Tena familia ina mapadre na sista huyo mzee ni mbabe na anatamaa ya pesa na mali anaonekana kwenye clip zote ukifiatilia ila mama ndiyo yupo kiroho.baba analaumu hata wanaopona bila kutoa shukrani kwao amesahau shukrani ni kwa Mungu na ni popote kadiri mtu anavyoshuhudiwa.apunguze maneno mengi na aache hiyo dhambi ya uzinzi kama kweli anasema maji yanatakasa aanze yy kujitakasa na huyo mtoto kwa kuwa anajua mabaya kama ameridhia kuondoka ina maana amekubali kutoka hapo mzee atubu na aache ujinga wa kutumia fedha za maombi ya wagonjwa kufanyia uzinzi
Mzee 0got unaliabisha kanisa katoriki ,mkatoliki afunga ndoa na make mmoja we huyo wapili wanini?hiyo nidhambi ya uzizi ukaungame umeharibu Imani za watu,alfu una maneno mengi unajifanya kwamba uko sawa haukosawa huyu mama umemuumiza kwa uzinzi wako ,kama wewe ni Mzee unatafuta nini kuoa usimulaumu mkeo wewe ndiyo mwenye makosa kanisa katoriki hakuna ndoa ya watu 2 jiheshimu Ili Mungu akuzishi baraka .
Nashukuru sana husikiliza habari jinsi changamoto zilitokea huko Bukama. Ni huruma sana kutumia jina la mama Bikira Maria kibiashara! Tuwa himara wakati upepo mkali unapotufikia. Jenga nyumba yako kwenye mwamba, kukija mafuriko ama upepo mkali nyumba iendelee kusimama.
Soma biblia tena. Unachanganya kila kitu. Isaka hamuwa na wake wengi ila mwanae Jakob. Katoka kanisa huruhusiwi kuoa wake wengi. Hapo ni mahali patakatifu, umeshapachafua na kumtorosha mtakatifu nwenyewe. Inasikitisha sana.
Hio boma mungu alikua ameiteua kwa kumtembelea mtoto juni ,,,sasa msee OGOTI umemuruhusu shetani akutumie kuharibu huduma ya mwanao Junis Kwa kukuweka kiburi jua kwamba she Tani spendi huduma ya mungu inapaa huwe mtakatifu hata kukaribia hayo maji Chung'a mungu WA juni asikupige.
Wewe baba, aca kukariri biblia ambayo aujuwi, usiteteye uzinzi wako kwa kuoa mke wa pili, iyo sio imani ya dini yako katolika, ayo ni yakwako umekiuka sheria ya biblia, tangu mwanzo Mungu aliumba adam na eva, Yesu pia alikuja kuweka mambo sawa soma marko 10:1-12, sasa acha ujinga, wewe kubali kama una makosa kwa kuoa mke wapili, anza kwanza kufukuza uyo mpango wa kando kiisha ndo umubembeleze mkeo arudi, tena usimuhukumu kwa sababu wewe ndie umeyaleta, mke anawezaje kuondoka mda mufupi ulishaleta mke mwingine inamaana alikuwepo tangu zamani, usituchezeye akili bana, bilashaka ilo ndoo canzo ca ugomvi wenu, wewe itika kosa usiseme amukuzozana, jambo jingine sio vizuri kuusisha watoto kwenye mambo ya ndoa, apo unaua ico kizazi, wewe pambana na hali yako na Mungu atakusaidia.
Mhhhhhhh! Ugomvi wako ni kuongeza mke wajaruo mna nn nyie kabla ya Yunice mbona haukuoa Yunice uko wapi jamani ebu nyoosha kidole tu kwa huyu mke wa baba jamani 😂😂
Mzee umeshangaza usituletee hadithi zako acha mahubiri Yako umekosea kwa Nini uoe haraka haraka acha kutoa mashahidi hao ni watoto hawajui ya ndani kwenu pesa ilimuua YESU na ndoa yenu itasambalatishwa na PESA
Mgogoro Upo. Maswali yako mtangazaji sijayaelewa. Ilibidi I’m and huyu mzee. Kwa vile Mtoto huyu ni kupitia dini ya Roma huyu mzee haruhusiwi kuoa mke wa pili na kutumia maslahi yake binafsi. Ana Inja nguvu ya mama Bikira Maria kupitia mtoto Yunis. Baba mbovu. Mi ningemtelekeza kabisa huyu baba.
