Inna Lilah wa inna ilayhi rajiuni elimu Ina ondoka ujinga una zaidi kudhihili nawa Wana furahi Kwa kuondoka watu kama Hawa yarabi nijalie mwesho mwema Nina wapenda Wana vyuoni wenye adabu na akida ilio kuwa sahihi kama huyu Alie tangulie lifanye kabuli lake ni viiwanja vya peponi Aamiina
Innalillah wainnailayhi rajioun Allah ampe safari ya kheri ampe Kauli thabit amsameh alipokosea amuuingize jannah bila hesab na ss mungu atupe mwisho mwema yarab amiin
Pole kwa waislam wenzangu wote kwa kufiwa na sheikh wetu,tuwe na subra na kufanya kwa wingi dua tukimuombea kwa Allah kareem Insha'allah,Allah ni mjuzi na mwenye hekima........Qallu inna lillah wainna ilahy raaajiun
,اللهم اغفرله ورحمه ورفع درجته في المهديين وخلفه في الغابرين وغفرلنا وله اللهم افسح له في قبره ونور له فيه يا رب العالمين اللهم يمن كتابه وهون حسابه ولين ترابه والهمه حسن الجواب وطيب ثراه وأكرم مثواه وجعل اللهم الجنة مستقره وماؤاه اللهم يا رب العرش العظيم أطعمه من ثمار الجنان كل ما حسن وطاب واجعل اللهم ممن قلت فيهم ويطاف عليهم بانية من فضة واكواب من الذهب والملائكة يدخلون عليه من كل باب سلام عليكم بما صبرتم فنعم عقبى الدار اللهم أعنه على جواب منكر ونكير يا الله انك على كل شيء قدير انك قريب مجيب الدعوات يا رب العالمين وبقولك الحق ان الله يغفر الذنوب جميعا انه هو الغفور الرحيم الهم اجعل قبره خير منزلا اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنة ولاتجعله حفرة من حفر النيران
اللهم كن له بعد الحبب حبيبا ولدعاء من دعا اليه من المؤمنين مجيبا وكتب له في مواهب رحمتك حظا ونصيبا اللهم يا رب العرش العظيم انقله من ضيق اللحود والقبور إلى سعة الدور والقصور في سدر مخضود وطلح منضود وظل ممدود وماء مسكوب وفاكهة كثيرة لا مقطوعة ولا ممنوعة وفرش مرفوعة ما الذين انعمت علبهم من المؤمنين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
اللهم اجعل عمله صالحا مؤ نسا في خلوته اذا او حشه المكان وفارقه الاهل والجيران ان تكون انيسا وشفيعا وتشمله برحمتك الواسعة اللهم ان كان محسنا فزد في حسناته وان كان مسيؤا فتجاز عنه ولقه برحمتك ورضاك وقه فنتة القبر وعذابه وافسح له قي قبره
Asalaam aleykum warrahmatullah wabarakatuh kaka, Babdeo naomba hii audio(Nasheed) Sound track ambayo inasikika hapa wakati tukio la mazishi linaenda kaka. Nimeioenda sana na nitafurahi kama utanipatia kaka.
Yani mtu anaongea kabisa anashukuru shekhe kufa yy hajui kabakisha punz gani hata hajui kama hiyo ramdhqni atafika hakika watu wana roho za kishetwani munawaita wat wa bidaa ikiwa elmu mumetoq kwao
Si jambo jema kufurahia kifo cha muislamu mwezio, Mtume alifundisha tuombeane, tumsalie, tufuate jeneza la muislamu mwenzetu. Ila sasa hapo kwenye bidaa, watu tunaishi na bidaa, mpaka tunakufa hatuzikwi kwenye mafundisho sahihi ya Mtume.
