BMG TV: Sakata la Baba na Mama Yunis lachukua sura mpya #04

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024
  • BMG Media- Pamoja Daima!
    Tovuti www.bmgblog.co...
    Facebook / bmghabari
    Twitter / bmghabari
    Instagram / bmghabari
    #BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

КОМЕНТАРІ • 132

  • @carolinelupembe5529
    @carolinelupembe5529 11 місяців тому +2

    Hizi tamaa sio nzuri

  • @ackileymalisa-yx4ej
    @ackileymalisa-yx4ej 11 місяців тому +2

    Mungu ailinde Familia ya Tunis na Wazazi wake.

  • @EverlynAndeo
    @EverlynAndeo 2 місяці тому +1

    Sawa kwa mama kwa sababu ya neema ya mtoto mungu awe naye kwa kezi ya mtoto kwa mungu baba think twice kwa hudma ya mtoto.

  • @bernicenduku3368
    @bernicenduku3368 Рік тому +3

    Kaa na huyo bibi umeoa,alafu mungu anyooshe kichapo kikali kwa huyo bibi na wewe ,kwa kuchafua kazi yake,kiwarambe dunia ishangae

    • @BrendaMarani-ml1lv
      @BrendaMarani-ml1lv Рік тому +1

      Na kitawaramba kwanza huyo mwanke aondoke hapo hakuna vile utaharibu nyumba mwingine

  • @sophiaoddiaga5113
    @sophiaoddiaga5113 Рік тому +5

    Wewe Mzee Kuna ulichomfanyia mama Yunis SI Bure Iko namna

  • @aaaa-g5o8x
    @aaaa-g5o8x 27 днів тому +1

    Mnanzaa kungaanya mali ya yunusi mungu atawapiga fimbo moja tu

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Рік тому +4

    Una tamaa wewe mwanaume umepata pesa kwa mtoto acha tamaa😊

  • @joyceavisa4520
    @joyceavisa4520 Рік тому +5

    Waache kuangaisha malaika wa mungu watachapwa na mungu

  • @Josephinelatin
    @Josephinelatin 3 місяці тому +1

    Baba unice mwohombea mama unice kwa sababu ni roho mbaya imemngia sio kupenda kwake shetani anawapinga vita mnasitaili kukoma kiroho

  • @jackyanyango967
    @jackyanyango967 4 місяці тому +1

    Mama unice thafadhali rudisha mtoto nyumbani wacha kuchezea nguvu zake Mungu

  • @martinamturano2152
    @martinamturano2152 Рік тому +3

    We Mzee ni mzinzi huna haya😩 Mama Yunis kaona unachafua karama ya Mtoto. Hao wanawake wakuzalie Mtoto kama Yunis. Sura mbayaa

  • @clementinakabaka7447
    @clementinakabaka7447 Рік тому +10

    Tena familia ina mapadre na sista huyo mzee ni mbabe na anatamaa ya pesa na mali anaonekana kwenye clip zote ukifiatilia ila mama ndiyo yupo kiroho.baba analaumu hata wanaopona bila kutoa shukrani kwao amesahau shukrani ni kwa Mungu na ni popote kadiri mtu anavyoshuhudiwa.apunguze maneno mengi na aache hiyo dhambi ya uzinzi kama kweli anasema maji yanatakasa aanze yy kujitakasa na huyo mtoto kwa kuwa anajua mabaya kama ameridhia kuondoka ina maana amekubali kutoka hapo mzee atubu na aache ujinga wa kutumia fedha za maombi ya wagonjwa kufanyia uzinzi

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Рік тому

      Umelenga mule mule

    • @leticiakaijage1060
      @leticiakaijage1060 Рік тому

      Mzee 0got unaliabisha kanisa katoriki ,mkatoliki afunga ndoa na make mmoja we huyo wapili wanini?hiyo nidhambi ya uzizi ukaungame umeharibu Imani za watu,alfu una maneno mengi unajifanya kwamba uko sawa haukosawa huyu mama umemuumiza kwa uzinzi wako ,kama wewe ni Mzee unatafuta nini kuoa usimulaumu mkeo wewe ndiyo mwenye makosa kanisa katoriki hakuna ndoa ya watu 2 jiheshimu Ili Mungu akuzishi baraka .

