE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YUBILEI YA MIAKA 25 YA UPADRE ASKOFU LAGWEN WA JIMBO KATOLIKI MBULU. Video Original source:TEC #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki #baloziwaamani
Ujasiri wa Watoto 100 mbele ya Askofu Ruwai'ch/Akoswa na Majibu yao/Wazazi waulizwa maswali ya Gafla
Переглядів 41721 день тому
Maswali ya papo kwa Hapo kwa watoto wa kipaimara; Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 19 ya mwaka "B" wa kanisa katika parokia ya Mtakatifu Monika Matosa Misa hiyo iliadhimishwa na Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es salaam Mhashamu Askofu Judethadeus Ruwa'ichi OFMCap Katika Misa hiyo Askofu Mkuu Judethaus Ruwa'ichi alitoa sakramenti ya Kipaimara kwa waimarishwa 100
Askofu mkuu Ruwai'ch "Unatawala alafu mtu mdogo mdogo anakuja kukutisha'' Asisitiza kutokukata tamaa
Переглядів 2,5 тис.21 день тому
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 19 ya mwaka "B" wa kanisa katika parokia ya Mtakatifu Monika Matosa Misa hiyo iliadhimishwa na Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es salaam Mhashamu Askofu Judethadeus Ruwa'ichi OFMCap Katika Misa hiyo Askofu Mkuu Judethaus Ruwa'ichi alitoa sakramenti ya Kipaimara kwa waimarishwa 100
Waziri BASHUNGWA Atoa Ngo'mbe 3 wa Maziwa kwa Maaskofu wa kanisa Katoliki/Amuwakilisha Raisi SAMIA
Переглядів 1,3 тис.Місяць тому
Ibada ya misa takatifu ya Jubilei pacha ya Askofu Mstaafu wa Jimbo katoliki la Bukoba Mhasham Desderius Rwoma. #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki #Jubilei #baloziwaamani
Askofu mkuu RUWAI'CH aweka waza "Mimi sijifichi tena najitambua kama MZEE, Mniombee"
Переглядів 922Місяць тому
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 17 ya Mwaka "B" wa Kanisa. Ikiambata na utoaji wa sakramenti ya kipaimara kwa waimarishwa 138 katika parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Madale Sakramenti hiyo ya Kipaimara ilitolewa na Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Dar es salaam Mhashamu Askofu Judethadeus Ruwa'ichi OFMCAP #breezonlinetv #daressalaam #kanisakatoliki #choir
Watoto parokia ya Madale DSM Walivyopangua Maswali tata ya Askofu mkuu Ruwai'ch/hakika inapendeza.
Переглядів 399Місяць тому
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 17 ya Mwaka "B" wa Kanisa. Ikiambata na utoaji wa sakramenti ya kipaimara kwa waimarishwa 138 katika parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Madale Sakramenti hiyo ya Kipaimara ilitolewa na Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Dar es salaam Mhashamu Askofu Judethadeus Ruwa'ichi OFMCAP
KAULI ya Askofu mkuu RUWAI'CH kuhusu Manabii wa UONGO/Rudini nyumbani kumenoga na Mtulie.
Переглядів 309Місяць тому
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 17 ya Mwaka "B" wa Kanisa. Ikiambata na utoaji wa sakramenti ya kipaimara kwa waimarishwa 138 katika parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani Madale Sakramenti hiyo ya Kipaimara ilitolewa na Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Dar es salaam Mhashamu Askofu Judethadeus Ruwa'ichi OFMCAP
Mama MKATOLIKI aliyesali kwa KIBOKO YA WACHAWI Aomba msamaha kanisani/Akiri watu kuibiwa mamilioni.
Переглядів 5 тис.Місяць тому
Ukweli ni kwamba mama huyu alirudi ndani ya kanisa katoliki akiwa na majuto sana na ili kupata undani wa alichokutana nacho fuatilia video hii kasha niachie maoni yako kwenye comment box #daressalaam #kanisakatoliki #africa #BaloziwaAmani
Watoto wa Kipaimara parokia ya Msumi Dsm walivyoimba Utukufu/Inapendeza.
Переглядів 141Місяць тому
Watoto wa Kipaimara parokia ya Msumi Dsm walivyoimba Utukufu/Inapendeza.
Askofu Musomba akerwa"VIJANA wanapenda kulelewa na MASHANGAZI" Kamari na jogging Inavyowaharibu .
Переглядів 140Місяць тому
Askofu Musomba akerwa"VIJANA wanapenda kulelewa na MASHANGAZI" Kamari na jogging Inavyowaharibu .
