Mimi ni mwenyeji wa Kenya, nilishangaa sana huyu jamaa akikadhiria matukio ya huku kwetu hata kuliko Wakenya wengi mbali na kuwa msanii shupavu huyu Dudu Baya anaelewa maswala ya kisiasa na hata duniani...msomi huyu.
WEWE MATAGAZAJI WA MPALLA UPDATES NA DUDU BAYA NYOTE MNAMATATIZO YA AKILI NIMTUGANI WAKWEDAKUMULIZA MASWALI YEYE MWEYEWE HAJIELEWI NIMTU TU HATA JAMI ATAIAMBIA NINI IMUELEWE AJIWEKEVIZU KWAZA AWE MTU WA MUONEKANO WA HISHIMA
Dudu ni mtu mwenye mtazamo mpana wa maisha
Mimi ni mwenyeji wa Kenya, nilishangaa sana huyu jamaa akikadhiria matukio ya huku kwetu hata kuliko Wakenya wengi mbali na kuwa msanii shupavu huyu Dudu Baya anaelewa maswala ya kisiasa na hata duniani...msomi huyu.
Uwe mtangazaji wa radio nakukubari dudu ni zaidi ya baba Revo na mwijaku una IQ mkubwa sana
Dudu ni mchambuzi wa siasa mashuhuri nchini Tz
🎉
Big brain dudu
Fact sana ankal KONK💥
Mashenzi majizi yana kula haki za watu 😂😅
Dudu baya namukubari
Tatizo mondi mzulumati
WEWE MATAGAZAJI WA MPALLA UPDATES NA DUDU BAYA NYOTE MNAMATATIZO YA AKILI NIMTUGANI WAKWEDAKUMULIZA MASWALI YEYE MWEYEWE HAJIELEWI NIMTU TU HATA JAMI ATAIAMBIA NINI IMUELEWE AJIWEKEVIZU KWAZA AWE MTU WA MUONEKANO WA HISHIMA
Sura sio roho,konk3 masta mwendo mdundo
We ndo mbugila kabisa
Kajifunze kuandika kwanza ndo uje hapa ukosoe!
ww una muonekano gan kwenye jamii? yaan inakutambuaje, umefanya nn?🤣😅
Kajifunze kuandika then urudi
🎉