Muanzilishi wa dini yakislamu aitwaye Muhammad amepoteza wengi kuzimu ila tu damu yayesu ndio inaweza kuwabadilisha maisha yao yalio potozwa na Muhammad.... njia nimoja tu yambingu thru yesu Kristo namshukuru mungu kwakunitoa katika uslamu
Mtu yeyote akipambana na wewe, yesu apambane naye. Waliokuwa nasi ni wengi kuliko waliokowa nawo. Wao wanamkono ya nyana, bali sisi tunao mkono wa Bwana Mungu wetu. Amina
Mungu akutunze mtumishi,ila naomba nikushauri kidogo mwanzo nimesikia ukisema wale walo kuingiza katika Mambo hayo ya giza kuwa walaaniwe kwa jina la Yesu ila mm nakushauri usiwaombee walaaniwe ila waombee waokoke ktk Jina la Yesu Kristo.barikiwa mtumishi.
Mtu anayemcha Mungu kwa Roho na Kweli hali yake kiasili huwa inabadilika kbs...pia chunguza sana shuhuda za watu waliokutana na Bwana Yesu live, huwa wanakuwa na hali ya utulivu sana wa nafsi! Wamekombolewa kwlkwl hawana haja ya dunia, wanajitambua kwmb wako safarini
MUNGU azidi kukutumia katika kueneza habari hii njema ili ndugu zetu, jirani na marafiki zetu wapate Nuru hii ya WOKOVU Moyo unauma sana unapoona sisi tuliopata Neema ya kua wakristo hatuujali na kuishi maisha ya ushindi juu ya dhambi
Ndugu Amiri,Mungu habagui, anaokoa waja wake kwa njia mbalimbali, haijalishi umtu w ainagani, maana Bwana Yesu anakupenda, Bwana Mungu apewe sofa kwa kukuokoa, Ndugu zetu Waisilamu, wajue kwa hakika Mungu hanaupendeleo, humuokoa mja wake kwa wakati unaofaa, Kumbuke I vile Sauli aliyefanya mambo mengi maovu aliyomfanyia Mungu, lakini Mungu alikuwa anahaja Nate amtumikie, Bwana Yesu apewe sifa, Mungu amjalie Ndugu Amiri adumu kulihubiri Injili ya Bwana Yesu Amina
Hallelujah,, this is Powerful levelation I ever heard, ahsante MUNGU kwa neema hii kubwa ya kunipa nafasi ya kusikiliza ushuhuda huu ambao unazidi kunibadilisha maisha yangu. Ahsante YESU kwa kumkomboa mtumishi wako. Hallelujah.
Mimi nami nilitokewa na yesu na kunionya niachane nayakidunia kunionyesha kanisa na mch wangu kwa hiyo usikate tamaa ndugu mpendwa Mungu anakupa simama umwamin yesu
Glory be to God Hallelujah 🙏 Special Thanks to the Almighty God the maker of the Heaven and Earth And May God Protect you and your family forever and for Always in the mighty name of Christ Jesus Amen and Amen 🙏
mbinguni ni kuzuri sana kiasi kwamba hakuna lugha inayoweza kupaelezea kikamilifu ndiyo maana shetani anapigana usku na mchana watu wasiende huku sababu ana wivu sana kwa kuwa yeye alifukuzwa huko na anaujua vizuri ukamilifu wa mbinguni ulivyo.
Jamani sasa ushuhuda wote huo watu hawaamini? Fungukeni macho msioamini, ushuhuda huu Mungu anahitaji wasiomjua Yesu wamjue, kusiwe na wakujitetea kuwa hawakumjua
Ulibatizwaje na wao hubatiza maji kidogo? Km ulibatizwa kwa maji kdg na kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Jacktan inabidi akuambie ukabatizwe tena... Maana kwa Sasa huezi ona izi comment
Nina swali kuusu shuhuda ya Mtumishi wa kristo tunavyosikia dini wa waislam wanaosha mwili na kuuandaa kabla ya maziko sasa kipindi amekufa kuchukuliwa na kristo je mwili wake aukufanyiwa utaratibu wa kiislam kabla ya maziko
Wakristo atuna mausiano yyte na majini. Ila wezetu wanaswali nao misikitini 😂😂😂😂😂jini yupo kwa ajili ya kualibu ulimwengu so kvp mnaswali nae misikitini?mnampinga Yesu wkt yy ndie atae hukumu ulimwengu jee itakuaje kwenu?kasema kila alie nikataa na mimi nitamkataa mbele ya baba. Waislam lzm mjue msipo okoka lzm motoni.