Askofu MUSOMBA akemea tabia za Waumini kutangatanga/Afichua ujanja wanaoutumia kuwateka watu/homilia
Переглядів 238Місяць тому
Askofu MUSOMBA akemea tabia za Waumini kutangatanga/Afichua ujanja wanaoutumia kuwateka watu/homilia
REC:Misa Takatifu sherehe ya miaka 10 ya Upadre/Padre Philipo Tairo Visiga Seminari DSM
Переглядів 336Місяць тому
REC:Misa Takatifu sherehe ya miaka 10 ya Upadre/Padre Philipo Tairo Visiga Seminari DSM
YESU NI MWEMA- (LIVE) KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
Переглядів 368Місяць тому
YESU NI MWEMA- (LIVE) KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
Alichokisema Padre Vicent Kibooo kwenye Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Pd Philipo Tairo
Переглядів 88Місяць тому
Alichokisema Padre Vicent Kibooo kwenye Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Pd Philipo Tairo
Bwana Utuhurumie-Ukwakata parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mbezi-Beach DSM
Переглядів 209Місяць тому
Bwana Utuhurumie-Ukwakata parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mbezi-Beach DSM
Pd NYILAWILA"Ukweli upo ndani ya kanisa katoliki,Hakuna lingine'"Awasha mshumaa miaka 50 ya Upadre
Переглядів 252Місяць тому
Pd NYILAWILA"Ukweli upo ndani ya kanisa katoliki,Hakuna lingine'"Awasha mshumaa miaka 50 ya Upadre
Litania ya Watakatifu Wote Upadrisho wa Mapadre 9 Jimbo kuu la Dar Es Salaam
Переглядів 229Місяць тому
Litania ya Watakatifu Wote Upadrisho wa Mapadre 9 Jimbo kuu la Dar Es Salaam
TUMEZITAFAKARI- KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
Переглядів 609Місяць тому
TUMEZITAFAKARI- KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
RC Kilimanjaro asema Raisi Samia alimwambia awe karibu sana na Askofu Minde/Vicheko vyatawala.
Переглядів 932Місяць тому
RC Kilimanjaro asema Raisi Samia alimwambia awe karibu sana na Askofu Minde/Vicheko vyatawala.
Askofu MINDE:Mapdre IGENI Mfano wa hawa/hawana vurugu wala hawasumbui/Wamefanya aje kufika hapo.
Переглядів 970Місяць тому
Askofu MINDE:Mapdre IGENI Mfano wa hawa/hawana vurugu wala hawasumbui/Wamefanya aje kufika hapo.
Askofu AMANI:Mapadre Tunzeni Maagano yenu/Agusia sakata la Waomi kufanyiwa mitihani/Hawana Ufanisi.
Переглядів 882Місяць тому
Askofu AMANI:Mapadre Tunzeni Maagano yenu/Agusia sakata la Waomi kufanyiwa mitihani/Hawana Ufanisi.
Inapendeza-Maandamano Jubilei ya miaka 50 ya Upadre Jimbo katoliki Moshi 2024
Переглядів 1,2 тис.2 місяці тому
Inapendeza-Maandamano Jubilei ya miaka 50 ya Upadre Jimbo katoliki Moshi 2024
Inapendeza Padre Kihoo alivyowaimbia Wanandoa wapya Walioenda kutoa Shukrani/Wajitambulisha Rasmi.
Переглядів 8202 місяці тому
Inapendeza Padre Kihoo alivyowaimbia Wanandoa wapya Walioenda kutoa Shukrani/Wajitambulisha Rasmi.
Vicheko vyatawala Swali la mtego kwa waumini (Tujuzane Challenge ndani ya kanisa katoliki)
Переглядів 4762 місяці тому
Vicheko vyatawala Swali la mtego kwa waumini (Tujuzane Challenge ndani ya kanisa katoliki)
Padre Kihoo:Kina Mama Waleteni Waume zenu kanisani/sikilizeni ushauri wa Madaktari-Homilia
Переглядів 6932 місяці тому
Padre Kihoo:Kina Mama Waleteni Waume zenu kanisani/sikilizeni ushauri wa Madaktari-Homilia
UJASIRI wa watoto Walivyopangua Maswali ya Mtego ya Askofu Ruwai'ch, Wengine wapata Kigugumizi.
Переглядів 2922 місяці тому
UJASIRI wa watoto Walivyopangua Maswali ya Mtego ya Askofu Ruwai'ch, Wengine wapata Kigugumizi.
Kikongwe wa miaka 106 Afariki/Padre bahati awafariji wafiwa"Kila mtu abebe majukumu yake"
Переглядів 1,3 тис.2 місяці тому
Kikongwe wa miaka 106 Afariki/Padre bahati awafariji wafiwa"Kila mtu abebe majukumu yake"
Pole Sana baba g
RIP MAMA GLORY TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU KAKUPENDA ZAIDI. MUNGU AKUPE PUMZIKO JEMA
RIP Dr. Grace
Pole sana, Baba.
Bro me ni mseminari mdogo natamani kuwa kama ww naitwa barakw
Dah huyu Huwa alijitoa kabisa...nakukumbuka nilipotembelea Kijiji Cha Izazi Migoli Irnga....Pia Morogoro mjni
Hongereni
Mungu ana kitu ndani Yako endelea katumia kipaji chako Amina
Yan Hawa ni.. dah😢😢😢
Polen ndugu zangu
The voice is heavenly 🎶
Tulinogha
Eti baba inamana akuna ambae amupendi hadi muke wamugombea wapili nae anamnyima kula mmewe niuongo tena sana asikofu ukovizuli
Ukiona watumishi wa mungu wanaongea janbo moja inamana nisauti ya mungu ,ndivyo ilivyokuwa kipindi cha mwenda zake subili we mama usipotii sauti ya mungu shaulizako .mungu akishusha asila hapatoshikika subili
Hakuna lolote!
