BMG TV: Mahojiano na mtoto mwenye maajabu huko Rorya, Eunice Ogot
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- BMG Online Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co...
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis ua-cam.com/video/qmCohLLxlOA/v-deo.html namba iko kwenye hii video.
naomba uniulizie baba Unis maji yangu iko wapi its one month going
kaka nakuomba maana wewe ndiye uliye fanya nijuwe kuna maji ya baraka nimekumbusha baba Eunice ajibu text zangu tangu date 2th last month nilivyo tuma hela za maji kutumiwa Rome Italy hadi wa leo sijawai pata maji wala sijibiwi mbona?
@@judithmelvinealuchio8968 unaomba nini?
Naomba kuwasilisiliana na wewe
Please kuhudu huyo baba Eunice namba yako ya sim please. Namba yako weee
Always watching you from SAUDI ARABIA but kindly from Kenya 🇰🇪
Mungu amlinde huyo mtoto Ili aendelee kuponya watu.
Amina
Am happy I personally visited her and am seeing dramatic changes Christopher from Arua Uganda.
Directions please
Uendelee kutukumbuka kwa maombi mimi kutoka south Africa na ubarikiwe
ubaya ukituma hela utumiwe maji haitumwi
Mungu wangu unilinde kanisa katoriki duniani kote amina viogozi wetu amina umlinde mtoto uyo amina
bro naomba uniulizie babake Eunise maji huwa inachukuwa mwezi muzima kufika through DHL nimesubiri hadi nimechoka
Una mawasiliano yake?
@@BMGOnlineTV huwa ananiambia natuma natuma kila baada ya siku tatu juzi alisema wiki jana inafika nimemutumia ukumbe ajibu tangu juzi
@@judithmelvinealuchio8968 pole, endelea kumkumbusha
@@BMGOnlineTV amekuwa online nikama hataa amenitoa kwa least ya WhatsApp wakati nimekutumia ujumbe na nilituma hela kwa line ya voda akanijibu through line ya tigo yenye hufanya WhatsApp so niambie kaka utaratibu huwa gani?DHL iwezi chukuwa one month kufika ulaya
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Waombee wapate maarifa
@@BMGOnlineTV Amina. Tunafanya hivyo kila siku watu wafunguliwe akili
Mungu mwache aitwe Mungu
Penye miti akuna wajenzi imani ndio
Hahahaaaa
It would be blessed if there can be an English translater.. 🙏👍💖💜♥️💓
Ok
Lord we thank you for your Angel Eunice protect her Mother Mary we love you and I know you will do more sister Eunice pray for Kenya as we approach the Elections I know I will see Eunice very soon
I wish we can have some holy water online. She is a precious little daughter God bless you and you Agnes Julian Obgot
Amen
Nawasikitikia acheni kudanganya watu hakuna dini ya haki na yaukweli isipokuwa ni uislam tu
Shika sana Imani yako
Iman Yako ndio itakuokoa na sio udini wako🙏🙏
Hey mam mungu A kubariki zaidi
Mungu ni mzuri SANA Amen Amen
Dada Eunice uniombe uponyaji na ukombozi.Mwenyenzi Mungu akulinde.Ameen.....................
Amen
Yunis mtoto mzuri umezaliwa na kuleta baraka kwa familia wamepata makaazi mazuri Wageni kwa wingi ni neema kubwa Mungu abariki kazi za mikono yako Wasaidie wote wenye Imani
Kijiji gani
Bukama Rorya
Please translate Eunice to English not everyone speak your language!
Kweli Ni Yunis Mungu anamutumia. Kanisa ni kutowa shukulani
I numbed iko na WhatsApp mimi kwa Sasa niko Saudi Arebia urabuin I know Eunice through here online, and I know is true miracle. Am from Kenya 🇰🇪 sending love...
ua-cam.com/video/1Dg11QvZXIc/v-deo.html hapo
Hasipiwe yesu mimi niko kenya naweza kupata maji
Indeed she's an Angle from heaven she's the chosen one to heal the world 🌎 full of sicknesses full of sorrows Baby Yunice may our heavenly Father guide you protect you and bless 🙌 you always,na wale wabaya wako wote Mungu wa binguni asiwape nafasi more more Grace to you Yunice
Barikiwa
God protect the little Angel strength the parents powering their faith to spread that miracle all over the world bless all believe in you in different religions Amen *
Hail Mary full of grace the Lord is with you . Mtoto Eunice, tell MAMA we are greatful for her presence in our lives. Grace. Kenya
Hizi n baraka kutokza kwa mwenyezi mungu,tunamshukuru mungu kwa miujiza anayotuletea ILi kutuimarisha kiroho na kuimarisha Iman yetu ya kikristo
Angel Eunice. I am Apindo Safiya From Nigeria, I need your prayers of healing and deliverance in my Life. i have been suffering from spirit husband, monitoring spirit, blockage, witches, backwardness etc. please God send Angel Eunice pray for me. Thank God for your Life in Jesus name. i will call you.