Begu ikianguka kwenye udongo humea upya, mashetani yote Amir alikuwa nayo yalitolewa na yesu kristo mwenyewe Amir alirundi upya Kama mtoto amezaliwa afresh Wewe unaye mhoji
Yaan jaman hao Shetan ameifanya mioyo yao I we migum,yaan pamoja na kumuona amekufa na kufufuka Bado wanamtuhum tu kuwa amenunuliwa na wakristo,,tuna Kaz ya kuwaombea hawa watu mioyo yao imejaa ushetan mtupu,
Muaze kujiombea nyeye na ushetani wenu kwaza. Ndio lje kutuombea siye nyeye mnaoza uko na ushetani. Alf mnataka mtuombee siye. Kweli nyani aone makalio yake.
Muanzilishi wa dini yakislamu aitwaye Muhammad amepoteza wengi kuzimu ila tu damu yayesu ndio inaweza kuwabadilisha maisha yao yalio potozwa na Muhammad.... njia nimoja tu yambingu thru yesu Kristo namshukuru mungu kwakunitoa katika uslamu
Wewe ulikua muislam ?
BWANA yu pamoja nawe mtumishi wa Mungu Amir atakupigania hata kuacha Milele aminaa kusikia ushuuda wako na maisha yangu yakabadilishwa
Ni kweli.
Amin ushuhuda huu unani bariki sana nafatilia mpaka mwisho wake ubarikiwe sana mtumishi wa mungu Cecilia from kenya
Mtu yeyote akipambana na wewe, yesu apambane naye. Waliokuwa nasi ni wengi kuliko waliokowa nawo. Wao wanamkono ya nyana, bali sisi tunao mkono wa Bwana Mungu wetu. Amina
YESU kiboko YAO Bwana zidi kuonekania watu wako waokolewe, Amen.
Mungu akutunze mtumishi,ila naomba nikushauri kidogo mwanzo nimesikia ukisema wale walo kuingiza katika Mambo hayo ya giza kuwa walaaniwe kwa jina la Yesu ila mm nakushauri usiwaombee walaaniwe ila waombee waokoke ktk Jina la Yesu Kristo.barikiwa mtumishi.
Kweli kbs
Halellujah Bwana Yesu asifiwe sana. Yesu endelea kuwatokezea hawa waisilamu kabisa wakujue
Yaani Mungu akubari sana stori hii inafanana sana na ya alhaji Adamu Haji wa Somalia na yeye alipitia hayo baba yake mzazi alimkana . Ubarikiwe sana
wow. ushuhuda mzuri sana. umenibariki. Pia napenda jinsi alivyo mpole...sifa mojawapo ya mtumishi wa Mungu aliye hai.
Mtu anayemcha Mungu kwa Roho na Kweli hali yake kiasili huwa inabadilika kbs...pia chunguza sana shuhuda za watu waliokutana na Bwana Yesu live, huwa wanakuwa na hali ya utulivu sana wa nafsi! Wamekombolewa kwlkwl hawana haja ya dunia, wanajitambua kwmb wako safarini
MUNGU azidi kukutumia katika kueneza habari hii njema ili ndugu zetu, jirani na marafiki zetu wapate Nuru hii ya WOKOVU
Moyo unauma sana unapoona sisi tuliopata Neema ya kua wakristo hatuujali na kuishi maisha ya ushindi juu ya dhambi
Nakupat vizuri sana Mtumishi nazidi kubadikiwa nikiwa IRAQ Baghdad Mungu azidi kukutia nguvu 💪 songa mbele Mungu Yupo pamoja na wewe
Ndugu Amiri,Mungu habagui, anaokoa waja wake kwa njia mbalimbali, haijalishi umtu w ainagani, maana Bwana Yesu anakupenda, Bwana Mungu apewe sofa kwa kukuokoa, Ndugu zetu Waisilamu, wajue kwa hakika Mungu hanaupendeleo, humuokoa mja wake kwa wakati unaofaa, Kumbuke I vile Sauli aliyefanya mambo mengi maovu aliyomfanyia Mungu, lakini Mungu alikuwa anahaja Nate amtumikie, Bwana Yesu apewe sifa, Mungu amjalie Ndugu Amiri adumu kulihubiri Injili ya Bwana Yesu Amina
Usiogope wauwao mwili, mwogope auaye mwili na roho, haleluya
Hallelujah,, this is Powerful levelation I ever heard, ahsante MUNGU kwa neema hii kubwa ya kunipa nafasi ya kusikiliza ushuhuda huu ambao unazidi kunibadilisha maisha yangu. Ahsante YESU kwa kumkomboa mtumishi wako. Hallelujah.
