Anaimba broken english huwezi kusema have you think Na huwezi kusema have you realise ni broken english . Mngeandikiwa nyimbo na watu wanaojua kiingereza
unaongea vizur sana kaka ila sema mziki ni haram tena haram kabisa japokua tunashabikia hata Hao unao wasaidia kwa njia ya mziki wote mnagawana thambi sema kama unamua kua mziki apo sawa
Mziki cyo haramu. Ndo maana hata waarabu wanapiga dufu. Ila mziki na michezo imetafsiriwa niupuuzi. Kwasabu inasababisha kuacha swala ,mazishi kwasabu ya mziki na michezo
Number 1 nampenda Sana uyu jamaa kwa kilakitu 😅
❣️
Huyu brother nampenda sana nidhamu yake dah
Huyu blaza nilizidi mpenda siku alotaja bei za bidhaa madukani na sokoni aloooo bro nakukubali sana.
My bro upo juu sna utafika mbali
Sema barnaba ana nidhamu ya kila kitu nidhamu ya na watu nidhamu ya pesa n.k😊😊😊😊😊
Wise Man
Dada uko vzr sana ongera kwa swali na ufatiliajii
Sina team ila Barnaba hicho kicheko cha brother Chibu
Dada mtangazaji mpya unajuaaaaaaaaaaaaaaaaa
Uyu binti anakitu atafika mbali
Anaimba broken english huwezi kusema have you think Na huwezi kusema have you realise ni broken english . Mngeandikiwa nyimbo na watu wanaojua kiingereza
kwenye kuimba hamna broken English ndugu kibwela776
@@issakisalu9237 kupo mkuu kuimba broken english ajifunze kiingereza au wamuandikie nyimbo za kiingereza
mo pao napenda your displine
unaongea vizur sana kaka ila sema mziki ni haram tena haram kabisa japokua tunashabikia hata Hao unao wasaidia kwa njia ya mziki wote mnagawana thambi sema kama unamua kua mziki apo sawa
Mziki cyo haramu. Ndo maana hata waarabu wanapiga dufu. Ila mziki na michezo imetafsiriwa niupuuzi. Kwasabu inasababisha kuacha swala ,mazishi kwasabu ya mziki na michezo
Na siku isiishe pia kablq hujaqmbiwa she's beautiful atleas 2wice nor 3rice a day