Part 4_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 264

  • @issachege5606
    @issachege5606 2 роки тому +8

    Muanzilishi wa dini yakislamu aitwaye Muhammad amepoteza wengi kuzimu ila tu damu yayesu ndio inaweza kuwabadilisha maisha yao yalio potozwa na Muhammad.... njia nimoja tu yambingu thru yesu Kristo namshukuru mungu kwakunitoa katika uslamu

  • @abdulazizali7701
    @abdulazizali7701 3 роки тому +12

    BWANA yu pamoja nawe mtumishi wa Mungu Amir atakupigania hata kuacha Milele aminaa kusikia ushuuda wako na maisha yangu yakabadilishwa

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh9527 3 роки тому +4

    Amin ushuhuda huu unani bariki sana nafatilia mpaka mwisho wake ubarikiwe sana mtumishi wa mungu Cecilia from kenya

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 роки тому +8

    Mtu yeyote akipambana na wewe, yesu apambane naye. Waliokuwa nasi ni wengi kuliko waliokowa nawo. Wao wanamkono ya nyana, bali sisi tunao mkono wa Bwana Mungu wetu. Amina

  • @antonybulogosi4353
    @antonybulogosi4353 3 роки тому +4

    YESU kiboko YAO Bwana zidi kuonekania watu wako waokolewe, Amen.

  • @madamtemu4167
    @madamtemu4167 3 роки тому +8

    Mungu akutunze mtumishi,ila naomba nikushauri kidogo mwanzo nimesikia ukisema wale walo kuingiza katika Mambo hayo ya giza kuwa walaaniwe kwa jina la Yesu ila mm nakushauri usiwaombee walaaniwe ila waombee waokoke ktk Jina la Yesu Kristo.barikiwa mtumishi.

  • @zeraheuniceautaim424
    @zeraheuniceautaim424 3 роки тому +3

    Halellujah Bwana Yesu asifiwe sana. Yesu endelea kuwatokezea hawa waisilamu kabisa wakujue

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 4 роки тому +8

    Yaani Mungu akubari sana stori hii inafanana sana na ya alhaji Adamu Haji wa Somalia na yeye alipitia hayo baba yake mzazi alimkana . Ubarikiwe sana

  • @mariamidrisa1359
    @mariamidrisa1359 4 роки тому +6

    wow. ushuhuda mzuri sana. umenibariki. Pia napenda jinsi alivyo mpole...sifa mojawapo ya mtumishi wa Mungu aliye hai.

    • @sarahmichael7538
      @sarahmichael7538 4 роки тому +2

      Mtu anayemcha Mungu kwa Roho na Kweli hali yake kiasili huwa inabadilika kbs...pia chunguza sana shuhuda za watu waliokutana na Bwana Yesu live, huwa wanakuwa na hali ya utulivu sana wa nafsi! Wamekombolewa kwlkwl hawana haja ya dunia, wanajitambua kwmb wako safarini

  • @kitwanajohn8237
    @kitwanajohn8237 2 роки тому +2

    MUNGU azidi kukutumia katika kueneza habari hii njema ili ndugu zetu, jirani na marafiki zetu wapate Nuru hii ya WOKOVU
    Moyo unauma sana unapoona sisi tuliopata Neema ya kua wakristo hatuujali na kuishi maisha ya ushindi juu ya dhambi

  • @veronicawilson4263
    @veronicawilson4263 3 роки тому +3

    Nakupat vizuri sana Mtumishi nazidi kubadikiwa nikiwa IRAQ Baghdad Mungu azidi kukutia nguvu 💪 songa mbele Mungu Yupo pamoja na wewe

  • @jonathankatana1173
    @jonathankatana1173 2 роки тому +2

    Ndugu Amiri,Mungu habagui, anaokoa waja wake kwa njia mbalimbali, haijalishi umtu w ainagani, maana Bwana Yesu anakupenda, Bwana Mungu apewe sofa kwa kukuokoa, Ndugu zetu Waisilamu, wajue kwa hakika Mungu hanaupendeleo, humuokoa mja wake kwa wakati unaofaa, Kumbuke I vile Sauli aliyefanya mambo mengi maovu aliyomfanyia Mungu, lakini Mungu alikuwa anahaja Nate amtumikie, Bwana Yesu apewe sifa, Mungu amjalie Ndugu Amiri adumu kulihubiri Injili ya Bwana Yesu Amina

  • @hellenamasinjisa5448
    @hellenamasinjisa5448 3 роки тому +3

    Usiogope wauwao mwili, mwogope auaye mwili na roho, haleluya

  • @b.a.m6243
    @b.a.m6243 3 роки тому +5

    Hallelujah,, this is Powerful levelation I ever heard, ahsante MUNGU kwa neema hii kubwa ya kunipa nafasi ya kusikiliza ushuhuda huu ambao unazidi kunibadilisha maisha yangu. Ahsante YESU kwa kumkomboa mtumishi wako. Hallelujah.