Yesu yu hai
Hakika MUNGU Ni Wa wote mwenye mwili,barikiwa kwa ushuhuda
Mimi nami nilitokewa na yesu na kunionya niachane nayakidunia kunionyesha kanisa na mch wangu kwa hiyo usikate tamaa ndugu mpendwa Mungu anakupa simama umwamin yesu
Amen Glory be to Jesus Christ of Nazareth ahimidiwe na vizazi vyote vitamsifu na kumuabudu yeye pekee 🙏
Mwacheni.MuNGu.aitwe.MUNGU
Ubarikiwe nakupata from Tbr.....Yesu ni Bwana
Ooh! JESUS how powerful is your name, how Merciful is your name. Glory be to God am very happy for you brother JESUS loves us completely.
Ahsante pia imani yangu inaimalishwa sana
🎉🎉🎉Yesu ni bwana....nakupata vizuri nikiwa Kenya....Kihanja ni nyumbani..karibu tena
Shuhuda nzuri. Bwana Yesu atukuzwe
Amina
Glory be to God Hallelujah 🙏 Special Thanks to the Almighty God the maker of the Heaven and Earth And May God Protect you and your family forever and for Always in the mighty name of Christ Jesus Amen and Amen 🙏
Bado Mazinge ataokoka kwa jina la Yesu!
Ameen
Naomba uwaombee pia nduguzako yesu awaokoe Waludi au wamje mungu wa kweli ilikweli uwaweke huru
Ndugu yangu...je wewe wamjua Mungu wa Kweli aliyeumba?
Watching from Dubai pastor jipe ngufu Kwa yesu ni mwenye nehema
Bwana Yesu anarudi punde na ndio maana anaokowa watu wake Kwa Kasi kubwa mno kuliko ulivoweza kudhani mwanzo hakika utukufu ni Kwa Bwana
Acha uwongo KUBWA zima YESU amekutokea wapi muongope mwenyezi Mungu aliye kuumba NDANI tumbo la uzazi njaa mbaya sana
Mbona panicking jmn😂
Hongera mtumishi Mungu akutie nguvu
Amen ubarikiwe Askofu.
Amen kwa ushunda wako wa jabu
Mimi nafurahi maana kila siku injili inaenea kwa viwango vya juu sana
mbinguni ni kuzuri sana kiasi kwamba hakuna lugha inayoweza kupaelezea kikamilifu ndiyo maana shetani anapigana usku na mchana watu wasiende huku sababu ana wivu sana kwa kuwa yeye alifukuzwa huko na anaujua vizuri ukamilifu wa mbinguni ulivyo.
Kweli kabisa mtumishi wa Mungu
Mataifa yatakili nakusema Yesu ni bwana God bless yu and protect yu always maadui wakikuona wanaona moto🔥🔥🔥🔥🔥
YESU ni Bwana
Yesu ni mzuri sana
Ubarikiwe Sana
Hongera sana kaka
Ujumbe huu na uwafikie wasio wa Kristo kama alikotoka huyu ndugu aliyeokoka.
Ukimpa maisha yake kwa mikono ya Yesu, utaona unakuwa na amani na nguvu sana na huwezi tizana nyuma tena!!