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897

    hapa kuna fitna fulani inaendelea.huenda kunamtu anamushauzi vibaya ilikusudi gamilia isambaratike.Mungu awalete pamoja inshaaAllah

  • @LomayaniLukumayi
    @LomayaniLukumayi 4 місяці тому +1

    Amen

  • @joyceavisa4520
    @joyceavisa4520 Рік тому +2

    Mungu dio alituma huyo mutoto mutulie muache mungu aandelee na kazi yake

  • @aaaa-g5o8x
    @aaaa-g5o8x 27 днів тому +1

    Tamaa ni mbaya sana na wewe mnzee wewe ndio umesambabisha hayo

  • @JoaquinaZacarias
    @JoaquinaZacarias Рік тому +1

    Nashukuru sana husikiliza habari jinsi changamoto zilitokea huko Bukama. Ni huruma sana kutumia jina la mama Bikira Maria kibiashara! Tuwa himara wakati upepo mkali unapotufikia. Jenga nyumba yako kwenye mwamba, kukija mafuriko ama upepo mkali nyumba iendelee kusimama.

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 Рік тому +3

    Soma biblia tena. Unachanganya kila kitu. Isaka hamuwa na wake wengi ila mwanae Jakob. Katoka kanisa huruhusiwi kuoa wake wengi. Hapo ni mahali patakatifu, umeshapachafua na kumtorosha mtakatifu nwenyewe. Inasikitisha sana.

  • @edwinamboyi9138
    @edwinamboyi9138 Рік тому +4

    But why did you marry in a month if not you were in relationship...na wamama wenye huwa tayari kuoleka kwa Mme wa kwake l pity you 😊oooh

    • @nicolenabintu2509
      @nicolenabintu2509 Рік тому

      This man is weekend, he’s the betrayal of the family, almighty God will punish you baba Yunice ume haribia mtoto kipaji na umalaya wako 😭👎🏽

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Рік тому +3

    Mbona mwanzo ulisema huchukui pesa yoyote kwa watu mbona sasa unaonyesha mapesa uliyonayo

  • @dominicmutuku9206
    @dominicmutuku9206 Рік тому +1

    Hio boma mungu alikua ameiteua kwa kumtembelea mtoto juni ,,,sasa msee OGOTI umemuruhusu shetani akutumie kuharibu huduma ya mwanao Junis Kwa kukuweka kiburi jua kwamba she Tani spendi huduma ya mungu inapaa huwe mtakatifu hata kukaribia hayo maji Chung'a mungu WA juni asikupige.

  • @kakajoeprosper957
    @kakajoeprosper957 Рік тому +2

    Wewe baba, aca kukariri biblia ambayo aujuwi, usiteteye uzinzi wako kwa kuoa mke wa pili, iyo sio imani ya dini yako katolika, ayo ni yakwako umekiuka sheria ya biblia, tangu mwanzo Mungu aliumba adam na eva, Yesu pia alikuja kuweka mambo sawa soma marko 10:1-12, sasa acha ujinga, wewe kubali kama una makosa kwa kuoa mke wapili, anza kwanza kufukuza uyo mpango wa kando kiisha ndo umubembeleze mkeo arudi, tena usimuhukumu kwa sababu wewe ndie umeyaleta, mke anawezaje kuondoka mda mufupi ulishaleta mke mwingine inamaana alikuwepo tangu zamani, usituchezeye akili bana, bilashaka ilo ndoo canzo ca ugomvi wenu, wewe itika kosa usiseme amukuzozana, jambo jingine sio vizuri kuusisha watoto kwenye mambo ya ndoa, apo unaua ico kizazi, wewe pambana na hali yako na Mungu atakusaidia.

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Рік тому +3

    Hii story ni marudio,si ulikwisha tuletea.

  • @mwanaidsabih8631
    @mwanaidsabih8631 7 місяців тому +2

    Wewe baba yuni wewe na huyo muhudumu wa gesti sio bureeee

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  7 місяців тому

      Hahaha umehisi ndivyo sivyo

  • @husseinhassan4920
    @husseinhassan4920 Рік тому +2

    Mzee Ogot tafuta mahali Mama Yunis na Yunis wako orudishe away nyumbani.Tafadhali fanya kwa hio.

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Рік тому

      Atamtafute wapi??? hawezi acha watoto aingie mitaani kumtafuta ATAANZIA WAPI? reporte police wamtafute ndio solution iliyobaki

  • @JonezMtakale
    @JonezMtakale 4 місяці тому +1

    Watu wa Mungu pia hujaribiwa ila upatwapo na jaribu basi omba neema kiburi kisije kukutawala

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 4 місяці тому +1

    ukewenza usikie ... huyo mzee atakuwa alikuwa na huyo mke wa pili!!