  • @saimonidaudy1283
    @saimonidaudy1283 3 роки тому +2

    Mimi nami nilitokewa na yesu na kunionya niachane nayakidunia kunionyesha kanisa na mch wangu kwa hiyo usikate tamaa ndugu mpendwa Mungu anakupa simama umwamin yesu

  • @gracekadiva6659
    @gracekadiva6659 4 роки тому +5

    Amen Glory be to Jesus Christ of Nazareth ahimidiwe na vizazi vyote vitamsifu na kumuabudu yeye pekee 🙏

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 4 роки тому +5

    Ubarikiwe nakupata from Tbr.....Yesu ni Bwana

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 3 роки тому +1

    Ooh! JESUS how powerful is your name, how Merciful is your name. Glory be to God am very happy for you brother JESUS loves us completely.

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 4 роки тому +3

    Ahsante pia imani yangu inaimalishwa sana

  • @VioletEtenyi
    @VioletEtenyi 10 місяців тому +2

    🎉🎉🎉Yesu ni bwana....nakupata vizuri nikiwa Kenya....Kihanja ni nyumbani..karibu tena

  • @lipsonm3743
    @lipsonm3743 4 роки тому +6

    Shuhuda nzuri. Bwana Yesu atukuzwe

  • @jackneymasamson8335
    @jackneymasamson8335 3 роки тому +3

    Glory be to God Hallelujah 🙏 Special Thanks to the Almighty God the maker of the Heaven and Earth And May God Protect you and your family forever and for Always in the mighty name of Christ Jesus Amen and Amen 🙏

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 2 роки тому +4

    Bado Mazinge ataokoka kwa jina la Yesu!

  • @pierremira
    @pierremira 4 роки тому +5

    Naomba uwaombee pia nduguzako yesu awaokoe Waludi au wamje mungu wa kweli ilikweli uwaweke huru

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 4 роки тому

      Ndugu yangu...je wewe wamjua Mungu wa Kweli aliyeumba?

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 4 роки тому +2

    Watching from Dubai pastor jipe ngufu Kwa yesu ni mwenye nehema

  • @tygggnzyj2771
    @tygggnzyj2771 Рік тому +1

    Bwana Yesu anarudi punde na ndio maana anaokowa watu wake Kwa Kasi kubwa mno kuliko ulivoweza kudhani mwanzo hakika utukufu ni Kwa Bwana

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Рік тому +1

    Acha uwongo KUBWA zima YESU amekutokea wapi muongope mwenyezi Mungu aliye kuumba NDANI tumbo la uzazi njaa mbaya sana

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 3 роки тому +1

    Hongera mtumishi Mungu akutie nguvu

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 3 місяці тому

    Amen ubarikiwe Askofu.

  • @esthetbabu7481
    @esthetbabu7481 3 роки тому +3

    Amen kwa ushunda wako wa jabu

  • @jumaabduli781
    @jumaabduli781 4 роки тому +10

    Mimi nafurahi maana kila siku injili inaenea kwa viwango vya juu sana

  • @ngwanafabian7532
    @ngwanafabian7532 4 роки тому +8

    mbinguni ni kuzuri sana kiasi kwamba hakuna lugha inayoweza kupaelezea kikamilifu ndiyo maana shetani anapigana usku na mchana watu wasiende huku sababu ana wivu sana kwa kuwa yeye alifukuzwa huko na anaujua vizuri ukamilifu wa mbinguni ulivyo.

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 4 роки тому +3

    Mataifa yatakili nakusema Yesu ni bwana God bless yu and protect yu always maadui wakikuona wanaona moto🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 4 роки тому +3

    YESU ni Bwana

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi8790 3 роки тому +2

    Yesu ni mzuri sana

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 роки тому +2

    Ubarikiwe Sana

  • @kalungikingalu9694
    @kalungikingalu9694 4 роки тому +3

    Hongera sana kaka

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs Рік тому +1

    Ujumbe huu na uwafikie wasio wa Kristo kama alikotoka huyu ndugu aliyeokoka.

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 4 роки тому +3

    Ukimpa maisha yake kwa mikono ya Yesu, utaona unakuwa na amani na nguvu sana na huwezi tizana nyuma tena!!