Umenyooka BABA ...Ubarikiwe sana.
Ipo siku hii nchi hii mtaipasua kwani maskofu huwa hamtulii wakati nyinyi ndio mnanufaika na keki ya taifa lakini akiwa kiongozi km magufuli mlikuwa kimya lakini kiongozi akiwa c waimani yenu mnaanza ufundi wa kuongea. kwanini msianzishe chama chenu cha siasa au muingie moja kwa moja ktk chama cha siasa
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Shukrani sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pumzika Padri Saba!
Amina sana
Aaaameeeen! Ukweli utabaki kuwa huru.mabeber Mungu awalaani
Aaaameeeen! Ukweli utabaki kuwa huru.mabeber Mungu awalaani
Yani Kama Kuna mtu ambae afai katika ii nchi ni wwe, hivyonasi ujitasmini tutakupoteza mda si mlefu, tumechoka na uraghai wako, mbwa wwe.
Huyu ni mnafiki mmoja wa Chadema mbona haikosoi Chadema hawafanyi uchaguzi saccos na huyu ndo mwandishi wa katiba wa chadema. Ujinga tu huu
Kiongozi hasiye mnafiki usema kweli. Asante Baba Padre.
Hogera saan kaka
Amina sana mungu akuinue zaidi
Mungu akutie nguvu
Baba ccm ni shida wame luhu makazi hole machinga Kila Kona mabondeni yamevamiwa na wakulima mama lishe kupika barabarani Kila Kona mabwana afya wamekua kama trafiki balabalani ni kuchua pesa mikokoteni na majiko ya chakula jamani nani ataokoa taifa letu nchi yetu imekua jalala la vicha na Wenda wazimu tunaenda uchaguzi watusaidie nini kuibiya raiya
Wewe mbwa mwitu uliyejifunika ngozi ya kondoo
Sijui kafuata nini TEC huyu tapeli.
Thanks bishop
Hongera sana Baba Askofu kwa kutoa tamko la TEC.
Wa Tz tujitahidi kuandika Kiswahili fasaha. Tutumie vizuri herufi h, a nk hizo siyo izo nk
The most down to earth and visionary cleric of our time. Voice of justice and love reverberates through his speech❤
TUJIFUNZENI KWA WA KENYA HAWATAKI KABISA KANISA KUJIHUSISHA NA SIASA NI MAFIA WANA BWEKA KWA MASLAHI YAO 😮😮
Heshima. Kwako. Baba. Asikof mungu. Awe pamoja Kwa maneno ya hekima
Niko paleee nawasubiri KKKT,PCCT,TAG BAKWATA nk
Baba Askofu hongera sanaaa najivunia imani thabiti ya ukristo wangu Mungu awape nguvu katika utume wenu
Mungu akulinde watu kama nyinyi mungu kawainua kwa maana yake
Ameshatumwa kulaghai TEC na yule mashavu mnywa damu za watu🤬
Ubarikiwe baba askofu mungu hawabariki sana muwe na upendo wa dhati kwa kusungumuzia watu wa tanzania inzima ubarikiwe sana ila viyongozi walieko kwenye uwongozi ya juu endeleeni kumshaushi waje kwenye mgogoro ya wamasai wa ngorongoro wanao nyanyaswa bila haki ya kibinadamu kilio imezidi kwetu ngorongoro 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wewe hufai kabisa kwenye dini malaika lakini ninyi ni wakasidi
Polisi hawana shida, wenye shida ni watawala wanaowatumia polisi kutenda yasiyostahili
askofu, fanya hata muujiza mmoja tukuamin tukufuate kama unaweza..acha watu waende wanapoamin.
maneno ya kushindwa, watu wana shida na ndio maana wanatafuta wap kuna nguvu za Mungu kweli, nendeni mkaponye vipofu, mkafufue watu, mkaponye walemavu, ukoma, ni maagizo yalitolewa...tunatafuta nguvu za roho mtakatifu zikifanya nguvu kwenye jina la yesu.
Waislam bakwata Iko wap waislam walitekwa wakapewa kes za ugaid wakakaa kimya waliacha Lema ndo awapiganie Leo wamaasai wanateswa anatoka sheh mmoja mfuga Majin anasema upumbav
Hiv viongoz waviwatesa wamasai wanafanya hivyo Kwa maslahi ya nan, bila shaka ni ya kwao binafs ndo maana wameshupaza shingo na wamefunga masikio kama hawasikii zaid wanaendelea kuandaa njia zingine za kihuni kuendelea kuwabana. Ina maana serikali sio sikivu kias hicho haisikii vilio vya watanzania karibu wote wanawalilia wananchi wenzao wamasai. Jaman nchi hii awam hii it's beyond
Uchawa mkirud majimbon mtakutana na sis
Jeshi liko wapi wananchi tunateseka tusaidieni
Unasema kweli kabisa na Mungu akubariki uendelee kuwatete wanyonge....