@@BMGOnlineTV mnajua wazi anamtumia pesa kutoka huyu Mtoto kujenga nyumba ya biashara na kumweka mke wa pili pale. Achume Mtoto na mama achukue kupitia imani za watu. Ni tapeli. Analialia kama Mtoto hajui hasara a shoo-in Giza kwa familia kwa Ubinafsi na kuwa Tunis nyinyi. Hajiheshimu wala ham heshima huyo Ukitaka Maria. Ni tapeli mkubwa na mbinnafi hajali familia na hakiheshimu.
Katika kanisa katoliki la Roma sijasikia ndoa ya wake wawili ama zaidi! Tangu mama Yunis aondoke na baba Yunis kuoa, ni mda mfupi sana, lini mlifahamiana hadi kukubaliana ili kuishi pamoja kama bwana na bibi. Imani yako baba imekupotosha, usimuhukumu mama Yunis tu, kwanza jihukumu mwenyewe, hadi uungame kwa mwenyezi Mungu ambae alikujalia baraka zisizopimika.
Tamaa yako imekuponza umemgeuza mtoto mradi. Labda malaika aliendani ya huyo mtoto ndio amemshauri mama watoke kwako. Ni wajibu wa baba kuridhisha watoto. Baba ndio anatoa uridhi Na sio mama. Pesa za mwanamke usiziingilie mjalua akiwa mkorofi na mtu wa watamaa ya Pesa Na umalaya. Ni tatizo. Shetani amepata lango kwenu wazazi kuua karama ya mtoto. Lakini usisahau giza haichangamani Na nuru hivyo MUNGU atadhihirisha ukweli
We mzee unaongea sana!! Unajihaibisha, sema nyumba zote mmejenga wewe na mkeo, Sasa unaposema nyumba 2 ni za kwako Una maana gani!! Mwanamke ukiona ameamua kuondoka ujue Amechoka. We baki na hao wanawake zako. Ulitaka aondoke haache mtoto wake!! Ye ndiyo aliyezaa. Na pia ndiyo anajua Baba wa Mtoto. Eti mtoto Apatikane Arudi. Na Mke Aende wapi!! Mke hasirudi!! We baba mjinga sana!! Baada ya kumuomba msamaha Mkeo na Kumtaka Arudi na Uachane na Hao wanawake!! Yaani hacha Uzinzi. Kama mama anatoroka Ujue Una Mauzi....!!! We, Baba Huna Haya, Kwanini UMEOA, Ugomvi si ndiyo huwa!! Eti hakuna Ugomvi!! Ovyo kabisa wewe!! HUJITAMBUI. HUYO MKE ANAKUJAJE KUKAA HAPO WAKATI MKEO KAONDOKA!! UONI KUWA YEYE NDIYE CHANZO!! ULISHAANZQ KUWA NA KABLA HUJAMLETA HAPO. ULIPAGAWA NA PESA ZA MTOTO... SASA MAMA KAONDOKA NA MWANAE WE BAKI NA HAWARA YAKO. USICHEZE NA HISIA ZA MWANAMKE!!! UMEMUUMIZA MNO.....
Ni wewe umenajisi karama ya mtt. Wakristu ndoa ni moja tu Mengine ni dhambi Umemchosha mamaYunis Umeshindwa kuweka mtu umlipe ahudumie nyumbani? Wewe unamakosa Kumbuka ulikotoka na mama wa wtt wako.
Hakuna karama hapo ilikuwa kiki kama ya babu wa Loliondo.Huyo mtoto angetumwa na Mungu baba yake asingefanya uzinzi angekuwa na hofu ya Mungu.Muongo sana wewe baba
mbona simuelewi huyu mzee anasema ametoa mke mmoja na mhudumu. imekaaje hiyo. na kwa nini huyo mwanamke umuingize kwenye nyumba ya mama yunis na usimtafutie nyumba.