  • @aaaa-g5o8x
    @aaaa-g5o8x 27 днів тому +1

    Weeeh ati nyumba😢😢😢 kwani ni bihashara

  • @donathajasson6401
    @donathajasson6401 2 місяці тому +1

    Mhhhhhhh! Ugomvi wako ni kuongeza mke wajaruo mna nn nyie kabla ya Yunice mbona haukuoa Yunice uko wapi jamani ebu nyoosha kidole tu kwa huyu mke wa baba jamani 😂😂

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 Рік тому +5

    Kama akili ilikuwa kujitajirisha, si ajabu umeharibu kila kitu. Aibu iko upande wako baba wa watu.

  • @CatherineSuda-u7x
    @CatherineSuda-u7x Рік тому +2

    Mzee umeshangaza usituletee hadithi zako acha mahubiri Yako umekosea kwa Nini uoe haraka haraka acha kutoa mashahidi hao ni watoto hawajui ya ndani kwenu pesa ilimuua YESU na ndoa yenu itasambalatishwa na PESA

  • @aaaa-g5o8x
    @aaaa-g5o8x 27 днів тому +1

    Kumbe ulichafua madhabau ya mtoto na kuzini😢😢😢

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 Рік тому +3

    Huyu naye kachanganyikiwa anahitaji maombi Romani ukishaoa mke wa pili umeshajifungia sakrament akili ameshaharibu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Рік тому +4

    Mgogoro Upo. Maswali yako mtangazaji sijayaelewa. Ilibidi I’m and huyu mzee. Kwa vile Mtoto huyu ni kupitia dini ya Roma huyu mzee haruhusiwi kuoa mke wa pili na kutumia maslahi yake binafsi. Ana Inja nguvu ya mama Bikira Maria kupitia mtoto Yunis. Baba mbovu. Mi ningemtelekeza kabisa huyu baba.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  Рік тому +1

      Ungependa wakati ujao tuulize maswali gani?

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Рік тому +2

      @@BMGOnlineTV mnajua wazi anamtumia pesa kutoka huyu Mtoto kujenga nyumba ya biashara na kumweka mke wa pili pale.
      Achume Mtoto na mama achukue kupitia imani za watu. Ni tapeli. Analialia kama Mtoto hajui hasara a shoo-in Giza kwa familia kwa Ubinafsi na kuwa Tunis nyinyi. Hajiheshimu wala ham heshima huyo Ukitaka Maria. Ni tapeli mkubwa na mbinnafi hajali familia na hakiheshimu.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  Рік тому

      @@TM-zs3rm wakati ujao tuulize maswali gani?

  • @JoaquinaZacarias
    @JoaquinaZacarias Рік тому

    Katika kanisa katoliki la Roma sijasikia ndoa ya wake wawili ama zaidi! Tangu mama Yunis aondoke na baba Yunis kuoa, ni mda mfupi sana, lini mlifahamiana hadi kukubaliana ili kuishi pamoja kama bwana na bibi. Imani yako baba imekupotosha, usimuhukumu mama Yunis tu, kwanza jihukumu mwenyewe, hadi uungame kwa mwenyezi Mungu ambae alikujalia baraka zisizopimika.

  • @sefrozasibuti9194
    @sefrozasibuti9194 Рік тому +1

    Haya ni majaribu,. Mungu simama nao ,

  • @jackyanyango967
    @jackyanyango967 4 місяці тому +1

    Mama unice umekosa sana utapata laana kubwa sana niyayako unataka kuanza business na unice Mungu atakuchapa sana think twice

  • @josephkuriamungai6877
    @josephkuriamungai6877 8 місяців тому +1

    Let me try

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Рік тому +2

    Wewe ndo utapata laana

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Рік тому +6

    Tamaa yako imekuponza umemgeuza mtoto mradi. Labda malaika aliendani ya huyo mtoto ndio amemshauri mama watoke kwako. Ni wajibu wa baba kuridhisha watoto. Baba ndio anatoa uridhi Na sio mama. Pesa za mwanamke usiziingilie mjalua akiwa mkorofi na mtu wa watamaa ya Pesa Na umalaya. Ni tatizo. Shetani amepata lango kwenu wazazi kuua karama ya mtoto. Lakini usisahau giza haichangamani Na nuru hivyo MUNGU atadhihirisha ukweli

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Рік тому +1

      Point on fleeks

    • @justinemmanga7369
      @justinemmanga7369 Рік тому +1

      Wewe ndo shetani, tangu lini mkristo akaoa wanawake wawili, tamaa zako ndo zimekuponza.