Allah marehemu na msamehe na ss utupe mwisho mwema amin
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Inna lillah waina illah rajioun Mungu amueke pema peponi yarabbi ameen
Inali llah waina illah rajiun Allah amuhifadhi umlaze mahali pema peponi Allah amuhepushie na adhabu ya kabri Amjalie pepo njema inshaallah 🤲🤲🤲🤲😢😢😢
Allah Amlehem Sheikh Wetu Ampe Kaur Thabiti Nasi Atujarie mwisho mwama inshaallah
Allahuma amiin kwa woote mlomuombea shekhe wetu
Allahu sw akufanyie wepesi qabrini na liwe kama vyumba vya peponi na Inshaallah tukutane FIRDAUSI
Mwenyezimungu amrehem shekhe wetu hakika dunia tunapita lipo lakujifunza uwenda kesho mimi au wee dah
Allah ampe Jannatul Firdous inshallah
Khasara akifa Mwanachuoni Allah atupe badili yake inshallah
Kweri mungu ana tisha
Inalilah waililah rajiuni soteniwa Allah nakwake tutalejea 😢 Allah 🙏 atujalie mwisho mwema insha'Allah
inshallah Allah(swt) ajalie kaburi lake kuwa ni bustani katika mabustani ya peponi na amjalie kauli thabit
اللهم اغفرله و ارحمه و اسكنه في الجنة
Inna Lilah wa inna ilayhi rajiuni elimu Ina ondoka ujinga una zaidi kudhihili nawa Wana furahi Kwa kuondoka watu kama Hawa yarabi nijalie mwesho mwema Nina wapenda Wana vyuoni wenye adabu na akida ilio kuwa sahihi kama huyu Alie tangulie lifanye kabuli lake ni viiwanja vya peponi Aamiina
امييييييييييين يا رب العلمين
Amiin
Allahumma Aaamiin
Inalillah
Innalillah waina ilayhi rajiun Miti mikubwa iking,oka cc nyasi tunaungua yaaAllah tujalie mwisho mwema Aamin
innalillah wa innailayh rajiuun Allah ampe kauli thabiti shekhe iddi naampe subra shekhe wetu muft
Inna Lillah wainnailaih raajiun Allah ampe kauli thabbit sheikh letu 🙏🙏
Innalillah wainnailayhi rajioun Allah ampe safari ya kheri ampe Kauli thabit amsameh alipokosea amuuingize jannah bila hesab na ss mungu atupe mwisho mwema yarab amiin
Pole kwa waislam wenzangu wote kwa kufiwa na sheikh wetu,tuwe na subra na kufanya kwa wingi dua tukimuombea kwa Allah kareem Insha'allah,Allah ni mjuzi na mwenye hekima........Qallu inna lillah wainna ilahy raaajiun
Innalilah wainailaih rajiuun sote niwaja wa allah nakwake tutarejea jaman dah 😢shekh allah akupe kitabu chako kwa mkono wakulia aminaaa
Inalilah wainailaih rajiun Allah akupe kauli swabty na kabur lako liwe Bustan ktk Bustan z pepon ❤🤲
Allahumma Aaamiin
إنا لله وانا اليه راجعون ،اللهم إغفر له وأرحمه وعافه وأعف عنه 🤲😭😭😭😭😭😭
Innalilai wainna illah rajiun Allah ampe makazi mema peponi na wote walotangulia ameen 😢nacre Allah atujalie mwisho mwema
ALLAAHUMMA IGH'FIR LAHU WAR'HAM HU WASKIN'HU FILJANNAH
Inna lilah wainna ilayh rajiuun.hakika tumeondokewa mola amlaze mahala pema peponi shekh wetu.
Allah anfanyie wepes katika Kabur lake
Mwenyezi mungu mjalie mwisho mwema shehe muhamad
Allah amjaalie kauli thabit nasi atupe mwisho mwema kwa huruma yake
Inna lillah wanna illah rajuun
Allah akbar 😢😢😢😢rabb mjaalie qauli thabit sheikh wetu aaamin
Innalillah wainna ilayh Rajiuuuun Alaf sema tukiimba Nasheed tunapendeza sana
INALILAH waina ilah rajiuni hakika taifa letu limepata msiba Mzito sana😢😢😢
INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN
اللهوم أمين
Allah ampe qauli thaabit yaa rabbi
Sote ni wakurejea mbele ya Allah kwaiy tusijisahau ndugu zangu tumche Allah...
Umma umempoteza mwanachuoni Mungu amueke na kipenzi wake Mtume .kweli dunia haimuachi mtu Mungu atupe mwisho mwema sote
Allah mlaze pema peponi aamin ya ŕabbalalamiiin
Innalihah wainailaih rajiun
Allah akupe kauli thabiti mbele zake 😭😭
Sana ndugu yangu ujinga unazidi kuzihili elimu inaondoka
ALLAH ampe kauli thabity japo sikuwahi kumfahamu lakin nasikia ni mwanazuoni kwakwel nimeumia yaaa Rabi tujaalie mwisho mwema
Alikuwa na kipindi chake chanel ten cha maswal ya dini
Vigogo vinaondoka,اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة
Mungu akusamehe makosa yako sheikh wetu
Innaa lillah wainnaa ilaih rajiun
Ya rab mpe kauli thabit shekh wetu nasi utujalie mwisho mwema
Inna Lilah wa innailayh rajiuni
Innalillahi wainna ilaihi rajiun 😢😢
Allah amrehemu
Allah amjalie
Innalillahi wainna ilaihi rajiun
Mwenye Zimungu Amrehemu amlaze pema pamoja na wema
Innalillah wainalillah rajiun
Inna Lilah wainnaillah rajooun
Yarabi mpe kauli tdhabi shekhe wetu
😢😢
❤❤❤❤
Allah amrehem
Innalilah wainnailaih rajiun dah jamani ni ngumu sana kuamin
Kiukweli sikuwahi kupata mafunzo yake ila huu msiba umeniumiza san mwenyez mung ampe kauli thabiti na amsamehe makosa yke na ampe mwisho mwema🙏🙏🙏
Mbona Yapo Kila Maali Bado Ujachelewa Uzuri Ametuachiya Kumbukumbu Wakati Wa Uwahi Wake Mungu Amuepe Pewa Penye Wema Pepono Amina
@nurusaid4698 ni kweli lakin imeniuma San nataman ningemjua Toka mwanzo
Mungu amilaze mapema peponi
Siku ngumu hii,yarabbi tupe mwisho mwema
Safari ngumu iyoooo sanaa
Allah amsamehe makosa yake
Mungu ampe kauli thabit
😭
Inauma jamani...