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 роки тому +7

    Hakika YESU ni Bwana, Mungu azidi kukutumia walio kutenga wakaone ukuu wa Bwana

    • @davidamwai2478
      @davidamwai2478 4 роки тому +1

      Mtu afufuke mkose kumuamini abrahamu hakudaganya tajiri wa Lazarus

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 роки тому

      @@davidamwai2478 imagine unajua mafunzo wanayo jifunza ndugu zetu waislam nikama yanawatoa ufahamu wakuamini ya kwamba Mungu nimuweza yote

    • @zilipajohn3633
      @zilipajohn3633 4 роки тому

      Amina

  • @benjaminmwilaria1145
    @benjaminmwilaria1145 2 роки тому +1

    Jamani ambieni mwaipopo aangalie hii ageukie yesu haraka

  • @MargretWangui-w8z
    @MargretWangui-w8z 5 місяців тому +1

    Bwana yesu anawenza,na yesu akupinganie.

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 роки тому +4

    Mtumishi wa Mungu sio Yesu alikua nawewe Cox hawakukukamua

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 3 роки тому +2

    Amina

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 3 роки тому +2

    Umeshindaktk jina la yesu

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 4 роки тому +4

    Ahsante

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 4 роки тому +9

    Wala hakuna jina jingine tulilopewa wanadamu chini ya mbingu, litupasalo ss kuokolewa kwalo, ila ni jina la Yesu tu! Ebeneza 4:12.

  • @leticiamasalu7145
    @leticiamasalu7145 4 роки тому +3

    Barikiwa Yesu ni Bwana

  • @humphreykiveu9428
    @humphreykiveu9428 4 роки тому +3

    Part 5 please

  • @mwakajohn1819
    @mwakajohn1819 4 роки тому +1

    Ukiujua ukweli na kuupokea, usemi wako. Na mwenendo wako vitakushuhudia. Kinywa cha mtumishi wa kristo kinatema baraka. Ubarikiwe sana mtumishi.

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 роки тому +2

    Jamani sasa ushuhuda wote huo watu hawaamini? Fungukeni macho msioamini, ushuhuda huu Mungu anahitaji wasiomjua Yesu wamjue, kusiwe na wakujitetea kuwa hawakumjua

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 роки тому +2

    HAKIKA YESU AKIKUHITAJI ATAKUFUATA POPOTE PALE ULIPO
    YESU WEWE NI WA AJABU SANA NAKUPENDA

  • @makameally1962
    @makameally1962 2 роки тому +1

    Muogope mungu ww

  • @michaelivitusi4810
    @michaelivitusi4810 4 роки тому +3

    Jina la yesu lisifiwe

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 4 роки тому +8

    Amir may God overshadow you with His Holy Ghost fire in Jesus Name

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 роки тому +5

    Mtumishi mbona hutuelezi kuhusu huko ulipoenda watu wengi hupenda kusikia kuhusu huko mbinguni

  • @davidneumeyer1866
    @davidneumeyer1866 4 роки тому +2

    Amen

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 роки тому +6

    Mkubali mkatae hakuna jina kama la Yesu Yesu alie hai jina lipitalo majina mengine yote

    • @happynicholaus6474
      @happynicholaus6474 4 роки тому

      Kabisaa

    • @azizasaid7660
      @azizasaid7660 4 роки тому

      Kumbe mnaongelea jina nikajua mnamuongelea Mungu😂😂😂😂

    • @derickrangimoto1709
      @derickrangimoto1709 3 роки тому

      @@azizasaid7660 shuhuda hii yote bado moyo wako mgumu unasubili kwenda jehanam?

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 4 роки тому +7

    Ninawafatilia kutoka Spain jacktan ahsante

    • @aishakilimba5938
      @aishakilimba5938 4 роки тому +2

      Hakika yesu yupo,pia Jactan Mungu akuinue Kwa kazi njema umekuwa msaada Kwa wengi nakufurahia sana

    • @joyceshile6322
      @joyceshile6322 4 роки тому +1

      UBARIKIWE SANA, MUNGU AKUTETEE KWELIIII.