Hakika YESU ni Bwana, Mungu azidi kukutumia walio kutenga wakaone ukuu wa Bwana
Mtu afufuke mkose kumuamini abrahamu hakudaganya tajiri wa Lazarus
@@davidamwai2478 imagine unajua mafunzo wanayo jifunza ndugu zetu waislam nikama yanawatoa ufahamu wakuamini ya kwamba Mungu nimuweza yote
Amina
Jamani ambieni mwaipopo aangalie hii ageukie yesu haraka
Bwana yesu anawenza,na yesu akupinganie.
Mtumishi wa Mungu sio Yesu alikua nawewe Cox hawakukukamua
Dah🤣😃🤣😃
Amina
Umeshindaktk jina la yesu
Ahsante
Wala hakuna jina jingine tulilopewa wanadamu chini ya mbingu, litupasalo ss kuokolewa kwalo, ila ni jina la Yesu tu! Ebeneza 4:12.
Matendo 4:12
Amen!
Barikiwa Yesu ni Bwana
Part 5 please
Ukiujua ukweli na kuupokea, usemi wako. Na mwenendo wako vitakushuhudia. Kinywa cha mtumishi wa kristo kinatema baraka. Ubarikiwe sana mtumishi.
Jamani sasa ushuhuda wote huo watu hawaamini? Fungukeni macho msioamini, ushuhuda huu Mungu anahitaji wasiomjua Yesu wamjue, kusiwe na wakujitetea kuwa hawakumjua
HAKIKA YESU AKIKUHITAJI ATAKUFUATA POPOTE PALE ULIPO
YESU WEWE NI WA AJABU SANA NAKUPENDA
Muogope mungu ww
Jina la yesu lisifiwe
Amir may God overshadow you with His Holy Ghost fire in Jesus Name
Mtumishi mbona hutuelezi kuhusu huko ulipoenda watu wengi hupenda kusikia kuhusu huko mbinguni
Amen
Mkubali mkatae hakuna jina kama la Yesu Yesu alie hai jina lipitalo majina mengine yote
Kabisaa
Kumbe mnaongelea jina nikajua mnamuongelea Mungu😂😂😂😂
@@azizasaid7660 shuhuda hii yote bado moyo wako mgumu unasubili kwenda jehanam?
Ninawafatilia kutoka Spain jacktan ahsante
Hakika yesu yupo,pia Jactan Mungu akuinue Kwa kazi njema umekuwa msaada Kwa wengi nakufurahia sana
UBARIKIWE SANA, MUNGU AKUTETEE KWELIIII.
Hola neema, hata mimi nipo Spain, wewe upo sehemu gani ya España
@@cleofasmosha9879 hola niko mi palma
Wow!qué bien 👏 mimi nipo Extremadura
Yesu ni mwokozi
Mkatae mkubali yesu ni bwana hata mki2kana kwa koment yesu ni yey yule jana leo hata milele
Ulibatizwaje na wao hubatiza maji kidogo? Km ulibatizwa kwa maji kdg na kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Jacktan inabidi akuambie ukabatizwe tena... Maana kwa Sasa huezi ona izi comment
Kutoka🇱🇷 asanteni sana
Unalindwa kuliko walinzi wa Samia
Mwendelezo jamani
Askofu Gunda Alifariki mwaka huu singida
Part 5 wap
Tuko pamoja
Wewe mtumishi nikweli hiyo
MUNGU wa ajabu sanaaa mmmh ukuu wake hauelezeki haueleweki mpk mwenyewe ajidhihirishe kwako
Vipi taratibu za mazishi ya kiislamu hazikuwa zimeanzakufanyika? Kukafiniwa
Hakika MUNGU wetu yu hai na alitakalo hulitenda haijalishi uko katika mazingira gani yeye anaokoa, jina la BWANA liharikiwe
Upumbavu Sana kulazimisha imani
Nina swali kuusu shuhuda ya Mtumishi wa kristo tunavyosikia dini wa waislam wanaosha mwili na kuuandaa kabla ya maziko sasa kipindi amekufa kuchukuliwa na kristo je mwili wake aukufanyiwa utaratibu wa kiislam kabla ya maziko
Mr jactan muulize mke wake naye kampa Yesu maisha?
Hiyo inaeleweka mnatumwaga kuja kuokoteza vipengele vya uisilamu halafu mnarudi mlikotoka mnajidai mlikuaga waisilamu danganya hao hao
Mbona panicking sana😂...Ila yule kibaka wenu Mazinge mnaamini alikua Mkristo?