Amen
The one who was taking pichure of Eunice was not having good intentions, that is why, so great testimony glory to God.
Nielekeze ili nije huko naamini mungu ataniponya
Wako Bukama Rorya
Sasa tuombe sana tumwachie mtoto Eunice afanye kazi zake za kiume na uponyaji,tuache kwenda pale na kuanza kumhoji mhoji tena maneno na maswali magumu hasa hawa waandishi.Mbona watoa huduma wengine hamuwahoji?
Mwacheni mpe muda afanye kazi.
Pole
Wow this language is too much I can't understand a thing
Tunakuombea Yunis Sana
without God we can't do anything with God every thing will happen
Amen nmeshukuru sana mungu awe pamoja nanyi kwa kazi nzuri. Naomba maelekezo ya mtoto Eunice nitumie maji nko na imani kwa sai nko uarabuni mbarikiwe
Ubarikiwe
How do I reach to eunis from Uganda to Tanzania and how much will that cost interest of money
@@joacynfast6825 Via Mtukula tu Mwanza then to Bukama Rorya.
Lazima nije nipate uponaji Kwa sister Yuni.
Niko Kenya naomba nipate direction ya kufikia sister Yuni tafadhali
Unaenda lini tafadhali tuendanishe please
Naomba uzima nije kwako Sr.Yunis jamani nakupenda sana mwanangu umebarikiwa endelea kuliombea Taifa letu Tanzania
Ntaenda December
@@lydiahanyango5066 nilithani munaenda hivi karibuni niwatume muniulizie tangu nitume pesa za kutumiwa maji hadi leo sijawai tumiwa Italy mwezi umeisha napelekwa tu hivi hivi sasa hata siongeleshwi mukifika muniulizie my Kenyan sisters
Mungu ni mazuri sana sana Amen Amen
Amen
Eunice mama you have grown big.
Asante mungi
We thank God for the gift of sister Eunice.May she contnue to grow in the Lord.
Huyu ni mama agi, mamayake mwigine ni bikira maria, kaka yake ni yesu,majibu ya mtotowetu uni yamenifulahisha kabisa.
Barikiwa
Yunis...nimangilia...maji
Barikiwa
Daughter of our Mother Mary I love one-day I must come I believe
Amen
Natamani sana kufika hapo
Amen
Nyinyi ni wabalikiwa
Amen
Mimi naitwa veronicah Kennedy nilichukua maji yalinisaidia pia Nina shida ya tumbo mniombeeni sana hasa sister Eunice
Amen
Kwa Imani moyoni mwangu haijalishi umbali wangu na kwa kina mtoto Yunis, nitayapata hayo Maji na shida zangu zitakwisha. Watching from Kenya 🛐🙏
Amen
I miss facing this little gifted angle but in God's name I will
Karibia
May god eunce
Niko nauliza banduku miye balisha ngiba Hela ifinikifika kwa eunice ogot akiniyombeya batalundisha Hela bale bantu baliniba nilikuwa nakopesha ya intere
hahahaaa utabarikiwa utapata nyingine
Niko Kenya naeza para maji
The baby is talented true true
Amina sister Eunice 🙏🙏🙏 nashukuru mungu soon nitapata maji 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Barikiwa
The great God.. i love what ever come from God..💘💘💘💘💘🌍
Amen Mama Unice far but praying together!
Blessed
Ujinga huu kweli ujinga hauishi
Imani
Sio ujinga inaweza ikawa keli ila hatupaswi kumuabudu unice kama mkombozi wetu 🤔🤔🤗🤗
English translation would help more to draw many soles for blessings
Ok
God bless you yiunis
Let God bless this family and protect them 🙏 baby yunis continue pray for us
Amen ✋ 🙏🏻
Roho ya utatu mtakatifu kutokie kwa huyu aliyepigia enice pichure with bad intentions, it shows that she was going against the holy trinity.
Pray pray yuni. God loves you
naomba sister Eunice aniombee niandikwe kazi uku Nairobi Kenya .Pia maonevu na kudhulumiwa kuniondokee nikuwe huru.
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis ua-cam.com/video/qmCohLLxlOA/v-deo.html namba iko kwenye hii video.
@@BMGOnlineTV nahitaji Maji nipo daresalam
Amen 🙏
OGod strengthen faith of baby yusi to countiue in is mission.
Amen
MUNGU awambariki sana sana sana na amulinde sister Eunice Amen 🙏🙏🙏❤️
Amen
Natokea Kenya nikijahuko napitia namanga ama upande wa Mombasa tafathali nielekeze🙏🙏🙏MUNGU awambariki sana
@@benitamusembi6685 Isibania-Sirari
Goroto ndo nini plz mungu asidi kutumia huyo mtoto in Jesus name
Nyumba ya Sala/ hija
Prayer room, power room 🙏🏿
@@immaculatenyongesa4293 Amen
Ni chumba maalum haswa imetengwa na kanisa katoliki Kwa ajili ya mama Maria. Sana jujengwa Kwa mawe
Na kwq online kwq wenye wako mbali wanahudumiwa aje
Sikiliza vizuri hapa ua-cam.com/video/1Dg11QvZXIc/v-deo.html
parents of little angel Eunice blessed **** just speak the truths do the right things to glorify the name of God !!!!