    • @cleofasmosha9879
      @cleofasmosha9879 4 роки тому +1

      Hola neema, hata mimi nipo Spain, wewe upo sehemu gani ya España

    • @nemaodhiambo7274
      @nemaodhiambo7274 4 роки тому

      @@cleofasmosha9879 hola niko mi palma

    • @cleofasmosha9879
      @cleofasmosha9879 4 роки тому +1

      Wow!qué bien 👏 mimi nipo Extremadura

  • @peterdaniel9050
    @peterdaniel9050 4 роки тому +2

    Yesu ni mwokozi

  • @MustaphaIssa-kh9qd
    @MustaphaIssa-kh9qd 2 місяці тому +1

    Mkatae mkubali yesu ni bwana hata mki2kana kwa koment yesu ni yey yule jana leo hata milele

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 2 роки тому +1

    Ulibatizwaje na wao hubatiza maji kidogo? Km ulibatizwa kwa maji kdg na kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Jacktan inabidi akuambie ukabatizwe tena... Maana kwa Sasa huezi ona izi comment

  • @beatricemurekatete3769
    @beatricemurekatete3769 4 роки тому +1

    Kutoka🇱🇷 asanteni sana

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 2 роки тому +1

    Unalindwa kuliko walinzi wa Samia

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe1587 4 роки тому +2

    Mwendelezo jamani

  • @karensylvester3753
    @karensylvester3753 3 роки тому +2

    Askofu Gunda Alifariki mwaka huu singida

  • @johnsahani8158
    @johnsahani8158 4 роки тому +1

    Part 5 wap

  • @mathewrongorongo8841
    @mathewrongorongo8841 4 роки тому +3

    Tuko pamoja

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 4 роки тому +2

    Wewe mtumishi nikweli hiyo

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki2780 4 роки тому +1

    MUNGU wa ajabu sanaaa mmmh ukuu wake hauelezeki haueleweki mpk mwenyewe ajidhihirishe kwako

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 4 роки тому

    Vipi taratibu za mazishi ya kiislamu hazikuwa zimeanzakufanyika? Kukafiniwa

  • @malundesevelin7487
    @malundesevelin7487 3 роки тому +1

    Hakika MUNGU wetu yu hai na alitakalo hulitenda haijalishi uko katika mazingira gani yeye anaokoa, jina la BWANA liharikiwe

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому +1

    Upumbavu Sana kulazimisha imani

  • @frankshalula6504
    @frankshalula6504 4 роки тому +2

    Nina swali kuusu shuhuda ya Mtumishi wa kristo tunavyosikia dini wa waislam wanaosha mwili na kuuandaa kabla ya maziko sasa kipindi amekufa kuchukuliwa na kristo je mwili wake aukufanyiwa utaratibu wa kiislam kabla ya maziko

  • @kelvinlwiva5380
    @kelvinlwiva5380 4 роки тому +2

    Mr jactan muulize mke wake naye kampa Yesu maisha?

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um Рік тому

    Hiyo inaeleweka mnatumwaga kuja kuokoteza vipengele vya uisilamu halafu mnarudi mlikotoka mnajidai mlikuaga waisilamu danganya hao hao

    • @AndrewKundya
      @AndrewKundya Рік тому

      Mbona panicking sana😂...Ila yule kibaka wenu Mazinge mnaamini alikua Mkristo?

    • @servantofgod4340
      @servantofgod4340 2 місяці тому

      Kuna jambo gani huko kwenu la ajabu mpaka Wakristo waache kmuabudu JEHOVAH waje kwenu kuokota majini

  • @selemanali5053
    @selemanali5053 4 роки тому +2

    Wee muongo sana kofia ilidondoka kwingine na kanzu kwingine

    • @lululivingstone8298
      @lululivingstone8298 4 роки тому

      Nyie kuna kitu mnaona cha kweli kwenye ukristo muache na uongo wake mtakatifu

    • @erickmislakuba4136
      @erickmislakuba4136 3 роки тому

      Baki hvo hvo nyie wavaa madera

    • @sheillahwairai4691
      @sheillahwairai4691 3 роки тому

      JESUS meet you and show you the way and the truth. Akufungue macho maana sasa unayo macho Ila hauoni

    • @AndrewKundya
      @AndrewKundya Рік тому

      Wafuga majini

  • @Ali-ui7qh
    @Ali-ui7qh 3 роки тому +1

    🤣🤣MUONGO WW HAAHAAA NJAA ISHAKUTOA AKILI

    • @Nganico
      @Nganico 2 роки тому

      Yesu ajidhihirishe kwako haraka sana. Katika jina la YESU

    • @esterjoseph670
      @esterjoseph670 2 роки тому

      Bila Yesu mbinguni huendi! MTU wa dini hawezi kushinda dhambi

  • @pierremira
    @pierremira 4 роки тому +1

    Swali hulu upande wapili walikuwa waarabu pia au tueleze walikuwa wa ainagani!!!!?

  • @Ali-ui7qh
    @Ali-ui7qh Рік тому

    MTOTO WA MIAKA 3 HAKUAMINI MUONGO UGALI USHAKUTOA AKILI WACHA KUPOTEZA WATU HUTAKI KUWA MUISLAM SIO LAZIMA USIPOTEZE WATU MUONGO

    • @AndrewKundya
      @AndrewKundya Рік тому

      Kwani huko kwenu hakuna Ugali jmn??