WW kaka nakujua vzr kipindi Eunice hajawa na miujiza mama Eunice alikuwa anachoma mkaa ndio anakula na watoto ww unakula sentani na chai huku nyumbani unakuja kulala .Leo unatambaa kweli kweli
Wapinga kristo wameteka nyara nafsi ya mama Yunisi;lakini hayo yote ni mapito tu.Ninaamini mungu wa milele atawarudisha nyumbani hivi karibuni na huduma itaendelea madui wapende wasipende
Polygamy not allowed to u but to their Luo traditions its allowed. Hao watoto WATATUNZWA NA NANIII? NA PIA AMEONDOKA AMEMUACHIA MTOTO MWENYE MIMBA??? does it make sense.Mama Yunis needs HELP
Mama yunisi aache maramoja,iyotabia yakuwa anaondoka nyumbani,anatupotosha kwasababu MUNGU apendi atafanyawatu wakose Imani naMungu atafanya anachojua yeye kwaajiliyakuokoa watu wake
Hizi tamaa sio nzuri
Kabisa
Mungu ailinde Familia ya Tunis na Wazazi wake.
Amen
Sawa kwa mama kwa sababu ya neema ya mtoto mungu awe naye kwa kezi ya mtoto kwa mungu baba think twice kwa hudma ya mtoto.
Amina
Kaa na huyo bibi umeoa,alafu mungu anyooshe kichapo kikali kwa huyo bibi na wewe ,kwa kuchafua kazi yake,kiwarambe dunia ishangae
Na kitawaramba kwanza huyo mwanke aondoke hapo hakuna vile utaharibu nyumba mwingine
Wewe Mzee Kuna ulichomfanyia mama Yunis SI Bure Iko namna
Mnanzaa kungaanya mali ya yunusi mungu atawapiga fimbo moja tu
Waombeeni
Una tamaa wewe mwanaume umepata pesa kwa mtoto acha tamaa😊
Waache kuangaisha malaika wa mungu watachapwa na mungu
Baba unice mwohombea mama unice kwa sababu ni roho mbaya imemngia sio kupenda kwake shetani anawapinga vita mnasitaili kukoma kiroho
Amen
Mama unice thafadhali rudisha mtoto nyumbani wacha kuchezea nguvu zake Mungu
Amen
We Mzee ni mzinzi huna haya😩 Mama Yunis kaona unachafua karama ya Mtoto. Hao wanawake wakuzalie Mtoto kama Yunis. Sura mbayaa
Tena familia ina mapadre na sista huyo mzee ni mbabe na anatamaa ya pesa na mali anaonekana kwenye clip zote ukifiatilia ila mama ndiyo yupo kiroho.baba analaumu hata wanaopona bila kutoa shukrani kwao amesahau shukrani ni kwa Mungu na ni popote kadiri mtu anavyoshuhudiwa.apunguze maneno mengi na aache hiyo dhambi ya uzinzi kama kweli anasema maji yanatakasa aanze yy kujitakasa na huyo mtoto kwa kuwa anajua mabaya kama ameridhia kuondoka ina maana amekubali kutoka hapo mzee atubu na aache ujinga wa kutumia fedha za maombi ya wagonjwa kufanyia uzinzi
Umelenga mule mule
Mzee 0got unaliabisha kanisa katoriki ,mkatoliki afunga ndoa na make mmoja we huyo wapili wanini?hiyo nidhambi ya uzizi ukaungame umeharibu Imani za watu,alfu una maneno mengi unajifanya kwamba uko sawa haukosawa huyu mama umemuumiza kwa uzinzi wako ,kama wewe ni Mzee unatafuta nini kuoa usimulaumu mkeo wewe ndiyo mwenye makosa kanisa katoriki hakuna ndoa ya watu 2 jiheshimu Ili Mungu akuzishi baraka .
hapa kuna fitna fulani inaendelea.huenda kunamtu anamushauzi vibaya ilikusudi gamilia isambaratike.Mungu awalete pamoja inshaaAllah
Amen
Mungu dio alituma huyo mutoto mutulie muache mungu aandelee na kazi yake
Tamaa ni mbaya sana na wewe mnzee wewe ndio umesambabisha hayo
Ni kuombeana neema ya Mungu
Nashukuru sana husikiliza habari jinsi changamoto zilitokea huko Bukama. Ni huruma sana kutumia jina la mama Bikira Maria kibiashara! Tuwa himara wakati upepo mkali unapotufikia. Jenga nyumba yako kwenye mwamba, kukija mafuriko ama upepo mkali nyumba iendelee kusimama.
Amina
Soma biblia tena. Unachanganya kila kitu. Isaka hamuwa na wake wengi ila mwanae Jakob. Katoka kanisa huruhusiwi kuoa wake wengi. Hapo ni mahali patakatifu, umeshapachafua na kumtorosha mtakatifu nwenyewe. Inasikitisha sana.