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Рік тому

      @@justinemmanga7369 umelenga mule mule hakuna kuoa wake wawili sema tamaa tu

  • @florangido202
    @florangido202 Рік тому +7

    We mzee unaongea sana!! Unajihaibisha, sema nyumba zote mmejenga wewe na mkeo, Sasa unaposema nyumba 2 ni za kwako Una maana gani!!
    Mwanamke ukiona ameamua kuondoka ujue Amechoka.
    We baki na hao wanawake zako.
    Ulitaka aondoke haache mtoto wake!! Ye ndiyo aliyezaa.
    Na pia ndiyo anajua Baba wa Mtoto.
    Eti mtoto Apatikane Arudi.
    Na Mke Aende wapi!! Mke hasirudi!!
    We baba mjinga sana!! Baada ya kumuomba msamaha Mkeo na Kumtaka Arudi na Uachane na Hao wanawake!! Yaani hacha Uzinzi.
    Kama mama anatoroka Ujue Una Mauzi....!!!
    We, Baba Huna Haya, Kwanini UMEOA, Ugomvi si ndiyo huwa!! Eti hakuna Ugomvi!! Ovyo kabisa wewe!! HUJITAMBUI.
    HUYO MKE ANAKUJAJE KUKAA HAPO WAKATI MKEO KAONDOKA!! UONI KUWA YEYE NDIYE CHANZO!! ULISHAANZQ KUWA NA KABLA HUJAMLETA HAPO. ULIPAGAWA NA PESA ZA MTOTO... SASA MAMA KAONDOKA NA MWANAE WE BAKI NA HAWARA YAKO.
    USICHEZE NA HISIA ZA MWANAMKE!!!
    UMEMUUMIZA MNO.....

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Рік тому +1

      Fact kabisa

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 Рік тому +3

      alinigonga EUR zangu wacha Mungu ampige kiboko kabisaa tena nilimuambia kabisaa kuwa Mungu atampiga kiboko I hope anakumbuka hiyo text yangu 🙏🙏🙏

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Рік тому

      @@judithmelvinealuchio8968 ndio malipo anayoyapata anatamaa mno alitaka kanisa likulupuke ila wapi tamaa na utapeli kaweka mbele

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Рік тому +1

    kaungame wewe mzee , na uombe toba kwa uasharati wako . na pesa za sadaka sio zako kujinufaisha na kujitajitisha

  • @ZiadaMgola-ev3ow
    @ZiadaMgola-ev3ow Місяць тому +1

    Baba ana sifa sana huyu na anatumia mtoto fursa pesa mwana haramu

  • @obadiajumamkaria2568
    @obadiajumamkaria2568 Рік тому +1

    Inathibitisha simpango wa MUNGU

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Рік тому +2

    labda baba Mkubwa anajua alikp

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 Рік тому +1

    Kwa nn asisuke nywere saa we mzee malaya

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 Рік тому +4

    Ni wewe umenajisi karama ya mtt.
    Wakristu ndoa ni moja tu
    Mengine ni dhambi
    Umemchosha mamaYunis
    Umeshindwa kuweka mtu umlipe ahudumie nyumbani?
    Wewe unamakosa
    Kumbuka ulikotoka na mama wa wtt wako.

    • @annehaysanday9214
      @annehaysanday9214 Рік тому +1

      Hakuna karama hapo ilikuwa kiki kama ya babu wa Loliondo.Huyo mtoto angetumwa na Mungu baba yake asingefanya uzinzi angekuwa na hofu ya Mungu.Muongo sana wewe baba

    • @tabby6064
      @tabby6064 Рік тому

      ​@@annehaysanday9214kweli kabisaa

  • @dominicmutuku9206
    @dominicmutuku9206 Рік тому +2

    Sadaka ya pasa sa magojwa imelaaniwa pungulia mtoto bank muwekee pasa sake za huduma mama Maria atakuja kudai hiso sio pesa sako

  • @siryklyubov7989
    @siryklyubov7989 Рік тому +2

    mbona simuelewi huyu mzee anasema ametoa mke mmoja na mhudumu. imekaaje hiyo. na kwa nini huyo mwanamke umuingize kwenye nyumba ya mama yunis na usimtafutie nyumba.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  Рік тому