Kuna jambo gani huko kwenu la ajabu mpaka Wakristo waache kmuabudu JEHOVAH waje kwenu kuokota majini
Wee muongo sana kofia ilidondoka kwingine na kanzu kwingine
Nyie kuna kitu mnaona cha kweli kwenye ukristo muache na uongo wake mtakatifu
Baki hvo hvo nyie wavaa madera
JESUS meet you and show you the way and the truth. Akufungue macho maana sasa unayo macho Ila hauoni
Wafuga majini
🤣🤣MUONGO WW HAAHAAA NJAA ISHAKUTOA AKILI
Yesu ajidhihirishe kwako haraka sana. Katika jina la YESU
Bila Yesu mbinguni huendi! MTU wa dini hawezi kushinda dhambi
Swali hulu upande wapili walikuwa waarabu pia au tueleze walikuwa wa ainagani!!!!?
MTOTO WA MIAKA 3 HAKUAMINI MUONGO UGALI USHAKUTOA AKILI WACHA KUPOTEZA WATU HUTAKI KUWA MUISLAM SIO LAZIMA USIPOTEZE WATU MUONGO
Kwani huko kwenu hakuna Ugali jmn??
Hana lolote ni muongo huyo alikuwa mkiristo tu huyo ni shushushu tu huyo
Ila Mazinge mnaamini kua alijua Mkristo😂😂
Wakristo atuna mausiano yyte na majini. Ila wezetu wanaswali nao misikitini 😂😂😂😂😂jini yupo kwa ajili ya kualibu ulimwengu so kvp mnaswali nae misikitini?mnampinga Yesu wkt yy ndie atae hukumu ulimwengu jee itakuaje kwenu?kasema kila alie nikataa na mimi nitamkataa mbele ya baba. Waislam lzm mjue msipo okoka lzm motoni.
Hata ss waislamu hatuna mahusiano na Mashetana,,ila wakristo mnasali na MASHETANI.
🤣🤣
@@kondesaidi2040 mwamini Yesu jina lako liandikwe mbinguni
@@kondesaidi2040 shetANI YUPO NANYI
@@samutykuntathebantu8402 naww ndo shetani na shetani mkuu mama ako
Begu ikianguka kwenye udongo humea upya, mashetani yote Amir alikuwa nayo yalitolewa na yesu kristo mwenyewe Amir alirundi upya Kama mtoto amezaliwa afresh Wewe unaye mhoji
Tuoneshe pictures za kifo chako
He he walewale sasa ukiuona?
Kutokuamini huko. Mpaka hapo hujaamini tu?
Hiyo ni roho ya Tomaso ni mbaya sana
Yaan jaman hao Shetan ameifanya mioyo yao I we migum,yaan pamoja na kumuona amekufa na kufufuka Bado wanamtuhum tu kuwa amenunuliwa na wakristo,,tuna Kaz ya kuwaombea hawa watu mioyo yao imejaa ushetan mtupu,
Muaze kujiombea nyeye na ushetani wenu kwaza. Ndio lje kutuombea siye nyeye mnaoza uko na ushetani. Alf mnataka mtuombee siye. Kweli nyani aone makalio yake.
@@mariamjuma4136 jesus is name which is more powerful than other name
"KWA MWENYE AKILI ATAKUWA KESHAELEWA" HUYU NI MJUMBE MFANYABIASHARA...
Kwer hata Mimi nimeona
Yesu ni bwana.... Na yeye ndiye njia ya kweli na mungu pekee wa kweli, karibu ukombolewe
MUNGU AWAREHEMU
@@kmwendemusic5379 Yeye Mungu au Mwana?
@@shenjamamzingi7950 yeye mungu aliyejitoa kama mwana kuokoa ulimwengu,,
Hukuwa muislamu ww pumbavu
Usipomkili Yesu ya kuwa ni mwana wa Mungu,unaenda Motoni.
Ila Mazinge mnaamini alikua Mkristo😂
🎉🎉🎉Yesu ni bwana....nakupata vizuri nikiwa Kenya....Kihanja ni nyumbani..karibu tena
Amina
Amen
Part 5 wap