But why did you marry in a month if not you were in relationship...na wamama wenye huwa tayari kuoleka kwa Mme wa kwake l pity you 😊oooh
This man is weekend, he’s the betrayal of the family, almighty God will punish you baba Yunice ume haribia mtoto kipaji na umalaya wako 😭👎🏽
Mbona mwanzo ulisema huchukui pesa yoyote kwa watu mbona sasa unaonyesha mapesa uliyonayo
Hio boma mungu alikua ameiteua kwa kumtembelea mtoto juni ,,,sasa msee OGOTI umemuruhusu shetani akutumie kuharibu huduma ya mwanao Junis Kwa kukuweka kiburi jua kwamba she Tani spendi huduma ya mungu inapaa huwe mtakatifu hata kukaribia hayo maji Chung'a mungu WA juni asikupige.
Wewe baba, aca kukariri biblia ambayo aujuwi, usiteteye uzinzi wako kwa kuoa mke wa pili, iyo sio imani ya dini yako katolika, ayo ni yakwako umekiuka sheria ya biblia, tangu mwanzo Mungu aliumba adam na eva, Yesu pia alikuja kuweka mambo sawa soma marko 10:1-12, sasa acha ujinga, wewe kubali kama una makosa kwa kuoa mke wapili, anza kwanza kufukuza uyo mpango wa kando kiisha ndo umubembeleze mkeo arudi, tena usimuhukumu kwa sababu wewe ndie umeyaleta, mke anawezaje kuondoka mda mufupi ulishaleta mke mwingine inamaana alikuwepo tangu zamani, usituchezeye akili bana, bilashaka ilo ndoo canzo ca ugomvi wenu, wewe itika kosa usiseme amukuzozana, jambo jingine sio vizuri kuusisha watoto kwenye mambo ya ndoa, apo unaua ico kizazi, wewe pambana na hali yako na Mungu atakusaidia.
Hii story ni marudio,si ulikwisha tuletea.
Wewe baba yuni wewe na huyo muhudumu wa gesti sio bureeee
Hahaha umehisi ndivyo sivyo
Mzee Ogot tafuta mahali Mama Yunis na Yunis wako orudishe away nyumbani.Tafadhali fanya kwa hio.
Atamtafute wapi??? hawezi acha watoto aingie mitaani kumtafuta ATAANZIA WAPI? reporte police wamtafute ndio solution iliyobaki
Watu wa Mungu pia hujaribiwa ila upatwapo na jaribu basi omba neema kiburi kisije kukutawala
Amen
ukewenza usikie ... huyo mzee atakuwa alikuwa na huyo mke wa pili!!
Noma sana
Weeeh ati nyumba😢😢😢 kwani ni bihashara
Hapana
Mhhhhhhh! Ugomvi wako ni kuongeza mke wajaruo mna nn nyie kabla ya Yunice mbona haukuoa Yunice uko wapi jamani ebu nyoosha kidole tu kwa huyu mke wa baba jamani 😂😂
Amen
Mungunimwema
Kama akili ilikuwa kujitajirisha, si ajabu umeharibu kila kitu. Aibu iko upande wako baba wa watu.
Mzee umeshangaza usituletee hadithi zako acha mahubiri Yako umekosea kwa Nini uoe haraka haraka acha kutoa mashahidi hao ni watoto hawajui ya ndani kwenu pesa ilimuua YESU na ndoa yenu itasambalatishwa na PESA
Kumbe ulichafua madhabau ya mtoto na kuzini😢😢😢
Mwombee toba
Huyu naye kachanganyikiwa anahitaji maombi Romani ukishaoa mke wa pili umeshajifungia sakrament akili ameshaharibu
Mgogoro Upo. Maswali yako mtangazaji sijayaelewa. Ilibidi I’m and huyu mzee. Kwa vile Mtoto huyu ni kupitia dini ya Roma huyu mzee haruhusiwi kuoa mke wa pili na kutumia maslahi yake binafsi. Ana Inja nguvu ya mama Bikira Maria kupitia mtoto Yunis. Baba mbovu. Mi ningemtelekeza kabisa huyu baba.
Ungependa wakati ujao tuulize maswali gani?