😭😭😭😭
Wana zuoni wanaondoka huu ni msiba mkubwa inna Lilah wainnaillah rajiuun
😭😭😭😭😭😭😭😭
,اللهم اغفرله ورحمه ورفع درجته في المهديين وخلفه في الغابرين وغفرلنا وله اللهم افسح له في قبره ونور له فيه يا رب العالمين اللهم يمن كتابه وهون حسابه ولين ترابه والهمه حسن الجواب وطيب ثراه وأكرم مثواه وجعل اللهم الجنة مستقره وماؤاه اللهم يا رب العرش العظيم أطعمه من ثمار الجنان كل ما حسن وطاب واجعل اللهم ممن قلت فيهم ويطاف عليهم بانية من فضة واكواب من الذهب والملائكة يدخلون عليه من كل باب سلام عليكم بما صبرتم فنعم عقبى الدار اللهم أعنه على جواب منكر ونكير يا الله انك على كل شيء قدير انك قريب مجيب الدعوات يا رب العالمين وبقولك الحق ان الله يغفر الذنوب جميعا انه هو الغفور الرحيم الهم اجعل قبره خير منزلا اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنة ولاتجعله حفرة من حفر النيران
اللهم كن له بعد الحبب حبيبا ولدعاء من دعا اليه من المؤمنين مجيبا وكتب له في مواهب رحمتك حظا ونصيبا اللهم يا رب العرش العظيم انقله من ضيق اللحود والقبور إلى سعة الدور والقصور في سدر مخضود وطلح منضود وظل ممدود وماء مسكوب وفاكهة كثيرة لا مقطوعة ولا ممنوعة وفرش مرفوعة ما الذين انعمت علبهم من المؤمنين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
اللهم نور مرقده وعطر مشهده وطيب مضجعه وانس اللهم وحشته وارحم غربته ونفس كربته وقه عذاب القبر وفتنته اللهم يا قاضي الأمور ويا شافي الصدور كما تجير بين البحور أجره من عذاب السعير ومن فنتة القبور
اللهم اجعل عمله صالحا مؤ نسا في خلوته اذا او حشه المكان وفارقه الاهل والجيران ان تكون انيسا وشفيعا وتشمله برحمتك الواسعة اللهم ان كان محسنا فزد في حسناته وان كان مسيؤا فتجاز عنه ولقه برحمتك ورضاك وقه فنتة القبر وعذابه وافسح له قي قبره
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
اللهم الحقنى بالصالحين
Asalaam aleykum warrahmatullah wabarakatuh kaka,
Babdeo naomba hii audio(Nasheed) Sound track ambayo inasikika hapa wakati tukio la mazishi linaenda kaka.
Nimeioenda sana na nitafurahi kama utanipatia kaka.
Alijua kifo,alitunasaha kujiandaa,yeye alijiandaa ,
Nikifikria hii siku nashindwa niseme nn
KwaaKweli Mufti Wetu Haamini Anachokiona hapo, Maana Huyu Sheikh Mohamedi Iddi Alikua Nguzo katika imani Lakini inalilahi WainaiLahi Rajiun.
Yani mtu anaongea kabisa anashukuru shekhe kufa yy hajui kabakisha punz gani hata hajui kama hiyo ramdhqni atafika hakika watu wana roho za kishetwani munawaita wat wa bidaa ikiwa elmu mumetoq kwao
Tena ni WA Islam hatar sn yn kwa hakika wasomi na wenye Iman yakwel hawawez kutamka maneno km hayo,Allah ampe qaul thabit marehem
Si jambo jema kufurahia kifo cha muislamu mwezio, Mtume alifundisha tuombeane, tumsalie, tufuate jeneza la muislamu mwenzetu.
Ila sasa hapo kwenye bidaa, watu tunaishi na bidaa, mpaka tunakufa hatuzikwi kwenye mafundisho sahihi ya Mtume.
Inna lilah wa inna ilaihi rajiun
Innalilah wainailah rajiun