QASWIDA YA HUZUNI, IKIIMBWA NA BINGWA,KIFO CHA MOHAMMED IDD, KIMEWALIZA WENGI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 45

  • @suleimanroba5896
    @suleimanroba5896 3 дні тому +1

    Mungu amueke mahali pema peponi.

  • @SaumuMohammedMohammed
    @SaumuMohammedMohammed 7 днів тому +2

    Allah akupe kauli thabit,,, sheikh wetu😢

  • @omarkhamys9818
    @omarkhamys9818 9 днів тому +2

    Innalillah wainnailayh rajiun...... Shk wetu Allah akuweke mahala pema peponi

  • @MuhammadSalum-u3f
    @MuhammadSalum-u3f 7 днів тому +1

    🎉 Allah atamhafizi. Kwa matunda aliyo tuachiy twajua Siyo msiba wa watanzani pekee. Bali ni ulimwengu mzima inauma San. 🙏🙏🙏🙏

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 8 днів тому

    Allah akulaze pema penye wema Sheikh Muhammad Idi Wallahi Pigo kubwa Mie kwetu Lamu Kenya Msiba wa Sheikh umenigusa vibaya Mno ela ni Kazi ya Allah haitolewi Makosa

  • @abulhakim2294
    @abulhakim2294 2 дні тому

    Kweli ndgu yangu ss watu wa amu tumehuzunika zaidi , lkni twasema inna lilahi waina ilehi rajiun. Alhamdullah Alhamdullah , na twa ambia watu wa tanga na darisalam ple sn tuko pamoya katika hunu msiba mkubwa wa mwana chuoni wetu mtetezi wa sunnah na twariqa. Alhamdullah tumesoma tausia kila mahali

    • @sabikhatv
      @sabikhatv  2 дні тому

      @@abulhakim2294 kubwa Allah atujaalie kila lenye kheri na subra kubwa

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 8 днів тому +1

    MASHAALLAH omary ALLY SHARO

  • @FatihuAdamu
    @FatihuAdamu 7 днів тому +1

    Hakika zote niwa mungu na kwake tutarejea ila dah kifo cha sheikh abuu iddi kimeniuma sana

  • @saumumohamed4288
    @saumumohamed4288 8 днів тому

    Innalilahi waina ilayhi rajiuun. Allah amfanyie wepesi katika kaburi lake

  • @SophiaNasoro
    @SophiaNasoro 8 днів тому

    Allah amjaalie kauli thabiti inshallah

  • @mohdsaidi-s7p
    @mohdsaidi-s7p 8 днів тому

    Amin

  • @salimsaid7281
    @salimsaid7281 9 днів тому +2

    Inna lillah Wainnailayh Raajiun

  • @FadhilaMwinyi
    @FadhilaMwinyi 6 днів тому

    Inna Lilah wainna ilah
    Ilayhi raajighuun

  • @mohdsaidi-s7p
    @mohdsaidi-s7p 8 днів тому +1

    Inalillah wainailaihi Rajiun

  • @AlwassaKaran-v9l
    @AlwassaKaran-v9l 8 днів тому

    Mungu amrahamu

  • @SuleimanMadaha
    @SuleimanMadaha 9 днів тому

    innalillah wannailyhrajiun

  • @ZabibuAman
    @ZabibuAman 6 днів тому +1

    mungu akupe kauli thabiti inshallah mbele yako nyuma yetu safari yetu moja

  • @IssaFumo-e4j
    @IssaFumo-e4j 8 днів тому

    Innaa lillaahi wa innaa ilayhi raajiuun

  • @MgazaMhina
    @MgazaMhina 8 днів тому +1

    Inalillah wainaillah rajiun,jaman hiv kweli unahudhuni ya kufiwa na mtu unaempenda unapata wapi muda wa kuimba Qaswida

    • @Hajiwahaji
      @Hajiwahaji 8 днів тому

      Ndugu yngu umesema kweli

    • @KhalifaSaid-c6c
      @KhalifaSaid-c6c 8 днів тому

      Maswahaba wako walio sikitika Kwa msiba wa MTU Kwa mashairi

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 8 днів тому

      @@KhalifaSaid-c6c hapo ndio kwenye shida wewe umekupata msiba wa mtu unaempenda unaweza fanya hivyo au unatetea nini hapo

    • @KhalifaSaid-c6c
      @KhalifaSaid-c6c 8 днів тому

      @@MgazaMhina kwaiyo walio mtolea mashairi MTUme wetu Baada ya kufa walikuw hawampnd soma mashairi ya sayyidn hassan bin thaabith na wengin

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 8 днів тому

      @ mimi nimekuuliza wewe,unaweza kufanya hivyo ukipata msiba wa mtu unaempenda,mimi nimewaza kwenye nafsi yangu nimeona siwezi

  • @zanabumanoo9873
    @zanabumanoo9873 8 днів тому +1

    Kuna kujua ulichokisoma na kujua wakat gani wa kusema pia aliekwambia hii ni kaswida ni nani??

  • @HuseinMuhammed-y1q
    @HuseinMuhammed-y1q 4 дні тому

    Mtu wa Bidaa hata akifa Bidhaa inaendelea

  • @Muswlih
    @Muswlih 8 днів тому

    Ss c mumuombe Dua TU nyimbo za kz gn ? Dah

  • @BakariMrisho-q9f
    @BakariMrisho-q9f 7 днів тому

    Ama kweli elim ni nuru na ujinga ni giza mmemshambulia kijana alosema ameshukuru kwa kifo nyie badala ya kuhuzunika na kuwaidhika mwaimba nyimbo

    • @zahranabdi8124
      @zahranabdi8124 6 днів тому

      Kwani Dhambi waloifanya hapo ni nini kuimba Mashairi ama mbona tumeufanya uislamu Kam simba na yanga kwako Zuri kwa mwenzio baya

  • @أبوفيصل_الحنبلي
    @أبوفيصل_الحنبلي 8 днів тому

    hhahahahaha daaah Na Muzik ukatungwa.
    Allah awaongoze Kuifata Manhaj Salafi Mmejawa na Mabidaa.

  • @majaliwaking4500
    @majaliwaking4500 8 днів тому

    Duu tunakuwa kama wakristo MTU akifa kwaya

    • @SheinYahaya
      @SheinYahaya 8 днів тому

      Kwenye majonzi uwe serious siyo lazima wakufate wewe kwani wewe kwa nini huwafati ? Qaswida unasema kwaya?

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 днів тому

    Sasa jamani haya nimambo gani sasa enemies watu wamaulidi

  • @IssaFumo-e4j
    @IssaFumo-e4j 8 днів тому

    Innaa lillaahi wa innaa ilayhi raajiuun