Amen
Amen Amen 🙏🏻 🙌 👏
Niko uarabuni Bahrain nitaweza pata aje maji???
Sikiliza hapa hadi mwisho ua-cam.com/video/1Dg11QvZXIc/v-deo.html
Amen
I love this girl God continue to protect you dear
Amen
🙏🏾🙏🏾❤
Kazi za kitume siyo kiume
Sawa
God bless sister EUNICE keep protect her
Amen
Amen
Hasipiwe yesu mimi niko kenya nita pataje
Sikiliza kwa makini hapa ua-cam.com/video/1Dg11QvZXIc/v-deo.html
Habari ,mimi ni Berna ,niko Nairobi kenya ningetaka kufika huko ,naomba unielezee ile njia fuoi ya kunifikisha kule, sina idea
Ulizia huko Kenya njia ya kufika Tanzania ni ipi.
Njia rahisi ni kupitiwa Isibania-Sirari
Sirari' tarime'uliza magari ya kwenda Bukama utakuwa umemwona yuni"
@@khadijayusuph2634 kabisa
Kuweni makini wanadamu ni siku za Mwisho.
Sawa
Mimi nakwambia kama utaki Laana kutoka Kwa MUNGU achana nauyo mtoto kabiza funga kinywa choko ,, MUNGU ndie judgement ,,kama ujui hunduma za MUNGU ndani ya mwanadamu utasoma 1 wakorintho 12,4,11 nautazaidika ,atajua utendaji Kazi WA MUNGU ndani ya mwanandamu,kuongozwa na Maraika ,Ile tu wewe naona unatafuta Laana kutoka Kwa MUNGU ,nko Kenya Mimi ,Ila najua Kuna hunduma 5 nakila mtu alipoke aile yake ,kama wewe kaka ujitabui omba Roho mtakatifu aweze kufungulia kipawa chako nigani ,nauwache wivu, mtoto Eunice Ni sister wa kabiza , mtumish wa MUNGU, 👏
@@florenceflorence1170 Amen
Unaongea huna ufunuo wala Hujajazwa na Roho mtakatifu akujulishe yalo mema namabayai nipe namba yako nikutumie ki2 whatsap
This ministry needs to be Supported ❤❤❤❤ God bless you sister Eunice.
Amen
Kila wakati napomwona Mtoto Yunis najawa na furaha kweli. Asante BMG TV Kwa habari hizi natumai wakati ukifika nitafika huko. Baraka Tele. Atukuzwe Yesu Kupitia Mama Maria 🌹
Amen, Barikiwa
Yunis nakupenda sana naomba baraka zako ziifikie familia yetu yote .Kwa namna ya pekee najileta mwenyewewe na changa moto zote ninazopitia Nina lmani naYunis kupitia Mama Bikira Maria zitakwisha pia Namleta kwako Mamangu mgonjwa anayesumbuliwa na Ugonjwa miaka mingi umponye Sr.Yunis.Naleta kwako pia Babangu mzazi Nina lmani utaniombea na yote yatawezeka hakuna linaloshindikana kwako
@@albertamligo1350 amen
Amen
Amina
Tumsifu yesu kristor
La watachuma pesa kama njugu ujanaja kwa wajinga shirki tu watu wengi watajuta kushiriki bwana sio mchezo motoni bila ya kutoka
Wamekulazimisha kwenda? Ni hiari yako/ ya wanaoenda
Tuelezee kutoka Kenya mtu anafikaje na hela ya huduma ni ngapi ya kenya
Anapatikana Kijiji cha Bukama Rorya mkoani Mara, Tanzania. Huduma ni shilingi 3,500 za Tanzania.
Nishafika uko ni shillingi mia mbili ya kenya tumia njia ya serare kisha uchukue gari hadi tarime alafu pale utaulizia gari ya kwenda sirati rorya kwa maombi
@@otienonyamwalokeya8062 Barikiwa sana
@@otienonyamwalokeya8062 hebu nikuulize ukitoka Kenya asubuhi utsfika kweli?
Miko na mtoto akili shida kidogo I really need to take her.
Na hiyo maji itasaidia mlevi pia?
@@otienonyamwalokeya8062 pale Kwa boda wanataka Nini ndiyo uvuke?
Mungu akubariki yunis na wazazi Yako Amen
Amen
Kumbe Uyu mtoto nimkenya
Umesikia wapi?
@@BMGOnlineTV pesa ngapi kuletewa maji kenya
@@esthermwikali5403 sikiliza vizuri hapa ua-cam.com/video/1Dg11QvZXIc/v-deo.html
Mtz
Hapana ni mjaluo wa tnz