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um Рік тому

    Hana lolote ni muongo huyo alikuwa mkiristo tu huyo ni shushushu tu huyo

    • @AndrewKundya
      @AndrewKundya Рік тому

      Ila Mazinge mnaamini kua alijua Mkristo😂😂

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 роки тому +2

    Wakristo atuna mausiano yyte na majini. Ila wezetu wanaswali nao misikitini 😂😂😂😂😂jini yupo kwa ajili ya kualibu ulimwengu so kvp mnaswali nae misikitini?mnampinga Yesu wkt yy ndie atae hukumu ulimwengu jee itakuaje kwenu?kasema kila alie nikataa na mimi nitamkataa mbele ya baba. Waislam lzm mjue msipo okoka lzm motoni.

    • @kondesaidi2040
      @kondesaidi2040 4 роки тому

      Hata ss waislamu hatuna mahusiano na Mashetana,,ila wakristo mnasali na MASHETANI.

    • @kondesaidi2040
      @kondesaidi2040 4 роки тому

      🤣🤣

    • @ngwanafabian9668
      @ngwanafabian9668 4 роки тому

      @@kondesaidi2040 mwamini Yesu jina lako liandikwe mbinguni

    • @samutykuntathebantu8402
      @samutykuntathebantu8402 4 роки тому

      @@kondesaidi2040 shetANI YUPO NANYI

    • @azizasaid7660
      @azizasaid7660 4 роки тому

      @@samutykuntathebantu8402 naww ndo shetani na shetani mkuu mama ako

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 4 роки тому +1

    Begu ikianguka kwenye udongo humea upya, mashetani yote Amir alikuwa nayo yalitolewa na yesu kristo mwenyewe Amir alirundi upya Kama mtoto amezaliwa afresh Wewe unaye mhoji

  • @cupcakesanddounuts6555
    @cupcakesanddounuts6555 4 роки тому +1

    Tuoneshe pictures za kifo chako

  • @marysteven605
    @marysteven605 4 роки тому +1

    Yaan jaman hao Shetan ameifanya mioyo yao I we migum,yaan pamoja na kumuona amekufa na kufufuka Bado wanamtuhum tu kuwa amenunuliwa na wakristo,,tuna Kaz ya kuwaombea hawa watu mioyo yao imejaa ushetan mtupu,

    • @mariamjuma4136
      @mariamjuma4136 3 роки тому

      Muaze kujiombea nyeye na ushetani wenu kwaza. Ndio lje kutuombea siye nyeye mnaoza uko na ushetani. Alf mnataka mtuombee siye. Kweli nyani aone makalio yake.

    • @benjaminkimathi9489
      @benjaminkimathi9489 3 роки тому

      @@mariamjuma4136 jesus is name which is more powerful than other name

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 4 роки тому +3

    "KWA MWENYE AKILI ATAKUWA KESHAELEWA" HUYU NI MJUMBE MFANYABIASHARA...

    • @selemanali5053
      @selemanali5053 4 роки тому +1

      Kwer hata Mimi nimeona

    • @kmwendemusic5379
      @kmwendemusic5379 4 роки тому +6

      Yesu ni bwana.... Na yeye ndiye njia ya kweli na mungu pekee wa kweli, karibu ukombolewe

    • @happynessmarki2780
      @happynessmarki2780 4 роки тому +1

      MUNGU AWAREHEMU

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 4 роки тому

      @@kmwendemusic5379 Yeye Mungu au Mwana?

    • @kmwendemusic5379
      @kmwendemusic5379 4 роки тому +2

      @@shenjamamzingi7950 yeye mungu aliyejitoa kama mwana kuokoa ulimwengu,,

  • @makameally1962
    @makameally1962 2 роки тому

    Hukuwa muislamu ww pumbavu

    • @esterjoseph670
      @esterjoseph670 2 роки тому

      Usipomkili Yesu ya kuwa ni mwana wa Mungu,unaenda Motoni.

    • @AndrewKundya
      @AndrewKundya Рік тому

      Ila Mazinge mnaamini alikua Mkristo😂

  • @VioletEtenyi
    @VioletEtenyi 10 місяців тому +1

    🎉🎉🎉Yesu ni bwana....nakupata vizuri nikiwa Kenya....Kihanja ni nyumbani..karibu tena

  • @judithauma7833
    @judithauma7833 Рік тому

    Amina

  • @tiematiemajohn2710
    @tiematiemajohn2710 3 роки тому

    Amen

  • @johnsahani8158
    @johnsahani8158 4 роки тому +4

    Part 5 wap