@@BMGOnlineTV mnajua wazi anamtumia pesa kutoka huyu Mtoto kujenga nyumba ya biashara na kumweka mke wa pili pale.
Achume Mtoto na mama achukue kupitia imani za watu. Ni tapeli. Analialia kama Mtoto hajui hasara a shoo-in Giza kwa familia kwa Ubinafsi na kuwa Tunis nyinyi. Hajiheshimu wala ham heshima huyo Ukitaka Maria. Ni tapeli mkubwa na mbinnafi hajali familia na hakiheshimu.
@@TM-zs3rm wakati ujao tuulize maswali gani?
Katika kanisa katoliki la Roma sijasikia ndoa ya wake wawili ama zaidi! Tangu mama Yunis aondoke na baba Yunis kuoa, ni mda mfupi sana, lini mlifahamiana hadi kukubaliana ili kuishi pamoja kama bwana na bibi. Imani yako baba imekupotosha, usimuhukumu mama Yunis tu, kwanza jihukumu mwenyewe, hadi uungame kwa mwenyezi Mungu ambae alikujalia baraka zisizopimika.
Haya ni majaribu,. Mungu simama nao ,
Mama unice umekosa sana utapata laana kubwa sana niyayako unataka kuanza business na unice Mungu atakuchapa sana think twice
Waombeeni
Shida ipo kwa baba tangu mwanzo nilimwona
Let me try
Ok
Wewe ndo utapata laana
Tamaa yako imekuponza umemgeuza mtoto mradi. Labda malaika aliendani ya huyo mtoto ndio amemshauri mama watoke kwako. Ni wajibu wa baba kuridhisha watoto. Baba ndio anatoa uridhi Na sio mama. Pesa za mwanamke usiziingilie mjalua akiwa mkorofi na mtu wa watamaa ya Pesa Na umalaya. Ni tatizo. Shetani amepata lango kwenu wazazi kuua karama ya mtoto. Lakini usisahau giza haichangamani Na nuru hivyo MUNGU atadhihirisha ukweli
Point on fleeks
Wewe ndo shetani, tangu lini mkristo akaoa wanawake wawili, tamaa zako ndo zimekuponza.
@@justinemmanga7369 umelenga mule mule hakuna kuoa wake wawili sema tamaa tu
We mzee unaongea sana!! Unajihaibisha, sema nyumba zote mmejenga wewe na mkeo, Sasa unaposema nyumba 2 ni za kwako Una maana gani!!
Mwanamke ukiona ameamua kuondoka ujue Amechoka.
We baki na hao wanawake zako.
Ulitaka aondoke haache mtoto wake!! Ye ndiyo aliyezaa.
Na pia ndiyo anajua Baba wa Mtoto.
Eti mtoto Apatikane Arudi.
Na Mke Aende wapi!! Mke hasirudi!!
We baba mjinga sana!! Baada ya kumuomba msamaha Mkeo na Kumtaka Arudi na Uachane na Hao wanawake!! Yaani hacha Uzinzi.
Kama mama anatoroka Ujue Una Mauzi....!!!
We, Baba Huna Haya, Kwanini UMEOA, Ugomvi si ndiyo huwa!! Eti hakuna Ugomvi!! Ovyo kabisa wewe!! HUJITAMBUI.
HUYO MKE ANAKUJAJE KUKAA HAPO WAKATI MKEO KAONDOKA!! UONI KUWA YEYE NDIYE CHANZO!! ULISHAANZQ KUWA NA KABLA HUJAMLETA HAPO. ULIPAGAWA NA PESA ZA MTOTO... SASA MAMA KAONDOKA NA MWANAE WE BAKI NA HAWARA YAKO.
USICHEZE NA HISIA ZA MWANAMKE!!!
UMEMUUMIZA MNO.....
Fact kabisa
alinigonga EUR zangu wacha Mungu ampige kiboko kabisaa tena nilimuambia kabisaa kuwa Mungu atampiga kiboko I hope anakumbuka hiyo text yangu 🙏🙏🙏
@@judithmelvinealuchio8968 ndio malipo anayoyapata anatamaa mno alitaka kanisa likulupuke ila wapi tamaa na utapeli kaweka mbele
kaungame wewe mzee , na uombe toba kwa uasharati wako . na pesa za sadaka sio zako kujinufaisha na kujitajitisha
Baba ana sifa sana huyu na anatumia mtoto fursa pesa mwana haramu
Mwombeeni sana
Inathibitisha simpango wa MUNGU
labda baba Mkubwa anajua alikp
Kwa nn asisuke nywere saa we mzee malaya
Ni wewe umenajisi karama ya mtt.