      Maswali ni mengi, majibu ni machache

  • @jackyanyango967
    @jackyanyango967 4 місяці тому +1

    Baba unice na mamake mtunze mtoto muwache mvurugano munapea shetani nafasi

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Рік тому +5

    Na umuombe radhi kaka yako shida ni kuoa sio kaka yako usimuchonganisha

  • @monicawangui7922
    @monicawangui7922 6 місяців тому +1

    Watu wa Kenya wanapata

  • @veronikamwampashe984
    @veronikamwampashe984 Рік тому +3

    Imekula kwako we mbaba uongeaji wako unaonekana ogoteee unamitaaamaaa ya mali

  • @user-xb8wu7qr7m
    @user-xb8wu7qr7m 2 місяці тому +1

    Yunis niombea

  • @alicewairimu2969
    @alicewairimu2969 3 місяці тому +1

    Adui ya mtu ni yule wa familia

  • @mamaafrica1530
    @mamaafrica1530 11 місяців тому +1

    Niko natabu ya mokojo,Dada unis unisadie mako istop pls

  • @marymuthoni1551
    @marymuthoni1551 Рік тому +3

    Mr. Ogot wachia Mungu, hiyo kazi ni ya Mungu,

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 Рік тому +2

    Ulichofanya wewe pia Ni aibu

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 місяці тому +1

    Labda ni mashaka

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  3 місяці тому

      Kikubwa kufuata imani yako

  • @devotajulius7572
    @devotajulius7572 11 місяців тому +1

    WW kaka nakujua vzr kipindi Eunice hajawa na miujiza mama Eunice alikuwa anachoma mkaa ndio anakula na watoto ww unakula sentani na chai huku nyumbani unakuja kulala .Leo unatambaa kweli kweli

  • @tumainimsumba513
    @tumainimsumba513 Рік тому

    Shida iko wapi

  • @maspro6294
    @maspro6294 Рік тому +3

    Huyu mzee taperi na mke na mtoto wake hakuna maajabu yoyote na mpubavu Yana kwenda kunywa maji ya Choo hii story Haina tofauti babu WA kikombe

  • @nicolasoduor7695
    @nicolasoduor7695 Рік тому +3

    Wapinga kristo wameteka nyara nafsi ya mama Yunisi;lakini hayo yote ni mapito tu.Ninaamini mungu wa milele atawarudisha nyumbani hivi karibuni na huduma itaendelea madui wapende wasipende

  • @SimonOpondo-g4n
    @SimonOpondo-g4n 11 місяців тому +1

    Ogot many nyathini yunis mano gwethni

  • @franciscabisimwa7093
    @franciscabisimwa7093 Рік тому +1

    Manayake unakuwa isaka

  • @hellengoretti1620
    @hellengoretti1620 Рік тому +4

    Anyway polygamy is not allowed. Mzee wewe baba yunis umekosa sana . Tunza neema ya mtoto

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Рік тому +1

      Polygamy not allowed to u but to their Luo traditions its allowed. Hao watoto WATATUNZWA NA NANIII? NA PIA AMEONDOKA AMEMUACHIA MTOTO MWENYE MIMBA??? does it make sense.Mama Yunis needs HELP

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Рік тому

      HOLY MARY ANAJUA MTOTO ALIPO NA ATAMPA FULL RECHARGE NA KUMRUDISHA NA FULL ENERGY LETS KEEP ON PRAYING HAIL MARY...

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Рік тому

      Ameeen

    • @LomayaniLukumayi
      @LomayaniLukumayi 4 місяці тому

      Amen...nibarikiwe

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 місяці тому +1

    Mwongo wewe ni mtuimishi wa shetani mshenzi wewe

  • @annettemalechela7543
    @annettemalechela7543 8 місяців тому +1

    You people you need Jesus than yourself

  • @janebosire3318
    @janebosire3318 Рік тому +3

    Lakina hata mama yunis alikosea Kwa kweda na yunis ambaye ilikua anasaidia watu angeacha pastor yunis haedelee kusaidia wagochwa

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Рік тому

      Mama Yunis kamwondoa mtoto asitumike na baba kwa Ubinafsi, utapeli na uzinzi

  • @grecevitariss6363
    @grecevitariss6363 Рік тому +1

    Mama yunisi aache maramoja,iyotabia yakuwa anaondoka nyumbani,anatupotosha kwasababu MUNGU apendi atafanyawatu wakose Imani naMungu atafanya anachojua yeye kwaajiliyakuokoa watu wake

  • @annettemalechela7543
    @annettemalechela7543 8 місяців тому +1

    You need JESUS more than yourself

  • @markben6142
    @markben6142 Рік тому +1

    Huyu mama amechukuliwa na shetani lakini Tia Biashara kando na huduma ya mtoto yunis