Wakristu ndoa ni moja tu
Mengine ni dhambi
Umemchosha mamaYunis
Umeshindwa kuweka mtu umlipe ahudumie nyumbani?
Wewe unamakosa
Kumbuka ulikotoka na mama wa wtt wako.
Hakuna karama hapo ilikuwa kiki kama ya babu wa Loliondo.Huyo mtoto angetumwa na Mungu baba yake asingefanya uzinzi angekuwa na hofu ya Mungu.Muongo sana wewe baba
@@annehaysanday9214kweli kabisaa
Sadaka ya pasa sa magojwa imelaaniwa pungulia mtoto bank muwekee pasa sake za huduma mama Maria atakuja kudai hiso sio pesa sako
Hahahahahahajaha
mbona simuelewi huyu mzee anasema ametoa mke mmoja na mhudumu. imekaaje hiyo. na kwa nini huyo mwanamke umuingize kwenye nyumba ya mama yunis na usimtafutie nyumba.
Maswali ni mengi, majibu ni machache
Baba unice na mamake mtunze mtoto muwache mvurugano munapea shetani nafasi
Amina
Na umuombe radhi kaka yako shida ni kuoa sio kaka yako usimuchonganisha
Watu wa Kenya wanapata
Barikiwa
Imekula kwako we mbaba uongeaji wako unaonekana ogoteee unamitaaamaaa ya mali
Yani hacha tamaa kaweka.mbele kuliko utu
Yunis niombea
Amen
Adui ya mtu ni yule wa familia
Kabisa
Niko natabu ya mokojo,Dada unis unisadie mako istop pls
Amen
Mr. Ogot wachia Mungu, hiyo kazi ni ya Mungu,
Ulichofanya wewe pia Ni aibu
Labda ni mashaka
Kikubwa kufuata imani yako
WW kaka nakujua vzr kipindi Eunice hajawa na miujiza mama Eunice alikuwa anachoma mkaa ndio anakula na watoto ww unakula sentani na chai huku nyumbani unakuja kulala .Leo unatambaa kweli kweli
Noma
Shida iko wapi
Swali zuri
Huyu mzee taperi na mke na mtoto wake hakuna maajabu yoyote na mpubavu Yana kwenda kunywa maji ya Choo hii story Haina tofauti babu WA kikombe
Wapinga kristo wameteka nyara nafsi ya mama Yunisi;lakini hayo yote ni mapito tu.Ninaamini mungu wa milele atawarudisha nyumbani hivi karibuni na huduma itaendelea madui wapende wasipende
Ogot many nyathini yunis mano gwethni
Sawa sawa
Manayake unakuwa isaka
Badala ya?
Anyway polygamy is not allowed. Mzee wewe baba yunis umekosa sana . Tunza neema ya mtoto
Polygamy not allowed to u but to their Luo traditions its allowed. Hao watoto WATATUNZWA NA NANIII? NA PIA AMEONDOKA AMEMUACHIA MTOTO MWENYE MIMBA??? does it make sense.Mama Yunis needs HELP
HOLY MARY ANAJUA MTOTO ALIPO NA ATAMPA FULL RECHARGE NA KUMRUDISHA NA FULL ENERGY LETS KEEP ON PRAYING HAIL MARY...
Ameeen
Amen...nibarikiwe
Mwongo wewe ni mtuimishi wa shetani mshenzi wewe
Mwombee sana kwa Mungu
You people you need Jesus than yourself
Amen
Lakina hata mama yunis alikosea Kwa kweda na yunis ambaye ilikua anasaidia watu angeacha pastor yunis haedelee kusaidia wagochwa
Mama Yunis kamwondoa mtoto asitumike na baba kwa Ubinafsi, utapeli na uzinzi
Mama yunisi aache maramoja,iyotabia yakuwa anaondoka nyumbani,anatupotosha kwasababu MUNGU apendi atafanyawatu wakose Imani naMungu atafanya anachojua yeye kwaajiliyakuokoa watu wake
You need JESUS more than yourself
Amen
Huyu mama amechukuliwa na shetani lakini Tia Biashara kando na huduma ya mtoto yunis